KIJANA KAWAPIGA WAREMBO NA KITU KIZITO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Usikose kutazama HELLO MR RIGHT kila jumamosi ifikapo saa 4 kamili usiku kupitia @stbongotv ndani ya kisimbuzi cha @startimestz CH 161 (Antena) CH 401 (Dish) #HelloMrRightShow2 #Mara100Zaidi

КОМЕНТАРІ • 61

  • @nirerehadidja8266
    @nirerehadidja8266 2 роки тому +7

    Umetisha sana 🔥🔥

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Рік тому +1

    Safi sana jamaa kajua kuwa komesho kudadekii mringo kwishaaa

  • @najmahassan5091
    @najmahassan5091 2 роки тому +5

    Hahaha 😂😂😂😂😂 wallh huyo boy akii

  • @ggcrank6264
    @ggcrank6264 2 роки тому +11

    Namuunga mkono jamaa hakuna wa kumuangalia mara mbili hapo

  • @African511
    @African511 2 роки тому +6

    Kaka nimekukubali umeupiga mwingi sana.Binafsi nmekuelewa,mbona wao hao wadada huwa wanawakataa wakaka wanaokuja hapo kua hawajavutiwa na wanasema kabsa,lakn hongera kaka kwa kusema ukweli,sema jinsia ya kike huwa wengi wao hampendi kuambiwa ukweli.

    • @harountaslima2949
      @harountaslima2949 2 роки тому +1

      Hapo usema japo mimi napenda kuambiwa ukweli

    • @African511
      @African511 2 роки тому

      Basi sawa kama uko upande wa ukweli barikiwa sana

  • @careenallyally3668
    @careenallyally3668 2 роки тому +4

    Wamezidi mashauzi

  • @adelaadolph2042
    @adelaadolph2042 2 роки тому +3

    Main jak sasa😂😂

  • @brijidalawrence1097
    @brijidalawrence1097 2 роки тому +3

    Natamani huyu kaka angekuwa wangu

  • @harunimahatua791
    @harunimahatua791 2 роки тому +2

    Jamaa kaenda kuwanyoosha

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 2 роки тому +1

    Dah we jamaa umewakomesha safi sana yan hapo hamna pic ni uchafu tupu sijaona dem Apo sula zenyewe zimejaa poda hakuna dem mwenye ngozi asilia

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 2 роки тому +2

    Kweli kabisa alichokiongea

  • @bellrajkachafuo7813
    @bellrajkachafuo7813 Рік тому

    Hyu mwamba ni actor hawamjui ama n vip😂

  • @mwilemkangwa9956
    @mwilemkangwa9956 Рік тому

    Wako uchi sana hata hivyo hovyo sana

  • @bellrajkachafuo7813
    @bellrajkachafuo7813 Рік тому

    Bwan sultani

  • @fatmaabdul2712
    @fatmaabdul2712 2 роки тому +7

    Mwanamke huletewa posa nyumbani sio hapo na mavazi ya ajabu ajabu

  • @selemanigogo4669
    @selemanigogo4669 2 роки тому

    Yupo sasahihi

  • @sabrinaabdallah3166
    @sabrinaabdallah3166 2 роки тому +1

    hahaha garab nimefurah

  • @pilisalehe4562
    @pilisalehe4562 2 роки тому

    Ukwel wanavaa uchi sana

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 Рік тому

    Kevin

  • @joycekunyanja1027
    @joycekunyanja1027 2 роки тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂amewakomesha

  • @kulthummohamed101
    @kulthummohamed101 Рік тому

    Mbn ni Kelvin ama

  • @sadatisabihi3818
    @sadatisabihi3818 2 роки тому +1

    Wabaya aahhahahaha

  • @husseinparco9640
    @husseinparco9640 2 роки тому

    Mbona mwamaliza vibaya hatuelewi

  • @nero7941
    @nero7941 2 роки тому +1

    😂😂😂 mamae umetisha muuni walete kati

  • @fatmaabdul2712
    @fatmaabdul2712 2 роки тому +4

    Kaka umeongea point tupo pamoja hakuna mkeo hapo wapo wadangaji

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 роки тому

      Kbs mwanamke anae jitambuwa atanzaje kwenda hp kutafuta mwanaume

  • @sharmilarashid6270
    @sharmilarashid6270 Рік тому

    Weeee eeeeee 😂

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Рік тому

    Kijan waovyo mpaka uku wapo kumbe

  • @harountaslima2949
    @harountaslima2949 2 роки тому +1

    Ila wanawake jamani hii dunia mwaipeleka wapi huyo kaka kasema kweli ila nae yumo kenda fata nini huko....wengine mwavaa husu Uchi eti wenza tafuta mme jamani nyie muogopeni mungu nyinyi

  • @vailettyjoseph2699
    @vailettyjoseph2699 2 роки тому +1

    Kuna mda wanatakiwa kuchangamshwa na vichambo

  • @ziyadabasca4840
    @ziyadabasca4840 2 роки тому +1

    Haaaaa

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 2 роки тому +4

    Ni ukweli lakini mwanaume Ana haki ya kuchagua mke

  • @subydeus9233
    @subydeus9233 2 роки тому

    Hii Ni hatar🙊

  • @loycejoely8967
    @loycejoely8967 2 роки тому

    Mtu mwenyewe kibaka mzoefu hata salam yako inanuka

  • @harountaslima2949
    @harountaslima2949 2 роки тому +1

    Hadi huyu nae kafika huku

  • @hellenamtweve7672
    @hellenamtweve7672 2 роки тому

    Huyu ndo ana akili

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому

    Sa mbona Ana zalilisha wanawake

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 2 роки тому

    Alienda kufuata Nini na yeye kama sip kahaba la kiume

  • @gonzaluvesmagesa4305
    @gonzaluvesmagesa4305 2 роки тому

    Nataka kushiliki hichi kipindi

  • @nelsonmjohanes1648
    @nelsonmjohanes1648 2 роки тому

    🤭🤭🤭🤭🤭😂😂😂

  • @nargissalim8321
    @nargissalim8321 2 роки тому

    Hawa waigizaji wameamua kuja kutuchanganya

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 2 роки тому

    Huyo hata akinisimamisha tu sitosimama hakuna mtu hapo huyo n muhun kama wahuni wengne tu

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 роки тому +1

    Mamae zake hamna wa kuangalia ulifata nn shenzi mkubwaaa ww, mm tu sikutazam ata sekunde fyuuuuuuuu 😏😏😏😏😏

    • @fatmaabdul2712
      @fatmaabdul2712 2 роки тому +3

      Acha kumtusi mtu kwa maamuzi yake kama hajamuona changuo ulitaka afanye nin

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eddahmwinzi
    @eddahmwinzi 2 роки тому

    Mbona fupi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 роки тому +1

    Aisee jamaa kakosea sana kawazalau kiasi kikubwa kumbuka wewe fala aoni mamazetu pia

    • @fatmaabdul2712
      @fatmaabdul2712 2 роки тому +1

      Kwahiyo kama hakuna alie mpendwa ajirazimishe Kisha ni wakina mama ww vipi Kuna wanawake na wandangaji Hao wote hapo wadangaji

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 2 роки тому

      @@fatmaabdul2712 Hahaha hatawawe wadangaji sikupendezwa nakauli aliyoitumia kasha sinzuli kwa mwanadam wa aina yeyote au anamakosa kiasigani ikoivo

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 2 роки тому

      😢😢hata mimi sijapenda alichokifanya huyu kaka

    • @sambicharles3378
      @sambicharles3378 11 місяців тому

      Hapo badoo mpaka usemeee😂😂😂😂😂

  • @najmanassor4616
    @najmanassor4616 2 роки тому

    kama hakuna wa kumuangalia mara mbili hap ulienda kufany nn wakati kweny tv unawaona shobo t ww mwenyewe hufai hata kuambiwa mamb matako yako