Uwii!!..VIDEO MPYA: Dereva wa LISSU Avujisha SIRI za LISSU kupigwa RISASI!!!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 104

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 23 години тому +2

    Kwa akili ya kawaida tu,huyu dereva anaelewa kila kitu!

  • @ahmadmussa8327
    @ahmadmussa8327 2 дні тому +4

    Ndugu imekuwaje Lissu aumie mguu wa kushoto upandenwa ndani wa paja na wewe usiguswe na risasi hata Moja?

    • @richardmagasa4900
      @richardmagasa4900 2 дні тому

      Kwani hua inakuaje ajali ya gari moja wengine wanakufa na wengine wanapona tena bila kupata majeraha? Tafakari hyo utapata jibu na Umsifu Mungu daima.

  • @JosephJackson-f1s
    @JosephJackson-f1s 2 дні тому +2

    Msituletee movie toka tukio limetokea c mnge mhoji kwa upelelezi mlikuwa na msaada gani

  • @LaylasalumMshuza
    @LaylasalumMshuza 7 годин тому +1

    Dereva mpiga dili huyo😲😲

  • @OmieMari-x7d
    @OmieMari-x7d 22 години тому +2

    Dereva anahusika...kwa lile tukio lilivyotokea uyu dereva anahusika kabisaa

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 21 годину тому

      Inawezekana ila Camera inasemekana zilitolewa manake sasa kuna uwezekano mwenye nyumba waliokua wanaishi huyo nae anahusika maana mwenye uwezo wakutoa Camera ni mwenye nyumba

  • @LaylasalumMshuza
    @LaylasalumMshuza 7 годин тому +1

    Ukiwa na degree 1 udhamuelewa,sio mpaka uende cuba

  • @LaylasalumMshuza
    @LaylasalumMshuza 7 годин тому +1

    Ukimwamgia machoni,anasoma alichoelekezwa

  • @AbediMwema
    @AbediMwema 8 годин тому +1

    Dereva alianza kuhisi kama wanafuatiliwa kabla hawajapaki gar kwann asimwambie bos wake mapema, Kuna nn hapo, pia na hao walinz husika wa eneo hilo kwa siku hiyo walikuwa wap

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 3 дні тому +4

    Gemu tu kwani wachunguzi wa tz awkupata muda waswala hili risas moja ata isimjerui dereva 😂😂😂😂wacheni mchezo

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 3 дні тому

      Ajabu

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 2 дні тому

      Tuombe wataalamu bobezi wafanye uchunguzi tujue ukweli. Au wameshamaliza uchunguzi?

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 години тому

      Waziri Mkuu Sokoine alikufaje ?

  • @mfusedalu
    @mfusedalu 6 годин тому +1

    Nnamashaka kidogo kwanini hamjapuga simu polisi ili kupata masada wakati mmepata mashaka ya kufuatiliwa??

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 дні тому +3

    Sina imani na upigwaji wa risasi wa tundulisu , kama walio karibu nae hawahusiki

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +3

    Yaani wewe ulifanikiwa kutoka nje ukamwacha boss wako peke yake kwenye gari. Halafu aliumiaje mguu wa kulia upande wako?

  • @tembatemba4823
    @tembatemba4823 2 дні тому +1

    siwezi kusema kama dereva alihusika ila kwa haraka tu alishiriki shambulizi la Lissu, kwa maelezo yake ni kama alishaona viashiria vya hatari kwa zaidi ya nusu saa kabla ya shambulizi, ni uzembe gani huu wa kushindwa kumwambia boss wake na huku anakiri kabisa kuwa alikua anafahamu kwamba mh Lissu alikua anawindwa kwa muda mrefU?

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 3 дні тому +6

    Huyu ndie anahucka wa 100%

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 2 дні тому +1

      Huyu anahusika ndio maana amefichwa hiko

    • @jeffmap4038
      @jeffmap4038 2 дні тому +1

      Kafichwa na nani? je walinzi wa viongozi siku hiyo walikuwa wapi katika malindo?

    • @reginas1832
      @reginas1832 День тому +1

      Acha ujinga

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 2 дні тому +1

    Dakika 10 ni nyingi hukuweza hata kumpigia mbowe au kiongozi yoyote kuna hali ambayo hatuielewi hapa

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому +4

    Kwanini hukumwambia boss wako kuwa mnafuatiliwa? kwa kawaida lazima ungemwambia ili atoe wazo namna ya kujilinda na hao wafuatiliaji.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 години тому

      Muulize Kangi Lugora yaliyomkuta kutaka kukagua cctv camera za nyumbani kwa Lissu!!

  • @hashimmchwaka9497
    @hashimmchwaka9497 4 години тому

    Wewe dereva kama ulihisi mapema unafatiliwa kwanini usimwambie boss wako akakupa ushauri mzuri mfanye nini au kukimbia kituo cha usalama wa police

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 15 годин тому

    KWANU WE IMESAFIRI?.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 дні тому +3

    Kama risasi inaweza kwenda umbali mita 100. Inashindwaje kutoboa upande wa kushoto na kupiga mguu wa kushoto unajua ukiwa.fisiemu lazima uwe na roho mbaya

    • @ibrahimjuma9709
      @ibrahimjuma9709 2 дні тому

      @@rebekakulwa6159 kwanza iyo gari ni right drive au left drive Kuna vituko vingine maagizo yake ni HATARI

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 2 дні тому

      Risasi inatembea mita 2000 , na inaua mita 1500 ,,, ila hizo mita nyingine za juu itaua kutegemea na maeneo ilio pigwa

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 години тому

      Umbali huo wa risasi ni kama haijakutana na kizuizi chochote !!

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 2 дні тому

    Maswali ni mengi sana. Tuombe wataalamu maalum wafanye kazi ya uchunguzi tupate majibu.

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 2 дні тому

      @@1961nungwi majibu lisu alietengeneza Dil na dereva wake walishauriwa nawazungu

    • @JosephJackson-f1s
      @JosephJackson-f1s 2 дні тому

      ​@@EmmanuelMlowe-u1vWe mjinga kweli acha ushamba mbona unakuwa mpumbavu

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 3 дні тому +1

    Kweli mh. Tundulisu anasemaga ukweli sikuzote

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому +2

    Lissu ameumizwa na risasi vibaya sana upande wa kulia ambao wewe ulikaa mbona wewe hukuumia kabisa?
    Na tisasi zilipenya vipi kwenda kwa Lissu bila kukupigia wewe uliyekuwa upande huo?
    Kuna kitu kingine kimejificha

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 2 дні тому +1

      Huezi shiriki mauaji eti wewe ukae umeshika Target watu wapige ukipigwa ww je hivyo hao ni bahati zao tu hawakufa kwenye shambuliz

    • @mhenitv
      @mhenitv 2 дні тому +1

      Kwenye hatari lazima ulalie tumbo kwa hiyo alikuwa amegeuka ,ndio maana alipigwa mguu wa kulia,,,siyo rahisi sana ,,,mshukuruni Dereva alijitahidi sana

    • @Lumumba-ep6ic
      @Lumumba-ep6ic 6 годин тому

      Dereva dereva alishirikishwa katika njama za mauaji mapema.kwa hide alikuwa akijua kinachoendelea.na indigo mana ata hakupata jeraha

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 години тому

      Hata ajali mbaya huwa kuna wanaosalimika. Mf. Titanic au ndege nk

  • @MLIMAWASAAYAUSHINDI
    @MLIMAWASAAYAUSHINDI 2 дні тому +1

    Hadileo imejulikana kwasababu kma unaweza kukataa watu kuandamana kudai hakizao ila ukashindwa kulinda watu wako nibonge la tatizo ila kitajulikana

  • @DidakalalaCostantine
    @DidakalalaCostantine Годину тому

    😮..

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 8 годин тому

    Nyie jamaa huwa hamna current news

  • @josephgoodluck8812
    @josephgoodluck8812 5 годин тому

    Tatizo sio sisi wa African, Bali tatizo Lipo kwao wazungu, Wana tulazimisha tujione wajinga wasio na elimu, Wana tulazimisha tujione maskini, akija kiongozi akasema tubadulike sisi sio maskini na sio wajinga tujitegemee hawapendi, mfano alikuwepo Muamar Gadafi, wakachukia wakamuua, akaja Magufuli Tanzania akasema sisi sio maskini na tuache kutegemea vya wazungu, pia hawakupenda. Hakuna Rais atakekuja kuwaambia wa Africa kuwa sisi si wajinga na sio maskini wakakubali, lazima wamfanyie zengwe.

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 дні тому +1

    Muongo huyo maelezo yake tu hayana maana

    • @jeffmap4038
      @jeffmap4038 2 дні тому

      ulipenda aonge nini cha kukufurahisha

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому +2

    Haiwezrkani ipigwe risasiI upande wako wa kulia usipate jeraha hata moja

    • @barakabusima
      @barakabusima 2 дні тому

      Wewe naye kwani hauelewi wapi kasema hilo eneo kuna walinzi na cctv camera zipo wapi

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 дні тому

    Ilikuwa je dereva aende Nairobi na ikuwaje miezi 4 usirudi Tanzania na kwanini nani nani alie mshauri aende na yeye ubelgiji

  • @simpleboytz255
    @simpleboytz255 2 дні тому

    Taarifa ya zamani

  • @Hassang3z
    @Hassang3z 2 дні тому +1

    We ndo ulimpiga na wenzako

    • @jeffmap4038
      @jeffmap4038 2 дні тому

      nadhani utakuwa kichwani haupo sawa.

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 дні тому +2

    Unahusika wewe

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 15 годин тому

    Haya alitasema siku nyingi. Sasahivi hana mwonekano huo. Yiko kivingine kabisa.

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 2 дні тому +1

    Watu Wapumbavusa Wanao Mshutumu huyu Jamaa
    Angekuwa Yupo kwampango ule Wangefanikisha Zoezi
    Jiulizeni tu Camera zilienda wapi alafu Siku hiyo walinzi waliend wapi

    • @lusajomwakajoka4955
      @lusajomwakajoka4955 2 дні тому

      camera lakin c zilion aliyekata jicho

    • @idrisakyone
      @idrisakyone 2 дні тому

      Kuna baadhi ya watu wanatulazimisha cc wtz tuwe wajinga kiasi wanavyota wao.
      1. Lissu aliripoti police kuwa anafuatiliwa.
      2.Getini hapakuwa na walinzi cku hiyo.
      3. Kamera ziliondolewa baada ya tukio.
      4. Huduma za kibunge zikazuiliwa.
      5. Kufutwa ubunge.
      6. Wazri mkuu aliwahi kumjibu Mbowe bungeni kuwa hakuna haja ya kuleta vyombo vya nje kuchunguza bali tuwe na imani na vyombo vyetu vinaendelea na uchunguzi, lkn hadi leo ni 0000!!
      Tafadhali jamani mnaonufaika na ukatili kupitia nafasi mlizonazo msitulazimishe kula vinyesi vyenu mnavyo comment.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 дні тому +1

    CCTV ndo msema ukwel kwann polis wasiitumie kuchunguza

  • @gastonjohn537
    @gastonjohn537 2 дні тому

    Nyinyi vilaza mnataka ushahidi upi?

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +1

    Kwanini hukupiga simu polisi kabla kuomba msaada baada ya kuona mnafuatiliwa kwa muda mrefu?

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 2 дні тому

      Mwongo lisu walimtobolea sehem nyingine ndowakaenda pale huu niwongo

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 2 дні тому

      Dereva wa lesu anajua kwamba walipanga na lisu mwenyewe nawazungu wa u erigiji

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 дні тому

      ​@@EmmanuelMlowe-u1vKwani Lissu kafa au yupo hai? Yy ajui alishambuliwa wapi?

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 3 дні тому +1

    Muda hausemi uongo iko siku litajulikana tu.

  • @godshanthomas3297
    @godshanthomas3297 День тому

    Huyu fala kweli kutoa maelekezo police ni shida mpaka unajificha akili ya dereva sijawahi kua nzuri

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому +1

    Huwezi kuacha kumwambia mtu Mlipewa naye kwenye gari Kama Unaona hali ya hatari. Umeendesha mwendo mrefu na adui nyuma yako ukakaa kimya? Kwa mini?

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 День тому

      Hili swala la cctv linafumbiwa macho wal halitolewi maelezo na vyombo vya usalama kwa niniiiiiiiiii

  • @abilahyusufu9001
    @abilahyusufu9001 2 дні тому +1

    Km ilikuwa unaona Hari zinakufuata kwann haumwambia boss waki?

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 2 дні тому

    Vilaza sisis tunataka dereva atwambie ni kwa nini hakutoa taarifa police na wala kumwambia boss wake kuwa kunawatu wanamfuatilia,na kwa nini hakujitokeza wakati police wanataka atoe ushahidi wa tukio na vije risasi ilipigwa upande wake ila yeye hakuguswa hata moja sinazosemekana zilikiwa 16.?.kama yeye hausiki?

    • @BakariKibauri-qh7gf
      @BakariKibauri-qh7gf День тому

      Hivi unajielewa kweli yan akatoe maelezo ili naye afe nawakat waliohusika ni haohao

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +1

    Wongooooo

  • @MohsenAljahwary
    @MohsenAljahwary 2 дні тому

    Wewe ni muongo uje kwenye vyombo vya usalama "polisi" ili utoe ushirikiano ili kijulikane.

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 2 дні тому

    Hii story ni true kijana ndio shahidi mkubwa katika hilo tukio kiufupi serikali ya tanzania aibu sana kwa Mbunge wao Tundu Antiphas Lissu kushambuliwa area ya security services Dodoma VIP area,huyu jamaa kama angelikuwa tanzania angepigwa sindano ya sumu kupoteza ushahidi,kwanini serikali haitaki waje FBI,SCOTLAND YARD,NA INTERPOL INTERNATIONAL CRIME ?
    hawataki kuruhusu uchunguzi wa wataalamu wa kimataifa

    • @reginas1832
      @reginas1832 День тому

      Hawawezi kuruhusu maana ndiyo wahisika

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому

    Usiseme tulishajua tunafuatiliwa wakati umesema hukumwambia boss kuwa mnafuatiliwa. Kwa hiyo hakujua

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 3 дні тому +1

    Sasa dereva alijificha kwa nini? Sababu alikuwa anatafutwa japo anasema alikuwepo.

  • @MaulidiAbdala-v6c
    @MaulidiAbdala-v6c 2 дні тому

    Inakuwaje hii habari ni ya kitambo naiyona hapa eti imetoka masaa tisa iyopita??? Acheni uhuni. Mnatumalizia pesa zetu tuuu.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 2 дні тому

    Nani aliwatoa walinzi.
    Na nyumba waliyoikaa ikilindwa masaa 24 nani alimtoa. Ni kikosi ulinzi gani kilichokuwa kinahusika kuwapanga walinzi na kuwasambaza. Nani siku hiyo.mlinzi wa gatini, ni nani alimpigia simu asiende, au nani alimwondoa ule mchana.

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 дні тому

    Unatupanga tu

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 дні тому

    Mbona kama hii video ni yazamani.

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +2

    Umesubiri dakika kumi kwenye hatari bila hata kuita polisi? Haileti maana. Kuna kitu kimejificha

  • @JosephJackson-f1s
    @JosephJackson-f1s 2 дні тому +1

    Lakini walio husika mtaumbuka sana watakufa wao LISU watamwacha duniani mungu ndo anajua ila swala la LISU ccm mehusika siyo bure kwa sababu serikali walikataa kumtibu magufuli ni jembe lakini kwa hili la LISU nilimzarau kabisa

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +1

    Yaani hukumwambia boss wako Lissu wala kuomba msaada polisi wala hukuumia wala japo risasi zilipigwa upande wako

  • @dennislihepa2247
    @dennislihepa2247 День тому

    Bado kunashida alipaswa kuondoa gari haraka hapo walisubiri hatari

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 дні тому

    Chuma hichi kapewa ungo sasa

  • @asbornkaduga6001
    @asbornkaduga6001 3 дні тому +2

    Sanaa hiyo,mguu wa kulia ulipigwaje risasi wakati gari lilitobolewa kushoto?

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 3 дні тому +1

      Swali zuri sana

    • @jeffmap4038
      @jeffmap4038 2 дні тому

      unapokuwa unahisi kitisho sura huwa unaelekeza wapi juu au chini. Alijeuka na kuelekeza sura chini. hivyo hakuwa tena amekaa alilala kwa tumbo maana siti ya gari walinyosha na ndio maana majeraha hayakua juu ya tumbo yalikuwa chini ya kiuno. na wahalifu hawakujua hilo ndio maana walihangaika kupiga upande ule wa mbele kwa abiria.

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman303 3 дні тому +1

    Mbona kama maelezo ya kutunga hayo unatafuta maneno

  • @NelsonMwaipaja
    @NelsonMwaipaja 2 дні тому +1

    Nimepitia comment humu watu wanarahisisha wengine mnacheka sababu hayajawakuta ishu ya mh.lissu sio la mzaha

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 2 дні тому +1

    Kwaiyo mnataka kusema amejipiga risasi ua??😢😢

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 2 дні тому

    MANYUMBU NATION

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 дні тому +1

    Kwanini hukuja Tz kuhojiwa? Kama unajiamini.
    Maelezo hairidhishi