Aaaaaah diwani kajitakia mwenyewe na hicho kimtangazaji kina kiherehere sana sasa amekutana na Sheikh nasoro bachu mdogo ila tulilia sana kwa kufariki sheikh nasoro ila ALlah kaleta mbadala wake MashaAllah namkubali sana sheikh muhadith Muhammad bachu حفظه الله
Umeeleza kwa utulivu na hekma kubwa Ma shaa Allah. Allah aendelee kukupa utulivu zaidi ili kubainisha uongo wa wapotoshaji. Wanapotosha kwa kutaka sifa na maslahi yao
Muhammad bin Bachu. Masheikh wa bakwata njaa had. Alhad no yussuf na wezake wahuni. Wanatakiwa wastaghafiru kwa Allah allah tunusuru allah waoneshe Njia iliyoo booka. Bachu Allah akuepushe na husda
Sheikh tulikua pamoja na babaako na saiv tupo pamoja na ww simama na haki twahitaj ilimu sio ushabiki..mtume alisema watu watatamani vyeo kisha watavitumia vibaya ndio kama hv....juz kati hapo tuliskia ashindwe katika jina la yesu leo hii tunaambiwa haleluyah...subhaaanallah
SubhanAllah...kama maneno haya ni ukweli basi hii... Ni aibu kwa sheikh Diwani na jopo lake... Basi wamuogope Allah....wao be msamaha.. Allah anasamehe...
Allah nikiongozi ya wale walioamini huwatoa katika giza Na kuwapeleka katika noor Mohammed bachu Allah akupandishe daraja za juu Na awashushe masheikh kama hawao wanafi
Mshllh sheikh mtt WA shkh bachu Uciwakosoe Kwa mitandau Wafuate pengine shetwan kamchukuwa mkamilif Allah Anaona Hy kukubali km kakosea Kulingana na cheo chake Na walojibu pia wanakosea HT ulimkosoa zuneldin Ni kweli alikosea mfuate muislam mwenzio kuliko ktk mitandao Wafuate wanao kosea au watume wazee wamfuate Kuliko kuwasdhir na utapata hasad ndugu yngu Kwa Ajili ya Allah
Nime jifunza mengi kutoka kwa mashekhe ulio warekebisha. Lakini kila uliye mrekebisha, umetoa hoja wazi ambazo mtu yeyote anaye elewa lugha uliyotumia , amejua ukweli uko wapi . Watakuita majina tofauti lakini haki haifichiki. Jazakallahu khaira.
Wallah saiv masheikh wetu wanatumia cheo chao kujinufaisha kwa watu subhanallah tena huyu sheikh wa mkoa mara nyingi anakosea tena kukiuka kbs misingi ya kiislam kwa kweli ni mtihan sjui wanatuelimisha nn jamii
Umejibiwa hiyo ni lugha ya ki ibraniaa,shekh Bachu hem jitahidi kufanya tafiti kwanza kabla ya ku kosoa watu,tena uliambiwa elimu ni bahar weye ukisema umesoma kuna waliosoma zaidi yako,jitahidi kujifunza kwa kupata elimu,jifunze lugha nyingi utapata mengi in sha Allah..
Shekh Hawa qatu wa bidaaa waltudanganya sanaa nahıc sasa uongo wao mungu anawabaınısha vıjana hatutakı tena ujınga wala misaa ktk din ya Allah hatıangalii mzee cheo wala nn ukıpotosha tunakuweka sawa tu ( rad za elimu ) Allah akulunde Muhmmad Bachu Na amrehem mzee wetu Bachu ilm aliyokuachıa inatosha sana kuutengeneza umma huu!
Kuwa shekhe is daraja kubwa kwa mungu. Haya mnayojadili mtandaoni ni mambo yanahusu dini. Mwenyezi mungu amebainisha katika quran kwenye kuhitalifiana. Ningeomba mashekhe mjadala huu ufanyike nje ya mtandao na wanaohusika. Tukumbukeni kuwa binadamu atakaye msitiri binadamu mwenzake, mungu atamsitiri duniani na akhera.
Allah Akupe Nguvu na Afya Sheikh Mohammad ktk kutetea Haki Sisi tunaofuatilia Hizi hoja Tuna Akil na uchache Wa kusoma ila Kwa Kutumia Akili Ndogo Tu Unapambanua na jibu Unalipata. Tunafuata Quraan na sunna za bwana mtume Sio Mtume issah A.s na Paul. Msiba mzito huu
Mashaallah, Fadhilat Sheikh Moh'd Bachu, Allah atuhifadhi. Kwa upande wangu umeelezea vizuri sana mwenye kuelewa na aelewe na mwenye kupinga na apinge. Huyu Shehe wa mkoa Alhad Mussa kiukweli simwamini na ni muongo muongo sana, kwa minajili ya alichokiongea Je tukiwaslimisha Wakristo kuingia katika Uislam wakati wa kuslimu tuwaambie waseme Haleluya? Alhadi Mussa ni mtetea tumbo. Faqat.
Mnatuchnganya mamuma wenu aleluya mana yake mtujalie tujue mana hata mtu asiye jua kizungu ukimwambia God hawezi jua kama unamanisha ni ALLAH TATIZO LUGHA
Hao wote bakwata wanajulikana vibarakatu wajuwetu kwa Allah hakuna kibaraka nihukumutu manaake unajuwa hasa yeye nuuyo mweziwe kama wametumwa unawahisi wanachuki naubinafsi Allaa awaongowe muache kutumiliwa.nahuwo unafki muache domana waislam Tanzanian wanateswasana wanafik niwengisana wananjificha kwakutumiya dini kube niwanafik nawazushi wengine watazuka sihaotu mana wapo wengi watu waainahiyo wanao tetea maovu Allah atupe mwisho mwema AMEEN
Masha Allah! Kwanza wajifunze kutoka kwako namna yakujibu. Iko dhahiri walivyo kujibu hawakuja kutufahamisha bali wamekuja kuku gombeza. Allah yu pamoja nawewe na usiwakubaloe watu kama hao kuja kupotosha uma Allah akulinde nachuki na wanao kutakia mabaya
Ma Sha Allah ammi,wwe ammi sema tu kweli coz unajuwa Allah atakupa nni kwa dunia na ahera,kitu ya pili ammi fundisha vijana wenzako pia wapite hapo hapo ammi,Baraka Allahu fiik
Allah tujaalie sisi na mashekhe wetu...uwasamehe....Yusuf diwani na shekhe wa mkoa...wanababaika na dunia ..tizama tunavopotoshwa...sijui tunaelekea wapi...hata mimi nilioishia tabbatiada..sikubali kwa kauli hiyoo
Allahu Akbar, hawana hoja, ila kupotosha umma, hawaogopi siku za hesabu, siku hiyo wala mama, baba hawatakusaidia ila amali zako, na wawo wanamtetea sheikh wao, Muogopeni Allah.
DAAAH SIO HILO TUU ALIFIKA HATAA KUOMBA DUWA KWA JINA LA YESU KWAKWELII SHEKHE. AL HADI MKUUWA MKOWA YUMO YUMO TUU HASAA.AKISHAWAONA ILEE MI BWANA ZAKE WA SERIKALI YA C.C.M NDIO KABISAAAA AKILIYAKE HUWA HAIFANYI KAZI Shek wetuu ndugu yetu MUHAMMAD BACHU hao mashekhe wa serikali haoo wapo hapo kusaka tonge tuu za mitumbo yaoo
Kamwe watu wa bid'aa hawawezi kuwa sawa na wenye kuipinga bid'aa kwa kuwa wenyekupinga wana elimu na kila wanalosema na ushahidi juu .wazi kabisa.HAWA NI WAGANGA ,BATILI NA HAKI WANACHANGANYA SANA .HAWAJALI KABISAAAA KUMCHA ALLAH.
Haki uondowa batwili elimu safi ufuta Elimu chafu...nakuelewa sana sheikh kila unapokosowa wenzako elimu yako iko wazi kabisaa na Yeyote aliepitia masomoni anaelewa nani mjanja wakupigania masilahi...kawaida ukichanganya msilahi na ukweli wakati wote lazima uteleze.....
Jamani hebu mda mwengine tuache ushabiki tusome ikiwa kweli wewe unaweza kusoma maandishi yakiarabu na umemfuatilia mwanzo hadi mwisho basi utaona neno hilo lilivyo tafsiriwa ktk kamusi la kiarabu na limeandikwa vyema kabisa na limeelezewa kua neno HALLELUJAH/HALELUYAA (هَلِّلُوْيَا) nineno la kiibraania kwa lugha ya kiarabu ni HALLILUU (هَلِّلُوْا) kwamaana semeni: "Laa Ilaaha Illa Allaah (قُوْلُوْا: لَا إِلَهَ إِلَّا الله)" Nikama vile mtu kusema kwakiarabu: "SABBIHUU (سَبِّحُوْا)" yaani semeneni: "SUBHAANA ALLAAH (قُوْلُوْا: سُبْحَانَ الله)". Kwahio hio ndio hali tusomeni nasio kufuata tuu mkumbo naushabiki ili kutafuta umaarufu
Wallah sheikh hojazako ni nzito wameshindwa kuzivunja,wanatetea unga wao,lakin kaburin Kila mtu ataenda kivyake,Diwani acha mzaha,Allah anakuona,kama aleluya ni lailla ilaha.....mbona mnawalingania wkrsto kuslmu??nyinyi niwanafik wallah,ombeni toba kabla muende akhera,sheik Nasoro uko swa shikilia apo
Hao wanatetea maslah ya matumbo yao nasio din ya allah ,na huyo mtangazaji asilete ushabiki kwene mambo yadini tutashughulishwa na makafir hadi kiyama kwa kutopendana nakutetea wakubwa
MashaaAllah Sheikh Muhammad ....Wikipedia habari zake nyingi sio maneno swahihi....na hio haleluya kwa maandisha ya kiarabu bila shaka imefasiriwa na warabu wakiristo ili kuwapoteza waisilamu.
Ma Shaa Allah sheikh Mohammed bachu kwa hakika nimefaidika na hoja zako zilizo na yaqini 🙏🏼Allah akuzidishie elimu Na pia nimependa ile punch ya kuchanganya miziz ya dawa za kienyeji 😂😂
Nasema kumwambia alhadi musa kama alivo sema imaam ahmad kuwaambia masheikh wa muutazila عزيزٌ عليّ أن تُذيبَ الدنيا أكباد رجالٍ وعت صدورهم القرآن Naona uzito sana nakuhisi uchungu kuiona dunia inayeyusha maini ya watu ambao vifua vyao vimebeba QUR'AAN ...
Ustath muhammad bachu upo kweny haki. Huyu yusuf bachu nilikuwa namkubali sana ila kwahili nimeshamtoa katika watu ninaowakubali , jaman nyinyi ndo maustadh vioo vyetu kama mtume alivosema , sasa kama ndo kwamtindo kulinda maslah mnatupeleka wapi? Jaman subuhanallah muogopen allah
Aaaaaah diwani kajitakia mwenyewe na hicho kimtangazaji kina kiherehere sana sasa amekutana na Sheikh nasoro bachu mdogo ila tulilia sana kwa kufariki sheikh nasoro ila ALlah kaleta mbadala wake MashaAllah namkubali sana sheikh muhadith Muhammad bachu حفظه الله
Umeeleza kwa utulivu na hekma kubwa Ma shaa Allah. Allah aendelee kukupa utulivu zaidi ili kubainisha uongo wa wapotoshaji. Wanapotosha kwa kutaka sifa na maslahi yao
Nikweli kabisa
@@kawtharalbarwani1337 assalaamualykum
@@arqamibnarqam.7185 Aleykum salam
SubhanAllah kwakwel nimswiba naniajabu sana
Hoja zako zimesimama na kueleweke Sheikh. Baaraq llahu fiiqa.
Subhanna allah Mashekh wanaharibu dini asa kulikuwa na haja gani sisi kuwafanyia daawa wasiokuwa waislamu
Muhammad bin Bachu. Masheikh wa bakwata njaa had. Alhad no yussuf na wezake wahuni. Wanatakiwa wastaghafiru kwa Allah allah tunusuru allah waoneshe Njia iliyoo booka. Bachu Allah akuepushe na husda
Sheikh tulikua pamoja na babaako na saiv tupo pamoja na ww simama na haki twahitaj ilimu sio ushabiki..mtume alisema watu watatamani vyeo kisha watavitumia vibaya ndio kama hv....juz kati hapo tuliskia ashindwe katika jina la yesu leo hii tunaambiwa haleluyah...subhaaanallah
Allah akuhifadhi shaykh Kazi uifanyayo Ni nzito sana waislamu tumuombee thabat yeye na mashaykh wengine wa haki
SubhanAllah...kama maneno haya ni ukweli basi hii... Ni aibu kwa sheikh Diwani na jopo lake... Basi wamuogope Allah....wao be msamaha.. Allah anasamehe...
Allah nikiongozi ya wale walioamini huwatoa katika giza Na kuwapeleka katika noor Mohammed bachu Allah akupandishe daraja za juu Na awashushe masheikh kama hawao wanafi
Namkubali she muhamad bachu Allah akuzidishie ghelimu ili uzid kuongoza wasio jua dini vizuri
Jazakaallah khair,,,, Mwenyezi Mungu akujaze kila l kheri khekh Muhammad Bachu kwa ubainifu huo... Inshaallah
Subhanallah, wameshikh wanapotosha bila uoga, 😢! Sheik Mohammed Allah Akuhifadhi
Kuna shida kwenye swarfu kwa mashekhe wa bidaa...shukran shekhe Allah atakulipa
Shekh mwenyezi Mungu akupe Elimu zaidi ili uendelee kutuelimisha.
Allah akupe wepesi inshallah sheikh Mohammad ameen
Mungu tupe wepes tusio na elimu..
Sheikh nimekuelewa vizur umetema point
Laa ilaha ila LLAHU
Muhammada Rasulu LLAHU.
ALLAH ATUJAALIE KAUL THABIT..
ATUJAALIE MWISHO MWEMA
AMIN
Masha Allah shekh Mohammad waelimishe, kwa hakika Haq na baatil havikai pamoja.
ALLAH akulinde na hasadi na akulipe kheir na akujalie mwisho mwema inshaallah Amiin
🤲AMIIN YA RABI
amiiiin
Sheikh Allah akuhifadhi uzidi kutetea katika njia ya Allah
MashaAllah! May Allah protect and preserve you and increase you in knowledge. Continue to defend the religion of Allah.
Mshllh sheikh mtt WA shkh bachu
Uciwakosoe Kwa mitandau
Wafuate pengine shetwan kamchukuwa mkamilif Allah
Anaona Hy kukubali km kakosea
Kulingana na cheo chake
Na walojibu pia wanakosea
HT ulimkosoa zuneldin
Ni kweli alikosea mfuate muislam mwenzio kuliko ktk mitandao
Wafuate wanao kosea au watume wazee wamfuate
Kuliko kuwasdhir na utapata hasad ndugu yngu Kwa Ajili ya Allah
Nime jifunza mengi kutoka kwa mashekhe ulio warekebisha. Lakini kila uliye mrekebisha, umetoa hoja wazi ambazo mtu yeyote anaye elewa lugha uliyotumia , amejua ukweli uko wapi . Watakuita majina tofauti lakini haki haifichiki. Jazakallahu khaira.
sikuzote salafi n suni niwatu wahaki najivunia kuwa salafi hata watu waikashifu vipi lakini waliesoma wanajuwa kinanani wanasema kweli
Maaa Shaaa Allah!
Sheikh Allah akupe nguvu na elimu zaidi kubainisha ukweli
Sheikh Muhammad Mia fil Mia uko sawa
Masha Allah Allah atakulipa elimisha jamii shekhe tunaona matunda ya shekhe Nassoro
subhanallah ndugu zanguni waislamu hawa majamaa wa Bakwata ni wapotoshaji na wako kimaslah waliojificha wala msipate tabu
Wallah saiv masheikh wetu wanatumia cheo chao kujinufaisha kwa watu subhanallah tena huyu sheikh wa mkoa mara nyingi anakosea tena kukiuka kbs misingi ya kiislam kwa kweli ni mtihan sjui wanatuelimisha nn jamii
Umejibiwa hiyo ni lugha ya ki ibraniaa,shekh Bachu hem jitahidi kufanya tafiti kwanza kabla ya ku kosoa watu,tena uliambiwa elimu ni bahar weye ukisema umesoma kuna waliosoma zaidi yako,jitahidi kujifunza kwa kupata elimu,jifunze lugha nyingi utapata mengi in sha Allah..
Subhanaallah walai wanawapoteza ummah mungu atuongoze kwa kilaa mwenye kutaka uongofu
Ni kweli subhanallah hawamuogopi Allah
Masha Allah shekhe wetu muhammad bachu upo vzuri usibishane nao hao hata kusoma qur an hawajui unabishana nao nn achana nao
Shekh
Hawa qatu wa bidaaa waltudanganya sanaa nahıc sasa uongo wao mungu anawabaınısha vıjana hatutakı tena ujınga wala misaa ktk din ya Allah
hatıangalii mzee cheo wala nn ukıpotosha tunakuweka sawa tu ( rad za elimu )
Allah akulunde Muhmmad Bachu Na amrehem mzee wetu Bachu ilm aliyokuachıa inatosha sana kuutengeneza umma huu!
Yussuf Diwani wewe huna mpya...wafundishi wanao hiyo haleluya
Kuwa shekhe is daraja kubwa kwa mungu. Haya mnayojadili mtandaoni ni mambo yanahusu dini. Mwenyezi mungu amebainisha katika quran kwenye kuhitalifiana. Ningeomba mashekhe mjadala huu ufanyike nje ya mtandao na wanaohusika. Tukumbukeni kuwa binadamu atakaye msitiri binadamu mwenzake, mungu atamsitiri duniani na akhera.
Allah Akupe Nguvu na Afya Sheikh Mohammad ktk kutetea Haki Sisi tunaofuatilia Hizi hoja Tuna Akil na uchache Wa kusoma ila Kwa Kutumia Akili Ndogo Tu Unapambanua na jibu Unalipata. Tunafuata Quraan na sunna za bwana mtume Sio Mtume issah A.s na Paul. Msiba mzito huu
Masha Allah akhy Muhammad,,, tusome kwaajili ya Allah.JazakAllah kheyr
Mashaallah, Fadhilat Sheikh Moh'd Bachu, Allah atuhifadhi. Kwa upande wangu umeelezea vizuri sana mwenye kuelewa na aelewe na mwenye kupinga na apinge. Huyu Shehe wa mkoa Alhad Mussa kiukweli simwamini na ni muongo muongo sana, kwa minajili ya alichokiongea Je tukiwaslimisha Wakristo kuingia katika Uislam wakati wa kuslimu tuwaambie waseme Haleluya?
Alhadi Mussa ni mtetea tumbo. Faqat.
Mashallah jazakaAllah kheir sheikh Muhammad bachu
Mashaallah Mashaallah Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bacho akuzidishiye ilmu Mungu akulinde in inshaallah..kutoka Kenya khadija said Nahdi mld
Allah awabariki mashekh wetu na awasamehe makosa yao
Amina kwa sote pia ww ndiyo umesema pwent alkamalu llah mkamilifu ni Allah pekee sote tunamapungufu
Allah atie taufiq maneno yako shekhe wangu
Mnatuchnganya mamuma wenu aleluya mana yake mtujalie tujue mana hata mtu asiye jua kizungu ukimwambia God hawezi jua kama unamanisha ni ALLAH TATIZO LUGHA
Sheikh Mohammed bachu ww uko vzr saana allah akulipe kwa hili inshaallah kwan unafanya kitu ambacho ni bora kwa ummah wote wa uislam
Hao wote bakwata wanajulikana vibarakatu wajuwetu kwa Allah hakuna kibaraka nihukumutu manaake unajuwa hasa yeye nuuyo mweziwe kama wametumwa unawahisi wanachuki naubinafsi Allaa awaongowe muache kutumiliwa.nahuwo unafki muache domana waislam Tanzanian wanateswasana wanafik niwengisana wananjificha kwakutumiya dini kube niwanafik nawazushi wengine watazuka sihaotu mana wapo wengi watu waainahiyo wanao tetea maovu Allah atupe mwisho mwema AMEEN
😃😃😃 mashaallah mtoto wabachu uko vzr
Subhanallah wanapotosha umma bila kumuogopa Allah
Kweli kabisa sheikhe watoe andiko
Masha Allah! Kwanza wajifunze kutoka kwako namna yakujibu. Iko dhahiri walivyo kujibu hawakuja kutufahamisha bali wamekuja kuku gombeza. Allah yu pamoja nawewe na usiwakubaloe watu kama hao kuja kupotosha uma Allah akulinde nachuki na wanao kutakia mabaya
Ma Sha Allah ammi,wwe ammi sema tu kweli coz unajuwa Allah atakupa nni kwa dunia na ahera,kitu ya pili ammi fundisha vijana wenzako pia wapite hapo hapo ammi,Baraka Allahu fiik
Allah tujaalie sisi na mashekhe wetu...uwasamehe....Yusuf diwani na shekhe wa mkoa...wanababaika na dunia ..tizama tunavopotoshwa...sijui tunaelekea wapi...hata mimi nilioishia tabbatiada..sikubali kwa kauli hiyoo
Sheikh Mohammed bachu Allah akulipe kheri Aamiin ya rabb
Masha Allah.....Allah atakulipa
Nimekuelewa vzr
Allah akulipe kher shekh wangu
Sheikh washakuelewa Kama hawajakuelewa mm nimekuelewa ukweli huwahauhitaji nguvu nyingi barakallahufik walasisifa yaukweli kupendwa na watu Zama hizi
sheik hawa mashehe tumbo usiwawache kwa uwezo wake Allah wanapotosha uma na namin hwana cha kujibu dah!!
safii sana ngongaa misumariii humohumoo mpk waelewee
Nakubari sheikh wangu uko saii kabisa sio ao masheikh ubwabwa
Allah atuongoze sote katika njia ya HAKI
Na sheikh bachu Allah akuhifadhi
Allahumma ameen
Maana ya aleluya kwa kiebrania, kiswahili ni mungu mkubwa au (wa juu) Kama sijakosea
Toa ushahid
Shekh nakupenda kwaajili Allhwa.safi sana kwa elimu yako Mungu akulipe kwa elimu yako ya kheri.
Ma shaa Allah shekh bachu,na hao wengine Allah atawalipa kwa wanachokitafuya maana kupotosha umma ni jambo kubwa kwa Allah
Ma sha Allah tumeielewa vizuri tupo tunasubiri maana sahihi kwa hao wliotumwa na yy mwenyewe msemaji pia alhadi ili tupate kuelewa
Ewe ALLAH tuwekee Kijan huyu na umhifadhi na pia utuletee vijana wengine wengi kama huyu kwa maslahi ya uislamu na waislamu
Amin
Daah huyu Yusuf diwani nimpotoshaji sana
Allaah azidi kumuongoza kwakweli
ما شاء الله تبارك الرحمن محمد باش
Allahu Akbar, hawana hoja, ila kupotosha umma, hawaogopi siku za hesabu, siku hiyo wala mama, baba hawatakusaidia ila amali zako, na wawo wanamtetea sheikh wao, Muogopeni Allah.
Tuko pamoja ostadh mohammad Allah akuhifadhi
Alla akuzidishie elimu uzidi kutuelumisha inshaallah
Shekh yoyote aliejiriwa kwenye serekal ya kikirosto bas uyo anatetea tumbo lake tu
Swadaqta sheikh wng Mohammed Nassoro , Mungu akulinde na akupe umri uzidi kutufikishia Nasaa
Mashallh alaa akuhifathi
DAAAH SIO HILO TUU ALIFIKA HATAA KUOMBA DUWA KWA JINA LA YESU KWAKWELII SHEKHE. AL HADI MKUUWA MKOWA YUMO YUMO TUU HASAA.AKISHAWAONA ILEE MI BWANA ZAKE WA SERIKALI YA C.C.M NDIO KABISAAAA AKILIYAKE HUWA HAIFANYI KAZI
Shek wetuu ndugu yetu MUHAMMAD BACHU hao mashekhe wa serikali haoo wapo hapo kusaka tonge tuu za mitumbo yaoo
Kamwe watu wa bid'aa hawawezi kuwa sawa na wenye kuipinga bid'aa kwa kuwa wenyekupinga wana elimu na kila wanalosema na ushahidi juu .wazi kabisa.HAWA NI WAGANGA ,BATILI NA HAKI WANACHANGANYA SANA .HAWAJALI KABISAAAA KUMCHA ALLAH.
Bakwatt njaa inawafanya kumsahau mungu kuposha waislam
Maashaallah sheikh type vitu usikate tamaa
Haki uondowa batwili elimu safi ufuta Elimu chafu...nakuelewa sana sheikh kila unapokosowa wenzako elimu yako iko wazi kabisaa na Yeyote aliepitia masomoni anaelewa nani mjanja wakupigania masilahi...kawaida ukichanganya msilahi na ukweli wakati wote lazima uteleze.....
Jamani hebu mda mwengine tuache ushabiki tusome ikiwa kweli wewe unaweza kusoma maandishi yakiarabu na umemfuatilia mwanzo hadi mwisho basi utaona neno hilo lilivyo tafsiriwa ktk kamusi la kiarabu na limeandikwa vyema kabisa na limeelezewa kua neno HALLELUJAH/HALELUYAA (هَلِّلُوْيَا) nineno la kiibraania kwa lugha ya kiarabu ni HALLILUU (هَلِّلُوْا) kwamaana semeni: "Laa Ilaaha Illa Allaah (قُوْلُوْا: لَا إِلَهَ إِلَّا الله)"
Nikama vile mtu kusema kwakiarabu: "SABBIHUU (سَبِّحُوْا)" yaani semeneni: "SUBHAANA ALLAAH (قُوْلُوْا: سُبْحَانَ الله)".
Kwahio hio ndio hali tusomeni nasio kufuata tuu mkumbo naushabiki ili kutafuta umaarufu
Wao na huu umma wa sasa wanafauata maneno ya paulo au ya nabii issa watuambia na hilo
MashaaAllah Sheikh hawakuwezi na endelea kutuelimisha....Allah akuhifadhi sheikh wetu. Fajazakumullah khairan 😊
ua-cam.com/video/CAsuLvp32n4/v-deo.html
Allah tuongeze njia ilionyooka,
لا شك فها hao wametumwa ila hoja zako sheykh zimenyooka na zinaeleweka sana
Allah akuifadhi kaka yangu ukweli utazidi kuwa ukweli
Sheikh nimekukubali kwa ufafanuzi. Na nimeamini hata wale walio itia mikono taurat hakika walianza kama hawa mashehe wa mkoa. Umefanya sahihi sheikh
Alhamdulillah,Sheikh Sabas Kubra,alimaliza mzozo wa Haleluya.
Wallah sheikh hojazako ni nzito wameshindwa kuzivunja,wanatetea unga wao,lakin kaburin Kila mtu ataenda kivyake,Diwani acha mzaha,Allah anakuona,kama aleluya ni lailla ilaha.....mbona mnawalingania wkrsto kuslmu??nyinyi niwanafik wallah,ombeni toba kabla muende akhera,sheik Nasoro uko swa shikilia apo
Limekoseya Diwani...eti amekuja kukutega linajizimuwa ....tubiya baba uwendako sikuzurihuko unamkoseya Allah...Bachu wawekesawa masufuhawo wazee wa bidaaaa
Mashaallah umeeleza tu vizuri ila vizuri mungerekebishana uko kando masheikh wetu mutafutane muelezane lakini ivi sio poa
Mashaalllah
Shekh wa mkoa kakosa kijana Mohammad umepata
Hao wanatetea maslah ya matumbo yao nasio din ya allah ,na huyo mtangazaji asilete ushabiki kwene mambo yadini tutashughulishwa na makafir hadi kiyama kwa kutopendana nakutetea wakubwa
MashAllah,umeongea kielimu.
Nikweli, ninani anasilimishwa akaa mbiwa sema aleluya?
Subhaana Allah na hii ndio hatari ya ahlul bidaa😱😱Yaani wanaishi kwa kuwasifu ulamaa wa kisufii ndio waishi
MashaaAllah Sheikh Muhammad ....Wikipedia habari zake nyingi sio maneno swahihi....na hio haleluya kwa maandisha ya kiarabu bila shaka imefasiriwa na warabu wakiristo ili kuwapoteza waisilamu.
Ma Shaa Allah sheikh Mohammed bachu kwa hakika nimefaidika na hoja zako zilizo na yaqini 🙏🏼Allah akuzidishie elimu
Na pia nimependa ile punch ya kuchanganya miziz ya dawa za kienyeji 😂😂
Akhuy sheikh muhammad Allah akuhifadhi na akupe nguvu zaid na elimu kubwa zaid. IPO SIKU WATAKUELEWA VIZUUURI
Nasema kumwambia alhadi musa kama alivo sema imaam ahmad kuwaambia masheikh wa muutazila
عزيزٌ عليّ أن تُذيبَ الدنيا أكباد رجالٍ وعت صدورهم القرآن
Naona uzito sana nakuhisi uchungu kuiona dunia inayeyusha maini ya watu ambao vifua vyao vimebeba QUR'AAN ...
نستفيد والله، بارك الله فيك وأطال الله بقائق
Hakika ya waladiy ibnu khamisi
@@kongasaidi545 maa shaa Allah upo kumbe mzee
Ustath muhammad bachu upo kweny haki. Huyu yusuf bachu nilikuwa namkubali sana ila kwahili nimeshamtoa katika watu ninaowakubali , jaman nyinyi ndo maustadh vioo vyetu kama mtume alivosema , sasa kama ndo kwamtindo kulinda maslah mnatupeleka wapi? Jaman subuhanallah muogopen allah
Sheikh Allah akuhifadhi waambie wakristo hawako na Allah ila yesu kwahyo haleluya inakusudiwa nani
Sheikh wewe unaeleweka Sana lakini hao watu wanaonekeka hata hio elim hawana zaidi yaushabiki tu
Mungu akulinde na Kila Shari