Shida iliyopo ni hawa watoto chini ya miaka 5 ambao bado hawajaanza shule. Kusema waandikishwe bima za wazazi. 612,000 mtu anaitoa wapi kama 50,400 ilikuwa shida. Na kusema watatibiwa hospital za Serikali bure. Uko mahospitalini tuliamua kueka bima ili kuepusha kero usumbufu na matatizo yaliyopo. Unaenda foleni ya Dr masaa 4 bado vipimo hapo bado dawa unaambiwa nenda pharmacy nje kanunue. Waboreshe sawa Ila hili kundi kwanza ndio kundi lenye kipindi Cha mtoto kuumwa Mara kwa Mara. Sasa kuliondoa kwenye bima nikusema tuzike watoto wapungue.
Madhara ya kuuwa hii bima ya toto afya vifo vya watoto vitaongezeka,mkurugenzi kama Nia Yako ni kuwafikia waTanzania wengi zaidi kwa nini unaiuwa hii package ya toto afya ambayo imesheheni watoto zaidi ya laki 2?kwa wale wenye makampuni ya bima binafsi fursa hiyo anzisheni package hiyo 54,000*200,000=Billion zaidi ya kumi na watoto wote hawataugua fursa hiyo,mkurugenzi umechemsha
Bima ni kero sn,unakuwa mwanachama huna make au mume labda walishafariki,huna wtt wadogo unabaki peke yako tu unakatwa hela kibao wakati mwingine ndo unawajukuu hali mbaya wazazinwao jawna uwezo bado hawtaki uwakatie bima,wakubwa walipoona wakwe zao wanawapa gharama za matibabu wameruhusu wakwe waingia nchi mbaya sn hii yaani bima ninshida,bima za vifurushi ndonwizi hatari huduma nyingi unalipia tu hela
50400 ilikuwa n shughul kulipa na kund hili la watoto chin ya miaka 5 ndio wanaougua mara kwa mara na ndio mnatoa bima ya mtoto hii kamat inatakiwa ijitafakar na ikae tena chin hapo kuondoa bima hiyo kwa watoto wa chin ya miaka 5 ndio kutachochea kuongezeka kwa vifo vya hao watoto jaman na kingine hii kuiondoa 50400 mmeangalia maisha halis ya mtanzania jaman
Kwahy kama mm siwez lipa bima yangu, mlichokifanya sio vizur kabisa, acha tuendelee kuteseka vyenye mwanzo havikos mwisho,. Nyie viongozi tambuen kuwa wengine ss hatujiwez kilipia kama familia ndio maana tunalipa ya wott, ila kama mumeamua hivyo, naiman watoto wenu ndio watakuwa na bima ila sis masikin acha tuzidi kuteseka
Ulisema tutakukumbuka kwa mazuri wala sio mabaya, ona sasa watoto wadogo wasio kuwa na hatia wanataka kuwauwa kwa kuwanyima bima ya matibabu toto afya iliyo ianzusha wewe baba JPM
Kiukweli Mimi binafsi naamini ukiwa nabima ukaugua ukaenda hospitali zetu utakufa,ila kama unae ela kesh umepona.iyo bima ni yauduma ya daktar,dawa je? Ni lazima ukanunue.
Shida iliyopo ni hawa watoto chini ya miaka 5 ambao bado hawajaanza shule. Kusema waandikishwe bima za wazazi. 612,000 mtu anaitoa wapi kama 50,400 ilikuwa shida. Na kusema watatibiwa hospital za Serikali bure. Uko mahospitalini tuliamua kueka bima ili kuepusha kero usumbufu na matatizo yaliyopo. Unaenda foleni ya Dr masaa 4 bado vipimo hapo bado dawa unaambiwa nenda pharmacy nje kanunue. Waboreshe sawa Ila hili kundi kwanza ndio kundi lenye kipindi Cha mtoto kuumwa Mara kwa Mara. Sasa kuliondoa kwenye bima nikusema tuzike watoto wapungue.
Madhara ya kuuwa hii bima ya toto afya vifo vya watoto vitaongezeka,mkurugenzi kama Nia Yako ni kuwafikia waTanzania wengi zaidi kwa nini unaiuwa hii package ya toto afya ambayo imesheheni watoto zaidi ya laki 2?kwa wale wenye makampuni ya bima binafsi fursa hiyo anzisheni package hiyo 54,000*200,000=Billion zaidi ya kumi na watoto wote hawataugua fursa hiyo,mkurugenzi umechemsha
3
Naomba mimi pekeangu mniangalie kwajicho la karibu niendelee kuwalipia watoto wangu kama awali tafadhali
Bima ni kero sn,unakuwa mwanachama huna make au mume labda walishafariki,huna wtt wadogo unabaki peke yako tu unakatwa hela kibao wakati mwingine ndo unawajukuu hali mbaya wazazinwao jawna uwezo bado hawtaki uwakatie bima,wakubwa walipoona wakwe zao wanawapa gharama za matibabu wameruhusu wakwe waingia nchi mbaya sn hii yaani bima ninshida,bima za vifurushi ndonwizi hatari huduma nyingi unalipia tu hela
Nimewaelewa sana labda kama mtu ujasikiza vizuri lakin mwanzo hata mi nilipinga
Vipi kuhusu wazee na watotk chini ya miaka mitano ?
Iv mnajua kama kuna masingle na wananchi wahali yachini wangapiiiii uku mtaani ? Aisee hiinchii puuuh
Lakini hata hawa wa miaka 0-6 nao wangekubalika kuhudumiwa.
Atutaki jamaniiii mbona mpo ivo mamasamia angalia wajukuuzako jamani tanzania ya mchongo🧐🧐
Kuna Watu hawana uwezo wa hizo laki 3
50400 ilikuwa n shughul kulipa na kund hili la watoto chin ya miaka 5 ndio wanaougua mara kwa mara na ndio mnatoa bima ya mtoto hii kamat inatakiwa ijitafakar na ikae tena chin hapo kuondoa bima hiyo kwa watoto wa chin ya miaka 5 ndio kutachochea kuongezeka kwa vifo vya hao watoto jaman na kingine hii kuiondoa 50400 mmeangalia maisha halis ya mtanzania jaman
uwiiiii Tz mnatupeleka wap jmn? pamoja na kuungwa watt kwa pamoja mashuleni basi ruhusuni mtt mmojammoja pia aweze kujiunga
Kwahy kama mm siwez lipa bima yangu, mlichokifanya sio vizur kabisa, acha tuendelee kuteseka vyenye mwanzo havikos mwisho,. Nyie viongozi tambuen kuwa wengine ss hatujiwez kilipia kama familia ndio maana tunalipa ya wott, ila kama mumeamua hivyo, naiman watoto wenu ndio watakuwa na bima ila sis masikin acha tuzidi kuteseka
Sisemi chochote cz yamenikuta,,, hospital za serikali hakuna dawa, utaambulia panado,
Kwani Kuna ulazima Gani wa kukusanya watu kwenye makundi? Acheni mawazo ya kuvuna hela kupitia bima
Mi sjaelewa jamani naomba kueleweshwa Ina maana Sasa hivi mtoto wa miaka 10 kumfungulia bima ya 50400 hawakubali mpaka akasajiliwe shule au?
Kiukweli hii bima aiji kutusaidia. Na munahisi sisi wote ni waajiliwa
Kwa galama gani inamaana tunalipaje.
Gharama ziko juu bhana hata , Azishawishi watu kujiunga na mashariti yao kibao
Ndugu hamna mtu ananufaika na maisha yako wakwanza zaidi yako menyewe hii sio lazima
Hakuna nia njema hapo usumbufu huduma zenyewe mbovu
Kwenye hili serikalini in mefanya ukatili kwa watoto, na madhara yake yatakua makubwa
Nakuunga mkono Victor Jems maana nia yao sijui nn wanatuibia nina sh ngapi za kugawa kwa bima ya kila mtoto
Bima ya afya ni usumbufu tu mkurugezi asema lengo ni kutunisha mfuko NHIF na nssf zipo kwaajili ya unyonyaji tu
Ulisema tutakukumbuka kwa mazuri wala sio mabaya, ona sasa watoto wadogo wasio kuwa na hatia wanataka kuwauwa kwa kuwanyima bima ya matibabu toto afya iliyo ianzusha wewe baba JPM
Kiukweli Mimi binafsi naamini ukiwa nabima ukaugua ukaenda hospitali zetu utakufa,ila kama unae ela kesh umepona.iyo bima ni yauduma ya daktar,dawa je? Ni lazima ukanunue.
Unakwenda hosp na bima ya afya ,ukiwa unaumwa ,magonjwa zaidi ya tatu ,unapewa paracetamol ,kafe mbele
Ni kweli na tatixo hili ni kwa bima hii tu ya NHIF bima nyengine unapatiwa kila kitu
Tatizo sio bima bali ni hospitali uliyokwenda kupata huduma.
@@yusufismail3116 mbona kama unatumia britam au stragies unapata huduma zote zilizopo hospital hapo?
Nimewaelewa sana labda kama mtu ujasikiza vizuri lakin mwanzo hata mi nilipinga