niliumia Sana ulivyo kuwa ktk wakati mgumu lkn sasa nafarijika kama umepaona ulipo jikwaa na kusimama na kujipangusa vumbi na kuamua kusonga mbele Asante kwa wote walio msaidia na kusimama tena,
safi ray c umeongea maneno ya maana Sana Tena nawe pia roho safi umemuelezea diamond mashallah bila chuki walahi mngu akuongoze nawe pia upate zaidi maisha mema
Ray C kumbe unauelewa mkubwa sn,bifsi nashukuru kuelewa umuhimu wa Diamond kwenye mziki,wenzio wanashindwa kumpa heshima yk kwasbb ya chuki,fitina majungu,visilani nakumfanya Cmba chochote,nakuvunja moja,ikiwa wao hawana historia yyt kwny mziki Solute Ray C.
Piga kazi Ray C kuolewa siyo lazima au fasheni wanavyofanya wengine siku hizi. Usiangalie hayo kamwe watakutumbukiza, kumbuka anaefurahia mafanikio yako ni mama yako tu au niseme wazazi wako. Mungu kwanza, kazi sana.
Wewe rayc naona una akili unajua kuwa kupigana ndio kupata,mfano huo wa diamond Ni kweli anapigana ndo maana anapata,wenye wivu utasikia eti Freemason,waache waendelee kulalamika,mwenzao halali wenyewe kutwa wanaongea na muwazia maovu,
Yaani nimerizika kwa majibu yako kwa sababu sikujuwa kuwa unaweza jibu kama umejibu na kwa kubuali kizazi kipya, kweli vijana wana chapa kazi na wa mawazo marefu sana😅nime comenti kutoka Congo/uvira kama ningelikuwa na uwezo basi ningelimuunga msani wangu aje afanye mziki Tanzanie alafu arudi tena!
I think for u every time my ray-c .endapo uko kwenye game nda zidi kuwa mshabiki wako.i'm Christian from Congo Goma city
umeongea vzur hujakosea ray c hata kidogo safi kabisa m/mungu akuongoze my sweet, luv u ray mmmwaaaa.
niliumia Sana ulivyo kuwa ktk wakati mgumu lkn sasa nafarijika kama umepaona ulipo jikwaa na kusimama na kujipangusa vumbi na kuamua kusonga mbele Asante kwa wote walio msaidia na kusimama tena,
Nilikuwa bado sija kufahamu lakini kwa hii,point ni kweli kabisa.Diamond Platinum, kweli nimufanya biashara mkali,Ray C,daaaaaaa
uyo.Dogo namkabali sana nitangazaji mzr Sana anakipaji na. pia maswali yke anajua kuoji vzr kazi nzr Sana dada c safi Sana unawapa nguvu vijana
moja rayc nimekubal imemkumbuka mungu pili hujaficha ukwel kuhusu diamond
Ray C we miss you from Kenya come back gal
Hapo ray c umeongea vizuri kuhusu mondi ndiyo Mana wasanii wengine wanaona wivu wamebaki tu kunugunika
Nakupenda sana ray c Mimi pia nakuja huko najifunza mengi kutoka kwako napenda ngoma zako pia
wow nakukubali sana ray c mungu akubarik na upigane kufanya kazi nzur penda sana my dada more
Beautiful gal, thank God u are back.Wala usibanduke! Endelea kutoa vibao motomoto.
nakukubari Ray c.nakupenda sana pia napenda kazi zako.nakumbuka nyimbo yako ile uko wapi nikufate
I love you Ray C u talk real.. hauna wala wivu ..penda sana wewe
This interview has made me love u so much ray c ur so smart nd straight shooter u talk the truth
safi ray c umeongea maneno ya maana Sana Tena nawe pia roho safi umemuelezea diamond mashallah bila chuki walahi mngu akuongoze nawe pia upate zaidi maisha mema
vizuri sana umetupa mfano mzuri na Meno yenye kutujenga tuwache wivu na tuwe roho safi sana
swadakta
bigap sana Ric
Mungu aendelee kukuimarisha Ray C. Endelea kumtumaini na kumtegemea
love sn Ray c mungu akulinde mamy piga kazi mungu yupo usikate tamaa
Have always, i'm still and will always be your biggest fun.and i'm happy how God is working in your again after going through such a hard time
I miss you ray c...ni mpenzi wangu.
my number one I beg zaa mtoto ray c...huo urembo wako, macho yako uyaache duniani siku moja ukitangulia mbele za haki
Amina Suleiman hapo umeongea Dada maisha tunapita jamani
Amina Suleiman h
nice
James Chamoto55
Hongera dada may God bless you . A lovly testimony for change
Love you 💞 Ray c wish you all the best sweetheart
Ray C kumbe unauelewa mkubwa sn,bifsi nashukuru kuelewa umuhimu wa Diamond kwenye mziki,wenzio wanashindwa kumpa heshima yk kwasbb ya chuki,fitina majungu,visilani nakumfanya Cmba chochote,nakuvunja moja,ikiwa wao hawana historia yyt kwny mziki Solute Ray C.
Piga kazi Ray C kuolewa siyo lazima au fasheni wanavyofanya wengine siku hizi. Usiangalie hayo kamwe watakutumbukiza, kumbuka anaefurahia mafanikio yako ni mama yako tu au niseme wazazi wako. Mungu kwanza, kazi sana.
Jamani unga m.baya yaani huwezi amini huyu dada alivo kua lkn Alla amvue yeye na vizazi vyetu ishallah
Ndicho nachokuombea diku zote ray c.
Unajua yakuwa nakupenda sana mamy
Wow don't give up sweetheart, we love you
Ray c kwa kweli ni mzuri sana
Interesting interview, big up dada RayC, keep it up Madam!
duh kweli MUNGU wetu amekubadilisha kabisa Dada yetu na hakika utafika mbali
She Is humble(humbled), maybe something had to happen..! God works in mysterious ways
nikweli sashivi watu tuwe na hasila na maisha nakupenda sana dadyetu
welcome Ray C.Rwanda Tunakupenda
Kumbe huyo mdada mswahili kabisa, amazing
Duuuh dada yangu yako nimekubali majibu yako!
kweliii kabisa nimependa alichokiongea ray c
Unga ilitaka kukuharibu ijapo kuwa una akili safi Ray C,well said👏👏👏
wow ray c unanipa moyo kichizi
nakupenda sana mdada piga kazi
Nimeikubari iyo unanimaliza Reyc upon juu sana
Mungu akusaidie ufanye vizuri kwa awamu nyingine hii tunakuamini
Love u mingi ray c umeongea poa sana
Questions perfectly answered. Much love Ray C
Yaani M/mungu mkubwa dugu akuvue tena nailobalaa alilokuvua ili uendelee na kazi
yani ray c unanifirahisha...a very honest opinion
Ray c unaongea sana una maelezo mengi kushinda maswali
Naona wewe ujui tena muziki, ujui wasanii walio itangaza tz. Wewe ni diamond tu
Mungu akuinuwe tena dada
nakupenda saana rayc ukiwa na show yeyote ntajichanga mpaka nije
,ray c nakupenda sana
kati ya wasanii wazuri ninaowakubali tukiachana na Mondi baba Tifa aka Chibu, ni wewe na Saida karoli, mpo vizuri sanaaaa,
Yes, sister kaza buti urud kama zaman nakuomba my sister
We miss u Rayc come back our gal
mazee na kuombea Kila la kheri ray c usirudi tena nyuma kabisa
Nakupenda sn rayc keep it up mungu akubariki
asante sana #RayC mungu akusimamie tunakupenda Sana dada etu
Hassanova junior mungu amsimamie Kwa music??
Rehema Alu...Shangaa ww
Safi sana mdada Mungu akubariki sana.
love you Rayc, uko vzuriiiii
Nimekupenda unajitambua RayC
mungu akubariki sana ray c
Good news my sister ray c love you so much
Uko vizuri dada unaongea kweli
WW unaongea vizuri diamond anajituma sana ndomana kafanikiwa wenye wivu wanasikia vibaya kwa ajili yake eti ni freemason
ray c wew mzuri San nakupndaaa
Nimekubali xana alichosemaa dada yetu kwamba mond ndiye kafunguwa njia hamna ubixhii n ukweliii wenye point
nakkbali sana ray c
we ndo kboko yao
umeongea kwl kbc ila kuna miji2 hapa bongo ni roho mbaya 2 ila wataerewa 2 mond and wcb fire fire
big up ray God bless you 🙏
umeongea vizuri sana ray c.
nakupenda xna ray c sanaaaa
nikweli kabisa mondi katufikisha mbali sana kimuziki katoa changamoti kubwa sana
Like my eyes👌I love u
you are beautiful nakupendana sana na yimbo yako yote
Uko vizuri ray c
Dada hongera you are not selfish
Ray c nakupenda
mungu akujaalie ray c
jamaaa upo vizuri sanaa
Wewe rayc naona una akili unajua kuwa kupigana ndio kupata,mfano huo wa diamond Ni kweli anapigana ndo maana anapata,wenye wivu utasikia eti Freemason,waache waendelee kulalamika,mwenzao halali wenyewe kutwa wanaongea na muwazia maovu,
😥😥😥mm nalianga sipendi mtu amuingilie diamond namjua aliko tukea 😫😫kapambana Sana Baba tee muacheni ale Raha zake
Nakupenda sana mdada
love u ray c
Sis ray c uko vzury
Tumuombee asahau unga kabisa
nakupenda dada ryc
Saaaafiiii ray C in simbaaaa
Nakupenda Sana dada
poa sana Dada ray c nakumbuka toka sikuhitaji mpaka unanimaliza big up Fabian Lopez 0758734050
dats real our Legendary c6
mungu akusaidie usiludie yale mambo,we luv all
Saf sana ray c,
adili mwadilifu hapo sawa
Are we just gonna ignore the fact that interviewwer is very cute??
Yaani nimerizika kwa majibu yako kwa sababu sikujuwa kuwa unaweza jibu kama umejibu na kwa kubuali kizazi kipya, kweli vijana wana chapa kazi na wa mawazo marefu sana😅nime comenti kutoka Congo/uvira kama ningelikuwa na uwezo basi ningelimuunga msani wangu aje afanye mziki Tanzanie alafu arudi tena!
love u sanaaa
ray c penda sana wwe
daaa we ray c mm ni m2 wko ni shabk wko maaba ya that atl atl unajuwa Dada pga kz mwaya
Mnapo jichubua2 Mna halibu Kilaki2 unapoteza uzuri wenu wa asili
unatisha sana mwana dada
hongera
pendasanaaa Dada 🙋🙌🙋🙋🙌
Good Ray. C
yani sijui kwnn maskin hii midude inaongelesha bila kikomo bando haliishi jameni duh!!
Ukosawa rc hongeraaa