Ray C Akataa Mapenzi Live, Amtaja Diamond Platnumz

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 184

  • @josephchristian1927
    @josephchristian1927 6 років тому

    I think for u every time my ray-c .endapo uko kwenye game nda zidi kuwa mshabiki wako.i'm Christian from Congo Goma city

  • @wardasaid9605
    @wardasaid9605 7 років тому +1

    umeongea vzur hujakosea ray c hata kidogo safi kabisa m/mungu akuongoze my sweet, luv u ray mmmwaaaa.

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 7 років тому +20

    niliumia Sana ulivyo kuwa ktk wakati mgumu lkn sasa nafarijika kama umepaona ulipo jikwaa na kusimama na kujipangusa vumbi na kuamua kusonga mbele Asante kwa wote walio msaidia na kusimama tena,

  • @kasokotakalunga7582
    @kasokotakalunga7582 6 років тому +3

    Nilikuwa bado sija kufahamu lakini kwa hii,point ni kweli kabisa.Diamond Platinum, kweli nimufanya biashara mkali,Ray C,daaaaaaa

  • @festomushi940
    @festomushi940 7 років тому +13

    uyo.Dogo namkabali sana nitangazaji mzr Sana anakipaji na. pia maswali yke anajua kuoji vzr kazi nzr Sana dada c safi Sana unawapa nguvu vijana

  • @cyruspeter6321
    @cyruspeter6321 7 років тому +2

    moja rayc nimekubal imemkumbuka mungu pili hujaficha ukwel kuhusu diamond

  • @marylandjowaka7069
    @marylandjowaka7069 7 років тому +12

    Ray C we miss you from Kenya come back gal

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 7 років тому +10

    Hapo ray c umeongea vizuri kuhusu mondi ndiyo Mana wasanii wengine wanaona wivu wamebaki tu kunugunika

  • @pendochimamy6514
    @pendochimamy6514 6 років тому +1

    Nakupenda sana ray c Mimi pia nakuja huko najifunza mengi kutoka kwako napenda ngoma zako pia

  • @hanialkindi4567
    @hanialkindi4567 7 років тому +18

    wow nakukubali sana ray c mungu akubarik na upigane kufanya kazi nzur penda sana my dada more

  • @jackiebaini8432
    @jackiebaini8432 6 років тому

    Beautiful gal, thank God u are back.Wala usibanduke! Endelea kutoa vibao motomoto.

  • @khakikah7365
    @khakikah7365 6 років тому +2

    nakukubari Ray c.nakupenda sana pia napenda kazi zako.nakumbuka nyimbo yako ile uko wapi nikufate

  • @dianasaria7065
    @dianasaria7065 7 років тому +1

    I love you Ray C u talk real.. hauna wala wivu ..penda sana wewe

  • @fatiafat3475
    @fatiafat3475 7 років тому +5

    This interview has made me love u so much ray c ur so smart nd straight shooter u talk the truth

    • @zainabswaleh4907
      @zainabswaleh4907 7 років тому

      safi ray c umeongea maneno ya maana Sana Tena nawe pia roho safi umemuelezea diamond mashallah bila chuki walahi mngu akuongoze nawe pia upate zaidi maisha mema

    • @zainabswaleh4907
      @zainabswaleh4907 7 років тому

      vizuri sana umetupa mfano mzuri na Meno yenye kutujenga tuwache wivu na tuwe roho safi sana

    • @zainabswaleh4907
      @zainabswaleh4907 7 років тому

      swadakta

    • @muhammaedmuhamadi4621
      @muhammaedmuhamadi4621 6 років тому

      bigap sana Ric

  • @mashina12
    @mashina12 7 років тому

    Mungu aendelee kukuimarisha Ray C. Endelea kumtumaini na kumtegemea

  • @salmaalkassim9469
    @salmaalkassim9469 7 років тому +1

    love sn Ray c mungu akulinde mamy piga kazi mungu yupo usikate tamaa

  • @stlstl4517
    @stlstl4517 7 років тому +2

    Have always, i'm still and will always be your biggest fun.and i'm happy how God is working in your again after going through such a hard time

  • @ismailramole1700
    @ismailramole1700 6 років тому +1

    I miss you ray c...ni mpenzi wangu.

  • @Quilant749
    @Quilant749 7 років тому +5

    my number one I beg zaa mtoto ray c...huo urembo wako, macho yako uyaache duniani siku moja ukitangulia mbele za haki

  • @gadsonogega3774
    @gadsonogega3774 6 років тому +2

    Hongera dada may God bless you . A lovly testimony for change

  • @smilingtrishakurofficial5506
    @smilingtrishakurofficial5506 2 роки тому

    Love you 💞 Ray c wish you all the best sweetheart

  • @asallymbwego5906
    @asallymbwego5906 6 років тому

    Ray C kumbe unauelewa mkubwa sn,bifsi nashukuru kuelewa umuhimu wa Diamond kwenye mziki,wenzio wanashindwa kumpa heshima yk kwasbb ya chuki,fitina majungu,visilani nakumfanya Cmba chochote,nakuvunja moja,ikiwa wao hawana historia yyt kwny mziki Solute Ray C.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 років тому +9

    Piga kazi Ray C kuolewa siyo lazima au fasheni wanavyofanya wengine siku hizi. Usiangalie hayo kamwe watakutumbukiza, kumbuka anaefurahia mafanikio yako ni mama yako tu au niseme wazazi wako. Mungu kwanza, kazi sana.

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 років тому +1

    Jamani unga m.baya yaani huwezi amini huyu dada alivo kua lkn Alla amvue yeye na vizazi vyetu ishallah

  • @gospalflavour7304
    @gospalflavour7304 7 років тому

    Ndicho nachokuombea diku zote ray c.
    Unajua yakuwa nakupenda sana mamy

  • @estherbebe2303
    @estherbebe2303 7 років тому +1

    Wow don't give up sweetheart, we love you

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge9210 7 років тому +2

    Ray c kwa kweli ni mzuri sana

  • @denistallas1961
    @denistallas1961 7 років тому +4

    Interesting interview, big up dada RayC, keep it up Madam!

  • @pendomasawe4207
    @pendomasawe4207 7 років тому +1

    duh kweli MUNGU wetu amekubadilisha kabisa Dada yetu na hakika utafika mbali

  • @Kosmo4tanga
    @Kosmo4tanga 6 років тому

    She Is humble(humbled), maybe something had to happen..! God works in mysterious ways

  • @ashaakidotkidotlyova2881
    @ashaakidotkidotlyova2881 7 років тому

    nikweli sashivi watu tuwe na hasila na maisha nakupenda sana dadyetu

  • @whitetv250.7
    @whitetv250.7 7 років тому +2

    welcome Ray C.Rwanda Tunakupenda

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 7 років тому +7

    Kumbe huyo mdada mswahili kabisa, amazing

  • @MobileExpress-pj5sl
    @MobileExpress-pj5sl 9 місяців тому

    Duuuh dada yangu yako nimekubali majibu yako!

  • @fabiankadebe6256
    @fabiankadebe6256 7 років тому +11

    kweliii kabisa nimependa alichokiongea ray c

  • @hopechidera
    @hopechidera 7 років тому

    Unga ilitaka kukuharibu ijapo kuwa una akili safi Ray C,well said👏👏👏

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo3683 7 років тому +4

    wow ray c unanipa moyo kichizi

  • @sakinaallymohamed7860
    @sakinaallymohamed7860 7 років тому +9

    nakupenda sana mdada piga kazi

  • @lamlaissa7726
    @lamlaissa7726 7 років тому

    Nimeikubari iyo unanimaliza Reyc upon juu sana

  • @alphoncenavaya7423
    @alphoncenavaya7423 7 років тому

    Mungu akusaidie ufanye vizuri kwa awamu nyingine hii tunakuamini

  • @neemajilo4012
    @neemajilo4012 7 років тому

    Love u mingi ray c umeongea poa sana

  • @sharonethitu8215
    @sharonethitu8215 7 років тому

    Questions perfectly answered. Much love Ray C

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 років тому +1

    Yaani M/mungu mkubwa dugu akuvue tena nailobalaa alilokuvua ili uendelee na kazi

  • @sylvesterkarisa665
    @sylvesterkarisa665 7 років тому +2

    yani ray c unanifirahisha...a very honest opinion

  • @thoyarashid5782
    @thoyarashid5782 6 років тому +1

    Ray c unaongea sana una maelezo mengi kushinda maswali

  • @alengeswedi6962
    @alengeswedi6962 6 років тому

    Naona wewe ujui tena muziki, ujui wasanii walio itangaza tz. Wewe ni diamond tu

  • @annakays4901
    @annakays4901 4 роки тому

    Mungu akuinuwe tena dada

  • @mariahlenix119
    @mariahlenix119 7 років тому

    nakupenda saana rayc ukiwa na show yeyote ntajichanga mpaka nije

  • @saidawairimu3000
    @saidawairimu3000 7 років тому +4

    ,ray c nakupenda sana

  • @mirajitwaha1824
    @mirajitwaha1824 7 років тому

    kati ya wasanii wazuri ninaowakubali tukiachana na Mondi baba Tifa aka Chibu, ni wewe na Saida karoli, mpo vizuri sanaaaa,

  • @shadyashah2893
    @shadyashah2893 6 років тому

    Yes, sister kaza buti urud kama zaman nakuomba my sister

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 6 років тому +1

    We miss u Rayc come back our gal

  • @joleenmasha
    @joleenmasha 7 років тому +1

    mazee na kuombea Kila la kheri ray c usirudi tena nyuma kabisa

  • @reenbahati1459
    @reenbahati1459 7 років тому

    Nakupenda sn rayc keep it up mungu akubariki

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 років тому +7

    asante sana #RayC mungu akusimamie tunakupenda Sana dada etu

  • @agnesmgomba3421
    @agnesmgomba3421 7 років тому +1

    love you Rayc, uko vzuriiiii

  • @florasanga2408
    @florasanga2408 6 років тому

    Nimekupenda unajitambua RayC

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 6 років тому +1

    mungu akubariki sana ray c

  • @latifahusein9878
    @latifahusein9878 6 років тому

    Good news my sister ray c love you so much

  • @braibzigaspro3568
    @braibzigaspro3568 6 років тому

    Uko vizuri dada unaongea kweli

  • @braibzigaspro3568
    @braibzigaspro3568 6 років тому

    WW unaongea vizuri diamond anajituma sana ndomana kafanikiwa wenye wivu wanasikia vibaya kwa ajili yake eti ni freemason

  • @onesmobabu9164
    @onesmobabu9164 6 років тому

    ray c wew mzuri San nakupndaaa

  • @clezzonprezdaa2523
    @clezzonprezdaa2523 7 років тому +1

    Nimekubali xana alichosemaa dada yetu kwamba mond ndiye kafunguwa njia hamna ubixhii n ukweliii wenye point

  • @jaybrown5005
    @jaybrown5005 7 років тому +1

    nakkbali sana ray c
    we ndo kboko yao

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 років тому +2

    umeongea kwl kbc ila kuna miji2 hapa bongo ni roho mbaya 2 ila wataerewa 2 mond and wcb fire fire

  • @takyafrancis3746
    @takyafrancis3746 7 років тому +1

    big up ray God bless you 🙏

  • @sheilatezura5652
    @sheilatezura5652 7 років тому

    umeongea vizuri sana ray c.

  • @johnmakundi9133
    @johnmakundi9133 7 років тому

    nakupenda xna ray c sanaaaa

  • @rajabumapunda454
    @rajabumapunda454 7 років тому

    nikweli kabisa mondi katufikisha mbali sana kimuziki katoa changamoti kubwa sana

  • @leylahmohamed4769
    @leylahmohamed4769 6 років тому

    Like my eyes👌I love u

  • @salimamed9792
    @salimamed9792 6 років тому

    you are beautiful nakupendana sana na yimbo yako yote

  • @maendombwana4083
    @maendombwana4083 7 років тому +3

    Uko vizuri ray c

  • @Sabrina-kn2th
    @Sabrina-kn2th 7 років тому +2

    Dada hongera you are not selfish

  • @akwelinajuma9819
    @akwelinajuma9819 7 років тому +1

    Ray c nakupenda

  • @vailethmoses830
    @vailethmoses830 7 років тому

    mungu akujaalie ray c

  • @dizodi_vituko
    @dizodi_vituko 6 років тому +1

    jamaaa upo vizuri sanaa

  • @williamskemisola6625
    @williamskemisola6625 7 років тому +15

    Wewe rayc naona una akili unajua kuwa kupigana ndio kupata,mfano huo wa diamond Ni kweli anapigana ndo maana anapata,wenye wivu utasikia eti Freemason,waache waendelee kulalamika,mwenzao halali wenyewe kutwa wanaongea na muwazia maovu,

    • @mayamohamad710
      @mayamohamad710 6 років тому +1

      😥😥😥mm nalianga sipendi mtu amuingilie diamond namjua aliko tukea 😫😫kapambana Sana Baba tee muacheni ale Raha zake

  • @madinasemaharo7379
    @madinasemaharo7379 6 років тому +1

    Nakupenda sana mdada

  • @sayrachuna6705
    @sayrachuna6705 7 років тому +1

    love u ray c

  • @jacksmartsheyo2810
    @jacksmartsheyo2810 6 років тому +2

    Sis ray c uko vzury

  • @salmasaid3943
    @salmasaid3943 6 років тому +5

    Tumuombee asahau unga kabisa

  • @fadhiomy2957
    @fadhiomy2957 6 років тому +2

    nakupenda dada ryc

  • @modestnchimbi5689
    @modestnchimbi5689 6 років тому

    Saaaafiiii ray C in simbaaaa

  • @tausiyusuph7282
    @tausiyusuph7282 7 років тому +1

    Nakupenda Sana dada

  • @paulotzclass7097
    @paulotzclass7097 7 років тому

    poa sana Dada ray c nakumbuka toka sikuhitaji mpaka unanimaliza big up Fabian Lopez 0758734050

  • @chido_wa_south2171
    @chido_wa_south2171 7 років тому +1

    dats real our Legendary c6

  • @raphaelmagandura2278
    @raphaelmagandura2278 7 років тому

    mungu akusaidie usiludie yale mambo,we luv all

  • @adilimwadilifu4301
    @adilimwadilifu4301 7 років тому +16

    Saf sana ray c,

  • @joankaranja5973
    @joankaranja5973 6 років тому

    Are we just gonna ignore the fact that interviewwer is very cute??

  • @MobileExpress-pj5sl
    @MobileExpress-pj5sl 9 місяців тому

    Yaani nimerizika kwa majibu yako kwa sababu sikujuwa kuwa unaweza jibu kama umejibu na kwa kubuali kizazi kipya, kweli vijana wana chapa kazi na wa mawazo marefu sana😅nime comenti kutoka Congo/uvira kama ningelikuwa na uwezo basi ningelimuunga msani wangu aje afanye mziki Tanzanie alafu arudi tena!

  • @philipmsoffe3619
    @philipmsoffe3619 6 років тому

    love u sanaaa

  • @sofiarama9758
    @sofiarama9758 7 років тому +2

    ray c penda sana wwe

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 років тому +1

    daaa we ray c mm ni m2 wko ni shabk wko maaba ya that atl atl unajuwa Dada pga kz mwaya

  • @reginamakima8101
    @reginamakima8101 6 років тому

    Mnapo jichubua2 Mna halibu Kilaki2 unapoteza uzuri wenu wa asili

  • @boniphacemanyandamasele8206
    @boniphacemanyandamasele8206 6 років тому

    unatisha sana mwana dada

  • @chrisantkamangale8861
    @chrisantkamangale8861 7 років тому +8

    hongera

  • @djnelly8963
    @djnelly8963 7 років тому +1

    pendasanaaa Dada 🙋🙌🙋🙋🙌

  • @salumwavanla5946
    @salumwavanla5946 Рік тому

    Good Ray. C

  • @mathnasaeed3806
    @mathnasaeed3806 6 років тому

    yani sijui kwnn maskin hii midude inaongelesha bila kikomo bando haliishi jameni duh!!

  • @hadiyanassor8387
    @hadiyanassor8387 6 років тому

    Ukosawa rc hongeraaa