Ufisadi wa Zanzibar ni ujambazi, mtu mmoja tu amekwapua bilioni 10 - OMO | GUMZO LA LEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema ana ushahidi wa kutosha kwamba kuna mtu mmoja amekwapua shilingi bilioni kumi kwa njia za kifisadi Zanzibar na kwamba kuna siku ataweka majalada yake yote hadharani.

КОМЕНТАРІ • 20

  • @muslimkhamis2372
    @muslimkhamis2372 7 днів тому +6

    Maendeleo ni WATU ❤

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 13 годин тому

    Huyu jamaa nampenda mana anajua mpaka anapitiliza mungu ampe umri mrefu

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 7 днів тому +3

    OMO kiboko ya uchafu. Ahsante Wa-Kenya kwa 'brand'.

  • @AbdulSaid-bn2gi
    @AbdulSaid-bn2gi 5 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤omo inshallah 2025

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 6 днів тому +4

    2025 - 2530 MWAKA WA KUINUSURU ZANZIBAR IPATE MAMLAKA YAKE KAMILI. NCHI KWANZA YENYE MAMLAKA KAMILI 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 6 днів тому

    Tukupe mjii muheshimiwa sheria imelala,changamoto za kazi ulopitia na maneno yako makali sana na yana maana, salamu ni deni,mapofu tupo wengi ndo watoto wa mjini

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141 7 днів тому +7

    Makufuli ( magu) wa Zanzibar huyo anaitafuta ikulu, oh dear God bless 🙌 🙏 this mr OTHMAN OMAR OTHMAN sharif ,be president of Zanzibar ❤

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 днів тому +2

      Unaweza kumuona mtu flani ni mwema kumbe ndo mbaya nafsi na unawez kumuona flan ni mbaya wa nafsi kumbe ndo mwema .... Allah anajua yaliyomo ndani ya nafsi zetu

  • @bakarhemed342
    @bakarhemed342 6 днів тому

    Ningefurahi zaidi ingekuwa hapokei mshahara wa majambazi na marupurupu na majumba yao

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 6 днів тому

      Unaloliongea unalijua ww?
      Nani anaetoa mshahara?
      Na nani aliekua na Majumba?
      Ww mzimaa upo lkn???

  • @ramadhansimba2928
    @ramadhansimba2928 7 днів тому +2

    Hutuba imekwenda shule 100%
    Ukwel mtupu

  • @mohammedhamadomar5884
    @mohammedhamadomar5884 6 днів тому

    Vipi jamani mbona hatuonyeshwi uwanjani tunamuona mh. tu kulikoni ama watu hawapo hebu onyesheni uwanjani tutathimini basii

  • @w4058
    @w4058 7 днів тому +3

    Allah awamiminie nguvu siha na uadilifu mzidi kufuzu katika hilo la mamlaka Kamili

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 днів тому +1

    Kisoko cha Jumbi kimejengwa kwa bill 43 sijui materio gani yaliotumika.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 днів тому +1

      @@AllyHamran ndo huyajui ayo materials sasa .... Bora pamejengwa na kuonekana ....

  • @mwalimhamad3825
    @mwalimhamad3825 7 днів тому

    Unasahau huku kuna mpaka wamasai na wachaga wanvyo vitambulisho