'Mavituzi' ya kocha wa makipa wa Simba SC huko Misri
Вставка
- Опубліковано 4 сер 2024
- Tazama kazi ya kocha mpya wa makipa wa Simba SC, Wayne Sandilands.
Eenzi zake kocha huyo alizitumikia Super Sports, Platnum Stars, Mamelodi Sundown na kumalizia Orlando Pirates msimu wa 2017-2022.
Kwa sasa kocha huyo ana umri wa miaka 40 na hapa ni saa chache baada ya kuwasili kambini Misri na moja kwa moja aliingia uwanjani kuwapa ‘dozi’ magolikipa Ayub Lakred, Ally Salim na Hussein Abel.
#KambiYaSimba #Simba - Спорт
Duuu maisha ya simba mazur kwel lakred kanenepa sana
Simba nguvu moja 🦁🔥🦁🔥❤❤
Said Mohd kwel uyo coach wa makipa kama cadena
Zafii,xana
Mungu tusaidie
Jaman kibu
❤❤
Sasa ndo mtaona mbivu na mbichi simba nguvu moja daima
Hawa jamaa wanaonekana wapo serious na kazi yao...
Unyama n mwingiiiii
Cadena mtupu
Wamezingua kumuacha KRAMO
Nguvu moja
Khh
❤❤❤❤❤
Manula hayupo misri?nauliza jmn
Ameenda azam
Mwaka huu mapinzani kazi wanayo
Wapinzani
Inshaallah 🤲
Nguvu moja