Mwalimu Maduhu (PicoinTz) anaeleza kwa kina sababu za kitaalamu kwa nini Pi inakwenda kuleta utajiri kwa watu wengi duniani na anaelezea zaidi kuhusu Blockchain na Cryptocurrency kama sehemu ya Mapinduzi ya Nne ya Viwanda, akifafanua kwa nini Pi Network ni mradi halisi na si ubabaishaji. Anasisitiza umuhimu wa kuifuatilia na kuendelea kuichimba (mining) kabla haijaanza kutumika rasmi. Anatoa mfano wa Bitcoin, ambayo ilianza bure lakini wengi waliibeza. Leo hii, Bitcoin moja ni Tsh milioni 200! Sasa, Pi Network inakuja kama Stable Coin yenye thamani inayokadiriwa kuwa $314,159 kwa Pi moja ASawa na milioni 800 za kitanzania🚀 na Imepangwa kuanza kutumika rasmi ndani ya robo ya kwanza ya 2025, (Jan,Feb & March 2025.) na tarehe inaweza kutangazwa muda wowote kutoka sasa. Usichelewe, chukua hatua sasa! ⏳🔥 #PiNetwork #BlockchainRevolution #CryptoFuture
Mwalimu Maduhu (PicoinTz) anaeleza kwa kina sababu za kitaalamu kwa nini Pi inakwenda kuleta utajiri kwa watu wengi duniani na anaelezea zaidi kuhusu Blockchain na Cryptocurrency kama sehemu ya Mapinduzi ya Nne ya Viwanda, akifafanua kwa nini Pi Network ni mradi halisi na si ubabaishaji. Anasisitiza umuhimu wa kuifuatilia na kuendelea kuichimba (mining) kabla haijaanza kutumika rasmi.
Anatoa mfano wa Bitcoin, ambayo ilianza bure lakini wengi waliibeza. Leo hii, Bitcoin moja ni Tsh milioni 200! Sasa, Pi Network inakuja kama Stable Coin yenye thamani inayokadiriwa kuwa $314,159 kwa Pi moja ASawa na milioni 800 za kitanzania🚀 na Imepangwa kuanza kutumika rasmi ndani ya robo ya kwanza ya 2025, (Jan,Feb & March 2025.) na tarehe inaweza kutangazwa muda wowote kutoka sasa. Usichelewe, chukua hatua sasa! ⏳🔥
#PiNetwork #BlockchainRevolution #CryptoFuture
Mjomba nimekuelewa sana na umetulia mungu akubariki!!
Asante sana kaka Tena huyo mchungaji aliyekuita kanisani kwake huyu anayo hekima kwa Mungu na washilika wake congratulations 🎉🎉🎉🎉
Ukweli mtupu❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
xhda wa2 weng ha2jui,, 2na2mia cm ze2 for nonsense issues cha kufanya 2saidieni kwa ku2pa elimu jamani
Wow! Huyu jamaa anaelewa anachokiongea, mwenye sikio na asikie…
Manajisumbua tuuu
Bitcoin usifananishe na pi.
Kumbuka mmiliki wa hizo sarafu ni mtu mmoja,,,sas sijui unawaambia wanajisumbua ki vip