MWANANCHI DAY | Yanga yamkumbuka marehemu Yusuf Manji, yatoa zawadi kwa familia yake
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- #YangaDay Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, marehemu Yusuph Manji pia amekumbukwa na zawadi imetoka kwenda kwa familia yake. Aliyeipokea ni mwanaye ambaye pia ametoa neno la shukrani kwa Wananchi.
FT: Yanga 2-1 Red Arrows
Ni Siku ya Mwananchi LIVE #AzamSports1HD
#SikuYaMwananchi #WikiYaMwananchi #MwananchiDay #YangaDay #WeHuogopi #NyieHamuogopi #YangaSC #RedArrows #YangaRedArrows
Nimelia sana nimekumbuka Manji 😢dah dunia ni mapito
Kweli ndugu
@@CreatureIey-eh8nh2:48
Allah ampe kauli thabit yaarab amsamehe makosa yake
Rest in peace Our Legendary MANJI 😢😭🙏
Ni hatari manji wetu
😢😢rip yanga umeiacha mikono salama
Apumzike kwa amani
Mmeshapiga mafataki saa hizi ndo mmeshtuka hamjasimama kumbukumba kifo cha mwekezaji wenu... Aibu kubwa sana
Lakini bora wamekumbuka kuliko kutokufanya kabisa!
Hv Hans pope alikumbukwa eti