Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa

КОМЕНТАРІ • 107

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 11 місяців тому +15

    Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….

  • @Marzzzzzz20
    @Marzzzzzz20 11 місяців тому +9

    This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!

  • @kelvinsichone2359
    @kelvinsichone2359 11 місяців тому +10

    Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.

  • @MargrethNdone
    @MargrethNdone 11 місяців тому +4

    Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu

  • @vincej9275
    @vincej9275 11 місяців тому +4

    Thanks to God for your healing. You are very positive.

  • @abeldavid845
    @abeldavid845 11 місяців тому +1

    Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu...
    Glory to God

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 11 місяців тому +2

    Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu 11 місяців тому +1

    Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 11 місяців тому +4

    Bi zena hongera sana

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 11 місяців тому +2

    Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,

  • @Snuky54
    @Snuky54 11 місяців тому +1

    Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote

  • @adeboTNM
    @adeboTNM 9 місяців тому

    Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 11 місяців тому

    Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement

  • @bobcheni
    @bobcheni 11 місяців тому +2

    Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 11 місяців тому +2

    Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️

    • @aisharamadhan5257
      @aisharamadhan5257 11 місяців тому

      Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 11 місяців тому

      @@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 11 місяців тому

      @@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno

    • @minaelnathanael1846
      @minaelnathanael1846 11 місяців тому

      Acha kulaumu wauguzi

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 11 місяців тому

    God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 10 місяців тому

    kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 11 місяців тому +1

    Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes

  • @paschalmasanilo2617
    @paschalmasanilo2617 13 днів тому

    Apewe hata kuwa ambassador wa cancer sababu yeye mwenyewe yuko open wagonjwa wachache sana ambao huwa open kwenye diagnosis zao.
    Wizara husika ama taasisi zinazodeal na haya mambo.
    Naomba kuwasilisha!!

  • @ancolartherapper1899
    @ancolartherapper1899 11 місяців тому

    Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote

  • @georgecredo9100
    @georgecredo9100 11 місяців тому +1

    My brother pole sana

  • @AminaMwingira-jh7ze
    @AminaMwingira-jh7ze 11 місяців тому +3

    Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah

  • @mitaahisia8452
    @mitaahisia8452 11 місяців тому

    kaizer sosar.....nakubal sana bro

  • @BakariMtomae
    @BakariMtomae 11 місяців тому +1

    Aiseeeh pole sana kak

  • @lilianilimbe4508
    @lilianilimbe4508 11 місяців тому +1

    Polee sanaaa

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga4651 11 місяців тому +2

    Duh pole sn Mwana wa hip hop

  • @JuliusMchopa-pr5pt
    @JuliusMchopa-pr5pt 11 місяців тому +3

    Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 11 місяців тому

    Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer

  • @mbeyusaid4688
    @mbeyusaid4688 11 місяців тому +1

    Pole Allah ndo mweza wa yote

  • @brightonmasaki1183
    @brightonmasaki1183 11 місяців тому +1

    Pole brother

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 11 місяців тому

    Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani

  • @asyajey3479
    @asyajey3479 11 місяців тому

    Pole sana babu

  • @GladnessJames-mk9yh
    @GladnessJames-mk9yh 11 місяців тому

    Daah ushuhuda mzuri sana

  • @lulumbwaga9822
    @lulumbwaga9822 11 місяців тому +1

    Champion

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil6121 11 місяців тому +3

    Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto 11 місяців тому

    Pole sana

  • @veronicapaul4821
    @veronicapaul4821 11 місяців тому

    God is good

  • @DirectorNoahkilima
    @DirectorNoahkilima 11 місяців тому +1

    Doctor ruta

  • @chiwagaempire1211
    @chiwagaempire1211 11 місяців тому

    Mungu akutunze

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 11 місяців тому +1

    Dak ya 17-18.....mwijaku hapo

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv2699 11 місяців тому +6

    Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢

  • @Ramboyclassic69
    @Ramboyclassic69 11 місяців тому +21

    Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 11 місяців тому

    Kumbe country boy na Babu ni nduguuu

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 11 місяців тому +1

    😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....

  • @dannylema3125
    @dannylema3125 11 місяців тому +2

    Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?

  • @giztony2009
    @giztony2009 11 місяців тому

    Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d 11 місяців тому

    Babuu wa Kitaa 🫶

  • @hariethmatungwa9293
    @hariethmatungwa9293 11 місяців тому

    Duu bigup

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 11 місяців тому +5

    Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.

    • @mtaostephen3660
      @mtaostephen3660 11 місяців тому +2

      Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 11 місяців тому

    Naogopa mimi😢

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 11 місяців тому +1

    Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo

  • @jamesmwangonda7080
    @jamesmwangonda7080 11 місяців тому +7

    mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.

    • @jrm9448
      @jrm9448 11 місяців тому

      Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 11 місяців тому +3

      Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu

    • @robertadrian2559
      @robertadrian2559 11 місяців тому +1

      Acha ujuaji

    • @justyoscar2987
      @justyoscar2987 11 місяців тому

      @@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!

    • @amandomwamanda9000
      @amandomwamanda9000 11 місяців тому

      Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.

  • @eliasurious7419
    @eliasurious7419 11 місяців тому

    Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila7764 11 місяців тому +4

    Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road

  • @bobcheni
    @bobcheni 11 місяців тому +1

    Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh

  • @sarahmurano2829
    @sarahmurano2829 11 місяців тому

    Pole san

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 11 місяців тому

    Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 11 місяців тому +2

    Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo

    • @ireneinnocent4128
      @ireneinnocent4128 11 місяців тому

      Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 11 місяців тому +1

      Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.

    • @mwajabuyusuph3945
      @mwajabuyusuph3945 11 місяців тому

      ​@@rogath_silayo habari

    • @mwajabuyusuph3945
      @mwajabuyusuph3945 11 місяців тому

      Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 11 місяців тому

      @@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri

  • @tanzaniaprogress
    @tanzaniaprogress 10 місяців тому

    Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 11 місяців тому +2

    Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah

    • @eveliynejoseph7944
      @eveliynejoseph7944 11 місяців тому +1

      Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 11 місяців тому

      @@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili

  • @abdallahahmed2776
    @abdallahahmed2776 11 місяців тому

    Mbona mwijaku hana raha😂😂😂

  • @internationaltiktok4477
    @internationaltiktok4477 11 місяців тому

    Naitaji namba za huyo doctor

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 11 місяців тому

    Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 11 місяців тому

    Mjanja huyuu

  • @nelsonmasolwa8343
    @nelsonmasolwa8343 11 місяців тому

    mwamba anaongea san asee

  • @FarajiAbdallah-pq1dc
    @FarajiAbdallah-pq1dc 11 місяців тому

    Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa

  • @jrm9448
    @jrm9448 11 місяців тому +3

    Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima.
    Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.

  • @franciskyombo9394
    @franciskyombo9394 11 місяців тому

    Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto 11 місяців тому

    Pole sana

    • @user-jv1tk2vz8m
      @user-jv1tk2vz8m 11 місяців тому

      Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia