Familia ya Brian Kimani yaamua kuacha mwili hospitali hadi watakapopata pesa
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Familia ya Brian Kimani, mvulana mdogo aliyefariki katika hospitali ya Getrudes hapa jijini Nairobi baada ya kuugua saratani ya damu, imeamua kuacha mwili wake katika hospitali hiyo hadi itakapopata fedha za kulipa deni la shilingi milioni kumi na moja nukta tisa.
HATA KAMA HIYO PESA JAMANI NI ALOT.WACHANENI NJA WAO TU GOD WILL COME THROUGH
Okey wamekwamilia maiti wataifanyia ???? God will see you through 😭😭
Maadam mumeshamfanyia maombi hakuna haja y kulipia mamilioni y pesa .....hata mkilipa hakuna kitu kitachange wacha wazike wao n maiti y jamia
Kenya kupenda pesa, namber 1
Wapi sonko?
Luck of affordable healthcare.. if there was this uncontrolled bills would never happen
saa wanataka pesa na mtoto amefariki...God..see ua people
I wish bob collymore was still alive he could have help this family
Kenyans mnapenda vitu za free sana. Get good insurance with death insurance for your family muache kusumbua watu.
Hahaaa siwezi lipa kwani nitachukua ikanisaidie nanini