WAKE WENZA{ SEASON 4) EPISODE 8 FINAL
Вставка
- Опубліковано 14 кві 2024
- #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz - Фільми й анімація
Ahsanteni sana wote mliochangia Episode ya mwisho ya wake wenza.Mungu awabariki sana kuwa na moyo huo.
Pia nyinyi asanteni snaa kwa kutuletea filamu yetu
Asanteni na nyie pia kwa kutumia tukaiona mwisho ❤
Cm yako ndo tatizo
Jina LA wimbo please
Wimbo Tutaupost kesho @@sheylahpeter
Mlioanza mke mwenza adi final mko wapi jmn 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️team strong hoyeeeeeeeeee
Tuko hapaaa🔥🔥🔥🔥❤️☺️
Muda wote nilikua naangalia sioni wake wenzu afadhali leo imetoka, likes zenu wote mulo shiliki mwanzo hadi mwisho tuone kama tupo wangapi🎉🔥🔥
Umeona eeee
@@user-fl7mr4dt1p yaani wee achat tu nili imis sana
Umeonaee mm ap mwanzo mwisho
Mwanzo hadi mwisho patamu mwisho
Wa Kenya Hoyeeee nmefika yani sichelewi kabsa haya gonga like tukimalizia wake wenza❤❤❤
Wa kenya tupo tumejaa tele❤❤❤ tz nawapenda sana
Asanten sana team Bailam kw kazi mzur mloiyonesha ila episode ya mwisho saut ndo haina
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo pamoja
Watatu kutoka Kenya wapi likes 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
hongereni sana kwa funzo hili naomba niseme jambo kwa NAOMI kama sio MUISLAM basi vazi la KIISLAM linakupendeza sana naomba allah subhanahu wataala akuonyeshe njia sahihi na uifate kupitia uhusika wako kwenye tamthilia hii .
AHSANTENI NYOTE WASHIRIKI WA HII TAMTHILIA.
NAOMI NIMEKUPENDA MNO.
Kweli kabsa Allah amuongoze aingie Katika dini ya haki in shaah Allah
Aamiin
Amiin
Asanteee sanaaaaa Kwa timu yoooooooteeee hongereni sanaaa Kwa kipaji
Hiiilii ni funzooo kubwaa mimi ni stability wa woteeee ilaa naomy mariam nawapenda sanaaaa mmewezaaaaaa
Kweli .kitu smart sana ....asandeni pia waingizaji wote ... Kazi Zuri kabsa ❤❤❤❤❤much love from Kenya .....Ngoma ya mnganga uendelee basi
Haya ndo mambo Sasa sisi ndo mashabiki zenu shukuran sana kwakutuletea hama hii movies bhalam nakukubali sana
Asante sana ubarikiwe bhailam kazi mzuri mno tumejifunza mengi big kwema nawapenda nyote ❤️🥰❤️ sema jojo kila nikikuona nakuwaza kwenye my love😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Naomi si uwe muislamu shoga yngu ❤❤❤❤
Kazi nzur sana nimefrah kwakweli
Allah azidi kuwapa nguvu katika filam
Wenye tunagaliya tukiwa ugaibuni tukiosha hamamu tukutane hapa tumalize wake wenza 😊😊😊😊😊😊
❤❤❤❤ hapa sana
❤❤ nime saau matusi ya mwanabu aki iko poa imeishaje jamani😢😢😢
❤❤❤😊
Wa 5 leo , Naombeni Like na mm 😢😊😂
Napenda waislam wanavyo fanya ibada jmn hadi raha
Slimu mpendwa wangu ufate dini ya haki
Karibu sana kusilmu bure.
Karibu Sana mdogo wangu Allah akuongoe na akisimamie ammin
Hata ww waaweza fanya ibada hukatazwi kwa Iman yako
@@Bintiade1922 sio kwamba sifanya nimesema napenda wanavyofanya waislam
Mashallah mmetuletea final episode 👏 thnks
Burundi🇧🇮 people please like zenu
Ndi aha 🇧🇮🇧🇮🤜🏾🤛🏾♥️♥️♥️
Tupo ❤❤
🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wa kwanza kabisa , nipeni liké zangu
Ahsante kwa yote jamani
Nawashukuru saana.
From Uganda 🇺🇬.
SHA5FIE 🌠 THE 🌠 COMPATRIOT
Bhailam hongera sana ww pamoja Na team yko❤❤❤❤
Kazi nzuri nashukuru sana mi binafsi
Nimefurahi sana kuioyona finally Ep asanteni sana muwe na kazi nzuri baada ya hii 🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏👌kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongeren saan uongoz wot sisi tunawapenda❤❤❤🎉🎉 kwa kutupa finally
asanteni sana bailam na ukumbi wako wote Kwa filamu hii ya wake wenza❤❤❤❤
Nachukua furusa hii niwashukuru sana wana wake wenza woote niwape hongera kwa kazi yenu nzuuuri mno.naipenda sana tamdhiria yenu nipo zangu kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nawapendaga bure tu.
🙏🙏
Asante sana nyinyi wote mulioshiliki kwa kudupa mafunzo mazuri tunawashukulu sana ilikua pambe mumedufulahisha mno mutuandalieni vitu vizuri tena tuko na nyinyi sambamba maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Asanteni sana kwa kazi nzuri
Mzee simba mwenyewe anatembea kama hiyo simba😂😂😂😂😂😂😂😂sai ni wakati ya familia yetu kulipa uzuni bye 👋 ♥️ 🤣 😂 ❤️ 😆 😂😂😂😂😂😂😂😂 natumai tumejifunza jambo hapa ndungu zangu wa comedian tv 😂😂😂😂😂😂😂😂yangu ni kusema tu asante na mmenifunza sana nisiwai kata tamaa katika maisha nami nitamtetea babangu kwa kila jambo nakupenda sana babangu allah akupe umri mrefu inshallah 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋 👋
Nimejifunza mengi kupitia hii episode aki Allah awabariki mashallah
Hongera Sana kwa tamthilia yenye mafunzo mazuri. Mungu awabariki nyote. ❤❤❤❤❤❤❤❤
Imenigusaaa sana Jaman 😢😢, kwanzia mwanzo hadi sasa hongereni sana 🙏♥️♥️
Kwakweli hii ilikuwa nzuri sana hongereni mungu awaongoze muendelee kufanya vyema zaid
Asanteni sana kwa kutujali nawapenda mnaweza kinoma noma
Wake wenza imetoka mbali san mungu awabariki sn kwa kz yenu .tuko pamoja lshaa allah🤲🤲🤲
Hongereni sana kwa funzo nime jifunza kitu na mov ni ipendayo ime isha vzr sana
Mubarikiwe sana kwa mafundisho yanayo patikana kwenye filamu hii, yameninifunza mengi. Mzee Simba uko star mkubwa sana, Mariam umecheza vizuri sana, Bailam tunasubiri kali zaidi ya hii. Ila wake wenza imechukuwa na fasi ya kwanza kwenye internet na kwenye mchezo zote nilishaka wahi ona.
Wacaweee mze simba karudi mpya kabisa haya twende kazi sasa kukomesha maaduwi zetu funal imeingiya asanteni sana washirika wa wake wenza kwamafunzo mazuri natumai mutatuleteya nyingine nzuri kuzidi iyi❤❤❤🎉🎉🎉
Yani congratulations movie nzuri sana tumejifunza kitu apo 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Lakini mjomba wa my love AKA bwana hamza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huyu mzee huwa cute kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,
Wow hongeren kwa mafunzo mliyotufunza team bailam
Mzee hamza unakatabasam flaani ❤❤to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow Asante sana kwakutuletea mwisho muzuri sana nimefurahi kumuona mzee simba kapona napia Familia imerudisha furaha 😂😂❤
Well done Kazi Nzito na Nzuri
Keep it up
Ahsanten kwa kaz nzr. Tuleteeni nyengn
Jamani nimechelewa ila so sana kazi nzuri sana comedy plus
Nami mwengine amependa hii part ya mwisho mzee simba na familia yake mashaallah
Season ya wake wenza n somo kwa kila mtu Asante comedy plus kwa hii season
Tanashukuru sana kuona final jamani mungu awa bariki from Congo 🇨🇩🇨🇩
Hongereni saan team comedy plus kwa kuifunza jamii katika hali tofauti..ukwel kwamba kazi imefanyika kwa uwez n maarifa ya upekee kabsa hongeren saaaana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
nimefurahi sana kumwona mzee simba kurdi kwenye hali yke ya kawaida
Asante Kwa kutuhitimishia final yetu Mwenyezi mungu awatangulie Kwa Kila jambo unalolipanga.....kama nawe ni shabiki tafadhali gonga like ili tuende sawa huku tukiwsachia maua yao🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzur san Bhailam, na mzee Simba Mungu aendeley kuwap ujuz na uwigizaj wazaid napend san kufatia comedy plus from buja
mwanzo mzuri na mwisho mmeupatia u guys deserve a gift🖐
Duuu mwisho mwema jaman,hakika apandaho mtu ndicho avunacho tujitahidi kutendabyaliyo mema mwisho tutauvuna wema wetu,Mchezo mzuri sana barikiwa kwa kutuelimisha na ktufunza pia
Nîme aza nayi Nîme maliza nayi liké zangu apa🎉🎉🎉❤❤❤❤
Bhailam moto fire 🔥 congratulations nyote mulioshiriki❤
Shukurani sana wapendwa Mungu awajalie mtoe kazi nzuri nyingine
Wakwanza leo😅
Wa kwanza jameniiii like zenu mnipe
Wooh ahsante saana Wana comedy plus mmefanya Kaz nzur sana..kaschana ktoka kenya
Nimechelewa ila niache coment asante sana bailam na team nzima tunawapenda sana❤
Bwana Hamza na team yako hongera sana kwa kazi nzuri umeupiga mwingi, Bwana hamza ndo uzuri nkuchane wanyanyavandu 😅👏
Mzee na bailam asante sana,god bless you, tafadhali mimi naomba nyinyi anzani tamthilia mpya hapa, siku karibu, mimi kutoka kenya,
Tunawapenda sna Asante sna kwa kutupa movie nzuri sana kama hii hakika tumejifunza sna tuko pamoja ❤❤❤🇹🇿
Jamani ilivyo nzuri sitaki iishe kabisa mashaallah tabaraka irudiwe tena au iyendelee jamani yani ni nzuri kweli
Mm wamwisho jaman Asanten sana dada zangu na kaka zangu kazi nzuri sana kweherin
Asanteni sana, mimi nataka kuomba nyinyi plz, tamthilia ya mchawi na tamthilia ya shetani usicheze hiyo ni mbaya sana,hata mwenyezi Mungu ataki plz, tafadhali chezeni tamthilia ya kuchekesha watu plz,
Asanty sana team kipindi Kwa kazi nzuri nawapendaaaaa
Muhimu tyuu ni kuendelea na kazi nzurii kama hizii ndugu zangu 🎉🥳🥳🥰♥️
Simba kawakomesha jaman😂😂😂dinyo ndo balaaa kabisa dah wake wenza inafundisha mambo meng sana
Mzee Simba 🎉❤🎉❤🎉❤ Wewe Na Familiya Yako Mauwa 💚💐💚💕 Yenu Hayo Ahahahahaaaaa Kazi Nzuri MAKOFI 👏👏👏 Kwenu 👉 TAFADHARI 🙏 Sijasahau Kinywaji Tafadhari Hicho🍾🥂
Tuna shkr sn kwa kazi zenu zuri Allah awajalie mfike bali Naomi Na mkumbali sn
Had nikajiuliza au Mm ndo cmu yangu hailet wake wenza😂😂😂😂 ongeren sana,, mara paap inaendelea season 5😂😂😂utaskiaje labda 😂😂
Toka episode 1 Hadi mwisho,sijapitwa na lolote , nashukuru Sana team wake wenza kwa furaha mliotupa ,naombeni nyingine Kama hyo ila ningependa mzingatie muda,kiukweli muda ni mchache sana
❤❤❤❤ nawapenda sana mzee simba na timu yako kwakweriii mnafundisha sana
Jojo hongera shoga 😂😂❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana lakin kisasi mda mwengine tumshukuru mungu tu yeye ndio mlipaji zaidi.
Tunashukur tumeanza salama tumemaliza salama nawapenda team mzee simba mpoo😂
Mashallah keep it up kwa kazi mzuri mmetupa fundisho mungu akuzidishieni vipaji muje mufanye movie nyengine nzuri yenye fundisho kwa Jamii kila la kheri
Duuuh leo nimewahi kweli sunaona mulikuwa mumetukosea😢😢😢wakati tupo mashabiki wenu 😢😢
Wow kazi nzuri sana we really enjoyed the story mwanzo mwisho❤❤
Asante kwa movie yenye mafunzo manzuri na maonyo ya kutosha pendekezo tunaomba muiunge yote kuanzia episode ya kwanza Hadi ya mwisho muiweke UA-cam ili ujumbe uweze kufika Kwa pamoja Kwa pamoja be blessed a lot...Kuna moyo wa mariamu na Naomi jaman nimewapenda bure maana licha ya kupitia magumu lkn mlikua mnaweza kufanya kitu ❤❤❤
Asanteni sana kwa episode ya mwisho ya wake wenza tunawapenda sana sikutamani iishie hapa nilitamani ienndelee 😢
Natoka kumchamba Bhailam Instagram kumbe huku ashachiaaaaaa 😂😂😂nisamehe kaka Bhailam hatimae tumefika tamani ya move yetu pendwa Alhamdhullilah,,twasubiri kazi yenu nyengine ,,kwa wake wenza tumejifunza vitu vingi mno natoa shukran kwa team nzima wausika na mashabiki kwa ujumla tufanye subra tusubiri kazi mpya
Shukran comedy plus kwaku tuburidisha kwa hicho kipindi chote...kazi Safi we can't wait for another bang 👊salute watu wangu👌💪kudos 🇰🇪🇰🇪
Nilipeda sanaaaa nilifata molipoanza hadimwisho Asante kwamafunzo
Hongereni washiriki wote tumeburudika pamoja na kuelimika ule wenza 🔥🥰💐💐💐💐
As salam alaikum!
Niwashuru sana ndugu wapendwa kwa elimu yenu mungu awalipe kila la rheli! 🙏
Mzee hamza nakupenda buree babangu
😂😂😂😂😂😂mwanakulifind mwanakuligate tatu talaka
Much love from saudia Arabia really appreciate that kazi nzur sana ❤❤🎉
Hiiiii movies mmewezaaa mmezishundaa zoteeee mashaallah mashaallah mashaallah mtoeee zingineee bolaa zaid 🎉🎉🎉🎉 hongereeen sanaaa❤❤❤❤❤
Ila janeth wajina wangu umenifurahisha San ndo kuuguza mgonjwa hivo 🎉😂
❤❤❤❤ ilove his kwasa yote wanasitahili athabu kweli lakini ndiyo aaa nimefula yangu yote wagapi tulisigoja athabu ya ndiyo😂😂😂😂😂😂 mimi kutoka kenya hagoleni sana sana kazi safi
One of my favourite programs. Pongezi wanafilsmu wote. I loved each and every actor ❤️ ♥️ 💕 💙 💜
Mashaallah nzuri sana inasisimua🥳🎉🎉 🎉😊 Allah awafanyie kheri kwa kila hatua mnazo piga❤️❤️
Umezinguwa😂 babahake mbona sauiti haisikiki?
Wa kwanza
Kazi nzuri sana kwa nyinyi wote
Ongereni team nzima mmetuelimisha, burudisha na ujumbe umetufikia.tunatarajia mazuri zaidi❤
Ahsanteni sana nyinyi wote nawapenda sana from Burundi❤