Roma Feat Chid Benz - Nasikia Harufu ( Official Video)REACTION
Вставка
- Опубліковано 11 січ 2024
- Roma Feat Chid Benz - Nasikia Harufu ( Official Video)
• Roma Feat Chid Benz - ...
Subscribe my new 2nd channel / @vanisikakavlog
Support me on
Donate M-PESA : +255745121514
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.creator-spring.com
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy vibes reaction.
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #Vanisikaka🔥🔥 Swahili reactions , VanVlog and good series that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any artist that want me to react to their music email me at Vanisikaka@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#Vanisikaka #YouKnowWhaat #SwahiliReaction #Unyamwezi
Support me on
Donate PayPal: www.paypal.com/cgi-bin/webscr...
Donate Gofundme: www.gofundme.com/manage/donat...
Join this channel to get access to perks:
/ @vanisikaka
Social media
Facebook: / van.isikaka
Instagram: vanisikaka...
Tiktok: Vanisikaka
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS
Anaee kubali chid kafanya ki2 like hapa
me ndo wa kwanza dah hata kumi tu laik zenu
Ni Rap phenomenon “
a remarkable person, thing, or event.
"the band was a pop phenomenon just for their sales figures alone"
Raf phenomenal halla it's ur boy I'm not a foreigner
Huyu jamaa chid kun interview alifanyishwa akiulizwa kuusu Diamond akasema hawez kuongea kuusu mond , kumb anajua alichokifany kweny hii ngoma yake akiwa na roma sijui ety tunajua nani chawa nani chupi , yan mond chupi baba babalevo kawa chawaaaaa oyooooooooooooo hii ngoma nairudia adi mala ishikini hii ndio ilifungua mwaka wa 2024 ❤
Bro , Chidi ni Legend. Anatema over Roma kwa hii ngoma. Salute to him.
Tunao amini huu wimbo ni bora like hapa
Bonjour nikusema vipi comment cava nikusema Hali namna gani mimi nimu Congo nampenda sana chid Benz
Mafans wa chidi Benz tupo # Kenya
Mimi nimependa huo mstari wa roma " wakikwambia ndevu bila hela ni nyasi waambie tako bila sura ni uvimbe" you know whaaaat...!!!!!😂😂😂 🙌🙌🙌
Ebana chidi benz kauwaa mana kakaa sana bila kutumia mc kaja na kasi sana tunaomba video reaction ya Why by Brighton ft law ni ngoma ya upcoming
Sema mwanangu cku izi REACTION Zako sio kama zaman Mzee Kuna vitu umepunguza yaan Kuna kaunyama flan iv cku iz ckaon Broo all in all tunakuelewa
My momy loves me fashafashfash fashgash me!! 😅😅😅😅😅😅
"Rap phenomenon Hala at your Boy am not a Foreigner na aford na sipoi siboi"
Chidi on anadha level big upbro chidiiii
Mnyamwezi kabisaa legend chidi
Ndo Chuma hakiozii
Gomakali saan🔥🔥🔥🔥🕴️💪🇹🇿✨
Van Isikaka umeongea point ya msingi sana tuwe tunaweka tiktok uwezo wa malegend watu wajue kwamba wasanii wa sasa hakuna wanalofanya lenye kutumia akili
Nasikia harufu, nasikia Kiki za madufu, nasikia kimenuka mpaka nje ya chupi, now tumejua nani chawa nani groupie
Nzembo oyo eza kitoko vraiment 🙏
Burund hupo nae❤❤❤🎉
TZ kuna wanamziki,, lakini hawapewi support kubwa.. yaani hii ni bonge la goma❤️
Oyaaaaaa chid salute kk
Track iko fire xna asante kwakuyifanyia reaction van isikaka we love you Burundi
subscribed ,,, the energy this is the chid watuletee kwenye media ,, hayo mengine wamsaidie sio kuyapost
Sema kaka V-vanny boi Leo umepuyanga kweny mistar ya Roma aiseeeh hahahahaha 😂
"✌️✌️"
Réaction of #600millevolts by Big Fizzo ft CHANY QUEEN × Ndiaks Oby
Umecherewa sana van ila so kesi tuko p1
Nasikia harufuuuu🔥🔥🔥🔥
Sema hii Vas Kaka umeua kinoma mzee 🔥
Van tupigie Ngoma ya alikiba feat berry black Ngoma inaitwa isharazangu
Vany alo ya king kiba imekupitaje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣KAKA NI MIMI NDO NAFANYA REACTION NA NIMEINGIA HUKU ULI KUKUUNGA MKONO C UNAJUA UPO PEKE AKO MJINI HAPO ILA NAJUA KILICHO KUFANYA UCHEKE NA NAKIFIA KAZI MZEE WANGU USIJARI🤝
Ooh poa saana bro ,keep it bro, mwanzo ndio upo hiyo, make sure unakua wewe na ukiongea watu wanakusiliza , so fanya kwa umakini na uhalisia ,usijali watu watachukuliaje🙏🏾 kila la kheri, am here for you ,if you wana know chochote text me on snapchat👍🏽
Kumbe nawew unafany reaction ngoja badae nitakuchek nione unyama you know whaaaat.....!!!!!!
@@VanisikakaNakubali sana Vanisikaka unaweza sana
@@Vanisikaka kaka una ni inspire bi ndoto yangu kuanza kuandaa video za youtube ila bado sjajua nishambulie angle gan na kwa kuanza wapi naweza pata vifaa vizuri vya recording.
I preciate 👏👊👊👊👊
Kaa la moto ft ssaru nakam
Nakupenda vaniskaka
😂😂😂🎉🎉🎉ni noma sana kaka chid
Nani chawa Nani groupie @vanisikaka
Keep up giving us buludani vi....
Noma sanaaaaaa
Noma sana mkali benz
Mwamba sikupingi chid kaua san mkato haja toboa kwa chid
nani chawa nani groupie 😄😄😄
Oyaa...VP Mwana, naomba ufanye reaction ya goma langu liko apo you tube. Plzzz
Happy New Year 2024. Nakubali Reactions zako nikiwa Malindi, Kenya.
Sasa tunajua nani chawa nani groupie
Lere reaction ya baad na konde
🔥🔥🔥🔥
Nani chawa, nani "groupie"
🔥🔥🔥🔥🔥
Rapa you don't mean a holla at your boy I'm not falling and I'm falling, na sipoi siboi na starwima, OK stakagi shuka si mna-enjoy nawavunja mifupa na wana Bima wanafia moi
🐐
producer bin laden ameuwa sana hiyoo beat
Rap phenomenal
Am not foden and am fodenous😂😂🔥🔥
Van ongera Sana kwa kazi zuri tupe goma ya fizzo ina itwa 6000 millio
💪💪💪
Babu mkubwa
Kaka wewe ni nouma hapa tz 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ukuta wa guantanamo . Anaongelea ukuta wa guantanamo bay ambayo ni kambi ya kijeshi ya Navy ya Marekani huko Cuba
Chid benz mkali tu bro uwezo tu
Bro atal sana adi raha
Moreen so mtam kama chiku maana yake demu wa kishua so mtamu kama wa uswailinii😂😂
Black X on the move
Simpingi mwamba
Nani chawa nani groupy
Am not a foreigner na foreigner sipoi
Benz
Wana Bima wanafia Moi? hii jiwe la Anko kituo cha Bus
Tuqnze na wewe ku-fanya tiktok videos za old songs za benz
We van uyo chid nia rap hatal zaid nnchin
Yupi chawa yupi groupies . Ni wale watu wadandiaji au wapambe
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
nani chawa nani groupie
Chid umajuwa San
Kamutukana daimondi kajaza bodi ila machine aikui pia matatzo uja baada yakitu apo kampongeza loma na demu kapigwa beto kamuponda demu wa makabila
Uko mbali xna kuelew
Sasa tumejua nani chawa nani groupie
Ngoma iyo kula chuma icho
You kill it 🔞😂 16:17
😂😂😂
Now tunajua nani chawa nani groupie
Yep..
Chek goma la marioo na konde boy inaitwa away
Sio kupe ni "Groupie " kama mdananda / choko flani hivii 😅😅
😂😂😂😂😂😂
Abere aberere
Am not a foreigner na foreign na sipoi
,,,,,,yupi grouping
Oy upande Iniesta upande Shavi na suplie bus niiteni afisa ugavi
Raha fenominle i am affording and I am affording
Special thanks bro I was waiting for u to boost up this track now I’m going to subscribe 🫡🫡🫡🙏🤟🤟
Chid benzino
Anafeel sorry kwa khaligraph jones kua yeye ni young rapper
Vani umesema kweli Chidi akiwa sober anafanya vizuri sana na akiendelea kufanya kazi atafika mbali sana🎉🎉🎉❤❤❤
Yupi Cha chawa yupi stupid 😅😅😅
Van Isikaka umeongea point ya msingi sana tuwe tunaweka tiktok uwezo wa malegend watu wajue kwamba wasanii wa sasa hakuna wanalofanya lenye kutumia akili