@KampangaKampangaasilimia60 ni waafrica kutoka nchi za africa magharibi na kusini mwa jangwa la sahara kma ethiopia somalia.. wahamiaji haram wanaokamtwa hapa bongo wengi wao hua wanaelekea mataifa ya ulaya kwemda kutfta maisha bora hapa ni kama njia tu ya kupita.. wapo walio fanikiwa wengi tu kwa njia hizo na waliofaikiwa kwa njia hizo ndo hufanya walio wemgi waamini hta wao watatoboa kwa njia hizo za kuzamia.. libya ndo kituo kibkubwa cha kusafirisha waafrica wanaoenda kutfta maisha bora ulaya kwa njia ya kuzamia
Ah!mm sioni ajabu mbona hata huku inatokeaga yote maisha siokwamba et ajaabu au ndio kusema watu watakufa au kuuwana kawaida tu hiyo....hauna document utarudishwa😂😂😂😂
We umesema, hao watu walikuwa wanafanya kazi Nani atawafanyia hizo kazi? Well watawaingiza wengine ili waje kuwafanyia kazi. Watu wabaya kama wezi,majambazi na ma rapist wangewaondoa haraka Sana lakini sio innocent people
Hao watu wanakumbushwa kuthamini kwao na kuwa wazalendo wa nchi zao, kwani wengine wanajisahau na kuzisaliti nchi zao kisa wako ugenini. Kwa Hali hiyo wanapaswa kurudi na nguvu mpya na Ari mpya ya kupambana katika kuendeleza nchi zao.
@@Oldskulgemini9991 amna tatizo kurudi home mbona fresh tu kasoro angekua anauwa ao anawapa kifungo camaisha ndio tatizo ila kurudishwa nyumbani mbona fresh tu 💃
Akuna cha kumlahani ni nchi yao kwanini tukimbie mataifa yetu na kwenda kwenye mataifa ya watu wakamatwe wote pumbavu waludishwe waje kujenga mataifa yao ilo tu.
@RamadhaniMohamedi-de2vc mie sijasema kuhus watu warud makwao mie nasemea yy alisimamisha vita gaza ashv awaambia watu hams waondole ili yy ajengee nikty amcho sii cha kukwwli wameshindwa vita ashv wanataka wawatoe watu wa Palestine pia ashv anatakaaaznishe vita misr na jodar na bd gaza sema ndoo hvy
Mimi hapa kidogo naona kuna usawa unakuja make kuna baadhi ya nchi kupata visa tu ni ngumu ya Marekani hata kama una vigezo vyote na apo unakuta mtu anaenda tu kusoma afu anarudi ila kuna nchi mweee yani akitaka tu kwenda visa chap mara moja. Kuna baadhi ya viongoz walopita marekani walizirahisishia hizi nchi za africa kwenda huko na zingine ndo ivo ndo maana kuna Wakenya na wanigeria wengi marekani
Kwahiyo Roma mkatoliki yupo hewani any time anatua JK Nyerere AIRPORT waandishi jitaalisheni kumpokea msaani sasa sijui mabegi yake kapewa au ndihivyo anarudishwa kama alivyo kwenda ndi anavyo Rudishwa kweli maisha nimtihani pia nifumbo nimeamini usicheke mamba kabla hujavuka mto maisha nikama gwaride ukisikia nyuma geuka wakwana ashakua wamwisho mungu tusaidie mwisho mwema assalamualaikum 🇹🇿🙏🇹🇿🙏
msilauma viongozi wa nchi jilaum nyie wenyewe na tabia zenu unataka kiongozi akulete chakula mpaka nyumbani kwako wakati kazi zipo za kufanya wewe unataka upate mwanaume akuweke kimada ndani ma sim nzur gar uvae vizur mfanya kazi ndani sababu una matako unaona dunia nzima umeipatia nakuweka mapenzi mbele na pombe kuza ovyo bila plan kufikiria maisha yako kwanza nini mbele yako nyie kupenda sijui boy friend wang mpenzi wang alafu mnakuja kulaum serikal zetu sababu ya ujinga wenu mung ilinde Tanzania yang anae Fanya ujinga wake ale shida zake nasio kuitupia lawama serikal yang mama yetu mingine mia chukua mama🙏
Jiulize kwanini nguvu kubwa kuzuia wahamiaji angali sisi tunawakaribisha na kuwapa nafasi kubwa kwenye mataifa yetu.ck za mbeleni watatutawala pote watakua na haki zote Africa
Napenda sana viongozi wa namna hii, anatekeleza sheria yuko sahihi
Kwakua huna jamaa yako alokwenda kutafuta riziki
@@migando7950Afrika hakuna ridhiki?
@migando7950 riziki Gani wewe Si afuate taratibu za nchi husika ndo uzamie?
@@migando7950Fata sheria usizamie 😂😂😂😂
Roho mbaya tu na uchawi
Home is the best welcome back 🔙 home👊👊
Rudini tupambanie katiba mpya na mabadiliko maisha Bora yako hapa hapa tu shida ni mifumo ya ovyo ndio inatutesa
kweli mwanang, mtu anakimbilia nchi ya watu na kuwanyima fursa na haki zao, warudi bongo tusaidiane kuiondoa serikali ya kififsadi madarakani
Wapambaniaji wenyewe ww mboe na lisu😂😂 nyie ndo ovyo kabisa
Mungu atawalinda madam wanatafuta riziki zao na familia zao
Ni kwa njia haramu lakini.
Hamna haramu ni ufala tu, wao mbona wanakuja kwa njia halali na wanafanya uharamu huku@@rumdeesonsoa1811
Kuna sheria ujue kila nchi
Wafate haki nasiyo kwenda kinjume na Shelia ya Nchi Kwaiyo ivyo ndio Mimi napenda Kwa sababu nihatali katika nchi
Utumboo unaongea wew unajuaa wanafany biashara gn
Home is the best🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakiwa huko huingea shit juu ya africa wakije home tulime tukenge nchi zetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Roma rudi tu sasa
Yes
Mimi hua ninapenda sana mtu mwenye misimamo kama hawa
Muuwaji hyu
Ndio nilikuwa nakimbia hapa ,hawajanikamata nishafika goba ,mungu mwema
😅😅😂
Wee jaaama noma sana karibu goba me nilikuwa Los Angeles
Asaivi nipo mti pesa
Sasa si ungesubili upewe lifti kuliko ulivyorudi kwa mguu😅😅😅
😂😂😂😂😂fla wwe
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 jaman
Viongozi w africa tuache urafi mpka watu wanakimbia kwao kisa nyie ona sasa wanapata tabu dah
Kwani unadhani wahamiaji haramu niwaafrica tu ? 😅
@KampangaKampangaasilimia60 ni waafrica kutoka nchi za africa magharibi na kusini mwa jangwa la sahara kma ethiopia somalia.. wahamiaji haram wanaokamtwa hapa bongo wengi wao hua wanaelekea mataifa ya ulaya kwemda kutfta maisha bora hapa ni kama njia tu ya kupita.. wapo walio fanikiwa wengi tu kwa njia hizo na waliofaikiwa kwa njia hizo ndo hufanya walio wemgi waamini hta wao watatoboa kwa njia hizo za kuzamia.. libya ndo kituo kibkubwa cha kusafirisha waafrica wanaoenda kutfta maisha bora ulaya kwa njia ya kuzamia
@KampangaKampanga naongelea wanaonihusu tu .
Yuko sawa. Waache kuvamia nchi za watu bila utaratibu..
Sbb haijakutokea wewe,huo ni wivu watu wameenda kutafuta maisha tena wanapambana sana na sio kucheza hlf leo warudishwe watupu
Safii sana ❤❤❤❤❤❤Sasa national 🇺🇸 🌎 🇺🇲 🇺🇸 🌎 🇺🇲 ya gold
😂😂😂😂😂 Safi Sana babu traaa
Ah!mm sioni ajabu mbona hata huku inatokeaga yote maisha siokwamba et ajaabu au ndio kusema watu watakufa au kuuwana kawaida tu hiyo....hauna document utarudishwa😂😂😂😂
safi sana mtakataaje kwenu nyinyi uvivu wa kulima tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣daaaahh!!
@@gladnessfinda7534 warudi kwao tuuu, Tanzania hapa zaidi ya 50% ya ardhi haikaliwi, warudi nyumbani tuuu
❤❤@@gladnessfinda7534
Nikujitafuta tu 😢 jamen
Nakumbuka Montepiez-Nanhupo. Mozambique, wakati watu wakifanyiwa ambush 😂😂😂😂😂
Africa yangu😢
Nilikuwa nakimbia aisee sijakamatwa nishafika Mbande mungu n mwema
dj.smaa Mimi mtazamo wangu .unajuwa Mwenyezi Mungu ni Mjuzi inaweza kuwa wanawaondoa wahamiaji ili adhabu ikija waadhibiwe wao tu. Ktk nchi yao
😂😂
We umesema, hao watu walikuwa wanafanya kazi Nani atawafanyia hizo kazi? Well watawaingiza wengine ili waje kuwafanyia kazi. Watu wabaya kama wezi,majambazi na ma rapist wangewaondoa haraka Sana lakini sio innocent people
Kwa Africa viongozi wanawaangusha Sana watu wao
WARUDI TU MAKWAO 👏👏👏 WANAACHAJE NCHI ZAO
Achakusema ivo
Huo ndo ukwl mchunguu @@MariamIbrahim-h7p
The idiot doesn't know what they're talking about.
@@MariamIbrahim-h7pukiona hivyo yupo kwao
Hajui umuhimu wa kutok
Sisi tulio nje ndiyo tunajua
Safi trump
Sasa wanakimbia nini nikitendo chakuuza na kukusanya virago muhimu kwea paper njoo kwenu upige kura mitano tena😅😅
😂😂 nimecheka Kama mazuri
😅😅
😂😂😂 nimechek sana wallah
😂😂😂😂😂😂😂😂uwiiii
Kuna machizi umuu 😂😂😂
Hao watu wanakumbushwa kuthamini kwao na kuwa wazalendo wa nchi zao, kwani wengine wanajisahau na kuzisaliti nchi zao kisa wako ugenini. Kwa Hali hiyo wanapaswa kurudi na nguvu mpya na Ari mpya ya kupambana katika kuendeleza nchi zao.
hakuna asiye penda kwao tatizo ni fumo wa chi nyingi za africa unafanya watt kwenda Kwenye
Nchi zany mfumo mzur kidogo wa furs
Wakwanza Adui sio trump Niviongozi Wetu Ambao watu wanakbilia nnje kusaka maisha
Unajua sana.
😭 si poa kabisa afadhali upewe hata mali zako uuze😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥹🥹🤣🤣🤣🥹🥹🤣🥹🤣🤣 Serikali iwasaidie wapewe hata pesa zao zilizo kwenye mabenk
Mali gani, wengi wanajitafuta,na kujenga nyumba na,ardhi nchini mwao,
Mwambie Roma arudi kabla ajaingia kwenye mikono ya immigration 😅😅
Hajaingia Kwa njia za haramu yupo kihalali TU documents zote zipo mzee
Tulio nje ya nchi ndo tunaelewa sio tu marekani hata Oman kwa sasa so sad 😢
Oman pia kimenuka?
Ndio watu wajue nyumbani ni nyumbani tu,
Fanya mrudi home
Uzuri sina ndugu mi nacheka tu 😂😂😂😂
Mpaka Mseme Kenge nyie Simlikua Mnajudai hoo! Tupo Marekani 😂😂😂😂
Iyo ni ukweli mzee sky
Niko hapa USA 🇺🇸 Hali ni mbaya mzee
Mi niko West Africa, inabd nitunze nauli😂siasa zinabadilika
Welcome back home
Nilikuwa naangalia wanao kimbia kama na mage kimavi yupo kwenye hizo mbio😂
Go East Go west Home is the Best. Mwenda Tezi na Homo Marejeo Ngamani.✌️
Gustavo contaro contaro😂😂😂😂😂😂
Makemboi w marekani wamefikiwa daah kwkweli halingumu 😂😂😂unarudi nyumbani kama uliyevuliwa nguo mbona inauma🤦
Daah kibaya zaidi wakirudi uku dsm hawana zaidi ya nguo na begi lakini sio mkwanja
Na perfume 2😂😂
@tanzaniatouristsattraction1622 😄😄😄
😂😂😂 na mabuti au open shoes
@salimsoyo8118 😄😄😄
American Buti😁😁😁😁
😂😂😂uyu mzee nampenda sana
Utampenda Sana mbaka pale atakapo kufikia na wewe kwenye angle Yako!😮
😂
@@Oldskulgemini9991 amna tatizo kurudi home mbona fresh tu kasoro angekua anauwa ao anawapa kifungo camaisha ndio tatizo ila kurudishwa nyumbani mbona fresh tu 💃
Sana hali mbaya huku
Wakwanza jamani like zangu
Hyu rais ni mshenzi sana watu mnamsifiaa hyu mbwaa mungu amlaani
Akuna cha kumlahani ni nchi yao kwanini tukimbie mataifa yetu na kwenda kwenye mataifa ya watu wakamatwe wote pumbavu waludishwe waje kujenga mataifa yao ilo tu.
@RamadhaniMohamedi-de2vc mie sijasema kuhus watu warud makwao mie nasemea yy alisimamisha vita gaza ashv awaambia watu hams waondole ili yy ajengee nikty amcho sii cha kukwwli wameshindwa vita ashv wanataka wawatoe watu wa Palestine pia ashv anatakaaaznishe vita misr na jodar na bd gaza sema ndoo hvy
Ni wote tu washenzi sana
@@Rehemaally-v4sUnaandika andika tu ..hueleweki kabisa
Trampu nimshenzi sana tena sanaa
Big up Mr TRUMP
Sasa wanakimbia nn😢😢wasiyorud kwao.
Elewa neno Kuanza upya Mwanangu. Daa inauma sana binafsi najalibu kukivaa hiki kiatu. Daa basi 2 😂
Yale yale ya south Africa 😂😂😂😂
Ata huku kwetu Tanzania wanahitajika watu kama hawa mana wahamizi wapoowengi
Mungu tu awalinde wafike salm😢😢 ndomana nyumbani ata hatuhapendi tufanye vyashara ata ndogo 🥺🥺
Marekani sio kimbilio tena sky
Hakuna nchi ambayo haifanyi hivi Kwa illegal migrants
Uko Kwa watu halafu uko kwenye makundi ya wizi,drugs,wabakaji, hufuati Sheria halafu wakuache
Kwn Tanzania inaruhusu wahamiaji haramu? Hamna nchi duniani inayoruhusu wahamiaji haramu.
Safi kabsa waludi kuleta maendeleo kwenye mataifa yao
Mmh wabongo kwa kukuzaga mambo😂😂
Safi sana awa ndo viongozi 😅😂😂😂 afu wamiaji halamu ndo uwa magaidi
Wewe Mwenyeo Ni Gaidi, Hata Kuandika KISWAHILI Hujuwi."HALAMU" Ndonini!!!¿😉😉
Mimi hapa kidogo naona kuna usawa unakuja make kuna baadhi ya nchi kupata visa tu ni ngumu ya Marekani hata kama una vigezo vyote na apo unakuta mtu anaenda tu kusoma afu anarudi ila kuna nchi mweee yani akitaka tu kwenda visa chap mara moja. Kuna baadhi ya viongoz walopita marekani walizirahisishia hizi nchi za africa kwenda huko na zingine ndo ivo ndo maana kuna Wakenya na wanigeria wengi marekani
Duh ngoma ngumu 😢
😢😢
Kumeanza kuchangamka...mmh
wamefanya America kama jalala warudi wajenge nchi zao pumbafu kabisa
😂😂😂
Me nahisi watapiga nyumba kwa nyumba pia,,,kiukweli kabisa sio roho mbaya maana inatakiwa iwe legal
Mange mwaka huu atajua hajui dhuuu🤣🤣🤣
Jamaa anajua kuchangamsha dunia
Hao wenyewe wanaowakamata wenzao ni wahamiaji haramu sema wamejipenyeza kwenye serikali
Ilo tena lako😂😂😂
😂😂😂😔😔😔 this is so wild
Rudini kwenu mbona tz unatoboa ukishindwa toboa maisha unatoboa masikio
Kwahiyo Roma mkatoliki yupo hewani any time anatua JK Nyerere AIRPORT waandishi jitaalisheni kumpokea msaani sasa sijui mabegi yake kapewa au ndihivyo anarudishwa kama alivyo kwenda ndi anavyo Rudishwa kweli maisha nimtihani pia nifumbo nimeamini usicheke mamba kabla hujavuka mto maisha nikama gwaride ukisikia nyuma geuka wakwana ashakua wamwisho mungu tusaidie mwisho mwema assalamualaikum 🇹🇿🙏🇹🇿🙏
Umeambiwa wanakamatwa wahamiaji Haram sio kwawenye vibali
Goodbye American Dream
🏃🏃🏃🏃
Nipo huku mnifate😢
Maisha hayapo Marekani peke yake. Kuna China, Holland
RUDINI KWENUUUU😂😂😂😂
Sasa mbona wote wajeshi
Hapa ndipo ninapomkataa DT baada ya kumkubali hapo awali...huu ni ubaguzi na sikubalinu na hili.Hayo ni maumivu tena mau kwa wote
Home sweet home
😂😂😂 wakalimee
Ata Mimi sicheki na kima huu mwaka mpya bhana
Ni BORA nchi yao iwe safi hata tanzania samiaangefanya hiv
Kila mtu kwaooooo
Safiiiiii
Nashangaa sana nkisikia kuna mtanzania alizamia huko anaacha nchi nzuri kiasi hiki
@@israelmwasotajina lako lenyewe ni Israel unafikili utaelewa thaman ya uzuli wa Tanzania unapoona watu wanaomba Kua raiya wa Tanzania hujiuluzi??
Sasa mali zao
Vipi
😂😂ila Trump kiboko😅
Saudia pia ni hivo
Murudi kwenu 😂😂😂😂
Kila MTU akae kwao...
Kama ni mtu alikua hakapata kitu😂
Nigeria wapo zaidi ya 3000 na Kenya ni zaid ya buku
Roma safari hiyo😂
Daah sijui umefikilije mwamba nimecheka kifala sana 😂😂😂😂
@@zaidiissa3714 uwaga wanajisahau safari kweli mwamba trump acheki na kima 😃
Tutamuona Roma soon😂😂
Duuh kama sisi huku South African
Kina wakazi warudi😂😂😂
Kama digidigi?????😅😅😅😅😅😅😅
msilauma viongozi wa nchi jilaum nyie wenyewe na tabia zenu unataka kiongozi akulete chakula mpaka nyumbani kwako wakati kazi zipo za kufanya wewe unataka upate mwanaume akuweke kimada ndani ma sim nzur gar uvae vizur mfanya kazi ndani sababu una matako unaona dunia nzima umeipatia nakuweka mapenzi mbele na pombe kuza ovyo bila plan kufikiria maisha yako kwanza nini mbele yako nyie kupenda sijui boy friend wang mpenzi wang alafu mnakuja kulaum serikal zetu sababu ya ujinga wenu mung ilinde Tanzania yang anae Fanya ujinga wake ale shida zake nasio kuitupia lawama serikal yang mama yetu mingine mia chukua mama🙏
Kama south Africa sasa
Ni nchi zote wahamiaju haramu hawaitajiki
Hakuna cha imani,,,waingie kila sehemu maana huko kwenye mahekalu ndo huwa wanakimbilia kujificha
Duh hakuna tofauti na ubaguzi
Warudi tu kwao jaman hayo yote yanini
Waafrika warishangria sana ushindi Donald Trump leo mnachezeshwa kiduku😂😅
Mwenyewe hapa nawashangaa wanavyo huzunika wakati walijua haya yote yatatokea
Likiisha hili mwambieni Burnaboy AENDE Sasa kutumbuiza 02 alafu ajaze 😂😂😂
hii ngima bando mbichi acha sisi tukae pembeni alfu tutaona mambo yatakavyo kuwa ndani mpaka nje ya....
mambo ya south africa ayaa jmn
Mimi ndio maana nimezaliwa TZ na nitafia TZ
Huyu mshua sio poa
Sasa huku wakirudi lzm hasira zao wazielekeze kwenye uxhaguzi wa maandamano😂😂😂
Jiulize kwanini nguvu kubwa kuzuia wahamiaji angali sisi tunawakaribisha na kuwapa nafasi kubwa kwenye mataifa yetu.ck za mbeleni watatutawala pote watakua na haki zote Africa