Wadudu wa Arusha watakuacha hoi wakati wakisoma Biblia ya Kichuga

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 87

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 3 місяці тому +4

    NYIE SNS HAPO MME NILENGA MIMI KABISAAA KWAN HAWA NI MAJIRANI ZANGU KABISAAA
    HALAFU NINACHO KIKUBALI NINYI NI FANCY WA KILA MMOJA AISE HAMNA UBINAFSI WALA ZARAU KWAKWELI MUNGU AWABARIKI SANA
    ALLY MASUBI 🙏🙏🙏
    HENRY MWINUKA 🙏🙏🙏
    DJ SMA 🙏🙏🙏
    YULE DADA WAKWA LYIMO🙏🙏🙏
    NA WENGINEO NILIO ASAHAU 🙏🙏🙏 AHSANTENI KWA UTU WENU MUNGU AWABARIKI SANA
    KARIBUNI ARUSHA SANA PIA

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Місяць тому

    Wanangu ndugu zangu watz wenzangu wengi wenu ni vijana mtajitafuta na kutumia Kila mlichonacho kufikia baadhi ya MALENGO yenu Leo si wahukumu ila nawakumbusha jambo moja tu NENO LA MUNGU LINATAKIWA KUHESHIMIWA japo nyakati izi nazo zipo katika maandiko ila kukumbishana ni muhimu na pia baya zaidi kumchezea roho mtakatifu ni mbaya baba la baba
    Mathayo 12:31-32
    Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu. Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao

  • @faisalahmed7757
    @faisalahmed7757 3 місяці тому +3

    Mmetisha baba

  • @WamburaThomas-s3u
    @WamburaThomas-s3u 3 місяці тому

    Umetisha sana aww🇰🇪🇨🇭🇬🇬

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 3 місяці тому +6

    Daaaah bange mbaya jamani 😂😂😂😂😂

  • @mohammedmmari4791
    @mohammedmmari4791 Місяць тому

    Shikamo Arusha yangu ♥️♥️♥️♥️🔨🔨

  • @NeemaAyo-h1p
    @NeemaAyo-h1p 2 місяці тому

    Bwana YESU awarehemu,awaokoe muwe watumishi wake kweli

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates 3 місяці тому +4

    Ila bangi ya Arusha

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Місяць тому

    Yaani wanangu tujichetue kote ila matani na anayekupa uai na pumzi anayetulinda daily na kutubeba na madhambi yetu mengi kiburi uzinzi uasherati wizi ufisadi maovu yote yakutisha tumuachage aliko ila tuombe rehema ili tusipitwe kadri nyakati za mwisho zikikaribia ni mbaya itakuwa aseee tuombe atusaidie na sio kumtania Tania Mungu uyu mwamba ataniwagi uyu wazeeee 😭😭😭 akikasirika akibaki kitu ndugu ZANGUNI tumwogope Mungu tumwogope wadau afananishwi na chochote huyu Muumba wa mbingu na nchi tusije tukapigwa upofu tukashindwa kujua tutokaje uko Kati baba la baba

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 3 місяці тому +2

    Hii hatarii nimecheka leoo😂😂😂😂😂😮😂😮😂😮😂😮😂😮😂😮😂😮😮😂😮😂😮😂😮😂😮😮😮😂😮😂😮😮😂😂😂😂😂😂😂

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +3

    Nimechekaa sana😂😂😂

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 2 місяці тому

    Bablai Mungu atukuzwe bablai Mungu ni mmoja tuu

  • @DouglasMkude
    @DouglasMkude 3 місяці тому +1

    Bwana Yesu awarehemu,awaokoe kwenye moto wa milele

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 3 місяці тому +3

    🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 3 місяці тому +12

    Sio sawa kudhihaki biblia

    • @EdwinKihumbe
      @EdwinKihumbe 3 місяці тому

      Kwani Biblia maana yake ni nini?

    • @RichWise671
      @RichWise671 3 місяці тому

      Mbona ni riwaya tu hii 😂😂😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv 3 місяці тому +1

      Good point 😢😢😢😢🤲🤲🙏🏼🙏🏼

    • @TuntufyeBrayson
      @TuntufyeBrayson 3 місяці тому

      We vip 😊

  • @masoudkashato1378
    @masoudkashato1378 3 місяці тому +3

    Bangi ya Arusha kiboko

  • @PAULOWILLIAMJOSEPH
    @PAULOWILLIAMJOSEPH 3 місяці тому

    ishi maisha yako hawajakosea wametumia sanaa yao

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 3 місяці тому

    Haleluyaaaaa wana sns woteeeee😂😂😂

  • @sleymankassim4332
    @sleymankassim4332 3 місяці тому +2

    Daah waduduuuuu, 😂😂😂

  • @absm8084
    @absm8084 3 місяці тому

    Banging😢😢😢😢😢😢 hiyo

  • @leftIQ
    @leftIQ 3 місяці тому +3

    Kama nawaona wenye dini zenu mnavyoteseka😂😂😂

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 3 місяці тому +2

    Ila Bangi 😅😅😅

  • @donclassictz7652
    @donclassictz7652 3 місяці тому +2

    😂😂😂😂wadudu official wanaakili nyingi sana

    • @aayanmaroba6056
      @aayanmaroba6056 3 місяці тому +1

      Hawana akili yyt bali ni ujinga bangi zinawasumbua.
      AFU NI USHAMBA

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂kumbe mpaka ya kichuga ipoo😂😂😂

  • @calveenykevoo5399
    @calveenykevoo5399 3 місяці тому +3

    Aaah kudadeq

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 місяці тому +2

    dah ila nangi

  • @japhet-i9c
    @japhet-i9c 5 днів тому

    Nimecheka sana et kitabuifungwe😅

  • @jonasjme
    @jonasjme 3 місяці тому +1

    Washenzi kabisa😂😂

  • @Nestoemanuel
    @Nestoemanuel 3 місяці тому +1

    Nyooo😂😂😂😂

  • @GMk-fw4vd
    @GMk-fw4vd 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 місяці тому +1

    Kwenye maombi mmetisha😂😂😂😂

  • @AngelJustine-h7w
    @AngelJustine-h7w 3 місяці тому

    Shika rabo shika😅😊😊

  • @abihudiisaka2618
    @abihudiisaka2618 3 місяці тому +1

    Ukimaso share moko mlango wa jero be nao unabonga😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌chuga sihami...

  • @Pemba680
    @Pemba680 3 місяці тому +1

    Ila bangi😂

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 3 місяці тому +1

    Sasa naanza kumuelewa LEMA mtoto wa kiongozi yoyote anakubali mtoto wake aitwe mdudu?

  • @leotena8456
    @leotena8456 3 місяці тому +2

    Muda Wa sadaka jaman 😁

  • @coj7920
    @coj7920 3 місяці тому

    Yaani ingekuwa wamedhihaki kitabu cha wenzetu wa upande wa pili, yaani hizo vurugu zake Tz pasingetosha. Cha kujifunza wale wa upande wa pili ni kuvumiliana na kuchukuliana maana sisi sote tu wamoja kwa aliyetuumba

    • @hamisimkoma7380
      @hamisimkoma7380 3 місяці тому

      Hiyo ni dini ya utapeli ndio maana inadhihakiwa

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 3 місяці тому

      Kuna wakuu wako huko wametunga had bibilia inayokubali ushoga je hao ambao wametunga mashairi yao tu bora wapi .Ndo ujuwe kuwa bibilia si kitabu cha mungu ni cha watu wenye uwezo wa kuondosha maandiko wasioyataka na kuweka wanayotaka kulingana na fikra zao.Mlikosea Zaman tangu mlipoambiwa linakuja agano jipya mkakubal kulipikea bila kuuliza linakuja na mtu gn?

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 3 місяці тому

      Bila kuuliza linakuja na mtume gn nyie mkapokea sasa jiandae na agano linakutaka uwe shoga linakuja ( New testament)maana nyie kizungu mnakiabudu eti

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 3 місяці тому +1

    Hahaha😂😂😂😂😂kitunyo

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 3 місяці тому +1

    Dah siku wakija kujitambua hawa nakufa😂

  • @kingmsanya3524
    @kingmsanya3524 3 місяці тому +2

    😂😂😂

  • @jonasjme
    @jonasjme 3 місяці тому

    Mlango wa 40

  • @ozilraven8442
    @ozilraven8442 3 місяці тому +1

    n vzr kuchekesha but next time wasilete utani kwenye maswala ya dini

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 3 місяці тому +2

      Una elewa unacho sema au usema kwakuwa ume sikia wakubwa zako waki sema dini zinge kuwa na maana hata ndoa zisinge vunjwa ndomana una funga ndoa kwenye dini chet kina tolewa na serikali na anae vunja ndoa ni serikali kwasa babu dini sio kitu cha ukweli ni uwongo hata iyo bendera ulio weka hata unge jua maana yake usinge weka

    • @ozilraven8442
      @ozilraven8442 3 місяці тому

      @@BarnabasFabiani me naona ata ww unatumia matope badala ya akili sa maoni yangu yanakuhusu nn na bendera imekugusa wp au shobo2 mikazo zero

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 3 місяці тому

      @@ozilraven8442 dini ime kuharibu sana

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому

      ​@@BarnabasFabianiShika adabu mpuuzi wewe
      Unaleta ujinga kwenye Imani
      Na Neno la Mungu
      Puuzi kabisa fanyeni ujinga kwenye mambo yenu mengine

    • @BarnabasFabiani
      @BarnabasFabiani 3 місяці тому +1

      @@zebedayokatamaduni9676 mungu yupi ume pigwa wewe akuna mungu ndomana kilakitu una fanya ww hakuna alicho fanya mungu

  • @imma_billy
    @imma_billy 3 місяці тому

    Aloooh hawa jamaa akili kisoda 😂

  • @EdwinJambo
    @EdwinJambo 3 місяці тому +1

    Hapa bange zinahusika

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson 3 місяці тому

    Arusha ni nchi ndani ya nchi ya Tanzania

  • @HAPPYTADEI
    @HAPPYTADEI 27 днів тому

    Vijana wa arusha wa hovyo sana😅

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau551 2 місяці тому

    Pastor goraniani goraa 😂

  • @janethKamazima
    @janethKamazima 3 місяці тому

    Mnafanya kitu hatari bila nyinyi kujijuq kwa mfano sasa mmeanda wakati mnataka kuingia langoni nafsi yako itakuwa inaongea ni nini ni huo uchafu mnaouongoe kweli turudi msalqbqni Bwana anawaita acheni haya mnayoyafanya mbele kuna garama na kilio kikuu mtakumbuka haya maneno msipo tubu

    • @JamesRichard6719
      @JamesRichard6719 2 місяці тому

      @janethKamazima we enyewe unae zambi ya atari

  • @JamesRichard6719
    @JamesRichard6719 2 місяці тому

    😂😂😂😂mbaya tu

  • @Spekalifetz
    @Spekalifetz 3 місяці тому

    Mlango wa jero unabonga

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 місяці тому

    Wana vuta Cha Arusha

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 3 місяці тому

    Machizi ya Kenya yameamia a town 🤣🤣🤣🤣

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 місяці тому +1

    😂😂

  • @ephraimwadaudi2867
    @ephraimwadaudi2867 3 місяці тому

    Can't you act without making mockery on priesthood

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 3 місяці тому

    Mlango wa 40 mstari wa mkuu wa mkoaaaaaaa😂😂😂😂

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 3 місяці тому

    Mlaniwe namfe kabla yawakatiwenu goma nyie

  • @mudub0etz
    @mudub0etz 3 місяці тому +1

    Ila wadudu😅

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 місяці тому +1

    Kwenye maombi mmetisha😂😂😂😂

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 3 місяці тому +1

    😂😂😂

  • @nick1o7bang17
    @nick1o7bang17 3 місяці тому +2

    😂😂😂😂😂😂

  • @Baday_8
    @Baday_8 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂

  • @JacksonKilewo
    @JacksonKilewo 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂