Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Napenda sana mafundisho pastor Ndacha. Mafundisho yake yameniconvinced hadi nimekuwa mfuazi wa kristo.
Thank alot bnd team be blessed alot for your message🙏
Congolese bado wako kwa kiza. Masomo hawana
Vizuri sana walimu wetu ktk RDC ❤❤
Wa congo niwazayifu sana hawajuwi biblia wanateteya uongo tuu
Walimu wa congo wameshindwa na Mada.
Wasabato hakili zimefunikwa nakitamba cha musa, si mmi ni bibilia waje kwa chirist watajwa nakuewa vizli sana
Ndacha ni mwalimu wangu alakini mambo yasabato hatuelewani vizuri😂
Yani mnaosali jumapili mmesha logwa na shetan hamelewi kabisa jaman
Kwa injili ya namana ihi vita ahiwezi kwisha kongo
Hawa wahubiri wa congo nawa hurumia ak wamepotea pasipo kujua wamepotea
Roho Mtakatifu atawafundisha wa Kongo
Wa Congo wameshindwa hii mada
Taking scriptures out of context, jamani kelele na hata hawajibu swali
Swali gani ninyi wapambe wa Ndacha
hawa ni pimbi kabisa
Hii dunia kweli yesu yupo karibu kurudi hivi kweli kwa akiri ya kawaida tu umeshindwa kujua siku ya ibada ni ipi? Simple kabisa
Wa congo wataenda mbinguni bila sheriya 😂😂😂😂 hiyi ni uongo usio nakipimo ha wawatu wa nasoma biblia gani???😂😂😂😂😂😂😂
Cameraman awe anaonesha pande zote
Amina watumishi
Paulo anasema amuli kumi azituwusu, je sabato ayipo? Nini nyiee wasabato
🤣🤣🤣 wakristo wamiumana leo
kweli shetani amewatoa majeshi yake hata hawa wacongo wamepotea hivi hawa na mwakemwa wa tazania
Ndacha na timu yake ni waongo azipiti siku nyingi ataku mwislam
Wewe bado uko kwenye Usingizi,ndoto Ni Tamu. Utaamka tu
Wewe unaota kweli
Sabato means saba
Kwa tafsiri ya Lugha gani?
@@henrysizya239 kiarabu sabath
@@henrysizya239 kiarabu
@@henrysizya239 sabato ni kiyunani. Kwa kiarabu ni sabath. Siku ya saba
Napenda sana mafundisho pastor Ndacha. Mafundisho yake yameniconvinced hadi nimekuwa mfuazi wa kristo.
Thank alot bnd team be blessed alot for your message🙏
Congolese bado wako kwa kiza. Masomo hawana
Vizuri sana walimu wetu ktk RDC ❤❤
Wa congo niwazayifu sana hawajuwi biblia wanateteya uongo tuu
Walimu wa congo wameshindwa na Mada.
Wasabato hakili zimefunikwa nakitamba cha musa, si mmi ni bibilia waje kwa chirist watajwa nakuewa vizli sana
Ndacha ni mwalimu wangu alakini mambo yasabato hatuelewani vizuri😂
Yani mnaosali jumapili mmesha logwa na shetan hamelewi kabisa jaman
Kwa injili ya namana ihi vita ahiwezi kwisha kongo
Hawa wahubiri wa congo nawa hurumia ak wamepotea pasipo kujua wamepotea
Roho Mtakatifu atawafundisha wa Kongo
Wa Congo wameshindwa hii mada
Taking scriptures out of context, jamani kelele na hata hawajibu swali
Swali gani ninyi wapambe wa Ndacha
hawa ni pimbi kabisa
Hii dunia kweli yesu yupo karibu kurudi hivi kweli kwa akiri ya kawaida tu umeshindwa kujua siku ya ibada ni ipi? Simple kabisa
Wa congo wataenda mbinguni bila sheriya 😂😂😂😂 hiyi ni uongo usio nakipimo ha wawatu wa nasoma biblia gani???😂😂😂😂😂😂😂
Cameraman awe anaonesha pande zote
Amina watumishi
Paulo anasema amuli kumi azituwusu, je sabato ayipo? Nini nyiee wasabato
🤣🤣🤣 wakristo wamiumana leo
kweli shetani amewatoa majeshi yake hata hawa wacongo wamepotea hivi hawa na mwakemwa wa tazania
Ndacha na timu yake ni waongo azipiti siku nyingi ataku mwislam
Wewe bado uko kwenye Usingizi,ndoto Ni Tamu. Utaamka tu
Wewe unaota kweli
Sabato means saba
Kwa tafsiri ya Lugha gani?
@@henrysizya239 kiarabu sabath
@@henrysizya239 kiarabu
@@henrysizya239 sabato ni kiyunani. Kwa kiarabu ni sabath. Siku ya saba