Asante mo kwa kutupatia mpanzu kweli ww mo waiipenda simba ,mchngo wetu sis washabiki ni kuhakikisha kila mechi tunajaza uwanja,,by baba ajmli sizini pemba
Sawa usajili mzuri. Lakini bado mimi sina imani na MOHAMED. HUSSEIN. Na Shomari kapombe. Hawo wa urafiki wa jirani na Chama. Na Chama ame hujumu sana Simba. Huyu Chama alikwa Ana mhaba na yanga ndeio yanga walikwa wana pita kwa Chama kuhujumu Simba. Naomba viongozi wafikeriye hawo wawili.
Tunamhitaji sana hyo kijana maana ni kijana mzuri sana simba nguvu moja
Asante mo kwa kutupatia mpanzu kweli ww mo waiipenda simba ,mchngo wetu sis washabiki ni kuhakikisha kila mechi tunajaza uwanja,,by baba ajmli sizini pemba
Big app Simba Nguvu Moja
Mpanzu furaha ya simba bado Feisal Zanzibar finest
Hii ndo data sport tunayoitaka, yes wachambuzi wa viwango! 👊
Mo unafeli wapi mlete Elie mpanzu
Tuna msubili kwa hamu Elia mpanzu
Deal done
Mo dewij tunaomba tuletee Mpanzu nimwamba kwelikweli boss tunakuamin .
Ivi kumbe usajili haujafungwa?
Mo ebu wape watakacho hao ,,kma mawe unayo ebu fanya kweli baba mo sisi mpanzu tu nashida nae
Hii mediya ni yakisenge kabisa taarifa zenu nizakubuni2 juz2 mmesama dili la mpanzu limeingiliwa na yanga
Kwani siulisema anaenda yanga tuamini lipi tusimamie kwenye lipi????
Tunamtaka mpanzu tupo tayari kuchangia
Lakini nyie mlisema ataenda yanga tuwaelewaje?
Onana ni bora kuliko Fredy bora aondoke Fred
Onana ni bishooo
Bora fred
Sawa usajili mzuri. Lakini bado mimi sina imani na MOHAMED. HUSSEIN. Na Shomari kapombe. Hawo wa urafiki wa jirani na Chama. Na Chama ame hujumu sana Simba. Huyu Chama alikwa Ana mhaba na yanga ndeio yanga walikwa wana pita kwa Chama kuhujumu Simba. Naomba viongozi wafikeriye hawo wawili.
Tshabalala hajawahi ihujumu Simba
hajawahi na hata FANYA HIVYO MILELE tshabalala
cobran aondoke
sombasomba abaki
Ubaya ubwela udungu umara
Acha umbea wako na majungu haha huo wasiwasi wako unatokana na nini au na w😮ewe ni mshilikina
Nikua naulizia batii izo nazipqtaje
0782055044 piga kwa maelezo zaidi
Aondoke Fred tulimpenda ila mpanzu tuna mpenda zaidi