Umeongea point wng..Mercy amefarik juzjuz lkn saut haijapazwa zaid ya Joyce kiria ndo alikua mstar wa mbele hatujaona kiongoz alieguswa na hilo na weng wanaangamia sana wanawake bila kusikika, sasa shilole ni sawa tu na sis wanawake wengne tusio na majna hatujulikani ,asante sana AT kwa kukumbuka wengne Allah akusmamie ktk mambo yk!.
I'm proud of you brother AT, GOD BLESS YOU MINGI, NAPENDA WATU KAMA WEWE KATIKA TASINIA YA MZIKI KAMA KIONGOZI MSIMAMIZI, MAANA UMEITENDEA HAKI INTERVIEW YAKO. MUCH RESPECT 💯🙏👌
AT youre right shishi used to beat Nuhu no one said a thing she thought she would do the same to Uchebe .am not saying hitting ladies is ok but Tht woman needs to change her behaviors 😂😂 alitaka Kiki na sympathy
hahaah kweli huenda roma kasoma gazeti tu mana kama kusoma kila mtu kasoma ujue Ally tall we noma hahahahhhahahha lina mipoint hili jamaaaa hahaha chadema watu milioni 6 ccm watu milioni 8 ukishabikia ccm umepoteza watu milioni 6 haya ukishabikia chadema ccm utakua umepoteza watu wangapi hahaha roma tuache ccm oyeee hahahahahahh
Hata mimi nilishangaa na bado naendelea kushangaa sana eti Shilole kubigwa imekuwa gumzo kila kona utadhini yeye ndiyo wa kwanza kupigwa hii yote ni kumuonea Uchebe kisa sio star kama wao.
Shilole ni mtu asiejielewa shilole hajifaham nilikiwa nikimpenda sana lkn nilimchukia zamani sana shilole tangu alipotoa dharau kwa mzee wa Liquid kwnz huyu dada anajiona balaa lkn angejiona asingeringa alikuwa akimpiga sana Nuh
😂😂😂 Dah AT Yuko very smart Sana ..kwel uligundua watu hawapendani Et Wameleft Hata Nusu saa haijaisha wanakuuliza Tena "Unafeli Wapi" ..Na Ndomaan Wanaijeria Wasanii wao Wanafika mbali cz wana Aim Wengi watoke sio Wachache tu wale keki peke Yao.. Na kaul inasema " Uktaka Kufka mbali nenda na wenzako, Maana Nguvu inakuwa Kubwa sna na Utajkuta Mahali ulipotakiwa utumie Miaka 5 ufke utatumia Miaka michache au mda mchache Kufka mbali Maana Mnakuwa mna push Mlango watu Wengi Hivyo Utafunguka Na Wengi Watapita
Wewe. magufuli kachukua kwa nguvu michango waliokuwa wamechangiwa watoto wa laki vicent kawazurumu watu wabukoba waliopata tetemeko la ardhi, kazurumu pesa zilizokuwa zimechangwa kwa ajili ya wahanga wa meli kule ukerewe
Yani AT umeongea kama watu 100....shilole no kama wanawake wengine isiwe yeye tu kila mahali...Kwani kaanza yeye kupigwa....wangapi wapigwa wala husiki mtu kukohoa
Point tupu an wanawake tuko wengi lkn hili jambo la shilole ndo limeonekana sana ila huku mtaan wengi tyuuu wanapigwa lkn hakuna kinachofanyika hapa kuna matabaka
AT UMEONGEA POINT BRO WATU HAWAYAONI HAYO WANAHEMKA TUUU KAMA KWELI WAMEUMIA BASI WAENDE KUMUULIZA UCHEBE KULIKONI ISIJE SHILOLE ALIKUA NA HAMU YA KUPIGWA KAMA HAMU ZINGIE HUO NI MSAMIATI NDUGU ZANGU
Wallah ni kweli maneno yako viongoz wanatazama umarufu wale walopigwa mpaka kufa hakuna alopaza saut wala nn walikaa kimyaaa kweli kabisa umeongea kweli Tena kweli
ROMA anataka choko choko ili apewe uraia wa Marekani kama mkimbizi wa kisiasa , Alijiteka mwenyewe akajirudisha , kaishiwa mashairi kabaki vijembe tu .
@@salminisalehe9417 Mashoga mna kazi nyie , kwenye kila kitu mnawaza mavi tu kwa sababu ndio mnachezewa , katafute bwana mie sifanyi mchezo huo , nimemzungumzia ROMA unawashwa wewe , au Bwanaako ???
@@chayogasperi9783 unaznguaaaa weee jamaaa sasa ushoga apoo uko wapi??? hv umeelewaaaaa swaliii na majibuuu yakeeee??? daaaaah kweliiii kuna watuuu na viatuuuuu😂
@@boanergegift5258 Huyo Salmin Salehe aliponiambia mimi nitumie akili kwenye kufikiri , nisitumie mavi umeona sawa ?? yeye hakuzinguaa ??? Kaandika mavi na mie nimemjibu kimavi mavi . ( kalipa nimemrudishia chenji ) Sawa ???
Mashallah umenikuna haswaaaa katika wote walio ongea wewe babalao jamaniii umeongea point Sana mashallah mashallah mashallah 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Katika wasanii ambayo wamejibu ili swali vizuri..ni huyu tu..kila msanii achague upande wake
Yaan umeongea point hata yeye alimpiga nuh mziwanda kachemmka hakumbuki alichokifanya kasahau mkuki kwa nguruwe
Kweli kaka uyu shilole amuheshim.mumewe kwasababu anahela
@@عباسعباس-ش9ه4ت Kansas yaan
Shilole atakufa akiwa n malaya
Kaongea point sana hyu mwamba🔥🔥🔥🔥
Good interview... Jamaa clever Sana. Kaongea point back 2 back!
Wacha nisambaze link hii nimeipenda Sana Sana Sana Sana wallah
Bro ume bonga sana za wote umarufu ndo twapotea kiu binadamu sure congratulations bro✌️
Umeongea point wng..Mercy amefarik juzjuz lkn saut haijapazwa zaid ya Joyce kiria ndo alikua mstar wa mbele hatujaona kiongoz alieguswa na hilo na weng wanaangamia sana wanawake bila kusikika, sasa shilole ni sawa tu na sis wanawake wengne tusio na majna hatujulikani ,asante sana AT kwa kukumbuka wengne Allah akusmamie ktk mambo yk!.
Hongera sana umegusa moyo Wangu big point
Mercy ni Nani.....!???
Kwani uchebe kawakosea watanzania au kamkosea mkewake
Na mm nashanga aisee😁😁😁
Ni kweli Shilole mwenyewe alikua anakiri kwamba alikua anampiga Nuhu Mziwanda
Umesema ukweli hajasema mtu yoyote. Kuhuc unyanyasaji Binaadam wote sio upigwe vita wa watu marufu
Nakupenda we Kaka acha2
Jmn mm pia nampenda huyu kaka vby mno yaan nikimuon moyo wng fyuuuu unafurahiiii ningekuw na no yake nichat nae tu niwe nacheka kwa furah
Yani ki2 kumoyo 💕💚💜❤hanaga mambo ya kiki na akiongea unapenda 2 anavyo jielezea
Kweli.upo sahihi
Kweli.upo sahihi
AT msema kweli daaaa😂😂😂 kasoma gazeti la udakuu huyo ROMA😂😂😂
I'm proud of you brother AT, GOD BLESS YOU MINGI, NAPENDA WATU KAMA WEWE KATIKA TASINIA YA MZIKI KAMA KIONGOZI MSIMAMIZI, MAANA UMEITENDEA HAKI INTERVIEW YAKO. MUCH RESPECT 💯🙏👌
AT youre right shishi used to beat Nuhu no one said a thing she thought she would do the same to Uchebe .am not saying hitting ladies is ok but Tht woman needs to change her behaviors 😂😂 alitaka Kiki na sympathy
hahaah kweli huenda roma kasoma gazeti tu mana kama kusoma kila mtu kasoma ujue Ally tall we noma hahahahhhahahha lina mipoint hili jamaaaa hahaha chadema watu milioni 6 ccm watu milioni 8 ukishabikia ccm umepoteza watu milioni 6 haya ukishabikia chadema ccm utakua umepoteza watu wangapi hahaha roma tuache ccm oyeee hahahahahahh
Dah At.yuko vizuri nimemwerewa vizuri Sana katupa interview yakisasa pongezi kwake brother
Umeongea ukweli na unaeleweka vizuri sana
IT,uko sawa kaka big up
Hata mimi nilishangaa na bado naendelea kushangaa sana eti Shilole kubigwa imekuwa gumzo kila kona utadhini yeye ndiyo wa kwanza kupigwa hii yote ni kumuonea Uchebe kisa sio star kama wao.
True
Hawa waliwakuwa wanamziki wazuri sana aki wamekosa full support,msikize anavyosema,very sad😭😭
Uko vizur Sana ume eleweka mzee
Hakuna aliesahau wanajisahaulisha,hata huyo Shilole nae alikua anampiga Nuhu Mziwanda watu wote kimya’
ASANTE KWA KUTAZAMA USISSHAU KUSUBSCRIBE CHANNEL HII.🙏
Shilole ni mtu asiejielewa shilole hajifaham nilikiwa nikimpenda sana lkn nilimchukia zamani sana shilole tangu alipotoa dharau kwa mzee wa Liquid kwnz huyu dada anajiona balaa lkn angejiona asingeringa alikuwa akimpiga sana Nuh
Sawa sawa
Umeongea point kubwa sana
Upuuz, m2pu, watengnezw mmoja akae juu miaka yote.. kutaft jina 2 mjn
Eti hata inzi anajina lake ujinga wake alienda chooni mwenzake nyuki yuwatengeza asali 🤣🤣🤣
100% true 👍🏽
Nimekuelewa kaka
.
Kilichonileta hapa ni baada ya kuona jina la WCB na Diamond
Uyu jamaa sijawai kuona interview take yoyote alio kosea majibu ya kutosheleza ata kwa watazamaji
Daaah jamaaa yuko vizuri hatar iq hapa iko vizuri safi sana kaka
Umeongea jambo kubwa na zuli sana
Nimekuelewa mkali
Uyu jamaaa genius sana
Ni mkarimu ameongea vizur
sana
Right on point. Big up bro
Point sanaaaa
Well said 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
AT umeongea kihekima bro
Umesema ukweli 👏
kweli nenda tarime ndo utajua wanawake wanapingwa au shishi kanguswa tu ndo watu sasa wapaze sauti wanawake wananynyasika sana vijijini jamani kweli bro unafiki unatakiwa uishe jamani
Kweli काका unayoyasema
Umeongeya vizuri san A.t nakukubali San hadi msikiwako
Huyo ndio AT ayaaaa mzenji kwa manenoooo mtakeshaaaa🤣🤣🤣🤣
AT unajikunaje sasa jikune kiume
Umeongea kweli mashaalla una maarifa ndugu
That's good bro.
😂😂😂 Dah AT Yuko very smart Sana ..kwel uligundua watu hawapendani Et Wameleft Hata Nusu saa haijaisha wanakuuliza Tena "Unafeli Wapi" ..Na Ndomaan Wanaijeria Wasanii wao Wanafika mbali cz wana Aim Wengi watoke sio Wachache tu wale keki peke Yao.. Na kaul inasema " Uktaka Kufka mbali nenda na wenzako, Maana Nguvu inakuwa Kubwa sna na Utajkuta Mahali ulipotakiwa utumie Miaka 5 ufke utatumia Miaka michache au mda mchache Kufka mbali Maana Mnakuwa mna push Mlango watu Wengi Hivyo Utafunguka Na Wengi Watapita
Safi sana
Very true A T
Asnte kaka umeongea pont
Kaka yetu tumekumbuka nyombo zako zilikuwa nzuri sana mbona haujatiwa nyimbo mpya
Haya mambo ya mke namme yapo kilasiku ukifanyakosa lazima unyoshwe kupigwa ni suna bhana umeongeya point San At
Asante sana kwa busara zako najua watu wengi wanajifunza mengi.
Unaogeya Vema kabisa
Safi sana At ushauri mzuri
At balaa
Mm nakupenda sana ndugu yangu ww huwa unasema kweli sanaa
Safi sana
Wewe. magufuli kachukua kwa nguvu michango waliokuwa wamechangiwa watoto wa laki vicent kawazurumu watu wabukoba waliopata tetemeko la ardhi, kazurumu pesa zilizokuwa zimechangwa kwa ajili ya wahanga wa meli kule ukerewe
Ukweli mtupu ....wewe ndie dume...hao wabongo ndio walivyo...hawapimi
Wewe wa wapi
@@partnersah8802 huyu mzanzibar, wazanzibar sisi wabatu wa wabara wanatuita wabongo, nimekaa now😂😂😂😂😂
Point 💯
Nikweriwasani munachuki acha vanesa aache
Sio kina baba levo wanaochochea ndoa za watu kuvunjika wale watu wabaya kweli
😂😂😂😂Yule ni mchekeshaj ukimfuatilia sana unaweza ukaumia ni mzee wa masiharaaa
@@beautyibrahim8428 hakuna masihara kwa mke wa mtu yule yupo kwenye masihara na ukwel umo umo
Alikosa adabu ndio maana akapigwa
Well said brother
This man is primitive
😂 😂 😂 😂
Mmh watangazaji munapenda kurefusha mambo ambayo yameshaongelewa kwa muda mrefu halafu munauliza kila mtu sijui mutapata majibu ya mbinguni au vipi.
mnasikia nyie mnao jifanya mpo kwenye dunia yenu ya Instagram🙀aka masuper star
🔥🔥🔥🔥
Ametisha
Yani AT umeongea kama watu 100....shilole no kama wanawake wengine isiwe yeye tu kila mahali...Kwani kaanza yeye kupigwa....wangapi wapigwa wala husiki mtu kukohoa
Wewe AT Wacha Ujinga Maendeleo Gani. ??? Bora Tuwe Kama Pemba Tueshimiane
Big up. Roma nimemsikliza sana hata zile nyimbo zake,zimesimama kwenye vyama.ukiwa mwelevu anajua tu huyu ni mpinzani!!!!!
Umesema kwel AT maana hata huku kwetu kuna mdada alipigwa mpaka akang'atwa sikio na mumewe lakn ikawa kimya huyo Shilole nani.....
Nikwelii umeongea pwety
Siyo wote wanahimba wana akili kama ya AT. Well said bro.
Naombeni namba ya At mwenye nae anitumie 0692937327
Point tupu an wanawake tuko wengi lkn hili jambo la shilole ndo limeonekana sana ila huku mtaan wengi tyuuu wanapigwa lkn hakuna kinachofanyika hapa kuna matabaka
Hii ndio inaitwa busara,big up Kaka umeongea ukamaliza👍
Umeaongea point mzanzibar mwenzangu wallah ukipata wenzako kama watano ttyu bas wasanii watajiongeza hata umalaya wataacha
Jamani nimecheka, eti nilikutana na Dudu baya wasafi festival Kelele zote zile kakaa kimnya kama katolewa mahali ( Pisa ) 😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa point kaka wote wanafiki
Point nzuri na ni fact kabisa.
Ila wacha kazi hii haikubaliani na amri za Muumbaji.
AT...wewe ni MTU mzima ....wambie ukweli Kaka ...wanawake maskini wanaumiaa sanaaa
Asiombe radhi kwa watanzania aombe radhi kwa shilole kwani mkewe hakupigwa na watanzania
AT UMEONGEA POINT BRO WATU HAWAYAONI HAYO WANAHEMKA TUUU KAMA KWELI WAMEUMIA BASI WAENDE KUMUULIZA UCHEBE KULIKONI ISIJE SHILOLE ALIKUA NA HAMU YA KUPIGWA KAMA HAMU ZINGIE
HUO NI MSAMIATI NDUGU ZANGU
Wallah ni kweli maneno yako viongoz wanatazama umarufu wale walopigwa mpaka kufa hakuna alopaza saut wala nn walikaa kimyaaa kweli kabisa umeongea kweli Tena kweli
Jamaa namwelewa... eti, Chris brown ni wa taarabu ama lil Wayne ni pikipiki
Nampenda huyu kaka jamanii
Bro Nakubalisana ukweliwako
Safiii
At umeongea Point Sana
🤝👍
Kweli kabisa!huyo Roma aelewe kuwa MUNGU anamuona !.
Umeongea vzr sana,hongera sana AT
ROMA anataka choko choko ili apewe uraia wa Marekani kama mkimbizi wa kisiasa ,
Alijiteka mwenyewe akajirudisha , kaishiwa mashairi kabaki vijembe tu .
Tumia Akili Acha Kutumia Mavi kwenye Kufikiri
@@salminisalehe9417
Mashoga mna kazi nyie , kwenye kila kitu mnawaza mavi tu kwa sababu ndio mnachezewa , katafute bwana mie sifanyi mchezo huo , nimemzungumzia ROMA unawashwa wewe , au Bwanaako ???
@@chayogasperi9783 unaznguaaaa weee jamaaa sasa ushoga apoo uko wapi??? hv umeelewaaaaa swaliii na majibuuu yakeeee??? daaaaah kweliiii kuna watuuu na viatuuuuu😂
@@boanergegift5258
Huyo Salmin Salehe
aliponiambia mimi nitumie akili kwenye kufikiri , nisitumie mavi umeona sawa ?? yeye hakuzinguaa ???
Kaandika mavi na mie nimemjibu kimavi mavi .
( kalipa nimemrudishia chenji )
Sawa ???
Respect
Fact