ILE SIRI YA KUASI HIVI SASA INATENDA KAZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #Mezayabusara #Shalomtvonline
    Ungana na Bishop Gamanywa kupitia / bishopsylves. . Yesu ni zaidi ya maji,mafuta,vitambaa na vitu vyote! ndio maana tunatangaza bali sisi tunamhubiri KRISTO. JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO HILI HAPA...www.youtube.co....
    KUUNGANA NA JUKWAA HILI TEMBELEA SHALOM TV ONLINE KISHA Subscribe.. / shalomtvonline

КОМЕНТАРІ • 16

  • @dreamlineshift1801
    @dreamlineshift1801 3 роки тому

    Shukrani
    Baraka tele
    Neema
    Reema
    Nautawala wa roho takatifu ilisikuyakunyakuliwa tunyakuliwe pamoja kumlaki bwana

  • @gedionelius55
    @gedionelius55 5 років тому +1

    Hawa Ndio Watumishi Wa MUNGU Wanaohubiri Juu Ya TOBA Na ONDOLEO LA DHAMBI,, MUNGU Awabariki sana

  • @isakatogoro4697
    @isakatogoro4697 4 роки тому

    Dadi sana Mchungaji Omarii song a mbele kuitangaza Kristo

  • @winfridaadam2813
    @winfridaadam2813 5 років тому +1

    Mungu akubariki bishop

  • @magnusmve9373
    @magnusmve9373 5 років тому +1

    Mungu akubariki askf kwa mafundisho haya

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 5 років тому +1

    Heri nimesikiliza haya👂🤝👏

  • @edwinvictor9236
    @edwinvictor9236 5 років тому +1

    Sauti ya mtumishi huwa ya chini sijui kwa nn hata akiwa ibadani jaribuni kuongeza sauti.

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому

    Uzao wa ibrahim sio kindowa nikiroho yani kufata Mungu umoja wewewewe soneni fateni maandiko sahihi

  • @mrongasteven7166
    @mrongasteven7166 4 роки тому

    🙏

  • @hermansiphael3841
    @hermansiphael3841 3 роки тому +1

    Apo European Union Kuna kiti 666 hakina mtu kinamsubiri mwenyewe

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому

    Kugeuza jina imeanzia kwa Nabi Ibrahim rafiki kipenzi wa Allah na nivizuri mutu akawa namajina mazuri kama anavyosema askof iyo nikweli ila yangine mambo mengi hayajuwi cimbuko lake ebu someniiii

    • @michaelvicem6323
      @michaelvicem6323 3 роки тому

      Na ndo mana watu lazima wabatizwe kubali na jina LA kale kujipya kama alivokuwa lbrhimu

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому

    Askofu we una uwongo mwingi tumiya quor an ico kitabo nicakusingiziyana tu Adam Allah memusamehe alimuomba palepale musamaha akashushwa ashapewa musamaha ila shetani hakuomba musamah We Adam ata yeye nicaguo ila ndiye mwanzo wazambi kuanza kuandikwa mpaka wanawe sasa wewe ukirukiya kwa ibrahim bila kuonesha wenewamepewa ufunuwo mbele ya ibrahim we unaendaje unarukaruka nenda kwamusitari kama haujuwi zungumuza unayoyajuwa

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому

    Hahaha eti Adam na hawa hawakuza wewe ukweli na uongo unacanga wameza mwaeleza vibaya ameza watoto tena mapaca habil na kabil nyinyi mwazungumuza zungumuza tu hamujuwi munalolizungumuza watoto wa Adam na hawa quor an ishamaliza kilakitu wanawe ni Abel na kabil

  • @gedionelius55
    @gedionelius55 5 років тому +3

    Hawa Ndio Watumishi Wa MUNGU Wanaohubiri Juu Ya TOBA Na ONDOLEO LA DHAMBI,, MUNGU Awabariki sana