CHIRWA AMWAGA MAUA KWA INJINIA HERSI/WACHEZAJI WANAISHI VIZURI KAMA ENZI ZA MANJI/SITASAHAU
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Karibu kutazama Mahojiano na Obrey Chirwa, Nyota wa Zamani wa Yanga pamoja na Azam FC ambapo Msimu uliopita akiwatumikia Ihefu FC.
Historia fupi ya Obrey Chirwa tumeipata hapa ambapo ameeleza kuwa yeye amewahi kupata mafanikio Kwenye Soka kuliko Wanchezaji wengi.
Chirwa ameeleza kuhusu Ubora wake akiwa Uwanjani, na mambo ambayo hatayasahau wakati akiwa Young Africans.
Pia tumefaham kwanini Obrey amekaa Tanzania Muda mrefu takriban Miaka 9 ilihali ameshazitumikia Timu kubwa za Tanzania.
Pia ametoa Ushauri kwa Clatus Chama juu ya Tetesi za kuondoka Simba.
Kitu ambacho huwa nashangaa mm yaan Kila mchezaji atakae cheza yanga basi huwa hawez kuisahau kabsa na inabaki moyon mwake cjui hii ikoje
Yanga haina baya
Utopolonia
@@albertmullah2377😂😂😂😂 utopolonia 😂😂umniacha hoi nimecheka balaa
Upo xahihi
Kiukweeli chilwa unamoyo sana mana umeongea kuwa wachezaji wazuri wapo ila hawa thaminiki
alipokelewa vzuri aliitumikia pia vizur
Safi mzee chirwa
Wana yangaa mm yanga
Chirwa anaongea ukweli ndicho kitu nampendeaga
Chirwa mwamba ninae mkubali
Kama umesikia akanyoka mpe maua yake
Chirwa acha izo ndumu zitakukausha Koo ona Sasa una2aibisha wadau
Broo hio ndio sauti yake mshikaji wangu Sana kitaa
anatabasam
Mwana kaona ajiongeze historia yake maana hujamuuliza