KABABU ZA NYAMA / BEEF CABAB

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • INGREDIENT
    250gm raw mince meat
    250gm read cooked mince meat
    4 boiled eggs, cut each in to 4 pieces
    1 tablespoon black pepper
    1teaspoon hole Cummins
    1 teaspoon coriander seeds
    1tablespoon chilli flakes
    1 cup bread crumb or (5 slices of bread)
    Handful coriander
    1 meadium onion chopped
    1 green pepper
    1 tablespoon Garlic and ginger
    Salt
    2 egg + 2 tablespoons water
    Oil for frying
    COCONUT CHUTNEY
    1 cup coconut
    3 leaves mints
    Half lime or lemon juice
    Salt
    1 hot chilli

КОМЕНТАРІ • 117

  • @suhanaali1270
    @suhanaali1270 3 роки тому +3

    masha'Allah ❣️

  • @maryamsultan2546
    @maryamsultan2546 3 роки тому +2

    Mashallah

  • @hidayamohammed3877
    @hidayamohammed3877 3 роки тому +2

    Nimejifunza kitu mamy ahsante sana allah akubarik akupe kila lakher

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 роки тому +1

    Tuletee mapishi mapya ya ramadhani ukhty shukran habibty

  • @tumaomar8999
    @tumaomar8999 3 роки тому +1

    MashaAllah habibty

  • @amalabdul8764
    @amalabdul8764 4 роки тому +2

    Kababu nzuri ma shaa Allah na nimependezewa na vile yai ulivyoweka, habibty you are very creative,

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      Shukran auntie

    • @aiyamhassan1321
      @aiyamhassan1321 3 роки тому

      @@queenshibaskitchen9130 spice umetia uzile na nn tufahamishe hivyo vingine

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 роки тому

      aiyam hassan mbona nimeandika kila kitu kwenye description hapo chini ya video kuna kama ialama cha ero rangi ya grey kibinye itakuwa recipe yote.

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 4 роки тому +4

    Mashaa Allah napenda mapichi yk auty Allah akuhifadhi mikono yako shukran 😘

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Рік тому

    Mashaallah you are talented

  • @salhaabdallah3528
    @salhaabdallah3528 4 роки тому +2

    maashaallah mungu akubarik

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 роки тому

    Mashallah tabarak Rahman shukran ukhty 🥰🥰🥰🇴🇲

  • @fatmashimbwa7359
    @fatmashimbwa7359 4 роки тому

    Mashallah muonekano poa kabisa

  • @salhaabdallah3528
    @salhaabdallah3528 4 роки тому

    mm naomba recipe ya haluwa

  • @luluabdulaziz8556
    @luluabdulaziz8556 8 місяців тому

    Tabaraka Allah

  • @luluwasalim4041
    @luluwasalim4041 4 роки тому +1

    Mashaallah nzuri

  • @fauziaismail5346
    @fauziaismail5346 4 роки тому +1

    Mashaallah

  • @fkhalfan31
    @fkhalfan31 4 роки тому +1

    Jazaakallah kheyr ukhty napenda mapishi yako hlf unafahamisha uzuri allah atakulipa kila la kheri na afya amiin😘😘

  • @Fadiafeisal
    @Fadiafeisal 9 місяців тому

    Yummmy❤

  • @ilhamamer309
    @ilhamamer309 4 роки тому +1

    Mashallah mapishi mazur tunafaidika.allah atakupa ujira wako🙏

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 3 роки тому

    Yummy, acha tuingie jikoni 🫕🥣

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 3 роки тому

    thank you I liked ur recipe very good

  • @salhiyarashid9300
    @salhiyarashid9300 Рік тому

    ❤Mashallah

  • @bekamatano9727
    @bekamatano9727 2 роки тому +6

    Mbona husemi spices ulizo changanya mwanzo???

    • @carolynepeterzayumba6140
      @carolynepeterzayumba6140 Рік тому

      Exactly

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 5 місяців тому

      Kuna cumin seeds, coriander seeds, black pepper seeds na chilli flakes. Kwa uzowefu wangu ndio nimeona

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  5 місяців тому

      Uzowefu upi huo dear? Why usiwafshamishe wezio ukweli kuwa nimeandika kila kitu kwenye description hakuna nlichoonesha nikawa sijataja

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 5 місяців тому

      @@queenshibaskitchen9130 nimejibu alivokua ndio maana nikasema " UZOWEFU... NIMEONA"... Meaning uzowefu wangu WA jikoni nimeona spices ulizoweka zile nzima nzima. Maybe nimekosea lugha.

    • @yasminamri2943
      @yasminamri2943 5 місяців тому

      @@queenshibaskitchen9130 kisha mm sikusoma description Huenda ndio same mistake as mdau alieuliza.

  • @khadijadarusi9033
    @khadijadarusi9033 3 роки тому +1

    Naomba uniunge kwenye group lako mpendwa

  • @sanurakhamis8705
    @sanurakhamis8705 4 роки тому

    Super😍😋

  • @mohamedayda7756
    @mohamedayda7756 4 роки тому +1

    Kama unavyo vya unga tayari izo spices haina haja kusaga tena ama vp, Mashaa ALLAH

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому +1

      Kama umavo va unga ni sawa tu. Hivi nlivo fanya inafanya kababu iwe na harufu nzuri zaidi lakin ukitia tayari za unga hamna neno dear.

  • @user-vw2jp2ds8g
    @user-vw2jp2ds8g 9 місяців тому

    Mashallah sauti yako km aroma of znz

  • @ummrus6951
    @ummrus6951 Рік тому

    Allahumabarik

  • @Bee-e3v
    @Bee-e3v 3 роки тому

    Vizuri😊

  • @Fauziajumaa84
    @Fauziajumaa84 4 роки тому +1

    Mashallah pambeee sana habibty

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 роки тому

    Masha Allah, where are you?

  • @a.856
    @a.856 4 роки тому +1

    Shukran dear🙏🏼

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Allah akubaarik Habibty illa napenda kujua hizo spies

  • @philomenamgohamwende6750
    @philomenamgohamwende6750 Рік тому

    Asante

  • @HadijaAbdul-cm8qv
    @HadijaAbdul-cm8qv Рік тому

    Samahani dada,vile viungo ulivyovisaga nimezijuwa pilipili manga na uzile tu naomba uniambie vile vingine vinaitwaje

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 3 роки тому

    Jamani uko wapiiii ili niwe mteja wakooo napenda mie mapishi yakooo

  • @faridamohammed9366
    @faridamohammed9366 Рік тому

    🥰🥰🌹

  • @mwandawaali6260
    @mwandawaali6260 7 місяців тому

    urojo

  • @azizandwata7725
    @azizandwata7725 3 місяці тому

    Kwaiyo kabab unachoma hvyo hvyo au lazima uchovye kwenye yai bichi mpnz

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 місяці тому

      Sijafaham suala lako. Ila kuna kababu aina ya 2 pia angalia huenda ukapata jibu lako.

    • @azizandwata7725
      @azizandwata7725 3 місяці тому

      Namaanisha ukishafanya viduara hvyo ndo unatia kwny mafuta au unachovya kwny mayai halafu ndo unatia kwny mafuta

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 місяці тому

      Dear si nimeonesha stap zote? Angalia vizuri please. Hivo nlivofanya ndivo navofanya. Kama hutaki kuchovyia kwenye yai angalia beaf kebab recipe 2 nimekweka last month.

  • @alsam4881
    @alsam4881 4 роки тому +1

    Leo nimejaribu kupika egg chop lakini zangu zimefunguka Sijui nimekosea wapi dear naomba unijulishe.

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому +1

      Kama umefata maelekezo yote, basi inawezekana nyama yenyewe inamafuta mengi inafanya hivo.

    • @alsam4881
      @alsam4881 4 роки тому

      @@queenshibaskitchen9130 ok Shukran kwa kunijibu, basi ni kweli inawezekana kuwa nyama ilikuwa ina mafuta.

    • @nanamohamed6525
      @nanamohamed6525 4 роки тому

      Kama nyama inamafuta unafanyaje

  • @sakhiyasaif5897
    @sakhiyasaif5897 4 роки тому

    Habbty nimefanya kababu kama hivo sijui mushkila gani zimefunguka zote

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      Habibty nimejibu kwenye msg za nyuma, kama umefata kila kitu nlivo fanya, itakuwa nyama yenyewe ina mafuta ndio inasababusha kufumka kababu lakin ungenitumia picha ningeweza kukusaidia zikifanya hivo ufanye nini.
      In shaa Allah nikitulia nitafanya video yengine niwaoneshe jisi yakufanya nyama ikiwa na mafuta.

  • @hamidagulam3558
    @hamidagulam3558 4 роки тому +1

    A.a,moto wa kukaangia kababu wafaa uwe mkali ama wa wakiasi?

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      Wakiasi kama wa mandazi habibty ukiwa mkali zitaungua na ndani bado mbichi.

  • @mwanamimihamisi7789
    @mwanamimihamisi7789 3 роки тому

    A'aleykum, tunaweza tumia nyama mbichi tupu

  • @latifaaqudaidy9397
    @latifaaqudaidy9397 3 роки тому

    iyo nyama umeipkaa kwanza ndio ukamix au mbichi

  • @barkesaid7200
    @barkesaid7200 4 роки тому

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu nimezijaribu zimemumunyika zote motoni sijui what went wrong. Kwenye mchanganyiko huweki yai??

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому +1

      Dear siweki yai, umefata nilivofanya? Mana nyama ikiwa mbichi nusu na nusu ilokaushwa haiwezi kumungunyuka kababu, pia huweza hufanya kufumka tu ikiwa nyama yenyewe ina mafuta mengi jarubu kufuata maelekezo kamili habibty.

    • @barkesaid7200
      @barkesaid7200 4 роки тому

      Ntajaribu tena kesho In Sha Allah

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      In shaa Allah lakin please fata step by step nlivofanya na hakikisha nyama ipo kavu, nyama nzuri ni ta steki ilosafi

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 3 роки тому

    Soryy hukutwambia aina za spice majina yake ili tuzielewe ni spice gani na ganii ulizo kasngas?

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 роки тому

      Nimeziandika kwenye description below nenda kwenye grey arrow chini ya video mkono wa kulia click itakuja full recipe

  • @eshaliwowa5458
    @eshaliwowa5458 Рік тому

    Spaice Gani umetumia

  • @noufalalfalahi6491
    @noufalalfalahi6491 3 роки тому

    Mashallah inaonesha tamu.
    Tufundishe space yako nini na nini unaweza kukaanga

  • @mohamedaayda6060
    @mohamedaayda6060 4 роки тому

    Niulize aunty, kababu zikiachana inakuwa nn tatizo?

  • @rahmaabdulrasul9504
    @rahmaabdulrasul9504 3 роки тому +1

    kwann kabab zangu mimi zinatoboka nakosea wapi?

  • @cutiethuma9931
    @cutiethuma9931 4 роки тому

    Mimi ndo sijaskia ama hujaeleza kuh hizo spices umesaga. Whats in there

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      What do you mean? Nimeleza kama nimesaga bada nishazipasha moto. Angalia uzuri dear

    • @cutiethuma9931
      @cutiethuma9931 4 роки тому

      @@queenshibaskitchen9130 am sorry I meant hivyo viungo ulivyopasha moto ni nini na nini...
      Thank you

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      Dear nimeandika DESCRIPTION BELOW viungo vote angalia my dear.kuna ero upande wa kulia chini ya vido click utapata ingredients zote

  • @lucianamadanyila9247
    @lucianamadanyila9247 3 роки тому

    Naomba msaada aliyeelewa aniandikie spice ambazo zimetumika hapo mwanzoni sijaelewa vizuri.

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 роки тому

      Dear spice nimeziandika zote chini ya video mkono wa kulia kuna Kilama cha grey kibonyeza utapata majina ya spice nlotumia ok

  • @aminahariri2058
    @aminahariri2058 3 роки тому

    Spays ni nn

  • @najatjuma8855
    @najatjuma8855 2 роки тому

    Izo spices nini na nini mbona hujataja

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  2 роки тому

      Jamani muwe mnasoma waelezo kwenye video na comments plz watu wanauliza suala hilo hilo, angaliaa kwenye discrimination kilakitu nimeandika.

  • @rehanadawood6377
    @rehanadawood6377 3 роки тому

    Pls make again this vedio

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  3 роки тому

      Why ? Dear, this is EAst african kebab not India or Pakistan one😳🙄 .

    • @josiepinky177
      @josiepinky177 3 роки тому

      @@queenshibaskitchen9130 😂😂😂

  • @cutiethuma9931
    @cutiethuma9931 4 роки тому +1

    Maji yanasaidia nini kwa yai

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому +2

      Ukitia maji kwanza inspunguza kufanya mapovu mengi kwa mafuta pili kababu zinakuwa na muoneshe mzuri kama unavoona yai limekaa kama nyuzi nyuzi halija cover kababu yote ikaka kama kachori. Hope umefaham

  • @sherrybavuai9422
    @sherrybavuai9422 4 роки тому

    Kwenye kuchanganya hutii yai la kupiga

  • @tumatuma6478
    @tumatuma6478 4 роки тому

    huchanganyi na yai bichi ndani'

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому

      Nop sitii mie kama mlivo sema lwa video hiyp nusu nyama mbichi ndio inafanya mchanganyiko wangu ushikane

  • @mrsally5583
    @mrsally5583 3 роки тому

    Ndo utuoneshe sasa nyama

  • @aminahariri2058
    @aminahariri2058 3 роки тому

    Spays ni nn?

  • @Fauziajumaa84
    @Fauziajumaa84 4 роки тому

    Lazima nyama uichemshe nusu au unaweza usiichemshe au ukachemsha yote

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  4 роки тому +5

      Uzuri uchemshe ikiwa nusu ndonlivo fanya, au ikiwa yote pia sawa lakin ikiwa mbichi kabisa tabuyake inafumka sana kababu na ukipata nyama ina mafuta ndio halass huna kababu kavu kama hujachemsha japo nusu yake.

  • @rukiyasaburi1979
    @rukiyasaburi1979 2 роки тому

    Aslam alekum pls nitumiye number yako mm aunty Rukiya

  • @laylatali9203
    @laylatali9203 4 роки тому

    Unashushia na mirinda baridi apo mambo yanakuwa bul bul

  • @yahyasaid586
    @yahyasaid586 2 роки тому

    Spicy ulizo kanza moto ungezitaja zote 🤷‍♂️

    • @queenshibaskitchen9130
      @queenshibaskitchen9130  2 роки тому

      Uzuri ungeangalia recipe kabla kuuliza nduguyangu, kila kitu nimeandika kwenye description below

  • @azizayusufu8352
    @azizayusufu8352 3 роки тому

    Balsam ndio nn nielekeze sijaelewa

  • @user-tq8tj8jz8o
    @user-tq8tj8jz8o Рік тому

    Mashallah

  • @ndabihawenimanaalice12
    @ndabihawenimanaalice12 3 роки тому +2

    Mashallah