MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 391

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Рік тому +11

    Huyu jamaa ni very humble. Yule dada kiboko

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod Рік тому +20

    He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂

  • @georginapaul5013
    @georginapaul5013 Рік тому +4

    Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 11 місяців тому +1

    Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @HawaMuyombo
    @HawaMuyombo 11 місяців тому +2

    Mmmm hii imeenda

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 Рік тому +16

    Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana

    • @AblahmanJuma
      @AblahmanJuma 4 місяці тому

      Aya maneno yatamfikia uko alipo sio vizuri kucomet kitu kibaya pablic watoto ndugu wanasoma kwa miaka ya baadae mh

    • @khadijayusuph9316
      @khadijayusuph9316 4 місяці тому

      @@AblahmanJuma post ina mwaka sasa ww ndo unaona leo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Рік тому +19

    Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana

  • @SUZANSUZAN-fb9bh
    @SUZANSUZAN-fb9bh Рік тому +12

    Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako

  • @mariumseif6751
    @mariumseif6751 Рік тому +26

    Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua

    • @maryammagembe5553
      @maryammagembe5553 Рік тому +2

      Dida tafuta wazee wenziyo

    • @MonicaMkombwe
      @MonicaMkombwe 4 місяці тому

      Mh shoga angu Mr Nana kweli ni mpole sana yaani tena sasa hivi naona anaongea sana mwanzo hakuwa hivi ila mh

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Рік тому +2

    Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +30

    Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +20

    Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on

  • @abisinamustafa3118
    @abisinamustafa3118 Рік тому +26

    Ila huyu kaka ni mkweli

    • @hildascorner2327
      @hildascorner2327 Рік тому +2

      Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya

  • @JeniBosco
    @JeniBosco Рік тому +11

    Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu Рік тому +5

    umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa

  • @zoab2699
    @zoab2699 Рік тому +5

    Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 Рік тому

      Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Рік тому +13

    Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Рік тому +7

    Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂

  • @HafsaShayo-iv5xh
    @HafsaShayo-iv5xh Рік тому +1

    Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha

  • @maggiesaru376
    @maggiesaru376 Рік тому +12

    What a fan interview, I loved it

  • @nicksonink4921
    @nicksonink4921 Рік тому +2

    Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Рік тому +3

    Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +5

    Duh maskn huzuni 😢😢

  • @moureennasrah5327
    @moureennasrah5327 11 місяців тому

    Yana yuko so cool jamaa

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 Рік тому +15

    Mwana kaongea vzr sana

  • @mamaabduly
    @mamaabduly Рік тому +4

    SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI

  • @sophrinaassey3330
    @sophrinaassey3330 4 місяці тому +1

    I loved the interview... Nana is a good guy... Nimemwona hata baada ya Dida kufariki alikuwa hawezi kuacha mwili wake ... Msikitini amesimama anaangalia huku haamini... I hope walikuwa wamepatana kabla hajafariki😢😢

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 4 місяці тому

      Amerecodiwa akiwa ametoa anamuimbia Marehem Dida analia mpaka anashindwa kuimba ,So sad wallah kufiwa usikie tu 😢

    • @SeverinoLuis-j1h
      @SeverinoLuis-j1h 4 місяці тому

      Inamana alikua mlinzi

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Рік тому +122

    Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 Рік тому +16

      Jamani waja mnamambo 😅

    • @rehemafeysali4444
      @rehemafeysali4444 Рік тому +33

      Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣

    • @tajiertaj5956
      @tajiertaj5956 Рік тому +17

      😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Рік тому +3


      WAN MAMBO SN
      ETI MAM SAMIA
      KAUZA BANDARI😅😅

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Рік тому


      HATAREEE

  • @AkimuMovie-rt3rp
    @AkimuMovie-rt3rp Рік тому

    Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏

  • @mrishomabrouk1646
    @mrishomabrouk1646 11 місяців тому

    Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Рік тому +3

    Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂

  • @veveveve5517
    @veveveve5517 Рік тому

    Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 Рік тому +13

    Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣

  • @witnesrobson
    @witnesrobson Рік тому +6

    Kaka yangu umeongea point

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Рік тому +3

    D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 11 місяців тому

    Mnapenda mdondo sana

  • @StarMerinyo
    @StarMerinyo Рік тому

    Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 9 місяців тому

    Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Рік тому +1

    Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri Рік тому +2

    Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 4 місяці тому

    Huyu jamaa handsome boy jmn

  • @sundaysHassan
    @sundaysHassan Рік тому +1

    😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV Рік тому +1

    Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂

  • @DayanaRwekiza
    @DayanaRwekiza Рік тому

    Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Рік тому +20

    Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂

  • @triceyanga
    @triceyanga Рік тому +4

    sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂

  • @vero57
    @vero57 Рік тому +2

    Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Рік тому

    😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅

  • @MoshiTindwa
    @MoshiTindwa Рік тому +1

    Dida kwa Ili litakutoa roho kwa majigambo yako subiri chakubimbi Sasa utaama jiji

  • @amelyewiliammgeni2690
    @amelyewiliammgeni2690 4 місяці тому

    ❤❤

  • @HussenManengelo
    @HussenManengelo Рік тому

    Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana

  • @hinduabushiri4216
    @hinduabushiri4216 Рік тому +1

    Kaka amemwagwa mwa😂😂

  • @LucySemenye
    @LucySemenye Рік тому +3

    Waja mna mambo

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Рік тому +6

    Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅

  • @zulphaadam4671
    @zulphaadam4671 Рік тому +14

    Uyuu kak anarafudh nzur❤

  • @RajabuSafu
    @RajabuSafu Рік тому

    Mmmh makubwa polen Sana

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Рік тому

    😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂

  • @KibyStarTz
    @KibyStarTz Рік тому +1

    Mchaga og ni og kweli nakubali

  • @Shammy-d1e
    @Shammy-d1e Рік тому +2

    Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii

  • @Shadia544
    @Shadia544 Рік тому +5

    😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂

  • @Ummukuruthum-m1m
    @Ummukuruthum-m1m Рік тому +2

    Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 Рік тому +5

    c kwa sugu hizo jamani!

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Рік тому +2

    Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi

  • @Shammy-d1e
    @Shammy-d1e Рік тому

    🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy Рік тому +5

    Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 11 місяців тому

      Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 Рік тому +6

    Ukilewa usichat #Tx dulla

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому +3

    Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume

  • @higra-i5w
    @higra-i5w Рік тому

    Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому

    Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому +4

    Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu

    • @hazimamohammed1340
      @hazimamohammed1340 Рік тому

      Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annasumawe
    @annasumawe Рік тому

    Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂

  • @pillyolsen6346
    @pillyolsen6346 Рік тому +2

    Shikamoo mapenzi

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 Рік тому

    pole kaka

  • @kisubikilozo6128
    @kisubikilozo6128 Рік тому +1

    That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Рік тому +2

    Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 Рік тому

    Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 Рік тому

    😂😂😂😂😂Mr nana kanichekesha 😂

  • @hamzaqaacm1869
    @hamzaqaacm1869 Рік тому +12

    Muhimu umesha jipigia sana😂😂

  • @HidayaKivyy
    @HidayaKivyy 11 місяців тому

    Bado anampenda dable d

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Рік тому +4

    Kuna wanawake mjini hapa ni viburudisho, unakamata UNAFIRA Kisha unapiga chini, yaani wapo kwa ajili ya KUWAFIRAFIRA tu sio kuoa , ukitaka kuendelea nao lazma utafeli ..!

  • @Yasintakisholi
    @Yasintakisholi Рік тому

    Mrudiane bn 😢 haya ni maisha

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Рік тому

    Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 Рік тому

    Mapenzi ya mitandaoni huisha mitandaoni

  • @luciafabiannjuu1988
    @luciafabiannjuu1988 Рік тому +1

    Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?

  • @worldoman4563
    @worldoman4563 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂Mchaga mbavu zangu😂😂😂

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 11 місяців тому

    Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.

  • @hawababy120
    @hawababy120 Рік тому +2

    Ila OG bhana😂😂😂😂😂😂

  • @MuphdathFarid
    @MuphdathFarid Рік тому

    Shemeji yetu umefanana na dada amberlulu kidogo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 10 місяців тому +1

    Mngese tafuta pesa K wewe huoni aibu kukichungulia kile kibibi ....?

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Рік тому

    Kaoshwa muoshwa leo. Haya, aje ajibu na yeye

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Рік тому

    Shem umenichekesha sana kufa na kuzikanaeo anakufa peke yake wanazikana peke yao😂😂😂😂😂 kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hatarrrrr

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Рік тому +2

    Mmmh jmn shikamoo mapenzi 😢😢

  • @ZaujatyAbduly
    @ZaujatyAbduly Рік тому

    Unapaka mafuta hayatoi sugu😢

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому +2

    Dida arudi kwa Kumbilamoto tu maana wameachana lkn hakuwai kumuongelea wala baba Samira lkn hivi ving'ast vitamtia aibu kila leo wapi Ezdon Mkisi watu watakuamini sasa kupitia Mr Nana👌👌👌👌👌

  • @Mary_sup
    @Mary_sup Рік тому

    Huyu mama mtangazaji wa wasafi media amejichubua au nini maanake kwa huo weupe hapana hiyo sio halisi yake

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Рік тому +2

    Aliambiwa havina muda kumbee kweli alikuwa anamkomoa kimbi la moto yale ya dulla polen

  • @bibiejuma5094
    @bibiejuma5094 Рік тому

    Kaka mkweli huyu

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Рік тому +10

    We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani

    • @julianamaganga4803
      @julianamaganga4803 Рік тому +1

      Aliyeturoga kafa

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Рік тому

      @@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini

    • @Shayy97
      @Shayy97 Рік тому +2

      Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 10 місяців тому

    Mr nana anae kuhoji Nani?? Juma looker?? au Nani???

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Рік тому +5

    Haaaaa mchanga og unalo leo haaaa bakola za dida kwisha mchaga og😂