MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Huyu jamaa ni very humble. Yule dada kiboko
He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya
Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤
Mmmm hii imeenda
Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana
Aya maneno yatamfikia uko alipo sio vizuri kucomet kitu kibaya pablic watoto ndugu wanasoma kwa miaka ya baadae mh
@@AblahmanJuma post ina mwaka sasa ww ndo unaona leo
Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana
😂😂😂😂
Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako
Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua
Dida tafuta wazee wenziyo
Mh shoga angu Mr Nana kweli ni mpole sana yaani tena sasa hivi naona anaongea sana mwanzo hakuwa hivi ila mh
Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini
Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo
Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on
Ila huyu kaka ni mkweli
Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya
Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje
umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa
We acha balaa zito
Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲
Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia
Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.
Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂
Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha
What a fan interview, I loved it
it's "FUN," not "FAN."
😂😂😂
Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂
Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna
Duh maskn huzuni 😢😢
Yana yuko so cool jamaa
Mwana kaongea vzr sana
SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI
I loved the interview... Nana is a good guy... Nimemwona hata baada ya Dida kufariki alikuwa hawezi kuacha mwili wake ... Msikitini amesimama anaangalia huku haamini... I hope walikuwa wamepatana kabla hajafariki😢😢
Amerecodiwa akiwa ametoa anamuimbia Marehem Dida analia mpaka anashindwa kuimba ,So sad wallah kufiwa usikie tu 😢
Inamana alikua mlinzi
Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana
Jamani waja mnamambo 😅
Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣
😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂
WAN MAMBO SN
ETI MAM SAMIA
KAUZA BANDARI😅😅
HATAREEE
Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏
Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!
Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂
Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi
Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣
Mbwembwe zote zire🤣🤣🤣🤣🤣
Hata mimi😂😂
Kaka yangu umeongea point
D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea
Mnapenda mdondo sana
Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂
Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃
Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee
Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu
Huyu jamaa handsome boy jmn
😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂
Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂
Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew
Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂
😅😅😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂
😅😅
Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂
😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅
Dida kwa Ili litakutoa roho kwa majigambo yako subiri chakubimbi Sasa utaama jiji
❤❤
Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana
Kaka amemwagwa mwa😂😂
Waja mna mambo
Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Uyuu kak anarafudh nzur❤
Lafudhi*
Zanzibar iyo
Huyu mwamba sio mzanzibar, Huyu ni mpare aliekulia Tanga
Mmmh makubwa polen Sana
😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂
Mchaga og ni og kweli nakubali
Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii
😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂
Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora
c kwa sugu hizo jamani!
Aibu naona mimi
Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi
Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!
Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)
Ukilewa usichat #Tx dulla
Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume
Umeonaa
Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani
Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮
Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu
Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂
Shikamoo mapenzi
pole kaka
That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun
Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu
Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi
😂😂😂😂😂Mr nana kanichekesha 😂
Muhimu umesha jipigia sana😂😂
😂😂
Bado anampenda dable d
Kuna wanawake mjini hapa ni viburudisho, unakamata UNAFIRA Kisha unapiga chini, yaani wapo kwa ajili ya KUWAFIRAFIRA tu sio kuoa , ukitaka kuendelea nao lazma utafeli ..!
Duh! Dunia shikamoo😊
😢😢😢😢😢
😢😢😢😢😢
Mrudiane bn 😢 haya ni maisha
Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au
Mapenzi ya mitandaoni huisha mitandaoni
Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?
😂😂😂😂😂😂😂Mchaga mbavu zangu😂😂😂
Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.
Ila OG bhana😂😂😂😂😂😂
Shemeji yetu umefanana na dada amberlulu kidogo
Mngese tafuta pesa K wewe huoni aibu kukichungulia kile kibibi ....?
Kaoshwa muoshwa leo. Haya, aje ajibu na yeye
Shem umenichekesha sana kufa na kuzikanaeo anakufa peke yake wanazikana peke yao😂😂😂😂😂 kucha juu ya kucha kope juu ya kope😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hatarrrrr
Mmmh jmn shikamoo mapenzi 😢😢
Unapaka mafuta hayatoi sugu😢
Dida arudi kwa Kumbilamoto tu maana wameachana lkn hakuwai kumuongelea wala baba Samira lkn hivi ving'ast vitamtia aibu kila leo wapi Ezdon Mkisi watu watakuamini sasa kupitia Mr Nana👌👌👌👌👌
Huyu mama mtangazaji wa wasafi media amejichubua au nini maanake kwa huo weupe hapana hiyo sio halisi yake
Aliambiwa havina muda kumbee kweli alikuwa anamkomoa kimbi la moto yale ya dulla polen
Kaka mkweli huyu
We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani
Aliyeturoga kafa
@@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini
Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada
Mr nana anae kuhoji Nani?? Juma looker?? au Nani???
Haaaaa mchanga og unalo leo haaaa bakola za dida kwisha mchaga og😂