GLADNESS ATOKA NA WANAUME WAWILI KWA WAKATI MMOJA,AWAPIGIA SIMU"NIMESHINDWA KUCHAGUA NAWAPENDA WOTE"
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Shout out kwa duwe santana na thisisaaliyaah na refresh kwa ujumla na wasafi media kwa kazi nzuri🤝👏👏
Auko vzr kwaiy Apo umejifunza nn
I salute u gal.......haya mapenzi kweli ya tatuonyesha mambo
Moyo Umesimama. Kwa Hofu!!!!!Hii Dunia si mahara Salama kabisa... Dunia iko Ukingoni kabisa.Allah Atujalie Mwisho Mwema In sha Allah.
Dunia ni sehemu salama,,na wala haijafika ukingoni na kamwe haitofika ukingoni,,,Ukingoni utafika wewe na kuwa salama au kutoka kuwa salama hilo ni lako jombaa wala usisingizie Dunia na umuache Allah ahudumie wenye uhitaji zaidi wewe endelea kufanya kazi zako
@@reubenkissinga5802 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jibu zuri
Hizo ni raha tu za dunia,,, fanyeni kazi zimpendeze Mungu haki
Dah
Daaah,,,,
Dunia imekwisheee wazeeee,
Wewe ndio umekwisha Mzee wala usiisingizie dunia
Pili kama ni kweli. I appreciate you. Basi chagua mmoja plzzz
Hata mm I wish nipate wawili na wajuane tupunguziane stress maana mda mwngne kuwa na mtu mmoja n stress
Hhhhhhha ni kweli
Sikutegemea kama Pili atakua hivi kwenye maisha ya kawaida nilijua maigizo tu kumbe ndo maigizo yake ndo maisha yake yalivyo jmn dah dunia hii mungu atusaidie jmn 🙏🤲
Pili anawadanganya tuu,,,,huyo n mwanaume mmoja Ila namba n tofauti,,,,,,mnaingizwa cha kike na nyie mnaingia tuu hahahaaa
@@monicamushi5192 Dada unapokua kwenye mahojiano ya nje ya kazi unaonyesha uhalisia wa maisha yako hata kama watu walikunukuu vby unawaonyesha sio nnavyoishi vile mnavyoniona kwenye maigizo ila uyo kweli ameongea mwenyewe hakuna kutudanganya anajidanganya mwenyewe na mungu wake sisi ndo tumeshajua uhalisia wa maisha yake yakoje MONICA MUSHI
Tanzania hii ,noma kweli
Kusema ukweli hata mm namunga mkono gladness kwa sababu ya kusema ukweli na hajafanya siri amewajulisha wote wawili wakajuana na wakasikizana 🇰🇪👌👍
Duuh sjawahi ona hii ndo first time daaah inasikitisha Sana aisee
huyuu hafai kuwa msanii anapotosha jamii
@@athumanimhanga2053 maana anaufurahia umalaya wazi wazi daah japo kuna watu wapo wanatmtafanya haya lkn si kujionyesha ivi Mungu tusaidie
Apewe ulinzi😂😂
Kabsa
Nimekupenda
👌👌
Huyu ndo chagga girl sasa 😂😂😂
Ww dada ujuwe kuna kufa acha kukaa uchi
Kuwapenda wote?Afu appointment ikiwa same time utafanyaje? Daaah Kumbe bongo movie sio maagizo😬😬😬daaah🤭🤭🤭ntakuja kuolewa na wao,duh,mambo ya ulaya
Hata aibu haoni
Pili noma
😅😅😅 nampenda uyu dada jmn ❤️❤️🔥😆😆😆😆
Hapo hakuna mwanaume anaempenda, mwanaume anakumpenda hawez ridhia uwe na mwanaume mwengine, never!..mabaharia washaelewana hapo washamjaza wanamkula tu, na lazima watakua wanamchukulia poa sn na kumzarau... Wanawake hawatakuja Kukaa kuzielewa codes za mabaharia😀
Yap
Word
Nimependa hii 😂😂
🤣🤣🤣🤣 uyu katuchezea tu comédie
Wamepanga bwana
Wanaume tunajuana.
tuseme ukweli Nani anaweza kuchangia demu n'a mimi wasio weza like wanao weza DSLike
🇧🇮🇧🇮
Waafrica ingekua nipotezeee husikii hata language zao ni Mambele mzungu atakubali akuache wakat kajitoa mpaka kucha na umeuweka wazi hao watu nawapendaga sema sijabahatika kumshika hata mmoja yani wako real na wanapend uwe mkweli that's 😅
Wazungu hao kwao kawaida tuu kila mmoja anamwaga uchafu wake kwenye karo moja wala hawana habari kwasababu in watu wachafu.
Kiyama 🚶🏾🚶🏾🚶🏾🚶🏾
It’s normal in western world
Kizungu kinapanda kumbe😂👌
Lakini Tanzania wanaongoza kwa kudanga East Africa yote asa wanawake mmezidi.
Uganda,Rwanda kiboko sema tu watz wako open hawafichi
🔥🔥🔥
Hahaha etizinaa imekua kawaida kuitangaza m/ mungu tusaidie
Acheni unafki na nyinyi mnaojifanya kushangaa ndio ukute mnawapanga kama treni tofauti yy amesema ukweli na nyinyi mnaoshangaa hamjawaweka wazi😏😏😏😏
Kweli kabsa mungu anatuona mmh
Mademu wengi wazur hua wanamabwana wengi
Uyo ana uzur gani sasa
Awe mbaya awe mzur akiamua kufanya uo ujinga anafanya tuy
Huyu ni mtu mmoja anawazingua huyu
Dunia simama nishuke🙋my dear utakuja kuumia haupo sahihi hata kdg chagua mmoja ubaya unakuja hapo kweny wao kujuana usifurahie aisee
Dunia ishafika mwsho
Woow
Bado nipo darasani nafanya thesis ya michepukological theory to be officialization socially and polygamizationalisis and race to prignantalization of truthfully girl of both men. eeeehuuu... Tamu ila ngumu kutafuna this is TZ
Mbona wasanii wa Kibongo wa kiume wanafanya hivyo?
Bongo bwana..... Wanaume 2 kwa wakati mmoja......!!!! Alafu anasifia
Anawadanganya huyo,,,,, mwanaume ndo huyohuyo mmoja Ila # tofauti,,,,,na walishaplan huo mchezo
Hao wanaume wote niwajinga iwej kuchangia demu mmoja nahuyo demu nidangaa tu hapo hamna mapenzi
Hawampendi hao wanamchezeatu hao
Comed iyo
Duuh noma kwel
Jaman nimeipenda hii ya leo jaman
Hahaaaaa...mtangazanji ameparalize🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀😀😀
@@dangotee5051 of a happy 😁😁 on your timelines for you on ooooh lo9ooookoklo
Daaah,ana biashara mbili😛😛😛
Huna wanaume #UNA MATAHIRA wawili
😂😂😂
Na ukibeba mimba jee itakuaje?
Mhhh nakumbuka shairi la fikra za waungwana
We ni malaya
🤣🤣🤣🤣🤣kutudanganya huyo n mtu mmoja
Alliyandugu yangu wewe nimuislam jistiri😢😢😢
Daaah kwel shikamoo
Duuh!Wanaume 2
Wapashe dada gladness kifaluka🤣🤣🤣🤣
Hayo sio mapenzi hiyo ni biashara wala hakuna atakae kuowa hapo hayo ni madanga
Kichaaa uyo
Ndizo dalli za mwsho izi wanaume kujuana wako n mtu mmoja ayaa wee bt dadangu io sio sifa
Mtu mmoja huyo
Sio peke yake wapo wenye wanaume wengi....zaidi ya wawili...msikatae
Kweli
Amepalalaiz mtagazaji hat mimi
Hyu dada n msenge
Unatutolea tumbo ili iweje
Sasa mtangazaji kukaa kitovu nje ndo biashara gani mtangazaji unatizamwa na watu wazima na watoto unafundisha nini jamii kitovu nje muoneshe mumeo tu jistiri mwanamke
Yaani uyu mtangazaji mhmm Muslim harafu jamanini kitovu nje🤦♀️ mwenyezi mungu akusamehe hii duniya2 dada usikuwadae akhera ndiyo makazi tujiandae
Heeeee...seriously!
Dunia kwisha hii
Salut kwako dada angu ww ni jasiri imekuwa muwazi
Aaliyah ❤ Hapo tu ndo ana nimalizaga 🤣😂🤣
Hapo mmepigwa 😂😂
Ni huyo mtu mmoja sikiza sauti vzuri na alipopiga mara ya pili yule jamaa kauliza"umesema upo kwenye interview" ndo ni yuleyule aloongea nae mara ya kwanza 😂😂😂 pili bhanaa
Unawapa mkundu hao sio pw
Yaani huyu jamaa anaeuliza maswali kachoka🤣🤣
Nimekupenda maana umekuwa mkweli Sana,hata sishangai mbona men wanakuwa hata na wanne? Why women's? Mje mnihoji na Mimi ninao 4 🤣🤣😝😝
😁😁😁😁hao wanaume wanajiweza sna
Kwan ww aliyah kitovu hicho vp Mwanamke mzima huna hata hay
Eeeebooooo aibu gan hii mtoto wa like🙄😳😳
Sio sifa wala ujanja ,kufuri linalofunguliwa na kila funguo halina thamanj ....UO NI UMALAYA
Mtihanimtizo
Dalili za kiama 😭😭😭
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
huyu mwanamke chiz
But all in all mwanamke mmoja kudate wanawake wawili thats not something you be proud of
Vzr ishi vile upendavyo G cz ukitaka kuwalidhisha waja hautaweza fny vile nafsi yk inapenda
Kujifanya kingerezaa
Duwe we ni fala sana😂😂
Awa wanawake sijui wana nn duuh mi amenichosha uyu dem jinga sana lingeumbwa janaume sasa
Huyu dada anachekesha
huyo wa pili akiongea nae anapoa saana nyie angalieni vizur
Kifaluka yaani unapenda kavu kavu jamani 🤣🤣😂🏃🏃🏃
Mdangaji tu! Halafu hao jamaa mafala tu kwani wanawake wamekwisha
Mbona kama sauti niya mtu mmoja
Bora pili kawa na wawili Kuna dada mmoja anazaidi ya hao
He! Mbn ni sauti ya MTU mmoja jmn
Chenga kweli
Dda lenyewe bayaa Mmh halina hata mvuto
Unajisifu ujinga,unajifny eti utaki kuolewa, subiri wakati utakwambia
ALIYAH nakuona umevaa nguo
Anatuonesha2 katumbo kake
Tanzania Sitoki Nawambia
😂😂😂😂😂
Mume wa kwanza mkenya
Gladnes umeua ww kiboko
Tanzania muabuduni Mungu Kweli aliehai
Duli bhnaaaa
Dah mtoto una kitovu kizuriiii manina
Hahaha
Ukistaajabu ya Hamza utayaona ya pili😂😂😂
DUUUUH
Maana sisi wengine hata mmoja huna 😂na ukimpata unasuuuuza Rungu hatarii🏃
Haha