"BAKWATA INA VISHINDO VINGI, MENGI YATAKUKUTA" - SHEIKH ALHAD AMPA TAHADHARI SHEIKH MPYA DSM..
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- "BAKWATA INA VISHINDO VINGI, MENGI YATAKUKUTA" - SHEIKH ALHAD AMPA TAHADHARI SHEIKH MPYA DSM..
Aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa leo amekutana uso kwa uso na Sheikh Mpya wa Dar es Salaam aliyeteuliwa baada ya Alhadi kutenguliwa, Walid Omary.
Wawili hao wamekutana kwa ajili ya Sheikh Alhadi kukabidhi ofisi kwa Sheikh Walid aliyeteuliwa kurithi mikoba yake.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Alwah akuhifadhi sheikh Alhaad Mussa na karibu sana kaimu sheikh wa mkoa sheikh Walid, Alwah akuhifadhi na akusimamie.
Shekh ameongee hekima za hali ya juu maashaalla
Alhadi Allah akupe subra tu nakupenda habibi wetu
Sio huna ndevu ni UKHANITHI wa KUZINYOA ndio unakusumbua..
Mwenyezi Mungu ni mpole kwa alitakalo👍
Mnamuhukumu bila yakujua mnasema maneno acheni maneno yenu allah hapendi ivo sote ni ndugu waislamu wote ni ndugu
Katika vishindo vya bakwata usisahau kumwambia pia kuwalisha watu mchana wa ramadhani na kuwafungisha swaumu siku za iddi
Hahahhaha
Ujasiri. Ulio uonyesha mashaallah. Allah. Akupe moyo. Huo huo
Kabisa sisi familia ya queen tulishukuru. Mungu Amjaalie Kheri Salum
Unalijuasana?vp umengatuliwa?shekhe walid usije kukumbatia mashia ndugu yangu Allah akuongoze inshallah.
Ww hujui dini umesilimu juzi unajitia kujua dini kasome kwanza
sasa ka sheikh tunaambiwa KASEPA na viti vya ofisi??
Nenda salam kapumzike kwaaamani ewe shekh Alhadi musa shina la mashia limeng'oka
Usiseme waeshimiwa sema sheikh
Ni kweli umoja ni nguvu. Na waislam wote ni ndugu.Kazi ya hukumu ni ya Mungu peke yake.TusiwaHukumu watu , tujitayatishe kuhukumiwa síe
Siyo mashia..
@@abuusufian6506 sawa uncle wangu
Kawa mtoa nasaha ,,mbona hakutoa Kwa mke wa dokta mwaka ili ndoa isivunjike,,mnafiki huyu
Ndio hapo wakati mungu mwenyewe anaichukia taraka kwann asingeisimamia na kuwaasa kuwa ndoa isivunjike chuki tu
Hawa wivu unawasumbuwa lkn Alhad Musa jembe sana ni shujaa historiia itakukumbuka usijali maneno ya mahasisi
Muhuni anakabidhi ofc na uende
Siyo muhun8 Queen angekuwa dadaako ungempenda nateso anayopewa na mwaja malaya tu yule mshenzi. Na laana itamjia biashara za kuchezea k... za watoto wa kike mbwa yule usingemtetea
Yani huyu siasa imemtawala sana. Hata salamu zake tu ziko hivyo .mpaka ajikuta anatoa rufaa ya talaka .kashindewa kujitaadharisha yeye anaweza vp kwa mwengine?
Utaondolewa kila kitu bro subiri dua za waislam hazitokuacha
Hazimpati ng'oo na sisi tunaingia maombi na queen arudi ukristo mtajuta nyie mbwa angekuwa dadako Queen anavyoteseka ungefurahi
Huyu jamaa mjinga tu Alhad
Usikubali asikuvae
Sheikh walid usikubali kuelekezwa
Ambayo yatavunja aman na uislam
We kabizi ofisi mambo ya ndevu yanatoka wapi, hata akiwa answari Sunna kikubwa ni kufuata korani na Sunna, na sio kumfuata mtu,
Jamani mbona mnamtumu mtu bas mwacheni kila kitu allah ndio anaandika na yeye atapata kazi ingine kwani utakua kwenye kazi maisha Yako yote au
Kwanza yupo vzr huyu watashangaa wamepiga teke chura. Afanye yake sasa walimbana sana💪
Bakwata sio chombo cha uislam
Shekh walidi usikubali kuwa mwenyekiti wa kamati ya Amani huo ni mtego shekh
Wenawe unajichosha
Huyu hana lolote pumzika kale moto wa mashia na uungu ulie mpa magufuli laana thullah.
Wewe Alhad umemkosea sana
1.Allah,
2.Mtume (S.A.W)
3.Nabii Issa
4. Ummati Mohammad(S.A.W)
eti nn???
ww zaid ya nan vileee???
Wewe ni kibri, jeuri n fedhuri kabsaaa!!!(kama alivosema shekhe K)
Umeshindwa kutuomba msamaa Waislam sijui kama kwa Allah uliweza?!
Ayo ndg ndo mavuno! Na ninavojua Allah hyo ni trela, mngn yanakuja....
Alhad ukiongea sana unaharibu, umeshaharibu sasa
Ww n mkamilifu ?? Aujamkosea Allah si ndioo???
@@mohamedsikitu8329 kaka mie sio mkamilifu kuna kuchumpa mipaka.
Yeye kwa wadhifa tena mkubwa aliokuwaga nao tena wa kiimani hakuwa na budi ya kuongea maneno yale!!!
Haya sasa angalia ofusi alivyooivuruga!!!
Hapa usitetee uovu
@@zawadiramadhan6181 Muombe dua Allah amuongoze juu ya upotofu.. kila mwanadam n mweny kukosea mkamilifu m Allah pekee..
@@zawadiramadhan6181 si vyema kuombeana mabalaaa like ""mengine yanakuja""
Jaribu kuwa mbali mashia
Na huyo atataka kukuingiza ili utoke km alivotoka
Tunaomba na hiyo nafasi atolewe
Acha roho mbaya ukute ww ni mbaya zaidi kuliko hvo unavyomuombea mwenzako
@@assadyabdull5146 ni hivyo hata kwa hiyo aachie nafasi kwa wengine
Nenda ka mpunzike tushaku choka unaongea sana pumba
Salha wewe lol
Muhuni anakabidhi ofc na uende
Alhamdulillah