ALICHOKIFANYA MC ELIUD KWENYE WAISA (DOUBLE IMPACT PART 1)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024
  • #Waisacomedy #comedy

КОМЕНТАРІ • 396

  • @jullyhandmadecards
    @jullyhandmadecards 9 місяців тому +107

    Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania

  • @MaryMkoma
    @MaryMkoma 9 місяців тому +38

    Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 9 місяців тому +16

    Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️

  • @monicakiwia5649
    @monicakiwia5649 9 місяців тому +14

    Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana

  • @MuharamiKaposo-qt9cy
    @MuharamiKaposo-qt9cy 8 місяців тому +6

    Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂

  • @LeahKweyamba
    @LeahKweyamba 4 місяці тому +3

    Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌

  • @HonorinaSimba-tw6ke
    @HonorinaSimba-tw6ke 8 місяців тому +5

    Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤

  • @CarolineMbone-j7o
    @CarolineMbone-j7o 8 місяців тому +8

    Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂

  • @BundaProsecutor
    @BundaProsecutor 5 місяців тому +4

    Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi

  • @PaschalThomas-dm8by
    @PaschalThomas-dm8by 8 місяців тому +9

    Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 8 місяців тому +8

    Ninakupenda sana Eliud
    Mungu akutunze

  • @StellaIbrahm
    @StellaIbrahm 8 місяців тому +7

    Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 9 місяців тому +6

    Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 3 місяці тому +3

    Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 8 місяців тому +6

    Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe

  • @rahelihaule
    @rahelihaule 8 місяців тому +5

    Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂

  • @frankabdallah5054
    @frankabdallah5054 9 місяців тому +6

    😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 7 місяців тому +4

    Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 5 місяців тому +4

    UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED

  • @thebios2553
    @thebios2553 9 місяців тому +9

    Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu

    • @barakacmwanza
      @barakacmwanza 9 місяців тому +1

      𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖

  • @FrankNyanza
    @FrankNyanza 5 днів тому

    Namwona frank hapo wa jua kali na wengine mungu awabariki kwa umoja wenu

  • @godfreycomedias9181
    @godfreycomedias9181 9 місяців тому +4

    Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 9 місяців тому +4

    Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo

  • @somoesalum-q5n
    @somoesalum-q5n 8 місяців тому +7

    😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea

  • @SalmaAhamada-e9p
    @SalmaAhamada-e9p 8 місяців тому +10

    Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 7 місяців тому +5

    Mshikaji anachekesha halafu yy yupo comftable

  • @maryojungu8647
    @maryojungu8647 8 місяців тому +4

    Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu

  • @VeronicaEveristus
    @VeronicaEveristus 8 місяців тому +8

    Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE

  • @Juke995
    @Juke995 9 місяців тому +3

    Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live

  • @مكتومالدرعي
    @مكتومالدرعي 8 місяців тому +5

    Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂

  • @joiriawanjala8497
    @joiriawanjala8497 8 місяців тому +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 8 місяців тому +4

    Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂

  • @janekapoya4733
    @janekapoya4733 6 місяців тому +2

    Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud

  • @emmanuelkato2375
    @emmanuelkato2375 9 місяців тому +2

    Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi

  • @janethgeorge5791
    @janethgeorge5791 7 місяців тому +5

    Shangazi hataki kukaaa😁

  • @samwelimwaim7136
    @samwelimwaim7136 8 місяців тому +1

    Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,

  • @adolphriwa3534
    @adolphriwa3534 7 місяців тому +3

    Safi sn Eliudi unajua sn .

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo 6 місяців тому +3

    Nimekumbuka Mbali kweli

  • @edinamyovela4422
    @edinamyovela4422 8 місяців тому +4

    Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa

  • @MamaFarhan-k4d
    @MamaFarhan-k4d 3 місяці тому +1

    Ninacho kukubari Eliud hautumii nguvu yaana yanakutoka tuu ni 🔥🔥🔥😂😂😂😂

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo6172 8 місяців тому +5

    Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂

  • @marthalangia
    @marthalangia 8 місяців тому +2

    Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 8 місяців тому +5

    😂😂😂 HUYU MPUUUZI ANAKUJA MOTO SANA DAAAAH!NI KAMA STEVE MWEUSI.

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 8 місяців тому +3

    One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 6 місяців тому +6

    Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

    • @issasanga8509
      @issasanga8509 5 місяців тому

      😂😂😂😂ako ni noma sana

  • @scholasticajackson6760
    @scholasticajackson6760 9 місяців тому +2

    Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana

  • @elskimalatukengela1058
    @elskimalatukengela1058 9 місяців тому +5

    Wanyakyusa 🙌🙌

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 9 місяців тому +3

    😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida

  • @jacksonwilliam5991137
    @jacksonwilliam5991137 8 місяців тому +1

    Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 8 місяців тому +6

    Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂

  • @EsitaDombo
    @EsitaDombo 4 місяці тому +2

    Nina Imani nitashinda na kushinda Tena kwa nguvu ya roho mtakatifu mi ni tajiliiiiiii

  • @JanemaryNandy
    @JanemaryNandy 8 місяців тому +11

    tunamwona kibibi tujuane

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi 8 місяців тому +6

    Namuona kajala

  • @annembijima391
    @annembijima391 7 місяців тому +2

    Ilikuwa nzuriiii😂😂😂

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 9 місяців тому +3

    Kumchekesha mtu mzima kz sana

  • @sherry7339
    @sherry7339 8 місяців тому +3

    Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 9 місяців тому +5

    Iyo suti ndo angevaa kweny harusi ya anna😂

    • @irenekaro2848
      @irenekaro2848 9 місяців тому +1

      Anna ameshitukaa😂😂😂

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 8 місяців тому +9

    Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 8 місяців тому

      Yupo kazini hapo 😂

    • @matronmkenda3510
      @matronmkenda3510 8 місяців тому

      @@ahz6907 😂😂

    • @absm8084
      @absm8084 4 місяці тому

      Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee

    • @davisnyandindi4917
      @davisnyandindi4917 3 місяці тому

      Nimecheka mara mbili moja eliud mbl comment yako

    • @matronmkenda3510
      @matronmkenda3510 3 місяці тому

      @@davisnyandindi4917 😂😂😂

  • @marcusjulius6572
    @marcusjulius6572 7 місяців тому +5

    kuna wasela hawacheki😅😅😅😅

  • @sarahmsambule5235
    @sarahmsambule5235 8 місяців тому +4

    Nusa si kwetu tayari 😂😂

  • @EzebiaFransi
    @EzebiaFransi 9 місяців тому +4

    Nakupenda sana unajua

  • @odiliaherman5658
    @odiliaherman5658 8 місяців тому +6

    Ivi uku kiingilio shingapi😊😊

    • @FiveStar-uc5ec
      @FiveStar-uc5ec 6 місяців тому

      Mwenyewe s elewi natamani kweli cku Moja ningeenda

  • @marymwatsum98
    @marymwatsum98 8 місяців тому +2

    Jasiri wa Pete nmekuona 😊😊

  • @SandeMwanyingili
    @SandeMwanyingili 8 місяців тому +3

    Kaka mbona unapenda kutuzalilisha Wana mbeya kama unanigusa Mimi yaan😅😅

  • @rahelyngogo771
    @rahelyngogo771 9 місяців тому +2

    😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee

  • @lucyjohn9067
    @lucyjohn9067 7 місяців тому +4

    Nimependa Sana kumwona Frank mzee kauzu

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 9 місяців тому +4

    Nipo busy na nguo ya Eliud

  • @sayozmediatv6021
    @sayozmediatv6021 9 місяців тому +3

    Pongezi kwako kijana safi sana

  • @fredyezekiel252
    @fredyezekiel252 9 місяців тому +4

    Haujamalizia kipande bhanaa😂😂

  • @elolam7
    @elolam7 8 місяців тому +176

    Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳

    • @felistasiwale7582
      @felistasiwale7582 8 місяців тому +4

      Ameeeeen

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 8 місяців тому +1

      Amiin tajir

    • @bernardaugust4021
      @bernardaugust4021 8 місяців тому +1

      Tupo pamoja matajiri

    • @esterwayesu
      @esterwayesu 8 місяців тому +1

      Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤

    • @bishowjonibishoo
      @bishowjonibishoo 8 місяців тому

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢

  • @mosesnassary6720
    @mosesnassary6720 8 місяців тому +6

    Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥

  • @northerncruiser137
    @northerncruiser137 9 місяців тому +4

    Wakazi sindio huyu aliyesema comedian wabongo hamna kitu

  • @HeryMwakyusa
    @HeryMwakyusa 9 місяців тому +5

    Brother tunashukulu kwa kutuwakilisha wanyakwusa.

  • @Jerrymaswaga
    @Jerrymaswaga 9 місяців тому +2

    Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa

  • @WilsonCharlesCharles-lm5oh
    @WilsonCharlesCharles-lm5oh 6 місяців тому +2

    Eliud we nomaaaa

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 9 місяців тому +6

    Team jua kali nawaona hapo ❤

  • @veronicamassala562
    @veronicamassala562 9 місяців тому +4

    Jua kali wapo wengi

    • @VianaKokutensa
      @VianaKokutensa 9 місяців тому +1

      Wamekuj kumsupport mwenzao ujamuona ata boss ake lamata

  • @salomenashon5864
    @salomenashon5864 9 місяців тому +2

    Anganile😂 umenichekesha sana😅

  • @RechoKimaro-jp5zq
    @RechoKimaro-jp5zq 5 місяців тому +4

    Love you so much Eliud ❤

  • @hadijajuma9550
    @hadijajuma9550 8 місяців тому +3

    😂😂😂😂unatisha boss

  • @samielvutsipa52
    @samielvutsipa52 8 місяців тому +4

    Uyu jamaaa hana hofu ya kajala

  • @HawaHussein-hq1lj
    @HawaHussein-hq1lj 8 місяців тому

    We eliudi wewe unajua kutufrahisha 😂😂 rech kasema ww nayy ndobac😂😂ety unakashika mdomo mama alikuwepo wataka nakwambia 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @yuzzoruta9757
    @yuzzoruta9757 8 місяців тому +5

    pure talent😅😂

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv 8 місяців тому +3

    Nikilia hapa mtasema linadeka😅

  • @FatinaKiondo-ke9tq
    @FatinaKiondo-ke9tq 8 місяців тому +4

    Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 9 місяців тому +5

    Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe

  • @joycesweetbertibambasi9317
    @joycesweetbertibambasi9317 9 місяців тому +2

    😂😂😂 eliud wa jua kali

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 9 місяців тому +6

    Namkubar san hatumii ngvu yan ongea yake ni comedy tosha

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 8 місяців тому +9

    Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 8 місяців тому

      Kima Tena mh🤔

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 8 місяців тому

      @@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 8 місяців тому +1

      @@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 8 місяців тому +2

      @@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu

    • @aginni94
      @aginni94 8 місяців тому

      Kima Tena alafu mrefu

  • @FabienDeo
    @FabienDeo 8 місяців тому +4

    Je eliud anajua😅

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 8 місяців тому +1

    Waooooh kaka Fule kafurahi mwenyewe

  • @coleinvee3181
    @coleinvee3181 8 місяців тому +4

    mbavu zinauma 😂😂

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 8 місяців тому +4

    Hiyo brauzi Yako umeazima wapi, ni kama ya Farida 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 8 місяців тому +6

    Kajala bahis ni regina wa juakali

  • @RaiyanAssad
    @RaiyanAssad 8 місяців тому +4

    Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 3 місяці тому +2

    Hii nyumba mbona kama wanawake wapo wawiri😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZachariaNeema
    @ZachariaNeema 8 місяців тому +2

    Nimekuelewa sana😂😂😂

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 9 місяців тому +4

    😂😂😂atimae wakazi kacheka

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 місяців тому +2

    Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake

  • @FaithKayamba-ji5lx
    @FaithKayamba-ji5lx 8 місяців тому +7

    Huo ndo mtoko wa harusi wa diba umebumaa😂