Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania
Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like
Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️
Kazi ya Lamataaa
Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana
Ni kakako eeeh
Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂
Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌
Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤
Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂
Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi
Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂
Ninakupenda sana Eliud
Mungu akutunze
Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤
Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed
Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo
Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe
Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂
😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana
Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss
UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED
Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
Namwona frank hapo wa jua kali na wengine mungu awabariki kwa umoja wenu
Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏
Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo
😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea
Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu
Mshikaji anachekesha halafu yy yupo comftable
Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu
Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE
Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live
Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂
Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud
Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi
Shangazi hataki kukaaa😁
Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,
Safi sn Eliudi unajua sn .
Nimekumbuka Mbali kweli
Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa
Ninacho kukubari Eliud hautumii nguvu yaana yanakutoka tuu ni 🔥🔥🔥😂😂😂😂
Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂
Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜
😂😂😂 HUYU MPUUUZI ANAKUJA MOTO SANA DAAAAH!NI KAMA STEVE MWEUSI.
Hata Steve mweusi hamfikii
Steve tofauti akitoka mpoki Ni huyu
One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅
Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂😂ako ni noma sana
Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana
Wanyakyusa 🙌🙌
😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida
Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂
Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂
Nina Imani nitashinda na kushinda Tena kwa nguvu ya roho mtakatifu mi ni tajiliiiiiii
tunamwona kibibi tujuane
Namuona kajala
Ilikuwa nzuriiii😂😂😂
Kumchekesha mtu mzima kz sana
Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂
Iyo suti ndo angevaa kweny harusi ya anna😂
Anna ameshitukaa😂😂😂
Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana
Yupo kazini hapo 😂
@@ahz6907 😂😂
Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee
Nimecheka mara mbili moja eliud mbl comment yako
@@davisnyandindi4917 😂😂😂
kuna wasela hawacheki😅😅😅😅
😮😮😮😮😮
Nusa si kwetu tayari 😂😂
Nakupenda sana unajua
Ivi uku kiingilio shingapi😊😊
Mwenyewe s elewi natamani kweli cku Moja ningeenda
Jasiri wa Pete nmekuona 😊😊
Kaka mbona unapenda kutuzalilisha Wana mbeya kama unanigusa Mimi yaan😅😅
😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee
Nimependa Sana kumwona Frank mzee kauzu
Tena anachekaa kwel😂
Nipo busy na nguo ya Eliud
Pongezi kwako kijana safi sana
Haujamalizia kipande bhanaa😂😂
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
Ameeeeen
Amiin tajir
Tupo pamoja matajiri
Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢
Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥
Wakazi sindio huyu aliyesema comedian wabongo hamna kitu
Brother tunashukulu kwa kutuwakilisha wanyakwusa.
Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa
Eliud we nomaaaa
Team jua kali nawaona hapo ❤
Team Jua Kali .... Mwali mindu...
Jua kali wapo wengi
Wamekuj kumsupport mwenzao ujamuona ata boss ake lamata
Anganile😂 umenichekesha sana😅
Love you so much Eliud ❤
😂😂😂😂unatisha boss
Uyu jamaaa hana hofu ya kajala
We eliudi wewe unajua kutufrahisha 😂😂 rech kasema ww nayy ndobac😂😂ety unakashika mdomo mama alikuwepo wataka nakwambia 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
pure talent😅😂
Nikilia hapa mtasema linadeka😅
Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣
Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe
Fyutu fyo fiki
😂😂😂 eliud wa jua kali
Namkubar san hatumii ngvu yan ongea yake ni comedy tosha
Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana
Kima Tena mh🤔
@@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako
@@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako
@@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu
Kima Tena alafu mrefu
Je eliud anajua😅
Waooooh kaka Fule kafurahi mwenyewe
mbavu zinauma 😂😂
Hiyo brauzi Yako umeazima wapi, ni kama ya Farida 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Kajala bahis ni regina wa juakali
Regina ni pindi chana mh.
Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂
Hii nyumba mbona kama wanawake wapo wawiri😂😂😂😂😂😂😂
Nimekuelewa sana😂😂😂
😂😂😂atimae wakazi kacheka
Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake
Huo ndo mtoko wa harusi wa diba umebumaa😂
Hahahahahq
Hahahahhaaa😂