MCHUNGAJI HANANJA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA MAANDAMANO YA KENYA // AFICHUA MAZITO...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 88

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 3 місяці тому +8

    We ndio umeongea kweli, mchungaji mzuri, Mungu akubariki uendelee katika kweli

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile 3 місяці тому +15

    Wa arusha apewe miaka 1000000000000000 ya uraisi wa tanzania

  • @abdullahigedi9425
    @abdullahigedi9425 3 місяці тому +7

    Shukrani kwa ndugu zetu wa Tanzania kwa maoni na hisia zenu ... mie abdalla kutoka kauti wa Garissa kenya

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 місяці тому

      Nyie Kenya subirini tuu Mungu Anaenda kuipeleka Kenya pazuri..endeleeni kumuombea Rais wenu Ruto. Mungu awalinde jirani

  • @rastaraj9577
    @rastaraj9577 3 місяці тому +8

    Asante kwa kuwahi kumleta mchungaji alete maoni yake, tunampenda xn 254 mpk kieleweke

  • @amisibilly5084
    @amisibilly5084 3 місяці тому +4

    Nilikua nilisha mmiss mzee wangu from Australia big up sana

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 місяці тому +4

    Makonda Mungu akulinde Sana ❤❤❤

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 3 місяці тому +10

    Kweli kabisa yule wa arusha na wAziri wa arizi MUNGU AWAPE MAISHA MALEFU

  • @Erick350
    @Erick350 3 місяці тому +2

    Mungu akubaliki pastor umbea Kenyan

  • @Rehema-h6t
    @Rehema-h6t 3 місяці тому +1

    Masha Allah Wewe ni Bola Sana Baba Allah akuongoze ❤❤

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 3 місяці тому +1

    We love you Hananja welcome to 254

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 3 місяці тому +1

    powerful massage, stay blessed comedian pastor😜

  • @BoniphaceButambala
    @BoniphaceButambala 2 місяці тому +1

    Baba upo sawa nchi yetu imeharibika sana

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 3 місяці тому +2

    Asante baba hata mimi kipind chamagu nilimchukia sana huyo mjomba lakini sasahivi wakamaliza 2000 zangu kilasiku nafurahia tu watu majibu yao yanavyoponywa

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 3 місяці тому +3

    Makonda ni kiongozi 100%

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 3 місяці тому +4

    Makonda ni kiongozi bora kabisa kuwahi kutokea

  • @jumamario-vr1mw
    @jumamario-vr1mw 3 місяці тому +1

    Kweli mungu awae maisha marefu

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 3 місяці тому +2

    Tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Deni ya nchi ilichukuliwa ya nini na ilifanya nini. Tunataka audit ya deni ya nchi tusiwe tunalipa pesa ziliwekwa mifuko ya watu.Kile kimetukera wa 🇰🇪 sana ni vile ruto na wenzake wanatuonesha madharau kiburi majivuno wakituonesha vile wameunga mapesa za ufisadi kwa kurukaruka na mahelikopta wamenunua na pesa zetu za wizi,,magari makubwa kuva ngua za biatu na saa za mamilioni ihali umasikini.umekomea kwa wananchi. Pili kudanganya wananchi kama watoto na hakuna maendeleo yoyote nchi . Kila kitu kimesimama 🇰🇪. Wanao jimudu ni wabunge na wanasiasa pekee na familia zao.Hawajali wananchi.

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile 3 місяці тому +6

    Kenya ni wazalendo wababe wananchi heshima kwa wananchi wababe

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 місяці тому

      Wababe gani???? Wanachafua na fugo tuu.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 місяці тому

      Kwasababu wewe umetawaliwa na ujinga ukiambiwa chochote na wanasiasa wewe unaitikiaitikia ndio mzee ​@@awatifalghanim1106

    • @stephenmwaniki2803
      @stephenmwaniki2803 3 місяці тому

      ​@@awatifalghanim1106nawewe ikakuuma

  • @ezrakipkurui9094
    @ezrakipkurui9094 2 місяці тому +1

    Tanzania mjiombee kwanza mue na uhuru yaku andamana

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 3 місяці тому +1

    ❤❤❤ umesema kweli

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 3 місяці тому +1

    Africans tunahitaji viongozi wanyampara😂😂 noma sana

  • @michaelsiafu2369
    @michaelsiafu2369 2 місяці тому

    Huyu mzee yuko smart sana..

  • @kelvinmureti-fo4uy
    @kelvinmureti-fo4uy 3 місяці тому +2

    Na huchochezi ndio mingi kutoka kwa vyama vya huongozi

  • @alphabetagama3736
    @alphabetagama3736 3 місяці тому

    After raising your concerns, please give Ruto a time to rectify!

    • @megabrecatechniks
      @megabrecatechniks 3 місяці тому

      He has no penchant to rectify. We want him out! otherwise, he'll face it rough. we are here for the long haul.

    • @baloz8974
      @baloz8974 3 місяці тому

      Ruto had enough time since ever he was In government in past all of those serikalis he has hasn't done anything for sure,tume does he want more it's 2yrs for now just stealing public money over taxing raia who is this guy .?zakayo

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 3 місяці тому +3

    Mikoa mingine igeni huyo wa Arusha Hananja Mungu Akutunze

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 3 місяці тому +4

    Yule jamaa wa Arusha ana spirit ya yule Baba yetu wa Chato, naamini kuna mengi ya kujifunza kwa yule jamaa wa Arusha

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 місяці тому

      Makonda ninampenda mno,akachukue tu fomu ya uraisi.

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 3 місяці тому +1

    Hongela mama samia ni msikivu,.

    • @MRASISKA
      @MRASISKA 2 місяці тому

      Msikivu wa nyokoo

    • @danielshimora5315
      @danielshimora5315 2 місяці тому

      Toa hoja acha matusi,,au utakuwa tahira wewe,, acha kutukama watu ambao hawakukuza mtukane mama yako aliekuzaa na Baba Yako masikini kwani wakina bahalesa azae nao.

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 3 місяці тому +1

    😂😂😂hatari sana mungu amecheka hee meno wake yakaaje umeongea pwenti lakini hapo mungu ameche ka subiri niulizia maana mhh

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 місяці тому +1

    Hata hiyo roma mpaka leo inajulikana kidunia ishamwaga damu...dah.

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe1036 3 місяці тому

    Congratulations

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 3 місяці тому +1

    nimekuelewa sana.. yani umeongea kwa hisia mkuu unakitichako mbiguni. 🇹🇿👊👊

  • @bonniegtmagabe2009
    @bonniegtmagabe2009 3 місяці тому

    Mnazingua na hizo jingle zenu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 3 місяці тому

    Makonda Mungu akurinde

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 3 місяці тому

    Sana makonda yupo vizuri sana

    • @MaryWuantet
      @MaryWuantet 2 місяці тому

      Mungu ampe makonda uraisi jamani

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 місяці тому +1

    Makonda kaiongezea CCM uhai. Watanzania walichoka na CCM. Tuseme ukweli bila ya Makonda CCM isingeshinda.

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 3 місяці тому

      Ccm Imeshinda wapi? Mnajidanganya! Ccm labda kwa wizi na kusaidiwa na polisi! Lakini uchaguzi huu ccm hatuitaki ife tu!

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 місяці тому +1

    Mi nilishawaambia kitambo,Makonda ni mtu na nusu.

  • @kelvinmureti-fo4uy
    @kelvinmureti-fo4uy 3 місяці тому +2

    Hello am kelvin mureti from Kenya,wakenya hatawataki kulipa hushuru

    • @yasminmustafa2282
      @yasminmustafa2282 3 місяці тому

      YOU ARE DEFINITELY NOT KENYAN..WHO SAYS WE DON'T WANT TO PAT TAXES..WE WANT ACCOUNTABILITY FOR WHAT IS BEING COLLECTED WE CANNOT BE BUDGETING FOR CIRRUPTION .
      wewe sio mkenya tutue tukome konokono kiwete wewe

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 3 місяці тому +1

      Huyo kiongozi wa Arusha anafanya uhuni tu

    • @johnmasha7851
      @johnmasha7851 3 місяці тому

      Thanks kelvin for ur numb remark

    • @johnmasha7851
      @johnmasha7851 3 місяці тому

      Thanks kelvin for ur numb remark

    • @johnmasha7851
      @johnmasha7851 3 місяці тому

      Thanks kelvin for ur numb remark

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 місяці тому +1

    Hananja anasema ukweli

  • @SamuelKimani-xk5fl
    @SamuelKimani-xk5fl 3 місяці тому

    Wambie wakwenyu pia wayanjue hayo

  • @francohaule-ci7ii
    @francohaule-ci7ii 3 місяці тому

    Ni kweli hakuna aliyekamilika na Kila kilichokobaya wakati mwingine kinaweza kuwa kuzuri kama vile sauli na badae akawa Paul akawa chombo kweli kwa Sasa makonda anajitaidi sana sana makonda Fanya kazi

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 3 місяці тому +1

    beat la wimbo gani ?

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 3 місяці тому +1

    Hata mawazo yangu nikama yako baba

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 3 місяці тому +1

    ❤❤❤

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 місяці тому

    Wamasai loliondo

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 3 місяці тому +1

    Mchungaji chote kile umesema na kutosikiliza na kutojali umenena mia kwa mia rais wa bandia fisadi mkubwa muuwaji murongo Ruto wa 🇰🇪. Hapo ndiyo ametufikisha ukiona tukiingia maandamano

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 3 місяці тому +1

    Nimefahamu anachokiongea lakini sijaelewa

  • @KashumbaMshanzi
    @KashumbaMshanzi 3 місяці тому

    Nakushuru kuwambia ukweri viogozi muwaskirize watu makoda

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 місяці тому +2

    KIONGOZI WA ARUDHA WANGAPI MMESIKIA HAPA KATAJWA MAKONDA?

  • @FatwimaZahrau
    @FatwimaZahrau 3 місяці тому +2

    Maneno kuntu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 місяці тому +4

    Mjinga fulani aitwaye Lissu na Lema siku zote ni kuwaongelea vibaya watendao mema😢😢

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 місяці тому

      Kwasababu wewe bado ni mjinga , uliona wapi wanasiasa wakaongeleana mema wabongo mmelala sana usingizi

    • @babupiza641
      @babupiza641 3 місяці тому

      Kama wwe ulivyo mjinga

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 2 місяці тому

      Kwani Grace kagoma wewe ni mlaanika ,ivi Tundu Lisu kuharibiwa mwili wake vile wewe una endelea kumlaum lisu na lema watu ambao maisha yao yalikuwa kwenye uvuli wa mauti namna ile hakika wewe ni mlaanika

  • @hassaniabdi3991
    @hassaniabdi3991 3 місяці тому

    Viongozi wa juu ndiyo matatizo awana sauti ndiyo mana zuluma imerudi na wizi kila sehemu ivi sasa

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 місяці тому

    kenya walipigania katiba haikuwa rais vile.ndio maanake nchi kama;
    Tanzania
    Uganda
    Nigeria
    Congo
    Nigeria
    Sudan
    Zinatamani katiba mpya ila sio rahisi

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 3 місяці тому +2

    Vijana bangi na kuto penda kufanya kazi. Kutumika vibaya na wapinzani. Pole yake Ruto Moja kati ya Marais wenye busara kuwahi.kutokea duniani

    • @TinakishO
      @TinakishO 3 місяці тому

      If you don't know what is happening here in Kenya, shut your trap!

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 місяці тому

      Wewe kwasababu bado ni mjinga , wakenya sio watu dhaifu kama wabongo nyinyi mnapelekwapelekwa kama wanyama pori

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 3 місяці тому +1

      Sasa tangia mmeandamana mmeshapewa Hela

    • @MusaMkembela-ex6ev
      @MusaMkembela-ex6ev 3 місяці тому

      We si huna akili​@@tinnahagustinolyelu4247

    • @wakalekimz
      @wakalekimz 2 місяці тому

      Wee mama kalale .shoga mkubwa