Asante baba hata mimi kipind chamagu nilimchukia sana huyo mjomba lakini sasahivi wakamaliza 2000 zangu kilasiku nafurahia tu watu majibu yao yanavyoponywa
Tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Deni ya nchi ilichukuliwa ya nini na ilifanya nini. Tunataka audit ya deni ya nchi tusiwe tunalipa pesa ziliwekwa mifuko ya watu.Kile kimetukera wa 🇰🇪 sana ni vile ruto na wenzake wanatuonesha madharau kiburi majivuno wakituonesha vile wameunga mapesa za ufisadi kwa kurukaruka na mahelikopta wamenunua na pesa zetu za wizi,,magari makubwa kuva ngua za biatu na saa za mamilioni ihali umasikini.umekomea kwa wananchi. Pili kudanganya wananchi kama watoto na hakuna maendeleo yoyote nchi . Kila kitu kimesimama 🇰🇪. Wanao jimudu ni wabunge na wanasiasa pekee na familia zao.Hawajali wananchi.
Ruto had enough time since ever he was In government in past all of those serikalis he has hasn't done anything for sure,tume does he want more it's 2yrs for now just stealing public money over taxing raia who is this guy .?zakayo
Toa hoja acha matusi,,au utakuwa tahira wewe,, acha kutukama watu ambao hawakukuza mtukane mama yako aliekuzaa na Baba Yako masikini kwani wakina bahalesa azae nao.
YOU ARE DEFINITELY NOT KENYAN..WHO SAYS WE DON'T WANT TO PAT TAXES..WE WANT ACCOUNTABILITY FOR WHAT IS BEING COLLECTED WE CANNOT BE BUDGETING FOR CIRRUPTION . wewe sio mkenya tutue tukome konokono kiwete wewe
Ni kweli hakuna aliyekamilika na Kila kilichokobaya wakati mwingine kinaweza kuwa kuzuri kama vile sauli na badae akawa Paul akawa chombo kweli kwa Sasa makonda anajitaidi sana sana makonda Fanya kazi
Mchungaji chote kile umesema na kutosikiliza na kutojali umenena mia kwa mia rais wa bandia fisadi mkubwa muuwaji murongo Ruto wa 🇰🇪. Hapo ndiyo ametufikisha ukiona tukiingia maandamano
Kwani Grace kagoma wewe ni mlaanika ,ivi Tundu Lisu kuharibiwa mwili wake vile wewe una endelea kumlaum lisu na lema watu ambao maisha yao yalikuwa kwenye uvuli wa mauti namna ile hakika wewe ni mlaanika
We ndio umeongea kweli, mchungaji mzuri, Mungu akubariki uendelee katika kweli
Wa arusha apewe miaka 1000000000000000 ya uraisi wa tanzania
Shukrani kwa ndugu zetu wa Tanzania kwa maoni na hisia zenu ... mie abdalla kutoka kauti wa Garissa kenya
Nyie Kenya subirini tuu Mungu Anaenda kuipeleka Kenya pazuri..endeleeni kumuombea Rais wenu Ruto. Mungu awalinde jirani
Asante kwa kuwahi kumleta mchungaji alete maoni yake, tunampenda xn 254 mpk kieleweke
Ruto must Go
Nilikua nilisha mmiss mzee wangu from Australia big up sana
Makonda Mungu akulinde Sana ❤❤❤
Kweli kabisa yule wa arusha na wAziri wa arizi MUNGU AWAPE MAISHA MALEFU
Mungu akubaliki pastor umbea Kenyan
Masha Allah Wewe ni Bola Sana Baba Allah akuongoze ❤❤
We love you Hananja welcome to 254
powerful massage, stay blessed comedian pastor😜
Baba upo sawa nchi yetu imeharibika sana
Asante baba hata mimi kipind chamagu nilimchukia sana huyo mjomba lakini sasahivi wakamaliza 2000 zangu kilasiku nafurahia tu watu majibu yao yanavyoponywa
Makonda ni kiongozi 100%
Makonda ni kiongozi bora kabisa kuwahi kutokea
Kweli mungu awae maisha marefu
Tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Deni ya nchi ilichukuliwa ya nini na ilifanya nini. Tunataka audit ya deni ya nchi tusiwe tunalipa pesa ziliwekwa mifuko ya watu.Kile kimetukera wa 🇰🇪 sana ni vile ruto na wenzake wanatuonesha madharau kiburi majivuno wakituonesha vile wameunga mapesa za ufisadi kwa kurukaruka na mahelikopta wamenunua na pesa zetu za wizi,,magari makubwa kuva ngua za biatu na saa za mamilioni ihali umasikini.umekomea kwa wananchi. Pili kudanganya wananchi kama watoto na hakuna maendeleo yoyote nchi . Kila kitu kimesimama 🇰🇪. Wanao jimudu ni wabunge na wanasiasa pekee na familia zao.Hawajali wananchi.
Kenya ni wazalendo wababe wananchi heshima kwa wananchi wababe
Wababe gani???? Wanachafua na fugo tuu.
Kwasababu wewe umetawaliwa na ujinga ukiambiwa chochote na wanasiasa wewe unaitikiaitikia ndio mzee @@awatifalghanim1106
@@awatifalghanim1106nawewe ikakuuma
Tanzania mjiombee kwanza mue na uhuru yaku andamana
❤❤❤ umesema kweli
Africans tunahitaji viongozi wanyampara😂😂 noma sana
Huyu mzee yuko smart sana..
Na huchochezi ndio mingi kutoka kwa vyama vya huongozi
After raising your concerns, please give Ruto a time to rectify!
He has no penchant to rectify. We want him out! otherwise, he'll face it rough. we are here for the long haul.
Ruto had enough time since ever he was In government in past all of those serikalis he has hasn't done anything for sure,tume does he want more it's 2yrs for now just stealing public money over taxing raia who is this guy .?zakayo
Mikoa mingine igeni huyo wa Arusha Hananja Mungu Akutunze
Yule jamaa wa Arusha ana spirit ya yule Baba yetu wa Chato, naamini kuna mengi ya kujifunza kwa yule jamaa wa Arusha
Makonda ninampenda mno,akachukue tu fomu ya uraisi.
Hongela mama samia ni msikivu,.
Msikivu wa nyokoo
Toa hoja acha matusi,,au utakuwa tahira wewe,, acha kutukama watu ambao hawakukuza mtukane mama yako aliekuzaa na Baba Yako masikini kwani wakina bahalesa azae nao.
😂😂😂hatari sana mungu amecheka hee meno wake yakaaje umeongea pwenti lakini hapo mungu ameche ka subiri niulizia maana mhh
Hata hiyo roma mpaka leo inajulikana kidunia ishamwaga damu...dah.
Congratulations
nimekuelewa sana.. yani umeongea kwa hisia mkuu unakitichako mbiguni. 🇹🇿👊👊
Mnazingua na hizo jingle zenu
Makonda Mungu akurinde
Sana makonda yupo vizuri sana
Mungu ampe makonda uraisi jamani
Makonda kaiongezea CCM uhai. Watanzania walichoka na CCM. Tuseme ukweli bila ya Makonda CCM isingeshinda.
Ccm Imeshinda wapi? Mnajidanganya! Ccm labda kwa wizi na kusaidiwa na polisi! Lakini uchaguzi huu ccm hatuitaki ife tu!
Mi nilishawaambia kitambo,Makonda ni mtu na nusu.
Hello am kelvin mureti from Kenya,wakenya hatawataki kulipa hushuru
YOU ARE DEFINITELY NOT KENYAN..WHO SAYS WE DON'T WANT TO PAT TAXES..WE WANT ACCOUNTABILITY FOR WHAT IS BEING COLLECTED WE CANNOT BE BUDGETING FOR CIRRUPTION .
wewe sio mkenya tutue tukome konokono kiwete wewe
Huyo kiongozi wa Arusha anafanya uhuni tu
Thanks kelvin for ur numb remark
Thanks kelvin for ur numb remark
Thanks kelvin for ur numb remark
Hananja anasema ukweli
Wambie wakwenyu pia wayanjue hayo
Ni kweli hakuna aliyekamilika na Kila kilichokobaya wakati mwingine kinaweza kuwa kuzuri kama vile sauli na badae akawa Paul akawa chombo kweli kwa Sasa makonda anajitaidi sana sana makonda Fanya kazi
beat la wimbo gani ?
Hata mawazo yangu nikama yako baba
❤❤❤
Wamasai loliondo
Mchungaji chote kile umesema na kutosikiliza na kutojali umenena mia kwa mia rais wa bandia fisadi mkubwa muuwaji murongo Ruto wa 🇰🇪. Hapo ndiyo ametufikisha ukiona tukiingia maandamano
Nimefahamu anachokiongea lakini sijaelewa
Nakushuru kuwambia ukweri viogozi muwaskirize watu makoda
KIONGOZI WA ARUDHA WANGAPI MMESIKIA HAPA KATAJWA MAKONDA?
❤❤❤❤😂
Maneno kuntu
Mjinga fulani aitwaye Lissu na Lema siku zote ni kuwaongelea vibaya watendao mema😢😢
Kwasababu wewe bado ni mjinga , uliona wapi wanasiasa wakaongeleana mema wabongo mmelala sana usingizi
Kama wwe ulivyo mjinga
Kwani Grace kagoma wewe ni mlaanika ,ivi Tundu Lisu kuharibiwa mwili wake vile wewe una endelea kumlaum lisu na lema watu ambao maisha yao yalikuwa kwenye uvuli wa mauti namna ile hakika wewe ni mlaanika
Viongozi wa juu ndiyo matatizo awana sauti ndiyo mana zuluma imerudi na wizi kila sehemu ivi sasa
kenya walipigania katiba haikuwa rais vile.ndio maanake nchi kama;
Tanzania
Uganda
Nigeria
Congo
Nigeria
Sudan
Zinatamani katiba mpya ila sio rahisi
Vijana bangi na kuto penda kufanya kazi. Kutumika vibaya na wapinzani. Pole yake Ruto Moja kati ya Marais wenye busara kuwahi.kutokea duniani
If you don't know what is happening here in Kenya, shut your trap!
Wewe kwasababu bado ni mjinga , wakenya sio watu dhaifu kama wabongo nyinyi mnapelekwapelekwa kama wanyama pori
Sasa tangia mmeandamana mmeshapewa Hela
We si huna akili@@tinnahagustinolyelu4247
Wee mama kalale .shoga mkubwa