AHMED ALLY" TUKIMUACHA CHAMA TUTAKUJA KUJUTIA/HAWANA UWEZO WAKUMCHUKUA/SIMBA DAY TUNASHUSHA MASHINE
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Klabu ya Simba SC kupitia kwa mashabiki wake Leo June 30,2024 wamefungua Tawi la Timu hiyo lililopewa jina la Mpira burudani maeneo ya Kigamboni Mbutu kichangani,hafla hiyo iliyohudhuriwa na Msemaji wa Simba SC Ahmedy ally ambae ndio alikuwa mgeni Rasmi
Wewe ni zaidi ya wasemaji wote duniani uongezewe mshahara kwa kweli
Simba wanasema kazeeka🤣🤣🤣leo wanajua anaondoka,wanasifia ! Huo ndo mgawanyiko wa simba! Akibaki,walimtukana?? Jibu ,HABAKI!
Mbona ngonjera nyingi, jibu, yupo au hayupo?. wewe mwenyewe umesema ni mchezaji huru, hivyo nafasi yenu kwa chama ni Hela tu, maamuzi ni ya chama.
Katika WASENAJI HIVYO,NI HUYU ! HUSAHAU MASWALI, KUJIRUDIA MARA KIBAO
kwa maoni yangu binafsi Simba sc ni muda sahihi ya kuachana na chama kwani hata ukiangalia uwezo wake umeanza kuchuka, hivyo ni kheri kumtafuta mtu mwenye uwezo zaidi ya chama.
😂😂😂😂😂semaji lenye gundu kukosa makombe hadi chama kuondoka
Mnatupa presh juu ya chama semaj kama ameongez mkataba tuambien maan daah
Semeni kweli kenge nyie kachukuliwa na Yanga ndiyomaana unazunguuka zunguuka tu. Mwaka huu hamko nae paka nyie
Tumeskia chama hayupo tena Simba nyosha maekezo 😅
Mh uku awez kuondoka mala watakao mchukua watakuwa kam fisi tueelewe lip saa
Saivi kila andiko unalotaka kuandika unalifuta😂😂😂😂😂😂
Hakuna mkubwa kwenye timu Simba ya msimu ujao inawezekana bila chama 💪😢
Chama hawataki mnajipendekeza achanen nae aatawasumbua
Mbona umechukua muda mrefu kuwa ambia kuwa mmemuacha
Huyo dogo kutoka moroco yupo kwel au cheche2
chama is talented player;we should keep him in our club
Umeznguka tuu sem anaondokaa
Mmemkosa safri hi 😅😂
Izopesa bola mungefanya usajili mbona munapenda safali sana nyinyi olewenu muje mutuchanga atuta waerewa
Mashindano ambayo yako mbele yetu,vzr sana😀
Jamaica chamade ni bora Nassington mashabiki tunaona yuko bora
Unawapa moyo alafu unatoka kwenye mada
Acha polojo zako unaongea maneno mengi sana wenye akili tumeelewa
😂😂😂mwamba walusaka naamini tutakuwa nae na tutatambabnae
Semaji tumechoka ba mafumbo yasiyo kwisha kuhusu chama naomba utuambie wazi ilitujue
Bango kesho🤣🤣🤣🤣Chama Yanga!
Unalopoka mshamba wewe
Bado mwamba yupooooooooooooo
😂😂😂😂😂😂
mm nafikili swalamoja nazani tunajuwa misimu 3 mfulu lizo atuna furaha kabisa wana simba sasa wazo langu mm iyo pesa itayo tumika kwenda uko misr tuta fute mbonge lamchezaji mtu wakazi kazi kumzidi chama maana ss tunajuwa chama tena 😂😂😂😯.
Huyu ndio ahamed Ali Sasa.
Kuongea ujinga wa kuwafurahisha? Huyu unaona ana akili! Anajirudia mara kumi
Tatizo mashabiki madinduka au makolo uyu fala ana wadanganya sana liongo hatal fukuzeni linamkos
Acha matus kaka mtu Yuko kazini kama inakukera usiangalie
So kweli katoka mwamba
Chama kama angekuwa anabaki angekuwa tayar asahasain ila now tarehe 1 jully tayar mchezaji huru
too much politics tatizo anaenda wapi yanga it's a defeat to you by yanga;
Mbona unazunguka sana sema jambo mojaa achaa adisiiiiii
Nyie mnao ongea anyooshe maneno kwani yeye ndio anae sajili yeye msemaji tu anatangaza kilicho andaliwa kwasabau ashakuwa muwazi kuwa tusubilie viongozi ndio watakao amua hafai aachwe
Timu inaondoka lini
Waambie tu mwamba Kagoma KK usaini . Huna lolote zaidi ya kuzuwia taharuki.
Niseme tu viongozi na huyu mwanahabari asiwafanye watu ndundusa. Semeni kiume hapo watu wajue moja. Na mkimuacha kisha baadae mpigwe mabao na timu yoyote ile ya Bongo ndipo mtakapojua mbichi au mbivu kwa hawa ndundusa.
Walisaini vipi wakati wanajua walichelewa kulipa? waandishi wa Tanzania mmmmmh!
kauli zako Ahmed ni za kisiasa :hopeless;hamna uwezo WA kumlipa so stinge Mo
Wanapenda sana kuwadanganya Wanasimba..kwa porojo zisizo kuwa na kichwa wala miguu! Pathetic!
Xavi mtupu
Ashasepa mna hio msemo BC kishaumana Chama jina lake lisahaulike
makoro mwenyekili hamna kabisa kila siku chama chama kwaiyo kumbe nyie bila chama hamna timu
CHAMA kaenda JANGWANI MAMAE SIJAPENDA KABISA ASE
Huyu kula yake kuongea! Subirini muone🤣🤣
Nyoosha maelezo,mbona unazunguka mbuyu.mana siyo kawaida yako kama jamaa chama yupo ungejimwambafay lakini kinyoooongee. Imeenda iyo.
keep the man he is magnificient
Chama tunamuhitaji acheni brabraa, fanyeni uamuzi wa busara
Yaani porojo tu chama kaishaondoka kitambo na kesho anatambulishwa kwa wananchi
Yanga hana hela ya kumlipa chama
@@Gisakijamadudakesho utajua kama yanga hawana Hela sijui akina Aziz k pacome diara aucho wanalipwaga mawe kwahiyo nyie makoroboi ndo munahela tu je azam
@EliaMkumb-wn7bm mjifaliji Ivo Ivo,,, mlisena Mzee vp Leo Kawa kijana 😂😂😂wagogo me
Mbona jobe mmmmmm
SIMBA WAMEKOSA FEDHA CHAMA AMEENDA YANGA AHMED ALI ANAENDELEA KUWAJAZA UMBUMBUMBU
Mwache aende
Kweli ahmed ally ni kichwa tenge anaongea mambo na kuyasahau mda huo jmn fara ni fara tu
we shenzi acha kashifa Hilo ni semaji bwana
Mtamua Mzee Saidi Simba sport club
Sema ukwer konanyingi xana wambie watu ukwer
Sura yako tu inaonyesha chama hayupo simba
Mbona maelezo marefu sana dalili sio nzuri 😂😂😂😂😂
Chama ni mwananchi hadi saiv huyu kichaa anajing'ata ng'ata bure tu koroboi eti wakimchukua watakuwa mafisi huy jamaa ni taira yan
Pamoja na upendo wetu kwake,kama yeye mwenyewe haoni upendo huo na kung'ang'ania aondoke ni kumwacha ili astusumbue asije akaendelea kudengua.
Kama mnata kujenga timu chama asibaki
Maneno na kusajili tu kuchukua ubingwa aaah
Hivi ni lini viongozi wasimba watakuwa wawaziii??
Huyu abaki mpk afie msimbaziii
Mnazidi kumsingizia eti kauza mechi eti hatufai Leo mnamtaka Tena? Kaenda yangaaas.
Ukitaka ujue kwamba Simba Mashabiki kweli ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Rage ni kwenye hii speech ya Ahmed Ally yani hapa mpka saizi hajui kama wanapigwa porojo na Bado wanapiga makofi
Kama sisi tuvyojua kuwa utopoloni wenye akili wawili tu
Unatexeka kweli
we chama bali simba mimi nakupenda saaaanaaaa
Kwani mwaka Jana mlikuwa mnatania
Aibuuuuu!!!!!!!
Mashabiki wa 5imba mnaandaliwa kisaikolojia chama bye bye 😂😂😂😂😂😂😂😂
Acheni kumpandisha kiburi uyo chama
Yoga ww
Nakuhusu chama vp wazee
Hapo umeongea ukweli
Hata kuongea hajiwezi masikini anazungukaa kama anaosha pipa hapo hapo anajichanganya..Eti hakuna timu yeyote hapa tz inaweza kumlipa chama hapohapo madunduka wanapiga makofi kwa furaha akajisahau tena kama watamchukua bac watakuwa kama mafisi tuh... Madunduka wakabaki wanyonge maskini duh...Mbona unatumia nguvu kubwa sanaaa
Mbona mnatumia nguvu sana
Ahmed Ally kwenye siasa zake 😂😂
Kama una D 2 lzm uelewe
Hayupo acha rongo rongo ww mbana pua.
Bora abaki chama ndani ya Simba bado uwezo anao mkubwa Sana kuitumikia Simba tusimuache mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunaimani nae chama
Minaonatumuache tyuu bwana
Yeye ndio anawaacha hapo ndio shida
asiondoke mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤abaki simba nguvu Moja
Chama abaki
mungu ibariki tanzania🎉🎉🎉❤❤❤
Mwamba kaamua kufanya umwamba wake
Semaji unachelewesha mambo tupe habari kamili
Hakuna khabari,kesho utasikia Yanga wakitangaza Chama 🤣🤣🤣
Kwa hiyo usajili wa simba ni chama tu?! Mo anajua kuwachezea Makolo! Ongelea chama,watatulia! Unaongelea jezi,watu WANATAKA KUJUA USAJILI! MO HUYOO🤣🤣🤣🤣🤣
Tungemuacha tu amishaanza kutuletea visa sana kwa ilo m'mekosea
We sema tu kaenda yanga maneno mengi wakati chama kesho yupo zake yanga
Jichetue tu
Chama kabaki au
Nyoshaah
😂😂😂😂
🎉tafta hela
maneno haya mbona kama ni ya sizitaki mbichi hizi!?🤣🤣
Umeona eee
6:56 😅
😂😂
Ogopa technology, baada ya
Misimu mi3
Bila taji lolote muhimu.
😢😢
Hapa hali tayari ishakuwa mbaya kwa simba, chama ni mwananchi hapa. Wameshindwa kufika bei. Yani hakuna chakuongea kipya hapo 😂😂
mmepoteza chama ubahili;umempoteza beki wacost ubahili;majibu ya Simba so sahibi;ubahili mtupu;we are touched if chama is lost to yanga
Wewe siasa sasa za nn maneno umeongea mengi sana sema neno moja bado maamuzi hayajatoka au hatunae au tunae unapoteza sv zako kwa maneno mengi sana unajua nakukubaki sana hujui tu.
tunafeli
Chama kisha ondoka anashindwa kuongeya ukweli lakini wachezaji kama Chama ni wengi tuu
Mwamba wa Lusaka simba ni nyumbani, haiwezi kwenda kutengeneza madeni ya kuidai timu na kupelekana cas mwambaaaaa
Hatuzitaki jezi kama hamjasajili watu wamana tunagoma kununua jez