Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
    Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
    Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 42

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 6 днів тому +1

    Mungu wetu wa mbinguni na awatangulie🙏🏾🙏🏾

  • @user-zz6vf8ry2p
    @user-zz6vf8ry2p 27 днів тому +8

    Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu

  • @LawranceMatoke-rf7uk
    @LawranceMatoke-rf7uk 9 днів тому +1

    Good men for their country

  • @user-ol2vd1zv7u
    @user-ol2vd1zv7u 25 днів тому +3

    good job❤

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 26 днів тому +4

    Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 27 днів тому +9

    Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss

    • @Kingstonbagamoyo
      @Kingstonbagamoyo 24 дні тому +1

      ❤❤❤❤❤❤🎉

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 23 дні тому +1

      KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤

    • @user-cg1vd5jr8t
      @user-cg1vd5jr8t 20 днів тому

      Hami j we kula urojo tu Kisha ulale

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi 15 днів тому

      Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi 15 днів тому

      ​@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 12 днів тому +1

    Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 24 дні тому +2

    Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 26 днів тому +3

    Safi sana

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 27 днів тому +2

    Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 27 днів тому +2

    Respect 💪

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 27 днів тому +2

    Nmeipenda hii

  • @gervas58
    @gervas58 22 дні тому +1

    Nimeipenda sana

  • @samuelndungukaranja5627
    @samuelndungukaranja5627 19 днів тому +1

    Ruto must go

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 26 днів тому +3

    hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa

  • @TozzyMay
    @TozzyMay 28 днів тому +2

    Nimefurahi kupata hii habari
    Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
    Akili nzuri hii

  • @BakariMsoka
    @BakariMsoka 19 днів тому +1

    Wametisha sana

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki 27 днів тому +2

    Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 8 днів тому

    Hivi Tannnzania hakuna mwanajeshi wa kujitolea akampindua mama

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 23 дні тому

    Good

  • @DrLachi19
    @DrLachi19 25 днів тому +1

    Magharibi na sio mangaribi

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 23 дні тому

    Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 28 днів тому +1

    Viva sahel

  • @EsterPaul-jt5im
    @EsterPaul-jt5im 27 днів тому +1

    Saruti wakuu

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 27 днів тому +1

    Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b 28 днів тому +1

    Nimewapende hao wanajeshin

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 26 днів тому +1

    eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wx 28 днів тому

    Og sn

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 27 днів тому +2

    Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 25 днів тому +1

      Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 22 дні тому

      Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu

  • @nunikayuni6394
    @nunikayuni6394 12 днів тому

    Freedom to Africa

  • @WillyNzowa
    @WillyNzowa 26 днів тому +1

    Nchi zingine za afrika zijifunze apa