Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel
Вставка
- Опубліковано 7 лип 2024
- Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Mungu wetu wa mbinguni na awatangulie🙏🏾🙏🏾
Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu
Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto
Kabisa maana wanakele
Good men for their country
good job❤
Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho
Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss
❤❤❤❤❤❤🎉
KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤
Hami j we kula urojo tu Kisha ulale
Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike
@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko
Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik
Safi sana
Mwenyezi Mungu awatangulie
Respect 💪
Nmeipenda hii
Nimeipenda sana
Ruto must go
hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa
Nimefurahi kupata hii habari
Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie
Akili nzuri hii
Wametisha sana
Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.
Hivi Tannnzania hakuna mwanajeshi wa kujitolea akampindua mama
Good
Magharibi na sio mangaribi
Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Viva sahel
Saruti wakuu
Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya
Nimewapende hao wanajeshin
eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe
Og sn
Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga
Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
Freedom to Africa
Nchi zingine za afrika zijifunze apa