Kazi nzuri napenda kazi kama hizi. Zimetulia unavutiwa na unachokisikia. Vocals nzuri instruments zipo level. Hongereni pro... Kazi za aina hii ndio tunataka lakini unaweza kuta mtu anaponda. Mara hiki kimekua hivi mara vile. Leta chako basi ulichofanya tuone nawew. Niwape hongera saaaana pro studios.. Keep it up
Huu wimbo Wana Pro mmeutendea haki kweli. Umetulia vyema kabisa na mkatoa video inayo inayotoa picha kamili ya Kristo Mnyenyekevu aliyejitoa kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Hongereni sana na mbarikiwe sana kwa kuzidi kutubariki kwa sauti zenu taamu. Kujitolea kwenu kukawazalie Matunda.
AKAWA MCHII HATAAAA MAUCHI NAAM MAUCHI YAAMSALABA, lugha ya kiswahili itamkwe kwa ufasaha ili kuepusha haya. Uzungu kwenye lugha ya kiswahili tuuache, unatuchafulia ujumbe.
@@ohmbeauty😂😂😂😂😂 si kwa nia mbaya, kama ulishiriki kurekodi au kufundisha una haki ya kuona masikio yangu Yana matege. Hii ni kumbusho kwa waalimu na mafundi studio na sijasema kwa nia mbaya.
@@newtonthomas1097 we hata nisikulaumu inawezekana hii ni kazi yako kutafuta makosa katika kila kitu kizuri wacha nikuache tu hata sijashiriki chochote sijakuwepo rekodi wala sijui kufundisha mm ninachojua wameimba vizuri jina la Mungu limetukuzwa hayo mengine ni ya kwako na ujuaji wako.
Tatizo watu mmekalili. Mbona audio mnasikiliza? Alafu kumbuka hizi nyimbo hazihitaji mambo mengi. Niwapongeze pro studios. Keep it up. Hivi vitu ndivyo tunapenda. Leteni vitu
"Kristu alijinyenyekeza", Kazi nzuri watu wa Mungu, always the best.
Kazi nzuri napenda kazi kama hizi. Zimetulia unavutiwa na unachokisikia. Vocals nzuri instruments zipo level. Hongereni pro... Kazi za aina hii ndio tunataka lakini unaweza kuta mtu anaponda. Mara hiki kimekua hivi mara vile. Leta chako basi ulichofanya tuone nawew. Niwape hongera saaaana pro studios.. Keep it up
Aisee hiii ndo ijumaa kuu Asantee Sana Wana wa Mungu..pro.juuuuu
Well done! Hii kweli kwaresma imetulia inapendeza.
Safi sana na hongereni sana.Akawa mtii hata mauti naaam mauti ya msalaba🎉🎉🎉🎉
Guuud Work ❤
Amina ...Tubarikiwe sote katika kutafakari Mateso ya ukombozi wa Mwanadamu
Hongereni sana
🙏🙏
Safi sana
superb
Safi sana❤
Huu wimbo Wana Pro mmeutendea haki kweli. Umetulia vyema kabisa na mkatoa video inayo inayotoa picha kamili ya Kristo Mnyenyekevu aliyejitoa kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Hongereni sana na mbarikiwe sana kwa kuzidi kutubariki kwa sauti zenu taamu. Kujitolea kwenu kukawazalie Matunda.
Amina
Tunakuahukuru saaana
Good song keep up good work
Good..
Kazi safi sana Nairobi twafurahia sana kazi zenu
Tunashukuru saaana mkuu. Siku moja tutakuja huko
Hongereni sana pro Studios wimbo safi sana,..ishi sana kaka agrey
Asante saaana ndugu yangu. Ubarikiweeee
Hongereni sana🎉
Perfect Tempo, Mpo vzur wazee Congrats. Hizi ndo ngoma za IjumaaKuu sasa
Shukrani saana. Karibu
💪
Mawasiliano yenu pls
0783481918
AKAWA MCHII HATAAAA MAUCHI NAAM MAUCHI YAAMSALABA, lugha ya kiswahili itamkwe kwa ufasaha ili kuepusha haya. Uzungu kwenye lugha ya kiswahili tuuache, unatuchafulia ujumbe.
Kalluh nadhani anasikitika huko aliko, hakulenga hayo mliyoimba. Waalimu na mafundi tujitahidi kuzingatia hilo, bila hilo kosa ingekuwa tamu mnooo.
We muongo aisee loh masikio yako yana matege maneno yametamkwa vizuri tu acha kutafuta negative za kujitengenezea
@@ohmbeauty😂😂😂😂😂 si kwa nia mbaya, kama ulishiriki kurekodi au kufundisha una haki ya kuona masikio yangu Yana matege. Hii ni kumbusho kwa waalimu na mafundi studio na sijasema kwa nia mbaya.
@@ohmbeautyamesekia hivyo tusimbishie... Mungu ambariki sana.
@@newtonthomas1097 we hata nisikulaumu inawezekana hii ni kazi yako kutafuta makosa katika kila kitu kizuri wacha nikuache tu hata sijashiriki chochote sijakuwepo rekodi wala sijui kufundisha mm ninachojua wameimba vizuri jina la Mungu limetukuzwa hayo mengine ni ya kwako na ujuaji wako.
Nzuri ila audio imekuwa na makelele Audio disrtotation
Wew unatumia nini kusikiliza ndugu??
😂😂 kwamba hali hii naisikia mmi
Hii studio uko wap
hongereni sana ila naona video zenu nyimbo zinafanana upande wa video rangi ya back ground kila wimbo ndio hiyo hiyo......
Za kwako zipo wapi wakati unakosoa za wenzio??watu tunazingatia ujumbe.
Tatizo watu mmekalili. Mbona audio mnasikiliza? Alafu kumbuka hizi nyimbo hazihitaji mambo mengi. Niwapongeze pro studios. Keep it up. Hivi vitu ndivyo tunapenda. Leteni vitu
@@EmanuelPaulo-nd8mekweli kabisa atuoneshe zake. Wengine hatupendi mambo mengi. Hii ni sawa kabisa. Kazi nzuri ujumbe ndio jambo la muhimu...