Mpira ni makombe sio blaaablaa, usajili sio makombe subiri turudi kwenye ligi tukuporomoshe hapo kwenye baridi yetu ndipo utajua Simba mmesajili au mmebugi.
Hayo ni mawazo ya watu waliofeli, Wewe unaesema huo ni uongo, lete data zako wewe, Wenzenu wanapasuwa mawimbi wanasonga mbele nyie mnabakia oo hao wanachama wa kufoji, kuna timu hata data base yao tu haijui Ina wanachama wangapi ,halafu mnataka kubishana, YANGA ikiingia tu kwenye data base yao unapata idai ya wanachama wake mpaka Sasa,
Yanga yetu naion mbale san Mungu atutangulie pamoj na team yetu pendwa yanga
Amina
Aamina Inshaallah
Good ally shaban kamwe
Mbona makasiriko....chuki haijengi....kama mnaweza igeni yaliyo mazuri😊
Yang z oyeee
Vijana,vijana wazee wako wapi?
Vitenge vimewappendeza kweli lakini usajiri mnaiga tuu hamtoifikia simba
Wivu unakufurukuta chevu una haya pyeeeee
Simba alifanya lini hivi mpaka muigwe tukumbushwe.
Mpira ni makombe sio blaaablaa, usajili sio makombe subiri turudi kwenye ligi tukuporomoshe hapo kwenye baridi yetu ndipo utajua Simba mmesajili au mmebugi.
Hawana lolote hao kz ushirikina wanachama wa kufoji hao.
Hayo ni mawazo ya watu waliofeli, Wewe unaesema huo ni uongo, lete data zako wewe, Wenzenu wanapasuwa mawimbi wanasonga mbele nyie mnabakia oo hao wanachama wa kufoji, kuna timu hata data base yao tu haijui Ina wanachama wangapi ,halafu mnataka kubishana, YANGA ikiingia tu kwenye data base yao unapata idai ya wanachama wake mpaka Sasa,
Utopolo wana mbwembwe sna
Kumbe unafatilia 😂😂! utateseka saaana huku Sheikh
😅😅😅@@errydeo8865
Anahangaika huyu😅😅😅😅
Mbona shughuli sio yako umeivalia kibwabayaa ww endelea kuteseka kolo😂😂😂
Hhhhjj