Part 1.Usiyoyajua kuhusu Bando Mc, Ugomvi na Baba yake Mzazi, Kifo cha Babu yake!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 18

  • @KhairatBundala
    @KhairatBundala 9 днів тому +1

    Jaman huyu bando story zake sizielewi nakumbika alisema baba yake alishafariki,,,huyu baba aliyenaugomvi nae ni baba yupi au alikufa akafufuka

  • @wabongoughaibunimediaprodu4471
    @wabongoughaibunimediaprodu4471 6 місяців тому +1

    Bando keep it up mwanangu, story yako inagusa ila dhahabu haiwi dhahabu mpaka ipite kwenye moto mkali

  • @mariamkitina196
    @mariamkitina196 5 місяців тому +2

    Sitosahau msoto wa jambo gineli shifti ya usiku mnakesha mnafanya kz ukikutwa umelala unakatwa hela nyie haya maisha ila mkipanda lile gari vibe lake humo walala hoi nyie ni shida kulikuwa kuna kazee kamoja ka kiarabu kamzee nassor kalikuwa na maneno kitu kidogo tu unaweza kukosa kazi

  • @mariamkitina196
    @mariamkitina196 5 місяців тому +1

    Wale wa two six

  • @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r
    @KOMASAVAOG-yb1mm9fk1r 6 місяців тому +2

    That why ihi mwamba ina andika vizur

  • @crownisackmussa3581
    @crownisackmussa3581 6 місяців тому +2

    Bando inabidi awe na kumbukumbu sababu nimetoka kuangalia now interview yake na sns kasema jina la Bando ni jina lake la ukoo

  • @appolokelebuka2218
    @appolokelebuka2218 6 місяців тому +1

    No 2 kaka we are waiting

  • @SophiaEvalisti-ms7hv
    @SophiaEvalisti-ms7hv 6 місяців тому +1

    Ghetto family kubwa

  • @richardchami3575
    @richardchami3575 6 місяців тому +1

    keep broo

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 6 місяців тому +2

    Duuuuh huyo baba 🙌

    • @KhairatBundala
      @KhairatBundala 5 днів тому

      Usilolijua nikampa usiku wa Giza tusipende sana kuhukumu

  • @mugga_
    @mugga_ 6 місяців тому +1

    family

  • @erickismail4205
    @erickismail4205 6 місяців тому

    Kubwa sana hii

  • @MJB-Africa
    @MJB-Africa 6 місяців тому +2

    Sasa mbona muonekano wa ghetto hauko tena vipii

    • @Msanuaji
      @Msanuaji  6 місяців тому +1

      Hii ni bonus tu, Muonekano ule Upo vizuri

    • @benjaminikazi
      @benjaminikazi 6 місяців тому

      @@Msanuaji umetujibu wengi sana.

  • @goddymemberg3155
    @goddymemberg3155 6 місяців тому

    Huyo mtangazaji kama sio Jimmy mmh bahat

  • @amankingu3525
    @amankingu3525 6 місяців тому

    Uyu mwamba huchoki interview zake 😂😂