Sitosahau msoto wa jambo gineli shifti ya usiku mnakesha mnafanya kz ukikutwa umelala unakatwa hela nyie haya maisha ila mkipanda lile gari vibe lake humo walala hoi nyie ni shida kulikuwa kuna kazee kamoja ka kiarabu kamzee nassor kalikuwa na maneno kitu kidogo tu unaweza kukosa kazi
Jaman huyu bando story zake sizielewi nakumbika alisema baba yake alishafariki,,,huyu baba aliyenaugomvi nae ni baba yupi au alikufa akafufuka
Bando keep it up mwanangu, story yako inagusa ila dhahabu haiwi dhahabu mpaka ipite kwenye moto mkali
Sitosahau msoto wa jambo gineli shifti ya usiku mnakesha mnafanya kz ukikutwa umelala unakatwa hela nyie haya maisha ila mkipanda lile gari vibe lake humo walala hoi nyie ni shida kulikuwa kuna kazee kamoja ka kiarabu kamzee nassor kalikuwa na maneno kitu kidogo tu unaweza kukosa kazi
Wale wa two six
That why ihi mwamba ina andika vizur
Bando inabidi awe na kumbukumbu sababu nimetoka kuangalia now interview yake na sns kasema jina la Bando ni jina lake la ukoo
No 2 kaka we are waiting
Ghetto family kubwa
keep broo
Duuuuh huyo baba 🙌
Usilolijua nikampa usiku wa Giza tusipende sana kuhukumu
family
Kubwa sana hii
Sasa mbona muonekano wa ghetto hauko tena vipii
Hii ni bonus tu, Muonekano ule Upo vizuri
@@Msanuaji umetujibu wengi sana.
Huyo mtangazaji kama sio Jimmy mmh bahat
Uyu mwamba huchoki interview zake 😂😂