S2KIZZY awachana LIZER na ABBAH/Hawaniwezi/NAWAZIDI KILA KITU/ Nina HITS NYINGI
Вставка
- Опубліковано 2 тра 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#S2KIZZY #BongoFlavour - Розваги
Give this man his flowers...Living Legend.
Nakukubali zombie but lizer Ni full package
S2kzee ni mbayaaaaaaaaaa achaniiii wivuuu watanzania tukubali vya kwetu kama wanaijeria jmnnnniiiiiii watanzania tuache wivuuuuuuu
S2kizzy anajuwa sana emu tuacheni majungu
This the greatest producer in east africa
Zombie Lizer ni noma sana
sure man
Zombie kaa mbali na lizer wew 🤜🤛
Nominated Grammy producer Award 🌺👏🏾👏🏾
Lizer, I love his mix and he doesn't boast
Bro wee ni nomaaaaaa
ACHANENI NA LIZER SEMA TU HAJIDAI MITANDAONI
Lizer 🔥 🔥 🔥
S2kizzy bado mtoto mchanga sana kwa ayo lizzer💯 lizzer ndio baba lao
Respect Kwa zombiiiiiiii kaz unafanya inaonekana hip hop mapiano everything
Kama lizer ni mkali kuliko zombi mbona hit zote zinatoka kwa s2kizzy jaman kwann msikubali kua s2kizzy anajua emu acheni kuongelea mapenzi tuongelee uhalisia tunaouwona kwnye beat kali
S2kizzy kweli ni mkali, ila hta lizer naye yumo angalia no za inama, waah,naanzaje, the one, n.k
Nawew jiulize kwanini lizer anamalizia mix
Weee zombie + laizer wote wa ❤️🔥❤️🔥
Master Jay na Majani ni one of the god fathers wa bongo flava ambao kizazi hiki cha watoto wa 2000 ndiyo wamewajua sababu ndiyo wanao tajwa sana na wenyewe wanajitokeza sana mitandaoni, but basically kuna god fathers wa 5 wa hii game ya BONGO FLAVA, ambao ni Master Jay wa MJ Productions, P Funk Majani wa Bongo Records, Enrique wa Sound Crafters na hapa sound crafters ndipo palipo mtambulisha producer mwingine mkali aitwaye Biziman, Bony Love wa Mawingu Studio ambako Mwana FA ndiko alikotokea na Mika Mwamba wa FM studios.
Kulikuwa na sound engineers wengine kadhaa ambao hawakuwa producers na hawakuwa wanajulikana sana maana walikuwa wanafanya kazi kwenye Recording studios ambazo siyo Record labels na walikuwa wakirekodi variety of music Genres za band, taarab, kwaya, reggae etc kama Marlon Linje aliyekuwa anafanyia kazi studio za Don Bosco upanga kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1990 baadaye mwishoni mwa miaka hiyo ya 1990 akahamia MJ Records kwa Master Jay, wengine ni Samuel Luhende, Richard Mloka, Joseph Anania, huyu Joseph Anania alifanya kazi Good news studios pale Jengo la umoja wa vijana fire enzi hizo kabla halijavunjwa na kujengwa jengo hili la sasa, huyu ndiye aliye rekodi album ya kwanza ya Bahati Bukuku inayoitwa Mapito mwaka 2000.
Mwaka 1998 ilianzishwa studio pale ilala inaitwa Studio Marimba ilikuwa chini ya Band ya Njenje Joseph Anania, Samuel Luhende na Richard Mloka wote wakahamia hapo kama Engineers wakaungana na Keppy Kiyombile ambaye ni mpiga bass guitar na sound engineer wa Njenje so pakawa na Engineers wa 4 wakifanya kwa shift.
OYa babu we mzee sana hahahahahaha achana nao hao tunazungumzia matop ni majani na master j... hao akina makochali, zakchali manwalter cjui na akna nani ni nani hahaha s2kizz mkali
lizer🎉🎉🎉
True
S2kizzy anafanya kazi nzuri ila Lizer ni noma sana Sio Mpaka kumzungumziya Lizer ni shidaaaa
S2kizzy nimkari nakubari ila sio kwaraiza laiza kamuachia nafasi tu ila nimkari kuriko
Kwel kbs laiza nimkali Zaid
mix nyimb mwenyew bila lizer uwone kama unatoboa
Zipo nyingi sana
Achana na lizer ww
Top 11 ya Producer wakali Tz ,1 Majan, 2 Mikamwamba, 3 Man water ,4 Master j, 5 Marco chali,6 Mr t tourch ,7 Abby dad ,8 Mesen Selekta,9 Marehemu Roy, 10 S2 kizy,11 Laiza.Ila S2kizy ana kipaji san na ni mkali ila upepo wa wasanii unambeba
Mpaka siv nakubali ila nakuja kumchomoa hapo mwambie natafuta tag name saiv
🎉🎉
That egypt English accent 😍
Sasa hivi producer anaewatoa Wasanii Ni pale Ma-feeling Records. Msanii Aliekuwa hajatoka Akigonga ngoma pale Ma feeling lazima asikike
Bboy beats ni silent killer, he is the best.
Why not man woter
Utakuaje wa muda wote (GOAT) wakati hukuwepo muda wote 🤔, hata wale wa zama hizo kama hawako active kipindi hiki watakuwaje wa muda wote?
Lizer nomaa sana ase
Hapana😊😊😊
Raizer kafanya nn tofauti na Kwa wasaf
Raizer kafanya nn tofauti na Kwa wasaf
Lize
Ww unajuwa sana
kwa laiza bado sana
Zombi we ni hatari lakin laizer ni danger nlichogundua mziki sio chord, mziki ni mixing ok kamix laizer
Sio kweli ila unauwezo enderea
Zombie ❤❤
Lizer mkali sana
LAIZER HATARI SANA,
Kwa lizer bado sana
Ki vipi mbona lizzer wa kawaida sanaaaa.....alafu kumbuka laizer ana base sana wcb 😊😊😊
Humu kuna watu hamjui maana ya uproducer make huwez sema lizer n mkubwa kuliko s2kizzy au s2kizzy n mkubwa kuliko lizer hapana unatakiwa kuangalia vigezo vya uproducer msishabikie tu kwamba flan n mkubwa bila kujua facts
Rudin nyuma kwenye nyimbo za laizer kuanzia kwangwaru kurudi nyuma mtamuheshimu laizer
Lizer ni mkali ni producer wa Africa
Kapimwe akili wewe toa fact😊😊😊
Nakuli zombi
Unamjua Miika mwamba?,Pancho Ratino (rip),Dunga,Lamar, Komorye, Thood Thomas yaan hzo levels we hukanyagi mikono yao ina balaa alaf unalet ujinga hapa unajipangia tu mi namba mbil kwa ubora mjinga nini😡😡
Sema tangu laiza aache kuprodce kiasi frani wasani wa wcb nikama wanabahatisha bahatisha sio kamazamani ukidondosha jiwe nijiwe sema kazinzuri pambanen
Mnaonaje Hawa watu tuwashindanishe watoe vitu vikali afu wabongo tuone Nan mkali
ww bado san wanakubeba 2 san lakin ww c projuza bora bini ladeni umuwezi
Baba zombie umeuwaaaaa usiongee Sana utachoka bule
Nyimbo za laizer zitaishi mpaka anakufa lakin wewe unachezacheza tu
Kaulize goole wakupe majibu
Hahahaaa
Na lizer nae anasemaje 😂
Mbona lizer Hana majigambo kama huyo mtoto
APN zombi co mkali zaid lizer..lizer ni kiboko
Burukengee ww kwangwaru ni ww ulifanya
mokoo
Kusema kweli zombi ni mkali ila kwa Liza bado sana
S2kizzy mkali sana
Lizzer noma💥💥💥💥
Lizer ukwali wake n nn?😅😅😅
@@emmanuelmwasyoge2053 katika African yy ni wa pili nenda Google uka angaliye huyo zombie hayuko hata wapi isi tosha zombie lazima saidiwe na huyo jama
Lizzer mkali kumzidi uyo zombi wenu . acheni kuji mambafai eti zombi labda mkali kwako
Zombies
Wee zombie
Top 11 ya Producer wakali Tz ,1 Majan, 2 Mikamwamba, 3 Man water ,4 Master j, 5 Marco chali,6 Mr t tourch ,7 Abby dad ,8 Mesen Selekta,9 Marehemu Roy, 10 S2 kizy,11 Laiza.Ila S2kizy ana kipaji san na ni mikali ila upepo wa wasanii unambeba
Said Comorie hayupo