Kibano sehemu ya pili. Ipi dini ya Mitume na Manabii?
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya Straight Path Dawah ili kuwezesha Dawah iendelee mbele. Usisite kutupigia kupitia nambari zifuatazo +254722600533 au +254777600777
Takibr Allahu Akibr! Ndeshe atoke Dar akiwa amesilimu awache vichekesho zake! PONGEZI mashekhe wetu kwa kueneza DINI ya haki Amin Amin Amin
Ndache uskune kichwa na kucheka na kudanganya kuongea kitu kischokuepo???
Maneno. Si ya. Mwaipopo. Wala. Ya. Mbogo. Vitabu. Vinasema. Umeshazidiwa ndacha. Kicheko. Cha maumivu. Baba. Oohoo. Nakuhurumia. Mashehe. Wetu. Mwenyezi. Mungu. Awaongoze Amin rabilgamin
@@tabumangu2836 Ndacha muongo, kapatikana Leo, kapigwa chini hahahaha,
Allahu wakbar ☝️
Asalam alykum www sheikh mbogo very strong knowledge allihamdullilah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Maashallah masheikh wetu mnatoa elimu kubwa. Mwenyezi Mungu amilipe pepo ya juu.
Ukiskiza Kwa makin utajua Nn wanacho kifanya wakristo wallah Kua Muslim Ni RAHA SANA Alhamdulillah
Jiandae kwenda motoni na mtume wako
Mashallah Daaah asee Uislamu Raha sana jaman nyiiieeeeeeeeeeeeeeeeeee
Jinga kabisa kichwa maj
Koma akunamwesilamu ataingiya mbinguni
Masha Allah sheikh wetu Mungu awahifadh
Mashaallah mimi nashukuru san kuwa muisilimu yaani ni mtihani san wakilisto awana hata elimu subuhnallah yaani wameshukuliwa watu mbali san yaani waje kujadiliyana na watu wenye elimu yaani waisilamu Allah atujalie ss waisilamu atujalie janna filidausi inshaallah
Nawapongezeni walim wote mnaonekana ya dhati nia yenu ni kutujuza ukweli natunawaelewa M/Mungu atuongoze sote ninyi nasis
Ubarikiwe mwaalimu Abel tufundishe maandiko leo uongo wa uislamu leo wawekwa wazi hongora kwa wote waliojitolea kwa ajili ya neno la MUNGU
Hongereni kwa ustaarabu waislam na wakristo
Maongezi yanakatwakatwa! Yaani hii ni dini ya uongo kweli. Hakuna Mwikristo wa kweli aliyemkubali Yesu katika maisha yake na Roho Mtakatifu anamwongoza, ataweza kumwacha Mungu wa kweli aliye hai na kuingia uislamu dini ya uongo, chuki, hasira, na majivuno.
Kuwa mwislam ni NEMA tosha
@@shushu8105 kuwa mwislamu ni laana hata mpaka milele! Kristo awafungue macho hawa waislamu.
@@kiswahili_mangat ninyi ndo mumelaaniwa kama babu yenu farao
@@shushu8105 Farao amekuwaje babu ya wakristo? Mnaongea upuzi mtupu maskini. Jielimisheni wana wa Mungu!
@@kiswahili_mangatkwanin amelaniwa na mwenye zi Mungu ni kwasababu ya jeuri lake hasa naninyi wakristo mumelaniwa na Mungu kwasababu mnamufananisha Mungu na bina damu yesu ni binadam kama wewe
Masha allaah shekh ramadhan🙏🙏
Subhaana Allah hawa wanojiita wakiristo kumbe hawaelewi ndio maana wafata dini wasioijua labda wategemea mshahara wa wazungu tu.
Nimeelewa vzr, kumbe hizi dini zote hazituhusu ila ujanja ujanja tu asanteni walimu
Kinachokuhusu Ww Ni Nini
Ha ha haaa kwel
MashaAllah barka Allahu fiq
Watching this from green and spice island Zanzibar
Huyu ex-muslim anahitaji kufundishwa Nahau, Sarfa na Balagha ili aweze kutafsri Quran na shere za kiarabu.
Shida ninayoiona kwa wahadhiri wengi wa kiislamu hawawezi kuzitetea aya za Qur'an kwa sababu wameelemea kuusoma ukristo zaidi kuliko uislamu wenyewe. Hivyo naomba muwe mnawaalika kina Sheikh Kishk, Uthman Maalim, Sheikh Ally Kombo na wengineo ambao wao wanauujua uislamu kwa misingi yake na Tafsriri za Maneno ya Lugha ya Kiarabu. Watasaidia kueleza maana ya maneno yaliyotumika katika Qur'an kwa uhakika wa kufasiriwa kinahau na kibalagha. IN SHAA ALLAH. ALLAH AENDELEE KUWAPA NGUVU YA KUPAMBANA NA MAKAFIRI.
Masha allaah shekh wetu allah awajaalie umri mrefu ❤️❤️😍
Amiin
Mungu anajuwa kila kitu kuliko cc
Mtume Muhammad s.a.w ni nabii na mtume hilo wacristo washakubali ila tu ni wakaidi wakukubali kuwa ndio mtume wa ulimwengu mzima...MUKUBALI MUKATAE MTUME MUHAMMAD NI MTUME WA MWISHO na hilo wanajua hao mapadre ila ni mkate ndio wanatafuta...
Polee Sana !!! Unacheka kimaumivu
Masha Allah ndacha kenya huwezi utaweza tz Acha papara wewe kama kiyoo tuu lakini wengi wasilimu lakini hakuna Muslim anae baatizwa
Allah alimwambia Muhammad s.a w huwez muongoza umtakae lakini yy Tu ndo anaweza...Mungu akitaka atawaongoza
Ndacha upo vizur Sana tatizo unashindana na dini ya wapenda majin na watu wasio na elimu wanatafsili gazeti na kiswahil chao
Ukafiri wenu umezidi amuna irimu naukifa naiyo dini ya ukristo utakuwa mwenye hasara kubwa sana siku yakiyama
Leo Ndo nimeamini kweli wakristo sio wasomi...Bila hata kusoma Mwenyezimungu hawez leta dini ya haki ikawa ni ukristo huyu Mungu enyewe ingelikua simueshimu...ningekua nafanya dhambi Kila siku....Lakini ukiangalia uisilamu na Tabia zake....enyewe utajua hii ni dini Ya Allah Na Allah yupo...
Barakallahu fiiqa
SubhanaAllah
Takbiiir,Allahu Akbar
Yhna 8;24. Watumishi wa Yehova barikiweni sana.
Ndacha unababaisha sana !! Ujielew kialasaa unahama mada
Masheikh wetu mvumilieni anachokiongelea !!...muombeni katokea milembe ya kishaitwan ..hata milembe yetu Kuna waislam
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers
Takbirr waislam !!! Ndacha kaelemew jamani ..! Anakigugumiz cha nini ..
Asalaam. Alaykum ..hawa waakina ndacha wanahama mada !! Wajibu swali wanaloulizwa ????
Masha Allah
Mashallah waislam😀😀😀😀😀😀🙂🙂🙂🤗🤗🤗🤩
Yani Mtu akitoka kwenye uisilamu aingie Kwa ukristo namuona amepotea kweli....Mungu akubakishe huko huko....
MASHA ALLAH.
Masha Allah, Allahu Akbar
Mimi hushangaa na jambo moja mtu anaeza jiita m,chungaji na akawa hata hajasoma ila hautopata Muslim anae jiita ustadh wakati hajasoma dini....jamanini tuweni makini sana kwenye hii dunia...Asallam aleikum warahmathulilah wabarakatuh
Mashaallah
Hawa wakristo ni vijego hawaelewi wala hawaeleweki majibu hovyo inna lillahi da inna ilayhi rajiun
Allah Akbar 🙏
46:45 Iimekatwa kwa nini?
Aww
Mwalim Ndacha amechemsha
Qur an 62:3 ametafsiri anavotaka yeye! Amesema: "Na amemleta kwa mwengine miongoni mwao walio bado kuungana nao, nao ndio sisi waislam tuliokuja nyuma"!!
Qur an 62:3 tafsiri sahihi inasema: Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao na yeye ndie mwenye nguvu mwenye hekima.
Ndacha usichakachue Qur'an ni maneno ya Allah (S.W)
Wakristo kazi yao kuuliza maswali tuu na hata wakijibiwa hawaamini lakn pia naona wakristo hata kiswahili hawaelewi
Huyu chaka ndo anaongea pumba hasa,kwa kweli sijezi hata kumsikiliza😂
Wamechanganyakiwa pastors na uongo wao
Jamani huyu Ndacha anaoneka kuwa ufahamu wake ni mdogo sana hata maswali yake ni ya mtoto ambaye yuko chekechea
Baadhi ya hayo maswali yanaonesha kwamba baadhi ya wanadamu ni kama viziwi ingawa wana viungo vyote vya kusikia. Na ni kama vipofu pia. Mitume wa Allah wametumwa kwa kila Ummah kwamba Mwenyezi Mungu ni mmoja na yeye pekee ndiye apasaye kuabudiwa. Huo ndio Uislamu. Je Mtume Musa alifundisha hivyo au la? Je Yesu alifundisha hivyo au la? Basi kuna ushahidi wa kutosha Dini ya Allah tangu mwanzo ni Uislamu.
Watu waliochanganyikiwa ndio hufuata uislamu..waongo.tuu..eti Muhammad sio wa kwanza...niwangapi ...na ni majinni walimpa dini hio na ibilisi mwenyewe..dini ya kulasimishwa sio ya Mungu ni shetani tu hulasimisha watu!
Mashalwah nyani anazaa nyani mashalwah mashalwah ila mariayam kazaaa-------- yani vichekesho kweli wakristo
Ndacha unajipambaniza, bado hamujasema dini ya yesu ni ipi, mumeshindwa, wewe ni kucheka tu , mrongo Sana wewe
Kwanini munazibaziba sauti ya mukristo ili tusisikie alivyo ongea?
Jamani siku za mwisho wakristo silimuni mnusuruke ndugu zangu funguweni maskio yenu
Masha"Allah maswali magumu
Rusha clip kuanzia mwanzo wa mjadala mpaka mwisho.
Yani wakristo Kiswahili enyewe hawajui
Nyiye wakrsto mbona hamjibu maswali ya uwslamu :
Mawe mitme wawe waklisto yani wapagani alafu wafundishe nini ?
Tatizo wakristo nyoyo zao bado sio safi na ndo mana hawaelewi na peponi haendi isipokuwa mwenye moyo safi Kwanza safisheni nyoyo hamtaki pepo nyiee
Ndigu zangu waislamu fikiwni mkubali muache uongo
Jibu swali wacha pelele sako na uongo wako
Ishmael hakuwa Mwarabu hata tone la damu ya Waarabu hakuwa nayo! Ishmael alikuwa Myahudi/ Egyptian. Hata hapa mtasema uongo! Kristo awahurumie!
Wanakimbia swali awajib
Huyo Dogo alkuwa anasoma Qur'an kama gazeti achee ujinga kama hawez asome kiswahili tu
Wewe ncdrracha " WACHA USANII NA KUWEKA VIRAKA KWENYE MAANDIKO...UNAPOTEZA WACRISTO MAANA HAWAJUI MAANDIKO"
uislamu umekuja ili kuondoa dini zingine ambazo ni potofu, Allah ambazo hazikubali, hio ndo maana yake, usipotoshe watu
Wakrsto mnazungusha maneno mengi na hamjibu maswali
hahaa nimecheka kweli hawa wachungaji wanavyojikoroga. Wanajua Uislamu ni Dini ya kweli na ndio Dini ya Manabii wote, lakini wanapindisha ili walinde kula yao
Afu teteeni ukristo wenu na Bibilia yenu sio Quran...Mungu anajua kuwa kuna dini ya uongo amabayo ni ukristo ndomana anautaja sio kwamba ni dini yake nop eleweni hapo...
Wakristo hawana uwezo wa kuisoma quran wakaielewa maana bibilia hawajaielewa wataelewa kura wanajidanganyatu wasilimu tu waache ubishi na ushabiki
Huyu Ndacha ukiambiwa shimo la kenge bado unasema andiko halijasema kupotea ufafanuliwe nini tena? Ndomana tunasema wakristo hawajui kiswahili
Kama itakuwz kuna matatizo mungu anajuws kutakuwa kunamatatizo
Ndacha ameelewa..I'm sure about tht
Natowa pogezi kwa walimu wote kweli wana tuchuza ufahamu
waislam nawaonea huruma san kutokujua maandiko
Kweli tuunee tu huruma hatujui maandiko ila tunamjua mungu wetu we mpka saivi wako humjui
WEWE NDIO juji kama unajibu dini ya wakristo ni ipi kwa mandiko WEZAKO wameshindwa
mda mwingine nkitaka kuskiza comedy,mskize ndacha 🤣🤣🤣yani kalulu kabsaa
Sana
😝😝😝😝😝wee Oscar kichwa Box ni cha baba ako na shangaz yako !! Jibun Sasa msihame mada!!
Arafu mbona mkata kata wakiongea wakristo
Kama we binadamy unajuws adui wzko mungu atakosa kujuwa adui wake
Hiyo ni dawa tosha mwalimu ndacha
Mwalim Ndacha amechemsha
Qur an 62:3 ametafsiri anavotaka yeye! Amesema: "Na amemleta kwa mwengine miongoni mwao walio bado kuungana nao, nao ndio sisi waislam tuliokuja nyuma"!!
Qur an 62:3 tafsiri sahihi inasema: Na kwa wengine ambao bado hawajaungana nao na yeye ndie mwenye nguvu mwenye hekima.
Aka wakirsto hawana hoja wamo tu hawawez kutetea ukirsto wao nawasikiliza kwa maskini lkn duh mada ipi dini ya kweli wakirsto hawana
Mohamed (saw) aliitwa Alamin kwa sababu aliaminika mpaka washirikina wakamuona kweli Huyu ni mkweli.hawa hawaelewi lugha
Kweli kabisa Hawana hoja.Ndacha na wenzako Hamna hoja musilimu
Hakuna Faida bure kabisa hawa wakristo
@@uuubfyfftyvcf4896 khaa jina lako kiboko kabisa doh!! Ati unaitwa?
Najivunia kuwa Muslim..
Ndachi easikilizaji tunataka kupata aya inayosema ukristo ni dini kama wenzenu walivyo towa usianze kuchekecheka hapo
Jaxon mwambie
Mpaka dunia inaisha hawezi kupata neno dini ya ukrsto ndani ya biblia
Walioshinda huu mjadala ni wakristo
Sasa ikiwa uislam dini ya waarabu jee ukiristo dini ya wanyamwezi?ukristo umeletwa na wazungu ili watutawale masikini roho zenu hakuna dini yakweli ila uwislam ☝️
Yani hata hawaeleweki hawa
Huyu chaka angelijua kua Mke wa rais yeyote mpya mkewake huitwa fast Lady kwa nini chaka jiongeze,
Huyu Mwarabu feki anajibu swali lenye hajaulizwa
Mwaipopo kichwa box
Wakiristo pumba!😂
Hawa hawafahamu kabisa Aya ziko.
WAZI
Nitakipataje hicho kitabu
Mbn cioni wacristo wakitoa andiko manabii walikuw dini gani n kelele2 wakilalamika
Ndacha umepotea maskin tonge itakutia motoni
Wamebakia leteni nje yakurani yaani watapata tabu sana. Aibu duh kaimbeni kanisani ndio yenu tu
Asilani mambo ya pombe zina ktk ukiristo ni kitu cha kawaida kabisa tena mtt afanya zina mbele ya wazazi wake kunywa pombe sasa sijuii ana kataa nn huyo mkenya
Sasa tuseme Uisilamu haujitetei hemu teteeni ukristo wenu basi tuuamini kuwa ni dini ya haki
SOTE TUNASIKILIZA MJADALA LAKINI LUGHA YA KISWAHILI INAWAPIGA WATU CHENGA LAKINI WAUPANDE WAPILI MUMETOTEZEA MUDA WAKATI NYENYE WAUPENDE WAPILI MUNALIPWA KWA MUDA WAMASAA YENU CHUKUWENI HIZO PESA KUTOKA KWA WAZUNGU NAKUWAPOTOZA WAKOLIKOLE WENZENU NAKUJAZA MATUMBO YENU
Kibanooooooooooo:wakristo mnalo mwaka huu