Kweli ahadi zako ni ndio na amina,,please God do it for me I do pray,,fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏,God bless you man of God pastor Anthony and sifaeli
Eeeh mungu wangu naomba ufanye jambo bwana najua katka nyimbo Kuna uponyaji na miujiza naomba kupitia wimbo huu fanya jambo bwana juu ya kila haja ya moyo wangu,,nabarikiwa Sana mtumishi mungu azid kukulinda na kukutunza kila cku iitwayo leo
Mbarikiweni watumishi wa maulana. Nami naomba Baba aliye juu mbinguni afanye leo jambo maishani mwangu dunia ishuhudie manake haja ya moyo wangu Iko mbele zake.
Usiuogope uovu, ukemee, uendee nahautakungoja, Mungu amekupa mataifa wakutumikie, ukiwaogopa utawatumikia.Mpe Mungu nafasi, aufukuze uovu kwenye mazingira yako.
Fanya jambo Bwana Mungu wangu kwa kweli tumechoka na roho mbaya za madeni😢asante kwa kujibu. Amen 🙏
Nimechoka babangu ,nifanyie Jambo moja Hadi maadui wanaonikejeli Waseme n uchawi juu ya ufukara wa kwetu
God bless me 😢put a smile on my face let me help my family 💯🙏
Wimbo wangu wa urejesho unabariki sana na kuinua mioyo ya wanadamu fanya jambo jipya kwa maisha yangu
Amen to this song.....tenda jambo Baba...Peke yetu hatuwezi
Nipewe likes kumi za hawa watumishi wa mungu
On dirait la chanson de Christophe Mwahangila! Nyimbo nzuli kabisa. Asante Sana, mubaliliwe
Kweli ahadi zako ni ndio na amina,,please God do it for me I do pray,,fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏,God bless you man of God pastor Anthony and sifaeli
Eeeh mungu wangu naomba ufanye jambo bwana najua katka nyimbo Kuna uponyaji na miujiza naomba kupitia wimbo huu fanya jambo bwana juu ya kila haja ya moyo wangu,,nabarikiwa Sana mtumishi mungu azid kukulinda na kukutunza kila cku iitwayo leo
Fanya jambo BABA peke yetu hatuwezi mbarikiwe sana watumishiii msembi na sifael
Mbarikiweni watumishi wa maulana. Nami naomba Baba aliye juu mbinguni afanye leo jambo maishani mwangu dunia ishuhudie manake haja ya moyo wangu Iko mbele zake.
Very educative, inspiring and touching song good job pastor and Mr sifael we as listeners we are expecting more of that co-ordination
Fanya jambo jipya ndani ya maisha yangu Buana.... wachilia baraka zako nimechoka kuhangaika
Nice song....mungu fanya jambo kwangu na familia yangu❤❤🎉🎉
Usiuogope uovu, ukemee, uendee nahautakungoja, Mungu amekupa mataifa wakutumikie, ukiwaogopa utawatumikia.Mpe Mungu nafasi, aufukuze uovu kwenye mazingira yako.
Mfalme wa Ajabu fanya Jambo Niweze Kupenya katika maisha yangu nimechoka kuhangaika, nimechoka kufake smile wakati roho yangu imejaa machozi😢😢
Amen Amen Amen, fanyajambo bwana maishani mwa wateulewako bwana
Amen.fanya jambo Mungu wangu nimechoka na maisha ya ufukara baba unionekanie ee Baba wa mbinguni
Nifanyie jambo kupitia nyimbo hii baba😢😢😢😢nimechoka sijui nachokifanya
Hili ni ombi la mtumishi aliye na mzigo wa kutaka kuona watu wakiendelea vyema... Great tune. God bless you servants of God.
Kweli kabisa
God Fanya jambo kwangu hili ni ombi langu baba
@@cheronohnaomy8012amina
Amen.....they have the burden....
Hakika fanya jambo Bwana ninunue shamba nijenge nimechoka kuishi maisha ya kulipa rent, Bwana naomba🙏🙏🙏
Hakika Sifael una sauti ya injili, nyimbo zako zanibariki sana
Fanya jambo yesu kwa nchi yetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Fanya jambo kwetu jehova,,,nazo sauti kweli ni za kunyenyekea tu,,,fanya jambo babaaaaa
Wachasiri Wa mungu nabupenda kweli kweli, kuimba kwenu si kuimba tu Bali Ni maombi
I really like your songs @pst Antony musembi & sifaeli mwabuka 🎉🙏🙏🙏🙏💓
Mungu fanya jambo kwangu my trust is in you my Father God i trust you will do it soon in Jesus name before the end of 2023🙏✍️
Fanya jambo Bwana kwa huduma yako hapa ulimwenguni 😭😭ombi langu Baba wakujue
Fanya jambo bwana siku ya leo nimechoka na ufukara nibariki😢😢😢😢
Mungu atatenda
From your mouth to God's ears 🙏
Fanya Jambo jipia bwana,...nibariki yaweh 😢😢😢😢
AAA kwa wimbo mzuli
Mungu akuonekanie 😢
Amazing Amen Amen 🙏 aki mungu wangu fanya jambo kwa maisha yangu natezeka sana please 🙏 God please fanya hii 2023 wakujue😢😢😢😢😢
Fanya jambo mungu niondolee umaskin na mme wang apate kaz nzr
Nice song ....God do it to me and my family
Pia NAMI ninakuomba baba Fanya jambo kwangu badilisha maisha yangu najamii yangu tupe mibaraka neema pesa tuweze kubadilisha kizazi changu ,
Fanya jambo Kwa Maisha nyangu Mungu l need your strength nifugulie mirango
Amen Fanya jambo bwana ili wakujuwe❤❤❤❤❤bila wewe hatuwezi
Amen. Fanya Jambo mungu wangu kwa inchi ya Kenya, powerful song.God bless
O😢 lord Jesus do something new in my life my marriage and my children in Jesus might name 🙏 🙏🙏📛📛📛📛
Fanya Jambo bwana kwenyemaisha yangu 😢😢
Do something Lord, tunakutegemea hapa chini ya jua Mungu 🙏🙏🙏
Penda❤❤❤xaaaanaah you songs........
Amen,,,, fanya jambo kwangu leo watu wakujue nimechoka bwana
Napenda sn io song Ile time waiguru amenizidia na taali shufi yaani ujipa nguvu
Ubarikiwa sana mtumushi wa Mungu huu wimbo una mafundisho ya Maisha kwaeli
Fanya Jambo Baba ili wakujue,wanauliza huyo mungu wangu Yuko wapi
Fanya jambo jipya kwangu kabla ya mwaka kuisha Bwana ❤❤😢😢
Sina cha kuwapa ila Mungu azidi kuwainua juu Sana Kwa wimbo mzuri.
Fanya jambo baba nimechoka na shinda aki mungu uaminifu wako uonekane kwangu
Ameni Man of God utukufu Hadi utukufu
Nice and a blessed song.acha Mungu afanye jambo kwetu zote .
Fanya jambo bwana ili wakujue 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 mungu naomba 🙏🙏🙏🙏
Mungu mapenzi yako yatendeke tunahitaji amani kenya.
My prayer 🙏🙏 do it Lord answer my prayer for your glory 🙏
Amen fantastic jambo bwana kwa maisha yngu baba
God just change my life it will take time but I put my trust in you you will 🙏🙏🙏🙏
Sifaeli mungu amekufanyia jambo ktk maisha na akuzidishie
Fanya jambo bwana katikat ya maisha yangu Yale magumu yote mungu ukayaondoe
Kweli Yesu Fanya njambo kwetu sisi watoto wako Dunia ijue sisi ni wako Daima
Nice song , from citizen tv advertisiment to UA-cam, to listen full song, be blessed mwaaaaaah
Nitendee mungu siku ya leo nifurahi. Nimelia ya kutosha.
Fanya jambo katika maishi yangu mungu wangu 😢😢
Do something unto my life.thats my prayer
Musembi sifaeli mungu wetu wa mbinguni awabariki sana.mungu wetu nanjaa krbu
Amen am so bless PST msembi naomba uje Mombasa
Fanya jambo in life help me to grow in faith 😢😢😢😢😢😢
Hili ombi ni letu wanao Baba
Anto and Sifael u have blessed me 🙏🙏
Amen 🙌🙌🙌 ubalikiwe saana wimbo huu unagusa maisha yungu
Fanya Jambo bwana nakugonja 😢😢😭😭😭😭ukuu wako ukapate kuonekana katika maisha yangu
Just a word from you Lord, and am healed of my afflictions. Fanya Jambo Bwana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Fanya jambo bwana kwa maixha yangu mpaka madui 😢😢 waibike amen 🙏🙏😂
Amen Amen Amen Amen Amen mbarikiwe Sawa shuja wamungu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌
Fanya jambo Baba....fanya bila wewe hatuwezi baba😢😢😢😢😢tunalia baba fanya jambo baba....
Kazi nzuri watumishi wa mungu barikiweni sawa .
Yes Lord come and do your will on earth Lord as it is in heaven. Good prayer tufanyie jambo bwana ili wakujue.
Yes my God Fanya jambo Hali NI ngumu,ombi langu ,Hali hii ni ngumu
Fanya jambo lord next year I have my own job such that I can be with my son and take care of him please 😢
Woooo that's corable is wonderful
Kazi nzuri Mungu azidi kuikuza huduma yenu.
My uncle has done it again 🎉❤May the lord bless you uncle ❤
Fanya Jambo Bwana .. maishani Mwangu 😢 . Oh GOD .
Fanya jambo bwana kwa nchi yetu,kwa family yetu ,kwa kazi yangu and God bless pastor musembi and mutumishi Sifael Ohn jesus
Mungu fanya jambo walio ninenea mabaya waibike
Fanya jambo Bwana kwa maisha yangu watu waku tambue.
Tenda jambo baba bila wewe siwezi,ufakara sitaki kabisa kwa familia zetu.
Powerful mungu wetu ni mungu atafanya jambo maishani mwetu Amen ❤❤❤❤❤
Pray for my life,nimefika mwisho kabisa
Fanya jambo baba kwenye duara yangu weka madini mengi kwenye mwamba Mungu wangu. Rudisha heshima iliopotea kwangu.
😭😭😭 nikumbuke bwana kwenye maisha yangu
Fanya jambo ninakungoja bwana.......what a message🙏🙏
fanya jambo kwa life yangu....... blessed here
The message is so touching, May the lord God keep blessing you. ❤❤❤❤
Baba shuka ufanye Jambo katika maisha yangu.
Fanya Jambo Mungu wangu nimechoka na hii maisha ya uzuni na mawazo
fanya jambo kwa maisha yangu Baba 😢
Jambo ka Bwana linaweza kila kitu,,, fanya jambo kwangu Bwana
Eti Mungu wangu na Mimi nifanyie Jambo nataka tuu E4
Fanya jambo bwana Leo katika Maisha yang u nakuomba🙏
JAMANI musembi wala Hazeeki kabsaaa🤔🤔♥️🙏
Ombi langu Bwana,fanya jambo kwa maisha yangu
Nimebarikiwa sana watumishi nyimbo zur
Fanha jambo kwangu hili wakujuwe na watoto wangu shuka Kwajina la yesu Amém Amém Amém 😂😂😂😂