MAKAMU WA RAIS MPANGO AKASIRIKA, 'SHUKA CHINI, ACHA KUNIPIGA MBWEMBWE HAPA, UNAJIONA UNATOSHA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 367

  • @reubenlucumay1929
    @reubenlucumay1929 6 місяців тому +5

    Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 Рік тому +30

    Hii style ya Maghufuli naipenda sana!

  • @fredmakubo
    @fredmakubo Рік тому +3

    Hongera sana Mheshimiwa makamo wa Rais Dr Philipo Mpango unafanya kazi nzuri

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому +12

    Bola uyu mpango ngekua rais tu kwasabbu na hofu ya mungu

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Рік тому

      tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?

    • @MasudiSuleman-ui5wh
      @MasudiSuleman-ui5wh 5 місяців тому

      Mwehu ni mama yako samia cio mweh mshenz. Ww

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 Рік тому +2

    Hongera Sana Mheshimiwa Makamu wa Rais , Dr Philipo Mpango Kwa Kazi nzuri

  • @appolonation
    @appolonation Рік тому +14

    Hii style ya Kagame na Magufuli kbs!! 👏👏👏👏👏. Congratulations to Vice President!!

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Рік тому +5

    Asante Baba Mungu akujalie katika kazi yako

  • @engribertinnocent7536
    @engribertinnocent7536 Рік тому +5

    Daaha isee makamu wangu nimpole saana, namuonaga kama padreau askofu kabisa🙏🙏🙏

  • @nekaagripa3993
    @nekaagripa3993 Рік тому +5

    Kwa mara ya kwanza namuona serious 😂😂

  • @davidchirimi2013
    @davidchirimi2013 3 місяці тому

    Binafsi Mh. Mpango namuelewa sana ni mpenda haki sema hawa wengine dharau nyingi janja janja nyingi haya sasa

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 Рік тому +40

    Raisi Samia nchi imemshinda 😢😢 anawaza tu uchaguzi 2025😢😢😢

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Рік тому +5

      hamna kitu mule , kaishia form IV cheti chake F, F tupu.

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 Рік тому

      We nitaahira hata hao waliogonga like pia nimataahira wenzio

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri Рік тому +3

      Nchi haijamshinda ndio maana wasaidizi wake wanatembea nchi nzima kumsaidia na kufatilia miradi ambayo ni mama samia ndio anaepeleka mabilioni nchi nzima

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Рік тому

      @@whatisthetruth.8793 una uhakika ndugu?

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Рік тому

      @@allykayanda6930 kweli kabisa ndugu nashangaa sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 5 місяців тому +1

    Makamu wa raisi ,wazili mkuu mama samia kaupiga mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz Рік тому +14

    Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu

  • @zephaniamwangu9857
    @zephaniamwangu9857 Рік тому +5

    Safi sana mheshimiwa kazi nzuri sana ni papo kwa papo JPM bado yupo kazini!!

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Рік тому +7

    Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia
    Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo
    Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli
    Naomba mawaziri wote waende wakasikilize
    Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Рік тому +5

    Safi sana leo nimeona angalau mfanye kama jpm papo kwa papo

    • @rehmakondo
      @rehmakondo Рік тому

      Siasa izo my wanaona uchaguz unakaribia ndio wanajileta ila nasi tulivo mazuzu tutasahau tuliyotendewa ya nyuma

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 Рік тому

      @@rehmakondo wanatuzuga

    • @rehmakondo
      @rehmakondo Рік тому

      @@Boniphaceshayo5 yani panapo uhai huo uchaguzi wataiba sanaaa,tumewachoka,me nafamilia yngu tumehama wote hatutaki hata kuiskia, yani huku mtaan tumeitapika ccm

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Рік тому +5

    Viongozi wanajisahau sana wakipata nafasi za kuwasimamia wananch wanasahau kbs shida zetu

  • @salarose5980
    @salarose5980 Рік тому +2

    Makamu wa Rais mimi nakukubsli sana kuliko viongozi wote nskuamini sana mtu wa watu ila hili la bandari llinatuboa sana halijakaa vzuri fanya kitu ili tutoke hapo sisi wananchi wa chini tunaumia sana

  • @bakarimohamedi5814
    @bakarimohamedi5814 Рік тому +1

    Hii safi sana ila isiishie hapo hao watendaji ni wa kufukuzwa tu na kufunguliwa mashtaka maana wanawaza upigaji tu na sio kuwahudumia wananchi

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому +3

    Huyu ndiyo kiongosi tunayetaka munguakubariki makamu waraisi kauli Kama hisi ndisosinayakiwa

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Рік тому +5

    muache siasa bhana ccm mkipewa hata mpaka mwisho wa dunia maji hamuwezi

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 5 місяців тому +1

    Narudi cm jamani

  • @ThuliMkhize-zu1mx
    @ThuliMkhize-zu1mx Рік тому +2

    Makamo waRais mungu akubark endelea nakuchapakazi kwamfumo huo wa hayat magufuli

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 Рік тому +6

    Mungu akubariki mzee wetu

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Рік тому +4

    Ndiyoo mkifanya ivo wakuwa na dispilini kazini kila mahali kama alivokuwepo rais magufuli

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Рік тому +4

    Kweli Watanzania mmetushinda kwa hili wakenya

  • @mrbolt8194
    @mrbolt8194 Рік тому +3

    Tena tasafu wanazulum pesa zakaya maskini mitalo wamekula pasa zawatu diwani wakumnyika nimuhusika mkuu wautapeli

  • @mrbolt8194
    @mrbolt8194 Рік тому +4

    hata nida kunashida watu wanatukwanwa vitambulisha kupata nishida

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 Рік тому +3

    MNAANZA USANII WA WAKUDANGANYA WATU..

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds 8 місяців тому

    Baba Philip mpango tunakuombea Kwa Mungu akujaze katika kazi yako ya kumsaidia mama

  • @dennischarles3174
    @dennischarles3174 Рік тому +3

    Well done vice president

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Рік тому +8

    R I P Magufuli 😂

  • @mihayo12simon31
    @mihayo12simon31 Рік тому +1

    Good leader

  • @GaudencioKivamba-xq3qc
    @GaudencioKivamba-xq3qc 4 місяці тому

    Mheshima makamu wa raisi hapo umetenda jambo jemaa viongozi wengi wamekuwa miungu watu wanataka kuabudiwa

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Рік тому +3

    Hili tatizo la kuhamisha
    Baadhi ya watendaji wanapo haribu
    Ndio kufeli kwa serikali nikama
    Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo
    Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji
    Hii ibada imalizike inatosha

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Рік тому +2

    WEWE MAKAMU WA RAISI HAKIKA NI MTUMISHI WA MUNGU, MUNGU AKUTUNZE. AMINA

  • @nzingonism4345
    @nzingonism4345 Рік тому +3

    Alakoze mtama wachu makamu wa rais

  • @user-os8yq4ps8k
    @user-os8yq4ps8k 4 місяці тому

    Hiyo style ya magufuli, ndo style ya kuongonza nchi bila ivo serikali, itaibiwa sana

  • @akasiraacalamon4034
    @akasiraacalamon4034 Рік тому

    Dats ... Right appreciate DP mipango

  • @NeemaJaskon
    @NeemaJaskon 6 місяців тому

    Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako

  • @godwinchigangwe8123
    @godwinchigangwe8123 Рік тому +5

    WaTanzania wazuri tupo wengi hatuna kazi tupewe nafasi kuipigania Nchiyetu, , , , sio maneno yangu Mheshimiwa kathema

  • @abdulfatahhussein4087
    @abdulfatahhussein4087 Рік тому +2

    Tunashkuru Dr Mpango👏🏽

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 Рік тому +1

    Makamu wa rais umefanya vizur sana fanya kaz uo ndio mwenendo wa maghufur

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Рік тому +5

    Mimi binafsi ndo natamani iwe hivyo kila siku

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Рік тому +4

    Kweli yajayo yanafurahisha yani watu hawana maji halafu wanaambiwa kasulu oyee na wao wanaitikia oyee......😪

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Рік тому

      unajua hawa ccm wanajua watanzania wengi bado wamo kwenye uzingizi mzito , kwa hiyo raisi hata akiwa ngedere wanamshangiria tuuu

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Рік тому

      Akili kichwani 2025

    • @user-kt9qg1mo6l
      @user-kt9qg1mo6l 11 місяців тому

      😂😂😂 weee jamaa umenichekesha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +1

    Ahsanteni sana Kwa jitihada za pambano la maji

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Рік тому +3

    NI KWELI AWESO NI MCHAPA KAZI HANA TAMAA,NAMUOMBA RAISI AENDELEE KUPATA VIONGOZI WENGI KUTOKA MKOA WA TANGA.AMEN

    • @stellah3844
      @stellah3844 Рік тому

      Kweli hata Ummy nimchapa kazi nampenda sana na Aweso japo mm stokei Tanga

    • @kolisonkolison3681
      @kolisonkolison3681 Рік тому +1

      ACHANA NA HUO UKABILA UTAKUDHOOFISHA SANA....

  • @henryj3304
    @henryj3304 Рік тому +4

    Huyu Baba anaongea kwa hisia sana hadi unaweza ukatoa machozi. Mungu akupe maisha marefu Mh. Vice President.

  • @malandojames5151
    @malandojames5151 Рік тому +5

    Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.

    • @aishajaphary
      @aishajaphary Рік тому +1

      Tena mi hua nawaza kwanini siku moja tusije andamana sio buhongwa tu nenda nyasaka mahina hakuna maji

    • @alipandu3446
      @alipandu3446 Рік тому

      Poleni lkn hilo tatizo la kukosekana kwa maji limeanza kipindi hichi cha mama au tokea Rais alopita

    • @aishajaphary
      @aishajaphary Рік тому

      @@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote

    • @abdurahamansaid7259
      @abdurahamansaid7259 10 місяців тому

      Tena nihatari sana kwa mwanza yetu ipo siku tutatoboa mpira mkubwa wa kwenda shinyanga

    • @abdurahamansaid7259
      @abdurahamansaid7259 10 місяців тому

      Haiwezekani tabora wapate maji kutoka mwanza alafu sisi tunakosa maji

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +1

    I wish mnipe nafasi na mimi jmn nitende haswaaa. Ila mnipe meno khaaswaaa. Ukweli mtapenda

  • @JosephatBahakaso-yn9hg
    @JosephatBahakaso-yn9hg 5 місяців тому +1

    Angalau Leo nimesikia sauti yako

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 4 місяці тому

    Njooni chalinze Dawasa pia huku nako ni shida vijana wanadharaù sana watumishi wa dawasa baadhi yao ni shida

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому +2

    MTOENI KAZINI UYO NI MJINGA
    ANAKULA PESA ZA BURE KABISA MJINGA UYU

  • @kidphenomenal4131
    @kidphenomenal4131 6 місяців тому

    Hawajaona maji wanayotumia wananchi wa mpwapwa maji yanatoka tope kwenye bomba na yanasukumwa na idara ya maji

  • @elishajoshua4892
    @elishajoshua4892 Рік тому

    Ahsante Mh. Makamu wa Rais, haya mambo ambayo lazima yaulizwe hadharani kuna uzembe mwingi unafanyika, Tanzania Tumebarikiwa, tunahitaji kuwajibishana kwa upendo kabisa kama hivi, bila kuonewa mtu.

  • @shabanikwabi9351
    @shabanikwabi9351 Рік тому

    Mhe uko vzr sana viongozi wote wagefanya kama ww tugefika mbali sana Tanzania nakuombea afya njema

  • @simonntani7079
    @simonntani7079 Рік тому +1

    Ccm watawanyonya,sana WATANZANIA,,Mbumbumbu.

  • @enedictmchau1053
    @enedictmchau1053 Рік тому

    Ombi Mh Makamu wa Rais uwajibikaji umeondoka kabisa ila Tanesco wanafanya vizuri.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Рік тому +1

    Kwakweli hongera mno mheshimiwa makamu wa rais,hii nchi inachezewa mno na wahuni wachache,watu wa hovyohovyo

  • @OmaryFwadi
    @OmaryFwadi 5 місяців тому

    Kweli ukienda hivi mtafikaa isiwe kasulu tu

  • @mohammedmakoa2609
    @mohammedmakoa2609 5 місяців тому

    Huyu mama Alitutesa sana 2015 kipindi kili yuko Elimuni Alihisi vilio vyetuu havitofika Mbaalii kwiiiiishaaaa habar Yake

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Рік тому +6

    Kumbe mpango ni mkali nimekuelewa

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Рік тому

    Haya matatizo yapo kwenye Jimbo ra buhigwe munanira siku moja tuangizie waziri wa maji aweso akatatuwe kero zetu Asante

  • @husseijuma1025
    @husseijuma1025 Рік тому

    mheshimiwa rais acha kasulu sisi wananchi wa michese dodoma tuna matatizo kama hayo sisi tuna visina lakin hatuna maji

  • @thomasdavid3741
    @thomasdavid3741 7 місяців тому

    Samia atawewe nimbaya sana kwanini usimshirikishi mahamu wa rais😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @frankkashner
    @frankkashner Рік тому

    Our VP well done Sir

  • @murandabrian
    @murandabrian 5 місяців тому +1

    next magufuli

  • @sadikykiyago3030
    @sadikykiyago3030 Рік тому

    Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 Рік тому +4

    Uchaguzi umekaribia eeee ndio wameanza kuonekana mitaani. R.i.P magufuli tutakukumbuka kila siku.

  • @barakaDaudimwanjale
    @barakaDaudimwanjale 5 місяців тому

    Asante

  • @Makenge-b5t
    @Makenge-b5t 10 місяців тому

    Mh,makamo warais wajamuhuri pole na majukumu,pia hongera kwa kazi ngumu za kitaifa,pia kulitumikia taifa letu,tusaidie tarime nikero tanesco,umeme unapo pata hitirafu,kuja kutulekebishia nishida,utakaa mwezi muzima ukiomba msaada bila matarajio,

    • @edwardkamina143
      @edwardkamina143 7 місяців тому

      hawezi iona comment yako hapa
      peka kwenye page zao

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому

    Yaani kwnn kufanya yaani kisimamia miradi ya nchi owe tabu. Jamani nipeni hata kwa kujaribu

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 Рік тому +1

    Tunduma songwe maji changamoto mbona hawapiti viongozi Kama hawa

  • @murandabrian
    @murandabrian 5 місяців тому

    nchi yangu kenya jameni jambo kama hili kufanyika ni kinaya sanaa

  • @DanielSabuni-iw3ns
    @DanielSabuni-iw3ns 5 місяців тому

    Hata tanesco Kuna shida makam wa rais,cio tassaf tu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +2

    Kwani kuna anaetosha kwenye hiyo CCM wachumia matumbo tupu. Acheni kuonea watu.

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Рік тому +1

      Punguza ujinga, kuonea wapi vipi, huo ndio ujinga wa watanzania wengi, watu wakifanya kazi mnalalamika, wakiacha kelele

  • @rashidichamkulu4104
    @rashidichamkulu4104 10 місяців тому

    tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Рік тому +1

    Kuna vijana wazalendo watoto wa maskini wapo ,makamu toa hao

  • @ellydaniely-qw8bf
    @ellydaniely-qw8bf 5 місяців тому

    Samiaaaaa oyeee!! Umeshinda uchaguzi Kwa akili nyingi sana

  • @endlessloveofchristlovewor9991

    Miguguno mingi mara TASAF, TAGES, TASS, TAKUKURU, TARURA mnachanganya tu wananchi. Wapeni maendeleo muache kuongea ongea

  • @DanielSabuni-iw3ns
    @DanielSabuni-iw3ns 5 місяців тому

    Mungu analipa apap dunian ndalichako chali

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 5 місяців тому

    Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @LaurentMuya-mb9rf
    @LaurentMuya-mb9rf Рік тому

    Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Рік тому +1

    Fisiem ni tatizo, ni saratani ya taifa miaka 60 watu wanakunywa maji machafu

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange6540 Рік тому +2

    Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢

    • @rehmakondo
      @rehmakondo Рік тому

      Nahatuwapi kura watashinda kimabavu kama destur yao

  • @YohanaNkanda
    @YohanaNkanda 4 місяці тому

    Makam chapa kazi hapo kasulu

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Рік тому +12

    Napaona nyumbani Kasulu daah 😢 Kitambo sana. Kweli maisha hayana fomula leo maisha Dar es salaam 😢

    • @kutokaughaibuni
      @kutokaughaibuni Рік тому +1

      acha2 ndugu

    • @kolisonkolison3681
      @kolisonkolison3681 Рік тому +1

      NANI ALIYEKWAMBIA KWAMBA "MAISHA HAYANA FOMULA"....!!??

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Рік тому

      @@kutokaughaibuni 😁

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Рік тому +1

      @@kolisonkolison3681 maisha hayana fomula ndugu yangu. Hauwezi kupanga baada ya miezi mitatu itakuwa hivi. Bali utafanya juhudi utakuta Mungu anakupa unachostahili siounachokifikili

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Рік тому +1

      Inamaana huendagi kwenu!!!

  • @stellah3844
    @stellah3844 Рік тому +1

    Ila kigoma kuna vumbi mweeeee😅

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 Рік тому

    Asante Baba

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz 6 місяців тому

    Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi

  • @jacksonmagola1824
    @jacksonmagola1824 Рік тому

    Yaani mm nahisi ningekuwa mkali ..watu wanajiona Mungu watu....

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Рік тому

    Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa

  • @jjm4583
    @jjm4583 Рік тому +1

    Bora mpango mpango awe rais

  • @RuandaDimoso
    @RuandaDimoso 6 місяців тому

    Hamna kitu mnakuaga wapi inamaana makatibu hawapeleki lipoti? Mpaka muumbuane kujifanya nyinyi wasafi

  • @josafko2259
    @josafko2259 Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣 hiyo ndo Kasulu bhana

  • @frankmwagara5025
    @frankmwagara5025 Рік тому

    Umeongea kweli makamu wa rais wengi wanapenda kufuga uzembe

  • @Sudibo
    @Sudibo 6 місяців тому

    Mmesituka kumbeee😅😅

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Рік тому +7

    Au bhasi, ila hao wanaolaumiwa ndio zao la nidhamu ya kutoka moyoni mlioitaka na kuitangaza hadharani! Na hao sio shida, shida ni hao tunaowaamini kua ndio viongozi wa juu, how unatoa pesa na huzifuatilii zimefanya kazi gani? Rip jpm ulitufunza mengi! MUNGU akupe maoumziko mema huko uliko! Next month ntakuja ku visit kaburi lako ulipolala! #salute

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Рік тому +2

    Ccm ni ilebile wapenzi zibueni masikio na ufahamu

  • @ngwanyijekatanga1682
    @ngwanyijekatanga1682 11 місяців тому

    Njoo wilaya ya uvinza utamkuta mtu mmoja anaitwa antoni ni tatizo