Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN
tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?
Nchi haijamshinda ndio maana wasaidizi wake wanatembea nchi nzima kumsaidia na kufatilia miradi ambayo ni mama samia ndio anaepeleka mabilioni nchi nzima
Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu
Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli Naomba mawaziri wote waende wakasikilize Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli
@@Boniphaceshayo5 yani panapo uhai huo uchaguzi wataiba sanaaa,tumewachoka,me nafamilia yngu tumehama wote hatutaki hata kuiskia, yani huku mtaan tumeitapika ccm
Makamu wa Rais mimi nakukubsli sana kuliko viongozi wote nskuamini sana mtu wa watu ila hili la bandari llinatuboa sana halijakaa vzuri fanya kitu ili tutoke hapo sisi wananchi wa chini tunaumia sana
Hili tatizo la kuhamisha Baadhi ya watendaji wanapo haribu Ndio kufeli kwa serikali nikama Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji Hii ibada imalizike inatosha
Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako
Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.
@@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote
Ahsante Mh. Makamu wa Rais, haya mambo ambayo lazima yaulizwe hadharani kuna uzembe mwingi unafanyika, Tanzania Tumebarikiwa, tunahitaji kuwajibishana kwa upendo kabisa kama hivi, bila kuonewa mtu.
Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante
Mh,makamo warais wajamuhuri pole na majukumu,pia hongera kwa kazi ngumu za kitaifa,pia kulitumikia taifa letu,tusaidie tarime nikero tanesco,umeme unapo pata hitirafu,kuja kutulekebishia nishida,utakaa mwezi muzima ukiomba msaada bila matarajio,
tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama
Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu
Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢
@@kolisonkolison3681 maisha hayana fomula ndugu yangu. Hauwezi kupanga baada ya miezi mitatu itakuwa hivi. Bali utafanya juhudi utakuta Mungu anakupa unachostahili siounachokifikili
Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi
Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa
Au bhasi, ila hao wanaolaumiwa ndio zao la nidhamu ya kutoka moyoni mlioitaka na kuitangaza hadharani! Na hao sio shida, shida ni hao tunaowaamini kua ndio viongozi wa juu, how unatoa pesa na huzifuatilii zimefanya kazi gani? Rip jpm ulitufunza mengi! MUNGU akupe maoumziko mema huko uliko! Next month ntakuja ku visit kaburi lako ulipolala! #salute
Makamu wa Rais Hongera Sana kwa kutumia mfumo wa Hayati Magufuli mkitumia njia hiyo sina haja ya kuharibu kura yangu kupeleka kwingine nitabaki kuwa CCM ndio damu yangu hadi mauti unifike sina mengi ila Mungu atulinde Sisi zote tuone mabadiliko AMEN
Umeona Eeeh
Hii style ya Maghufuli naipenda sana!
mmbb v
Wameona hawatoboi
Kabisa
Hongera sana Mheshimiwa makamo wa Rais Dr Philipo Mpango unafanya kazi nzuri
Bola uyu mpango ngekua rais tu kwasabbu na hofu ya mungu
tatizo la Africa wenye uwezo kuongoza hawapati nafasi ya kuongoza wehu kama samia na vyeti vyao vya form IV eti ndio wanakuwa viongozi tunategemea nini ?
Mwehu ni mama yako samia cio mweh mshenz. Ww
Hongera Sana Mheshimiwa Makamu wa Rais , Dr Philipo Mpango Kwa Kazi nzuri
Hii style ya Kagame na Magufuli kbs!! 👏👏👏👏👏. Congratulations to Vice President!!
hakika huyu anaweza anikumbusha baba Magu
Asante Baba Mungu akujalie katika kazi yako
Daaha isee makamu wangu nimpole saana, namuonaga kama padreau askofu kabisa🙏🙏🙏
Kwa mara ya kwanza namuona serious 😂😂
Hali mbaya wanapumulia mipira
Binafsi Mh. Mpango namuelewa sana ni mpenda haki sema hawa wengine dharau nyingi janja janja nyingi haya sasa
Raisi Samia nchi imemshinda 😢😢 anawaza tu uchaguzi 2025😢😢😢
hamna kitu mule , kaishia form IV cheti chake F, F tupu.
We nitaahira hata hao waliogonga like pia nimataahira wenzio
Nchi haijamshinda ndio maana wasaidizi wake wanatembea nchi nzima kumsaidia na kufatilia miradi ambayo ni mama samia ndio anaepeleka mabilioni nchi nzima
@@whatisthetruth.8793 una uhakika ndugu?
@@allykayanda6930 kweli kabisa ndugu nashangaa sana
Makamu wa raisi ,wazili mkuu mama samia kaupiga mwingi🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hiyo style ya kutumbua watumishi hazarani ndiyo style pekee ya kurudisha nizamu kazini na hiyo ndiyo style ya magufuli kuaminka Kwa wananchi asilimia mia tunahitaji rais mwenye maamuzi magumu
Uko sahihi Sana
Safi sana mheshimiwa kazi nzuri sana ni papo kwa papo JPM bado yupo kazini!!
Mngekua na mipango hiyo ya kujitokeza kwa raia
Kujua matatizo yao yasinge fika hapo leo
Lkn yote hayo ameondoka nayo magufuli
Naomba mawaziri wote waende wakasikilize
Raia kero zao sio kukaa ofisini turudi na system ya magufuli
Safi sana leo nimeona angalau mfanye kama jpm papo kwa papo
Siasa izo my wanaona uchaguz unakaribia ndio wanajileta ila nasi tulivo mazuzu tutasahau tuliyotendewa ya nyuma
@@rehmakondo wanatuzuga
@@Boniphaceshayo5 yani panapo uhai huo uchaguzi wataiba sanaaa,tumewachoka,me nafamilia yngu tumehama wote hatutaki hata kuiskia, yani huku mtaan tumeitapika ccm
Viongozi wanajisahau sana wakipata nafasi za kuwasimamia wananch wanasahau kbs shida zetu
Tatizo kazi za kupeana ni mtt wa furani
Makamu wa Rais mimi nakukubsli sana kuliko viongozi wote nskuamini sana mtu wa watu ila hili la bandari llinatuboa sana halijakaa vzuri fanya kitu ili tutoke hapo sisi wananchi wa chini tunaumia sana
Hii safi sana ila isiishie hapo hao watendaji ni wa kufukuzwa tu na kufunguliwa mashtaka maana wanawaza upigaji tu na sio kuwahudumia wananchi
Huyu ndiyo kiongosi tunayetaka munguakubariki makamu waraisi kauli Kama hisi ndisosinayakiwa
muache siasa bhana ccm mkipewa hata mpaka mwisho wa dunia maji hamuwezi
Narudi cm jamani
Makamo waRais mungu akubark endelea nakuchapakazi kwamfumo huo wa hayat magufuli
Mungu akubariki mzee wetu
Ndiyoo mkifanya ivo wakuwa na dispilini kazini kila mahali kama alivokuwepo rais magufuli
Kweli Watanzania mmetushinda kwa hili wakenya
Tena tasafu wanazulum pesa zakaya maskini mitalo wamekula pasa zawatu diwani wakumnyika nimuhusika mkuu wautapeli
hata nida kunashida watu wanatukwanwa vitambulisha kupata nishida
MNAANZA USANII WA WAKUDANGANYA WATU..
Baba Philip mpango tunakuombea Kwa Mungu akujaze katika kazi yako ya kumsaidia mama
Well done vice president
R I P Magufuli 😂
Good leader
Mheshima makamu wa raisi hapo umetenda jambo jemaa viongozi wengi wamekuwa miungu watu wanataka kuabudiwa
Hili tatizo la kuhamisha
Baadhi ya watendaji wanapo haribu
Ndio kufeli kwa serikali nikama
Tanzania hamna watu wenye elimu na uwezo
Kila siku kuhamisha hamisha mawaziri na watendaji
Hii ibada imalizike inatosha
WEWE MAKAMU WA RAISI HAKIKA NI MTUMISHI WA MUNGU, MUNGU AKUTUNZE. AMINA
Alakoze mtama wachu makamu wa rais
Hiyo style ya magufuli, ndo style ya kuongonza nchi bila ivo serikali, itaibiwa sana
Dats ... Right appreciate DP mipango
Kazi nzr Sana ukija dodoma niletee friji me nimjasiliamali mdogo, nauza Juis natengeneza mwenyewe Ila Nina upungufu wa friji,,nisaidie kwa Hilo TU hakika nitapiga kazii na kujikwamua na umasikini balikiwa sana baba Mungu akuongeze katika utendajii wako
WaTanzania wazuri tupo wengi hatuna kazi tupewe nafasi kuipigania Nchiyetu, , , , sio maneno yangu Mheshimiwa kathema
Hamna kazi dp world hamuitaki mtapataje ajira
Tunashkuru Dr Mpango👏🏽
Makamu wa rais umefanya vizur sana fanya kaz uo ndio mwenendo wa maghufur
Mimi binafsi ndo natamani iwe hivyo kila siku
Kweli yajayo yanafurahisha yani watu hawana maji halafu wanaambiwa kasulu oyee na wao wanaitikia oyee......😪
unajua hawa ccm wanajua watanzania wengi bado wamo kwenye uzingizi mzito , kwa hiyo raisi hata akiwa ngedere wanamshangiria tuuu
Akili kichwani 2025
😂😂😂 weee jamaa umenichekesha
Ahsanteni sana Kwa jitihada za pambano la maji
NI KWELI AWESO NI MCHAPA KAZI HANA TAMAA,NAMUOMBA RAISI AENDELEE KUPATA VIONGOZI WENGI KUTOKA MKOA WA TANGA.AMEN
Kweli hata Ummy nimchapa kazi nampenda sana na Aweso japo mm stokei Tanga
ACHANA NA HUO UKABILA UTAKUDHOOFISHA SANA....
Huyu Baba anaongea kwa hisia sana hadi unaweza ukatoa machozi. Mungu akupe maisha marefu Mh. Vice President.
Hali ya maji ni shida sana. Mh makamu wa rais huwezi amini mkoa wa mwanza hasa katika kata ya buhongwa hakuna maji kabisa. Wakati ziwa victaria ukirusha jiwe linaangukia ziwani. Mh!!! Nimateso makubwa sana.
Tena mi hua nawaza kwanini siku moja tusije andamana sio buhongwa tu nenda nyasaka mahina hakuna maji
Poleni lkn hilo tatizo la kukosekana kwa maji limeanza kipindi hichi cha mama au tokea Rais alopita
@@alipandu3446 Lina muda sana toka enzi za kikwete alafu tatizo uongozi wa mkoa mfano kipindi wenje alikua mbunge nyamagana alikua anapigia kelele sana hilo swala la maji Sasa kwa huyu mabula ndo hakuna lolote
Tena nihatari sana kwa mwanza yetu ipo siku tutatoboa mpira mkubwa wa kwenda shinyanga
Haiwezekani tabora wapate maji kutoka mwanza alafu sisi tunakosa maji
I wish mnipe nafasi na mimi jmn nitende haswaaa. Ila mnipe meno khaaswaaa. Ukweli mtapenda
Angalau Leo nimesikia sauti yako
Njooni chalinze Dawasa pia huku nako ni shida vijana wanadharaù sana watumishi wa dawasa baadhi yao ni shida
MTOENI KAZINI UYO NI MJINGA
ANAKULA PESA ZA BURE KABISA MJINGA UYU
Hawajaona maji wanayotumia wananchi wa mpwapwa maji yanatoka tope kwenye bomba na yanasukumwa na idara ya maji
Ahsante Mh. Makamu wa Rais, haya mambo ambayo lazima yaulizwe hadharani kuna uzembe mwingi unafanyika, Tanzania Tumebarikiwa, tunahitaji kuwajibishana kwa upendo kabisa kama hivi, bila kuonewa mtu.
Mhe uko vzr sana viongozi wote wagefanya kama ww tugefika mbali sana Tanzania nakuombea afya njema
Ccm watawanyonya,sana WATANZANIA,,Mbumbumbu.
Ombi Mh Makamu wa Rais uwajibikaji umeondoka kabisa ila Tanesco wanafanya vizuri.
Kwakweli hongera mno mheshimiwa makamu wa rais,hii nchi inachezewa mno na wahuni wachache,watu wa hovyohovyo
Kweli ukienda hivi mtafikaa isiwe kasulu tu
Huyu mama Alitutesa sana 2015 kipindi kili yuko Elimuni Alihisi vilio vyetuu havitofika Mbaalii kwiiiiishaaaa habar Yake
Kumbe mpango ni mkali nimekuelewa
Haya matatizo yapo kwenye Jimbo ra buhigwe munanira siku moja tuangizie waziri wa maji aweso akatatuwe kero zetu Asante
mheshimiwa rais acha kasulu sisi wananchi wa michese dodoma tuna matatizo kama hayo sisi tuna visina lakin hatuna maji
Samia atawewe nimbaya sana kwanini usimshirikishi mahamu wa rais😢😢😢😢😢😢😢😢
Our VP well done Sir
next magufuli
Makamu wa raisi ndo naanza kukuerewa sisi wanaichi wamwisho kwamana yakutokua watumishi wa serikari tunaomba kuona na kusikia kauri kamahizo nikushukuri nanikuome uenderee tumerudi kunyanyaswa rakini pia kutopatahaki zetu za kimusingi na kuripwa maumivu Kira siku Mungu wa mbinguni akusimamie onya karipia ilibidi fukuza Asante
Uchaguzi umekaribia eeee ndio wameanza kuonekana mitaani. R.i.P magufuli tutakukumbuka kila siku.
Baada ya magufuli kufa wamezaliana sana wasumbufu wenyemajibu ya jeuri njoo na huku kwingine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante
Mh,makamo warais wajamuhuri pole na majukumu,pia hongera kwa kazi ngumu za kitaifa,pia kulitumikia taifa letu,tusaidie tarime nikero tanesco,umeme unapo pata hitirafu,kuja kutulekebishia nishida,utakaa mwezi muzima ukiomba msaada bila matarajio,
hawezi iona comment yako hapa
peka kwenye page zao
Yaani kwnn kufanya yaani kisimamia miradi ya nchi owe tabu. Jamani nipeni hata kwa kujaribu
Tunduma songwe maji changamoto mbona hawapiti viongozi Kama hawa
nchi yangu kenya jameni jambo kama hili kufanyika ni kinaya sanaa
Hata tanesco Kuna shida makam wa rais,cio tassaf tu
Kwani kuna anaetosha kwenye hiyo CCM wachumia matumbo tupu. Acheni kuonea watu.
Punguza ujinga, kuonea wapi vipi, huo ndio ujinga wa watanzania wengi, watu wakifanya kazi mnalalamika, wakiacha kelele
tatizo wanaopewa majukumu wakisha pata to hayo mamlaka wanajisahau sana ata wakilibu wanaamini watahamishiwa kwingine hili selikali liangalie hao ndio wanamfelisha mama
Kuna vijana wazalendo watoto wa maskini wapo ,makamu toa hao
Samiaaaaa oyeee!! Umeshinda uchaguzi Kwa akili nyingi sana
Miguguno mingi mara TASAF, TAGES, TASS, TAKUKURU, TARURA mnachanganya tu wananchi. Wapeni maendeleo muache kuongea ongea
Mungu analipa apap dunian ndalichako chali
Dkt samia suluhu hasani kaleta suluhu kwa kumwezesha dkt philipo mpango ,maana anamipango dhabiti juu ya maendeleo ya wananchi ,tunaitaji suluhu na mipango ya kama hii🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Doctor Mh magu ndo alikuwa kiboko yao waheshimiwa kazeni mwendo ili mmuenzi hayati magufuli ili nayeye apate matumain aliko kwann mpaka leo bado anaishi katika nafsi zetu
Fisiem ni tatizo, ni saratani ya taifa miaka 60 watu wanakunywa maji machafu
Tulikuwa hatujawahi kuona hivi vitu tokea jembe la tz litutoke lakin sasa 2025 ileeeeeeee watu wameanza kuiga 😂😂😂😂😂vile wanaona kila ujinga wao tuna Comment R.i.p jpm 😢
Nahatuwapi kura watashinda kimabavu kama destur yao
Makam chapa kazi hapo kasulu
Napaona nyumbani Kasulu daah 😢 Kitambo sana. Kweli maisha hayana fomula leo maisha Dar es salaam 😢
acha2 ndugu
NANI ALIYEKWAMBIA KWAMBA "MAISHA HAYANA FOMULA"....!!??
@@kutokaughaibuni 😁
@@kolisonkolison3681 maisha hayana fomula ndugu yangu. Hauwezi kupanga baada ya miezi mitatu itakuwa hivi. Bali utafanya juhudi utakuta Mungu anakupa unachostahili siounachokifikili
Inamaana huendagi kwenu!!!
Ila kigoma kuna vumbi mweeeee😅
Asante Baba
Me ninaalama ya kuuliza why mbn mnafanya hivi uchaguzi ukikaribia? Kwa maana hiyo uchaguzi ukipita mtabaki kujificha msitoke kusikiliza kero za wananchi
Yaani mm nahisi ningekuwa mkali ..watu wanajiona Mungu watu....
Mbn ninyi mmeendelea kukaa ofisini na huku mmesikia kelele na malalamiko kuhusu mkataba wa bandari?Mmepitisha mkataba mbovu usiyofaa ,lkn mnaonea dagaa hii siyo sawa
Bora mpango mpango awe rais
Hamna kitu mnakuaga wapi inamaana makatibu hawapeleki lipoti? Mpaka muumbuane kujifanya nyinyi wasafi
🤣🤣🤣🤣 hiyo ndo Kasulu bhana
Umeongea kweli makamu wa rais wengi wanapenda kufuga uzembe
Mmesituka kumbeee😅😅
Au bhasi, ila hao wanaolaumiwa ndio zao la nidhamu ya kutoka moyoni mlioitaka na kuitangaza hadharani! Na hao sio shida, shida ni hao tunaowaamini kua ndio viongozi wa juu, how unatoa pesa na huzifuatilii zimefanya kazi gani? Rip jpm ulitufunza mengi! MUNGU akupe maoumziko mema huko uliko! Next month ntakuja ku visit kaburi lako ulipolala! #salute
Ccm ni ilebile wapenzi zibueni masikio na ufahamu
Njoo wilaya ya uvinza utamkuta mtu mmoja anaitwa antoni ni tatizo