Usirudie kujimwambafai wakati umeajiriwa na KKT.Kazi ya Mungu inahitaji unyenyekevu,uvumilivu na hekima.Umaarufa ukizidi bila maarifa anguko huwa karibu.
Mchungaji umesoma nyakati maana ungewasikiliza wachochezi ungetenda dhambi maana ungefutwa uchungaji. Mungu akubariki sana una nafasi kuwa kiongozi mkubwa maana bado kijana
Mungu akulinde sanaaa Mungu anabakikua Mungu vijana wakirsto wawe waaminifu waache bangi mirungi kwani wamefundishwani dhambi waache kweli itabaki kweli.
Usirudie kujimwambafai wakati umeajiriwa na KKT.Kazi ya Mungu inahitaji unyenyekevu,uvumilivu na hekima.Umaarufa ukizidi bila maarifa anguko huwa karibu.
Asantee Mungu tunakushukuru Mchungaji
Tunakupenda we miss u .
Mchungaji umesoma nyakati maana ungewasikiliza wachochezi ungetenda dhambi maana ungefutwa uchungaji. Mungu akubariki sana una nafasi kuwa kiongozi mkubwa maana bado kijana
Dah asantee munoooo unanishawishi kukusikilizaa
Amen hii ndio misingi imara ya kkkt amen kubwa
Mchungaji kimaro mnyenyekevu huyu Mungu ni mwema
Mathayo 22:29 pia matendo ya mitume 5:9 tusome hapo
Matendo 5:29
Wewe ni askofu mtatajiwa