A TO Z, FURSA ZA BIASHARA KWA WATANZANIA NCHINI COMORO. BALOZI AFUNGUKA
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2018
- Tazama mahojiano yaliyofanyika Moja kwa Moja kupitia Clouds360onSaturday ya CloudsTv ambapo mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro alizungumza mengi na watangazaji wa kipindi hicho kubwa likiwa ni kuzidadavua fursa zilizopo nchini humo.
Daaa fursa ni nyingi
Tatizo letu kutokujifunza na uthubutu
Balozi ameongea vzuri sana
Tutaenda tukafanye kazi huko
Napongeza Sana Clouds360 kwa kipindi hiki kizuri, nimefunguka mengi Sana. Pia nimpongeze Sana Balozi wetu wa Comoro, Leo ndo nimeona umuhimu wa kuwa na Balozi nje. I hope na mabalozi wengine watakuja kutufungua macho kwa fursa zilizopo nchi wanazotuwakilisha.
Balozi wetu yupo vizuri kutupa elimu anaeleweka vizuri
Ila usafiri Bado yani nauli kikwazo
Hii inatuangusha wafanya biashara wadogo
Yote tisa kumi serikali inatakiwa waondoe viza ilikuwe naurahisi watukusafiri nadhani hii itasaidia sana
Tanzania peke yake haina uraiya pacha inachekesha
dah safi saaana
Je, sisi watanzania tunahitaji viza ili kuingia Commoros?
Saf sana
👍
Safisana
Je, kuna ndege ya mizigo inayoenda Commoros?
Ok
Yani mungu akuweke balozi wetu nimejifunza kitu ambacho kimenifungua akili na nitakuja komoro sun nitakuja hata na mzigo kidogo nitakuta isshaala
Ninataka kuja komoro
Hata mm ndoto yangu kwend comoro I hope one day
Kuna fursa kem kem huko
Fursa zipo tatzo miundo mbinu vilevile tungepata mawasiliano ya kupata information zaid
kuna ma documentary mengi sana ingia google uliza utakacho