A TO Z, FURSA ZA BIASHARA KWA WATANZANIA NCHINI COMORO. BALOZI AFUNGUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 тра 2018
  • Tazama mahojiano yaliyofanyika Moja kwa Moja kupitia Clouds360onSaturday ya CloudsTv ambapo mheshimiwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro alizungumza mengi na watangazaji wa kipindi hicho kubwa likiwa ni kuzidadavua fursa zilizopo nchini humo.

КОМЕНТАРІ • 20

  • @queenmeddy2315
    @queenmeddy2315 3 роки тому +2

    Daaa fursa ni nyingi
    Tatizo letu kutokujifunza na uthubutu
    Balozi ameongea vzuri sana

  • @onesmoalphonce3676
    @onesmoalphonce3676 9 місяців тому

    Tutaenda tukafanye kazi huko

  • @MAPWIDO
    @MAPWIDO 3 роки тому +2

    Napongeza Sana Clouds360 kwa kipindi hiki kizuri, nimefunguka mengi Sana. Pia nimpongeze Sana Balozi wetu wa Comoro, Leo ndo nimeona umuhimu wa kuwa na Balozi nje. I hope na mabalozi wengine watakuja kutufungua macho kwa fursa zilizopo nchi wanazotuwakilisha.

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 2 роки тому

    Balozi wetu yupo vizuri kutupa elimu anaeleweka vizuri

  • @farajichilumba5114
    @farajichilumba5114 Місяць тому

    Ila usafiri Bado yani nauli kikwazo
    Hii inatuangusha wafanya biashara wadogo

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 2 місяці тому

    Yote tisa kumi serikali inatakiwa waondoe viza ilikuwe naurahisi watukusafiri nadhani hii itasaidia sana

  • @user-wr1iu5re2c
    @user-wr1iu5re2c 3 місяці тому

    Tanzania peke yake haina uraiya pacha inachekesha

  • @regonrealestateestate9380
    @regonrealestateestate9380 6 років тому

    dah safi saaana

  • @schosay_
    @schosay_ Рік тому

    Je, sisi watanzania tunahitaji viza ili kuingia Commoros?

  • @barnabasmagere4284
    @barnabasmagere4284 5 років тому

    Saf sana

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale7241 3 роки тому

    👍

  • @wadudi2741
    @wadudi2741 Рік тому

    Safisana

  • @schosay_
    @schosay_ Рік тому

    Je, kuna ndege ya mizigo inayoenda Commoros?

  • @pastorsylvesterkalinga3189
    @pastorsylvesterkalinga3189 Рік тому

    Ok

    • @SamaaMasha-jv4oj
      @SamaaMasha-jv4oj 10 місяців тому

      Yani mungu akuweke balozi wetu nimejifunza kitu ambacho kimenifungua akili na nitakuja komoro sun nitakuja hata na mzigo kidogo nitakuta isshaala

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 2 роки тому +1

    Ninataka kuja komoro

  • @schosay_
    @schosay_ Рік тому

    Kuna fursa kem kem huko

  • @brunodominic1600
    @brunodominic1600 3 роки тому

    Fursa zipo tatzo miundo mbinu vilevile tungepata mawasiliano ya kupata information zaid

    • @tanyanyakipande8082
      @tanyanyakipande8082 2 роки тому +1

      kuna ma documentary mengi sana ingia google uliza utakacho