WAPE TABASAMU | Kibwana Shomari amchimba mkwara Dickson Job
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- “Nitawafunga kwa maneno, nitawafunga uwanjani” ‘mikwara’ ya Kibwana Shomari akiwatisha timu Team Job kuelekea mchezo wao wa tamasha la #WapeTabasamu litakalofanyika Jumamosi.
Tamasha la Wape tabasamu litafanyika katika dimba la Jamhuri Morogoro, Jumamosi ya Juni 22 kati ya Team Kibwana dhidi ya Team Job.
#WapeTabasamu