Ukitaka faulu katika ndoa oa mwanamke uliyemshinda haya mambo manne - Sheikh Walid

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 25

  • @badimohamed2964
    @badimohamed2964 Місяць тому

    Mashallah.ustadh Walid darsa zako zinatuelimisha sana.Allah akujaze kila la kheri inshallah.Ameen

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 9 місяців тому +4

    Sheikh wangu upo sahihi jazakhallah khairan

  • @MkindiJujan
    @MkindiJujan 9 місяців тому +4

    Muombe Allah tu akujaalie mke Mcha Mungu

  • @فاطمةرمضان-ي2ز
    @فاطمةرمضان-ي2ز Місяць тому

    Mashaalah😂

  • @a.856
    @a.856 9 місяців тому +1

    Jazakallah khayran

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 10 місяців тому +2

    Sheikh Walid manenoyo n’yakweli kama tusemavyo sisi watu watanga

  • @fat-hiyarashid4605
    @fat-hiyarashid4605 10 місяців тому +1

    Watanasa au washanasa😂😂

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 5 місяців тому

    ❤❤

  • @rahmamahadhi3055
    @rahmamahadhi3055 10 місяців тому +12

    Katika swala la sadaka na kuwajali viongozi wetu hasa walim wa madrasa waislam tumefeli

  • @MaryamSenyange
    @MaryamSenyange 10 місяців тому +2

    😂😂hapo kwenye tuonane

  • @TatoIssa-w3q
    @TatoIssa-w3q 2 місяці тому

    Mimi.mpemba.shekh.walid.nataka.hiyo.nafasi.niko
    Oman.natafuta
    Maisha

  • @zena2872
    @zena2872 10 місяців тому +1

    Nimesikiza mawaidha ust ukweli kabisa ndoa zikifata haya watu wAtaishi vizr .nenda na daraja lako .

  • @sulekhaabdulahi2183
    @sulekhaabdulahi2183 10 місяців тому +1

    Nooooms sheikh

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 2 місяці тому

    Hakuna atakaye kutaka labda huyo unayemtaka awe na uwezo kazi au amesha kaa sana mpaka amekata tamaa

  • @musambaya4327
    @musambaya4327 2 місяці тому

    Mm nna swali kwa mtu aliye kua mzinifu alafu akawa anataka kuacha ama ameacha je kuna mfumo maalum kidini anafaa kufanya ile awe msafi bila

    • @AdilaAmani
      @AdilaAmani 18 днів тому

      Ni kutubia toba ya kweli

  • @TatoIssa-w3q
    @TatoIssa-w3q 2 місяці тому

    Mimi.nataka.ni.mpemba.nataka.hiyo.nafasi.nijifunze.dini

  • @seifazizz4160
    @seifazizz4160 9 місяців тому +2

    Hapo nmepta elim kubwa tuoe tunaofanana nao 😮

  • @MkindiJujan
    @MkindiJujan 9 місяців тому +4

    Shekh ndoa haina standard formula Hakuna mwanamke wa hivyo hajui una kazi unayo yy anataka pesa
    Watu mpaka wake zao ni maboss wanalipwa kuliko waume zao lkn wanataka pesa Shekh

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 5 місяців тому

      Mwanamke kaumbiwa kupokea sio kutoa, mwanaume atakula kwa jasho, mwanamke atazaa kwa uchungu.

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 10 місяців тому +2

    Mbona sheikh atingisha miguu uku ka keti hivyo nili wahi kusikia na ninavo jua pia ki dini si haram lakini ndivo alivo shetan aki keti anakua anatingisha miguua nadhani sheikh wetu kapitiwa, mola azidi kumuongoza mana yeye ndo kio chetu pia

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 10 місяців тому

      Huo ugonjwa km unavyoona kunyonya vidole kula kucha na hiyo ndy hivyo hivyo kila mtu kapewa kitu chake cha mazoea

    • @Twahamwela-ch5lz
      @Twahamwela-ch5lz 10 місяців тому

      Hayo maelezo uliskia ktk qur aan au hadiyth au ulimskia sheikh akisema?

    • @ommarallyhamad7435
      @ommarallyhamad7435 9 місяців тому +1

      Usione anafanya nn ona anasema nn

    • @HajrahRamadan
      @HajrahRamadan 4 місяці тому

      Asalam alykm warahmatulah wabarakatu shehe,wanaume wengine hata umbebe habebeki anapaswa mbereko