Mashaa Allah mimi ni mpya kwenye channel yako nimependezwa sana na mapishi yako tunaomba uwe unatuletea vyakula haswaa vya kitanga originally nimepitia mapishi yako yote toka umeanza shukran
Mashallah habibty wajua vile napenda channel yako. Naomba kujua 1.chukuchuku hukaangi vitungu na nyanya kwanza? 2. waweza tia bamia ama biringani katika chukuchuku?
@@mapishitanga9861 samahani apoapo kwenye uliposema Mchuzi. Hivi tofauti ya Mchuzi wa samaki na Sotojo la Samaki ni nini? Ama moja una nazi wengine hauna?
Mashaa Allah mimi ni mpya kwenye channel yako nimependezwa sana na mapishi yako tunaomba uwe unatuletea vyakula haswaa vya kitanga originally nimepitia mapishi yako yote toka umeanza shukran
Shukran hbbty😍😍...tuko pamoja na tutalifanyia kazi😘😘😘
Chaneli yenu ina mapishi original ya ukweli. Hongereni sana
Asantee Sanaa 🥰🥰🥰
Nimeionja Dada kwel Tam mno
Karibuu❤
Mashallah mie napenda mapishi ya tanga
Asante, karibu sana
Salam alekum mashaallah
Waaleykum salaam shukran
Sas uyo ngisi hawi mbichi
Ngisi sio kama pweza hapikwi sana
❤❤
Mashallah habibty wajua vile napenda channel yako. Naomba kujua
1.chukuchuku hukaangi vitungu na nyanya kwanza?
2. waweza tia bamia ama biringani katika chukuchuku?
Asante hbbty😍😍😘
1.kwa mm ninavojua haukaangi vitungu na nyanya. sababu ukikaanga unakuwa mchuz tena. Chukuchuku kama chukuchuku haitakiwi kuwekwa mafuta..inakuwa ni mchemsho tuh
Lakini ww mwenywe ukipenda kukaanga mwnzo inawezekan ni mapendekezo yako tuh
2. Ndio.. bamia na biringanya zte znaweza kuwekwa
@@mapishitanga9861 Asante sana uhkty.. bado umeniroga niko natizama video zako za zamani. Shukran sana kwa mapishi mazuri
@@mapishitanga9861 samahani apoapo kwenye uliposema Mchuzi. Hivi tofauti ya Mchuzi wa samaki na Sotojo la Samaki ni nini? Ama moja una nazi wengine hauna?
@@mariambintsaid3814 sottojo sijaelewa ni nini??
@@mariambintsaid3814 Asantee kipenzi...nashkur sanaa😍😍😍😘😘😘
Chuku chuku ya ngisi
🥰🥰🥰