MAZINGE AFUNGUKA KWA NINI MABALAA YALIWAKUTA MAHAKIMU MAPOLISI WOTE WALIOMFUNGULIA KESSY MIAKA HIYOO
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090
Moja kati ya masheikh wanao lingania Dini ya Allah ambae na mpenda kwa moyo wangu wa dhati juu ya hili basi ni sheikh Mazinge Allah amuhifadhi
Mashallah Mazinge kofia mzuri akonaroho safi Allah akueke akufungulie yakheri na baraka Inshallah na nyote mulokuwa pamoja twa mpenda kwa Ajli ya Allah
Allah akupe umri mrefu Sheikh Habib Mazinge ❤❤❤❤
Nakupenda sheikh Mazinge kwa ajili ya Allah. Nakusukiliza from Cairo Egypt. Nakuombeya Allah muweza akubali dua yako na uende kuhiji.
Sheikh Mazinge yupo vizuri sana kwa kazi ya dini
Babu Babu nakupenda kwajili ya mungu
Masha Allah❤❤❤
Assalaam aleikum mashekhe wetu ma shaa Allah mungu awastiri awajaalie jannatul firdaus ,sheikh mazinge njoo mombasa uwanja wa tononoka uwafunze hawa ndugi zetu kwa adam njia ha yaki na ya kweli mbele ya Allah shukran
Mazinge Allah amekupa IQ kubwa mno Allah akupe kila lakher wallahi
Mashallah sheikh mazinge Allah akupe umri mrefu na afya njema
Maashallaah maashallaah
Safi
Namlingania shekh Mazinge aachie ndevu asizinyoe ndivyo 2me amrishwa na Mtume we2 s.a.w. nakuvuga ndevu ni (Wajibu)lazima nime shafikisha nanyi mkishieni..
Labda hazioti
Kaka mazinge ukianzisha account ya mchango wako wa kwenda hija mimi wakwanza kukuchangia takacho jaaliwa ili mradi tu nipate dua zako.
Yahata mpe 2)13 Tito daa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sheikh Mazinge nakupenda bure.
Amaashaallah
Saimu masuali yako nimependa sana ila huyo ust mazinge akitumiwa pesa kidogo anaidharau mimi na mpenda na fatilia sana mapambano yake napenda ila hakuna alokosa kasoro
Kwan uliwahi kumtumia akaidharau
Mashaallah
Waislamu, tukumbushane kuwa tunapo zungumza mguso wa maswala ya DINI hapatakiwi mzaha. Rejeleeni aya ndani ya kitabu kitukufu Qur'an na maelekezo ya Mtume Muhammad s.a.w. huto ona penye ucheshi. Mazinge na Gwao. Maswala yanayo husu DINI hapatakiwi mzaha. Simulizi zote tulizo achiwa na Mtume, hakuna za kuchekesha the same kwenye Qur'an. Amesema Mtume kuwa. hakika mini Muhammad ni mfano wa Qur'an na matendo yangu, ukifuata matendo yangu utakuwa umeifuata Qur:an na ukiifuata Qur'an utatenda ninavyo tenda mimi. Muda umekaribia hebu angalieni ile nyota inayo andamisha mwezi je ipo?
Mazinge
Professor hiyo kilemba au kofia😂😂😂😂mungu awape umri mrefu
Kumbe kwenda hija ni millioni 10 tu 😮
Babu Babu bwana
Professor DD, Tupo Maidha
🤣🤣🤣🤣🤣 masha'allah sheikh wetu mpendwa
Ndacha bado yupo tz
Ww waambiea umekwenda hijjah lakn unamuhoji mazinge kifitna mambo ya Pete yahusu Nini ni hyo mada mnayoiongelea?mbona cc waislamu Bdo tuko nyuma?kw stayle hii hatufiki na hatutofika,mnapandikiza chuki wa wahadhiri na masheikh na waumini acheni hii tabia uislam usogee hta kidogo
Kwenye uchawa ndio mnaharibu
😂😂shekhe mazinge hiyo baraka shee au soksi ya kuchujia chai😂😂😂😂😂
GWAO, MAZINGE HAITAJI KUANGALIA CAMERA KWAKUA MAZINGE NI MMOJA TU AFRIKA NA SAUTI YAKE INATOA TASWIRA YAKE HALISI NA INATOSHA.
hata salam hajui, ....wabarakatihi. endelea kujifunza
Salamu gani we hasidi
Subahna Allah binadamu mungu atuhidi
Huyo profesa eti hajui Salam wewe unamapungufu sibure
Acha ujuaji kwani wewe ujawai kukosea matamshi,we ni kajinga
@@sadathboutique6253 ukikosea kama una elimu unajirekebisha hapohapo, acha matusi
Bendera chuma mlingoti chuma . Ccm
Sheikh mazinge analeta mambo ya uchawa
Hana mambo hayo kabisa huyo labda humjui vizuri huyo ukimpenda atakupenda naukimuudhi anakurarua bila chenga
@@Azza-o8c acha kutetea ujinga, sasa hivyo anavyofanya kuna tofauti gani na mwijaku anayewasifia watu ili anufaike?
Acha maneno machafu wewe
We ndo chawa bwege ww
@@HajiMasmenti mapenzi yenu yasiyotumia akili kwa sheikh Mazinge yanawafanya muwe vipofu msiione hata haki, mtu anakosea lakini hamuoni. Hatari sana hii