#LIVE
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#SheikhKarama #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 071 409
+255 773 878 523
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Maryam Kidiko
cc: Abdillahi
Camera Department"
Abdillahi
Mohammed Abeid
Editors:
Mohammed Abeid
Ali Hassira
Director
Ali Hassira
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Mashaallah napenda sana vipindi vyenu Allah azidi kuwap umri mref mzid kutuelimisha
Masha Allah Sheikh karama outstanding topic, BarakAllah feek including Mardhia, Watamaman and all staff Ameen yarab🙏🙏🙏🙏
Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu shukraan jazzakah Allahu kheir ma sheikh wetu wote kwa kazi zenu njema barakallahu fikum
ما شاء الله تبارك الرحن كلام حكيم
بارك الله فيك يا شيخ🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸الله يعطيكم العافية 🤲🏻اللهم امين يا رب العالمين
Asante sana mashehe wangu nimepata faida kipindi mazbut Allah awabarik
Masaalkheir sheikh,je itafaa nikisoma hii suratul mulk kwa kuombea familia yangu.
Mashaa Allah nimeiota kaburi la mutu me MSWW Nikili onyeshwa liko katika ya koridor ya nyumba 2
Mashallaha shekhe Mimi naota nazama kwenye maji
Asalam alkum mimi jinalangu alhabibi sheikh karama Mimi nimeota niko baharini ufuoni karibu namanyumba yako ufuoni kisha nime vishwa dhahabu mkufu mkufu wenyewe umefanana kama wameya lakini aliye nivisha simjuwi sheikh karama manake nini iyo ndoto bismilaa ya sheikh karama
MaSha Allah ,Mimi Mama ke Twaha Alhamdulillah nimefurahi kwa kufatiliziya mauitha na tiba zenu
Assalam alaykum shukran jazaka llahu khayra ila mm nauliza kuhusu ndoto hii kuna mmoja wetu Muislam aliota anataka kuvishwa salaba kubwa kuliko tunayo yaona na jitu kubwa ila kwauwezo wake Allah alisoma ayatul qursiyu Allah akajaalia hakuweza kuvishwa salaba hilo ilipokua akisoma alikua akimuonyeshea kidole lile jitu baada ya hapo yule mwenye kusoma akabanwa kidole na lile jitu Allah akamchitua kutoka usingizini
Assalam aleikum sheikh karama,niko mombasa kenya....juzi nlioata ndoto Inaonesha mnyama twiga...na pili nliona kwenye ndoto hio hio ngurue mwitu wa wili wanapigana sanaa.naomba unifasirie inshaa allah.shukran
Mashaa allah tabarakallah
Asalaam aleykum naulizia ukiota ndoto ya farasi wawili wenye mabawa msaada tafadhali
بارك الله فيك يا شيخ
Jazzakka Allahu khyern 🤲
Asalamu alaykum warahama tullah wabarakatuh, mashallah
Mtangazaji jitahidi kuwa na haiba ya utangazaji. Muachie nafasi mgeni aongee kwa nafasi, Kumfatiliza maneno au kumdakiza sio katika tabia za utangazaji.
Kweli
Shekhe Mimi nimeota nikodukani Kisha nikamuota binti, upande wapili nikawaona wazazi wangu wote wawili nipe manayake shekh
Aza wa Jallah awape swiha na umri wa taquwa katika makazi yenu Ameen
Wajaalna layla libasa
Asalamu alaykum warahama tullah wabarakatuh
Mashallah kwa mafundosho mazuli
Mashallah
Asalam alaikum warahmatulai wabarakatu sheik.
Sheikh karama mbona atukupati whatsap
Asalam alaikum shekh mko Mombasa upade gani
Ndio Zaman nilikuwa napenda kulala chal nilikuwa napataga shida sana mama akasema usilale chal vibaya nilikuwa nakabwa wee acha tu
Amiina yaarabbi
Sheikh yusufu aliniambia niche Che maziwa niweke asali na mafuta Yamaji. Alafu nisomee sura hizi mbili kuliadubirabifalaki na kjliaudubirabinasi Mara sabini na moja.
Namaajabu niliona majini wengi hata nilishidwa kuwahesabu sahii alhamdhulillah siwaonitena.
A Salaam Allaykum, ukiota umemuona nyoka ananyonyesha vitoto vyake viwili na unaitwa wenzako waone???
Darasa la leo tamu Mashallah
Mashallah
Muongozo wa swala ya istihara
Asalam aleykm ,shekh nn maana ya ndoto hii ya kunyweshwa maziwa.
Unakera mtangazaji kudakia maneno ya mgeni sio taratibu wa utangazaji,huoni wenzako wanavowapa nafasi wageni wao?
As/alykm shekh mtu akiota ndoto ananyeshewa na mvua,inamaaana gani?
Shekhe mm naota lkn nikiamka asubuhi sikumbuki nimeota nn lkn najijuwa nimeota tatizo yaani sinahata kumbukumbu nimeota nn nn maana yake
👍
Salumin kuota unazan sio nzur iyo ndoto
Jamani Mimi nimeolewa ila naota ndoto ya kuchumbiwa tena pia naota ndoto za kuwauwa nyoka ambao ni vipande vingi maana yake nn
mbona mada usika amuidhu ngumdhi stoli nyingi sana
Shekhe ukiota mana unakufa uku ukitaja shaada ina maana gani
Ndio Ata mama Alikuwa anasema kulala vizur kusal kwanza
Nilivyoacha kulala chal zile ndoto zikawa hazij
Siri zenu zipi???