Mungu njia zake hazichunguziki kabisa kikubwa n kuisikia na kuitii sauti yake. Nimebarikiwa sanaa sanaaa na kujifunza kitu kikubwa sana. Mama mchungaji Mungu azid kukutumia na kukutunza kwaajili ya utukufu wa jina lake Bwana wetu Yesu Kristo. Ameeen🙏🙏🙏
Mungu njia zake hazichunguziki kabisa kikubwa n kuisikia na kuitii sauti yake.
Nimebarikiwa sanaa sanaaa na kujifunza kitu kikubwa sana.
Mama mchungaji Mungu azid kukutumia na kukutunza kwaajili ya utukufu wa jina lake Bwana wetu Yesu Kristo. Ameeen🙏🙏🙏
Kazi nzuri