'Kufa au kupona': Juhudi muhamiaji kutaka kufika visiwa vya Canary

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • BBC Africa Eye inachunguza kile ambacho kinatajwa kuwa njia hatari zaidi ya uhamiaji duniani.
    Safari hatari ya kuvuka Atlantiki kutoka Afrika Magharibi hadi Visiwa vya Canary vya huko Hispania hukabiliwa na changamoto kubwa.
    Hukabiliana na siku kadhaa, hata wiki wakiwa kwenye chombo cha wazi baharini.
    Mwaka huu zaidi ya wahamiaji na wakimbizi 70,000 wanatarajiwa kujaribu safari hii hatari katika mashua za mbao zilizojaza watu.
    #bbcswahili #upekuziwabbc #BBCAfricaEye
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

КОМЕНТАРІ • 4