'Kufa au kupona': Juhudi muhamiaji kutaka kufika visiwa vya Canary
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- BBC Africa Eye inachunguza kile ambacho kinatajwa kuwa njia hatari zaidi ya uhamiaji duniani.
Safari hatari ya kuvuka Atlantiki kutoka Afrika Magharibi hadi Visiwa vya Canary vya huko Hispania hukabiliwa na changamoto kubwa.
Hukabiliana na siku kadhaa, hata wiki wakiwa kwenye chombo cha wazi baharini.
Mwaka huu zaidi ya wahamiaji na wakimbizi 70,000 wanatarajiwa kujaribu safari hii hatari katika mashua za mbao zilizojaza watu.
#bbcswahili #upekuziwabbc #BBCAfricaEye
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Safi sana, Hongereni sana. Napendezwa na Documentary kama hizi.
BBC eye africa
Mungu tusadie wanaume tupate pesa za kutunza familia zetu
Waafrika wote wanataka kwenda ulaya shida nini