DAWAH KATIKA KANISA LIITWALO MSIKITI || THE SMALLEST CATHOLIC CHURCH IN THE WORLD
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @StraightPathDawah ni dawah popote wakati wowote.
Katoric nihatari sana mim nirikua uko huyo mam Allah amujarie ajue haki inshallah
Sheh wangu ukija zanzibar tutafutane mimi nakupenda sana kwa ajili ya allah
Zanzibar ingelikuwa na uhuru kama huu wa waKenya, yaani wa mihadhara na midahalo ya kidini hadharani ingekuwa RAHA sana. Lakini huku kwetu utaambiwa mufanyie misikitini, sasa huyo mkristo ataingia misikitini?
Dadangu..nakuombea dua mwenyezi mungu akuongoze uwe muislamu..mimi pia nilikuwa mkatoliki lkini hizo sanamu hazikuwa zinaniingia akilini..nikatafuta njia ya haki
Jenipher namesake now a muslim alhamdulillah
@@khadijanajma2676 thank u namesake..my islam name is maryam alhamdulillah🥰🥰
@@Hi_20206 haija daaa kumbe uko huku nmekuzoea kwa salim😅😅😅 ata ungeitwa jannah yaendana na jenipher😊
@@sheemaryam niko huku dadangu..sikujua hilo jina jannah..ni jina tamu sana wallahi..nikijaliwa mtoto msichana nitamuita jannah inshallah
@@Hi_20206 in sha Allah jannah na firdous yamaanina kitu moja
MashaAllah sheikh wetu Ramadhan tunakupenda Sana watanzania. Nakuimbea Kwa Allah akujaze kheri na akujaalie afya njema siku zote za uhai wako. Ameen
Aamin thuma Aamin 🤲
Shekh Ramadhan Mwenyeez Mungu akujaalie mwisho mwema kwa kuendelea kuutangaza uislam na kuwalingania wasikuwa waislam na Waislam tunajifunza mengi hasa mimi nimepata faida kwa kujifunza mengi na naendelea kupata faida
Subhanallah.Allah awaongoze wote walio potea na awaoneshe njia ya haki
Allah awape wepesi wapate kujua dini yakweli na yahaki kiukweli uwezi ukaiabudu sana Nimtihani sana
Allah akupe afiya na umri mrefu akupe firdaus.
Eti maria mtakatifu mama wa mungu hivi jamani duh mtiani jaman Allah awaongoze wawe din ya khaki
Shekh ramadhan Allah akupe mwisho mwema inshallah
Tobaaaaaa🤤🤤🤤bonge la mungu wao, alafu wako siryas. Ikitokea tukio hapo watakimbia wa muache mungu. Mungu wakweli akikupa ufahamu wa kumfahamu yeye wa pekeyake ni kumshukuru sana.
Sana
Shekh ramadhan naomba mfike garisa siku moja i.a huku tunawahitaji kutusaidia hii kazi yaa dawah .Mwenyezi Mungu atawalipa janah firdowz i.a
Nimecheka kama mzuri mwenyez MUNGU awaonyeshe njia
😅
Nimempenda huyu mama hana shida wallah Allah amuongoe
You made my day happy sheikh ramadan kuria bin kaguo
Subhannallah Allah awaongoze hawa watu sheikh Ramadhan Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uweze kutuelimisha
Ameen🤲
MashaaAllah♥️♥️♥️Allah awalainishe mioyo yao waijue haijue haki.
Allah akupe maisha marefu shehk wetu ,uzidi kulingania dini ya Allah ambayo ni uislam
Sheikh wetu mungu akulinde,,pia uwe ukipitia mpaka sehemu za kwale, kinango , mtumwa
Maashaallah baarakallah inshaallah shekh ramadhan palipo na uzima wapitie tena uwape maandiko na ushahidi wa vitabu inshaallah wataelewa tu hakki ilipo
Subhana Allah kanisani kuitwa msikiti
Allah akuongoze kwa kila hatua ila nna hamu sana ya kukutana na ww sheikh
Allah atufanyie wepesi
Hata mimi pia ninampenda sana huyu sheikh
Mungu amuongoze dadangu ampe hidaya
Amiin
Subuhanallah. Wanaabudu misanamu Allahu Akibar. Mtihani Allhamdulillah kujikuta muislam ni mapenzi ya Allah kunichagua kwahurumawake🤲
Dah 😢wanaomba mawe walio ya chonga wenyewe. Allah awaongoze watoke ktk hii shirki.
A.alaikum yan ustadh ramadhan Allah akupe maisha maref yenye manufaa nimeipenda sana hiii na mungu anijaalie huyo dada akisilimu umuowe mke wa pili yuko vizur sana Allah amuongoze ktk njia iliyo nyooka.
😂hapo kwenye kumuoa sasa jmn wakustir mpo wengi ata wengine waweza kumuoa
Shukran jazakala kher Allah akuhifadhi ustadh wetu
MASHA ALLAH...
MASHA ALLAH....TABAARAKALLAH...🤲☝️🙏❤️
SUBHANALLAH
Alhamdulillah
ALLAHU AKBAR..
Alhamdulillah kwa neemah ya UISLAM 🤲🤲🤲.Shukran sheikh Ramadhan ALLAH akuhifadh ❤❤
Masha Allah natamani kaziyako mwalim ramadhani
Allah awaongoze hawa wadada waifwate haki ni innocent nimewahurumia.
Huyo dada ni mchangamfu kweli tunamuombea kwa Allah ampe uongofu
Walah mashekh mnafanya Kaz kubwa Sana,Allah awape afya njema na awajalie mwisho mwema nyie na vizaz vyenu
MashAllah kazi nzuri sana sheikh wangu
Sheikh Ramadhani unafanya kazi kubwa sana Allah akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera.
Mungu.akupe.umuri.
Mashallah Ramadhan Allah akupe mwesho mwema 😊
Allahuma ameen 🤲
Asalamu alekumu warahama tulahi wabarakatu mashala kazinzuri Allah awaogoze njia iliob Sawa masanamutena mm marayakwanza kuyaona
Ramadhan my brother Mungu akuhifadhi in sha Allah 🤲
Aamiin,,akhii ukiomba du'a sema Aamiin,
Yani nahisi kulia wallah kaka Rama unafanya kaxi kubwa sana mungu akulipe kila la kheri watanzania twakupenda sanaaaaaaaaaa
❤
Kweli
MASHAALLAH sheikh Ramandhan
Yaani shetani ni wa hovyo sana. Mpaka Waislam wanadhani wanamwabudu Mungu wa kweli. Dah! Ndugu zangu Waislamu mimi nawapenda na Mungu anawapenda sana. Njooni kwa Yesu mumpokee awaokoe.
Atuokoe na nini sasa
Mimi nambie atuokoe nini kwa sababu ni bina Adam km mimi ila ni nabii wa mwenzi mungu
Tuko na Yesu already kawa sababu ni ndugu yetu muislamu. Paulo ndiye mwanzilishi wa ukristo
Safi
Mashaallah M mugu akuzidishi upendo na Imani kuitangaza dini ya Allah in shaa Allah akuhifadh na kila mazito
Jazaaka allahu kheira aljazaa.
Mashallah Sheikh wetu Allah akujalie kheir inshallah
Ma sha Allah tabaraka Allah mwalim n wenzako Allah amfanyie wepesi kueneza dini ya Allah
Shekh wangu Allah akupe akujaalie,kila la kheiry katka kazi hii ya manabii na mitume kwani najua changamoti ni nyingi,,Allah okuongezee HEKMA
Mashaa-Allah ustadh ramadhan Allah akuhifadhi
Mungu awaonyeshe njia iliyo kuwa ya haki
Mimi ndio njia na kweli na uzima.Mtu haji Kwa baba ila kwangu.John 14:6
Inshaallah Mungu akujalie uwe mwislamu dada
mashallah shekhe mungu akubarik kwa kaz nzur ishallah
Ma sha Allah
Jasinta ni kama ana damu ya utaita pia kwa sababu ya kiswahili chake cha kukaza maneno akiongea... Allah awaongoze kwenye njia ilio ya haki na awaepushe na njia ya sheitani Allah Ummah Amiin
Maashallah❤
Masha Allah hapo ndo nyumbani.
ALLAH AWAONGOE WOTE WALIOPOTEA KWA JUHUDI UIFANYAYO AL-AKHY RAMADHANI🤲
Maashala mwenyeezi mungu amfanyie wepesi asilim awe mwislam
Allah akupe pepo la juuu,, Ramadhan
Mashallah❤ Ustaz Allah akurahisishe mambo yako
AllAh akuzidishie hekima na elimu
Hio imeenda
😂😂 au sio
Maa shaa ALLAH 💚💚💚
MashaAllah TabarakahAllah In shaa Allah kila mtu aongozwe
Katika njia ya Haki
8:54...I think maybe shes describing thee copric christians ... Masha Allah to this sheilh,i love watching his daawah videos especially the ones along rhe streets and suburbs.. ALLAH will reward him for his worthy cause...Watching from Toronto Canada.. Allahibarik to this daawah group.
Masanamu nayo subhanaAllah.😮
Masha Allah 🥰
MashaAllah Allah barik
MashaAllah
Anna Anajaribu hau Anakataa kusema Ukweli
Shekhe Ramadhani Mwenyezi mungu akujaliee kila la kheri
Nimependa sheikh ulivyofahamisha kuhusu ibrahim
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Subhanaallah
Wajina maashaallah
Assalamu Alaykum akhil aziz Ramadhan. Allah hifadhik .
Masha Allah Allah akuhifadhi insha Allah
Masha Allah Ustaz Kuria
Mama mtaratibu sana mashallah
Subhanaallah 😢
waaah ALLAH atustiri hya ni maajabu
Safi sana Sheikh Ramadhan umefanya vizuri.
Kiboko yako ni Ndacha.
Inshaallah ndacha atasilimu
Subha 'Allah
Subhana Allah, Allah awape ufahamu
Ramadan kuguo Allaah akuhifadhi akupe umri mrefu ufanye kazi ya dawa
Allah Akujaalie kher ktk kupigania Dini ya haki
Rabana atinah fidunia hasaha walafkhirati hasana wakinah azabar nar
Mtihani
Mashalah Sheikh Ramadani Tell her she will wear like Mariya
Maa shaa Allah.Sheikh your Messages are a blessing to many.
Yesu anakofia mbili, ni Mungu asilimia 100 yohana 1:1-3,14; lakini pia ni binadamu asilimia 100 yohana 1:14, waefeso 2:5-8
Katika Uungu wake wake yeye ni muumba wa Kila kitu akiwemo Mariam
Katika ubinadamu wake ni swa na binadamu yeyote. Aliuchukua ubinadamu kwa binadamu mwenzetu. Mariam
Mariam anahusika katika ubinadamu wake.
Katika Uungu wake Yesu ni Alfa na omega mwanzo na Mwisho Kama Kuna mwanzo Yesu ndiye huyo, kama kuna Mwisho basi yeye ni mwanzo na Mwisho
Maria si mama wa MUNGU
Mungu hana baba Wala mama. Ndo maana ni Mungu
Mash shaa Allah SHK
May reward abandon Ameen
Mimi pia nilikua mkatholik ila Alhamdulilah Nilirudi kwa uislamu
Yesu mwenyewe alituagiza tuombe kwa jina lake Wala si kwa jina la mtu mwingine yeyote yohana14:13-14; 15:16; 16:23-24,26
Petro alitii agizo lake, baadaye kabisa alikuja kuomba kwa jina lake matendo 3:6; 4:10
Paulo pia aliomba kwa jina la Yesu matendo 16:18
Sasa Kila goti linapaswa kupigwa kwa jina la Yesu wafilipi 2:10
Kuomba kwa jina lingine ni moto mgeni ambao Yesu hakuuwasha katika maisha ya kikristo
wakristo mnaa budu sanamu
Yesu sio dini
Mwanadada ajua haki mwana wa Ibrahim kwa imani
Shukran akhy
You are doing well ramadhan
Dadaangu amekukaribisha vizuri. Mungu amjalie aione haki Inshallah .
Uislamu pia ina shida kubwa. Chunguzeni vizuri..
Pole sana unashida gani
wakristo atali sanaa
MashaAllah kaka Allah akulipe kheri amiin
Pamoja na elimu ndogo ya dini ya hao akina dada, nafikiri ni wahudumu wa hiyo facility, wamemshinda keenye mambo ya msingi:
1. Wamemstahi, na kiongesha upendo pamoja na lugha zake za kufuru na kashfa
2. Wamekubali mualiko wake na baadhi ya hoja, kasoro mambo ya msingi ya imani
3. Mwisho, maelezo kuhusu uhatibigu wa jengo na restoration ya uharinigu na kutengeneWa bustani ni ishara tosha.