Huyu mwanzo sio mtu wa twarika Hilo la kwanza Mana tafsiri tu ubwaaa then mwamshabihisha na twarika ayumo pmoja na utafiti wake Mana kiongozi wake kamtaja hapo eti Mohamed bachu na twamjua sie mtu wa twarika hhhhh urongo auna mahali kwenye dini
Mtume amesema tufunge siku ya arafa sio siku watu wanasimama arafa, na siku ya arafa tunaipata baada ya muandamo wa mwezi wa dhulhijja tunahesabu mpk tarehe 9 dhulhijja ndio siku ya arafa, na na kila watu na muandamo wao, na imamu wa Makka anatangaza kisimamo cha arafa sio funga ya arafa.
Na ibada zote 2 zinategemea muandamo, haiwezekani Swaumu ya Ramadhani tufuate muandamo hlf swaumu ya arafa tufuate kisimamo, kisipokuwepo hicho kisimamo kw ajili ya dharura tunafanyaje?
@@khamismwadini2169 huyo wala si maasum neno lake linaweza kurejeshwa pia kwanza anadai kafanya utafiti wa siku tatu ndo kajua hiloo duuuuh mm siingii kwenye jambo ila kwa dalili zeny kutosheleza ka sitok kwny jambo pia kwa dalili hajanipa dalili zenye kukinaisha kweny hilo
Mashaallah
Barakallah fiih
Aamiyn sheikh umejivua katika dhimma maana umebainisha ukwele Allah atuongeze
Shukran shekh dedes tumekuelewa
Alla akupe umri na afya sheikh Dedes kuisema hakki sio jambo rahis
Hijja ni pahala pamoja kwa mahujaji sio wafungaji
Aaaaaaa sisi hatukufuati watakufuata wanafunzi wako tu
Hahahha maelezo hayana adabu ya ikhtilafuuu nisamehe mzee
Huyu mwanzo sio mtu wa twarika Hilo la kwanza Mana tafsiri tu ubwaaa then mwamshabihisha na twarika ayumo pmoja na utafiti wake Mana kiongozi wake kamtaja hapo eti Mohamed bachu na twamjua sie mtu wa twarika hhhhh urongo auna mahali kwenye dini
Humjui shekh dedes bora unyamaze. Huyo shekh wake ni shekh Muhammad Nassor bin Abdallah alqadiry
Swsw haswaaaa
Siye wa twarika ata mkilazimisha awemo siye
Nyinyi ni wanafiki wa kubwa.kwakua munawaambia wafuasi wenu wafunge siku watu watao simama Arafa lakin waswali majumbani mwao
huna haki ya kumuita mnafki
Mtume amesema tufunge siku ya arafa sio siku watu wanasimama arafa, na siku ya arafa tunaipata baada ya muandamo wa mwezi wa dhulhijja tunahesabu mpk tarehe 9 dhulhijja ndio siku ya arafa, na na kila watu na muandamo wao, na imamu wa Makka anatangaza kisimamo cha arafa sio funga ya arafa.
Na ibada zote 2 zinategemea muandamo, haiwezekani Swaumu ya Ramadhani tufuate muandamo hlf swaumu ya arafa tufuate kisimamo, kisipokuwepo hicho kisimamo kw ajili ya dharura tunafanyaje?
Vp kwani serekali inawakataza watu kumuabudu Allah
Una tatizo la mafahimu sheikh kwahyo unataka kutuambia waliofunga huko zamni pia walikuwa wanakosea na walikuwa hawalipwi c ndio?
umeelewa lakini alichosema sheikh lakini!??
Wewekijana shekhewako kakuambia hiyo ndiyohaki km unaikubali sawa km huitaki iwache ,Allah humuongoza amtakaye
@@khamismwadini2169 huyo wala si maasum neno lake linaweza kurejeshwa pia kwanza anadai kafanya utafiti wa siku tatu ndo kajua hiloo duuuuh mm siingii kwenye jambo ila kwa dalili zeny kutosheleza ka sitok kwny jambo pia kwa dalili hajanipa dalili zenye kukinaisha kweny hilo
@@abubakarhussein2186 cku ya arafa ni mwez tisa
Hamuaminiki nyie hata siku ukija huku utakuwa kama wajinga wenzio
Mashaallah