Madilisha mzee wa saves, madili ya dulla yakigeuka madilisha.. kilichobaki ni kocha wa TAIFA stars ampeleke Dulla awe striker mpeleka mashambulizi afu madirisha awe nyanda mzee wa kuzisave the AFCOrN cup will come home....(fun.joke😅).... HONGERENI tuna_enjoy, kazi yenu nzuri.🎉
Tx Dilla mnyama mungu akubres wasio kiona hawawezi kuona nahata wakiona hawatokuona jibresi mwenyewe kwanza hakika nimeanza kukufatilia tangia unaanza ileya earport kumbe uko kwenye fuso mpaka Sasa niatali TU waache wenye kusema kwa maneno shujaa wakweli husema kwa vitendo 🔥🔥☝️☝️☝️💯
Ndio raha ya kuwaaga masele haya mambo yenu ya kujifanya unaficha mambo eti sitaki ajue mtu kama na mm nafanya mapenzi mtakuja kufa waageni wakina madirisha ndio muende kuzagamua kapewa nafasi ya kuaga ndugu kamkumbuka mwamba madilisha noma sana
Hongela sana madilisha na pia naombeni muweze kunibustia akaunt yangu ndo naanza kujitafuta
Kila siku nawaambia Madirisha mmoja ni sawa na Kijiji kizima leteni likes zake hapa🤣
😅
Kabisa yaan
Pouw
Pouw
Kosa kubwa sana kumuachia jamaa ampigie mwamba simu😂😂
Hakika madirisha ni mwanaume😂😂😂, nahitaji rafiki wa hivo kwenye maisha yangu😅 nimekupenda bure madirisha ❤❤ from Congo 🇨🇩🇨🇩
Mmetisha kinoma siwezi acha kuwashabikia jamaa zangu pa1 na stive mweusi namkubali sana
Kila sku madirisha anakuokoa sas tunataka kuona na wew ukimuokoa madirisha
Bro hiii nomaaaa tena
Hongeraaa
Aliyemshaur huy jamaa kusuka marast yamechanua hvyo Mungu anamuon😅
😂😂😂😂nacheka kabla maana huyu tx dulla ni nomaaaaaa😂😂😂
Dah mwanangu madirisha umetisha unastahili Maua yako ndugu yangu🎉🎉🎉umetisha sana kaka.
🫡🫡
Madirisha umetisha sana😂😂😂😂
apo dulla umezingua wale wameenda jela ilitakiwa urudi ukakamie madirisha sasa umtie kwaasira😂😂
Umetisha kinoma tx dulla mnyaaaama... sema madilisha .. ni mwisho wa maelezo...
Ambaye hajawai kudanganywa leo kadanganywa 😂😂I 😂😂😂 ila msinirekodi 🙌🙌🙌
Leo kakutana na mwezake ambae ajawahi jidanganya 🔥🔥🔥💪 *333#
Madilisha mzee wa saves, madili ya dulla yakigeuka madilisha.. kilichobaki ni kocha wa TAIFA stars ampeleke Dulla awe striker mpeleka mashambulizi afu madirisha awe nyanda mzee wa kuzisave the AFCOrN cup will come home....(fun.joke😅).... HONGERENI tuna_enjoy, kazi yenu nzuri.🎉
wa kwanza from moçambique 🇲🇿🇲🇿
Madilisha noma Sana kaka uko vzr sana jamaa alishafaliki iyo yaan kifup aliyatimba
Tx Dilla mnyama mungu akubres wasio kiona hawawezi kuona nahata wakiona hawatokuona jibresi mwenyewe kwanza hakika nimeanza kukufatilia tangia unaanza ileya earport kumbe uko kwenye fuso mpaka Sasa niatali TU waache wenye kusema kwa maneno shujaa wakweli husema kwa vitendo 🔥🔥☝️☝️☝️💯
Wueh,,,acha leo npee madirisha maua ake aisee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Madirisha 🎉🎉chukua mauwa yako
MADIRISHAAAAAAAAAAAAAAAA NI KAMA 911 😂😂😂 ANAFIKA NA KUKUOKOA CHAP 😂😂😂😂
Leo ndo nashuhudia maandiko😂😂😊😊
Huyu police mwenyewe sauti sasa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tx unawezaaa kaka. Unatumia ubunifu mkubwa sanaa
🎉🎉tumpe mauwa yake madirisha tx ungeuponz😂😂
Ndio raha ya kuwaaga masele haya mambo yenu ya kujifanya unaficha mambo eti sitaki ajue mtu kama na mm nafanya mapenzi mtakuja kufa waageni wakina madirisha ndio muende kuzagamua kapewa nafasi ya kuaga ndugu kamkumbuka mwamba madilisha noma sana
Txdulla na madilisha mnafanya kazi nzuri sanaaaaaa
Mbona nywele zinachezaa 😂😂😂😂
😂😂😂
Oya unajuwa mpaka Una kela 🔥🔥🔥
Man ov the game madirishaaa,, anyway dulla this tyme katuletea ktu kizur
Sana2 madirisha natamani nipate rafiki kama madirisha 😂😂😂
Hii imeendaaaa tx ,madirixha mmeuaaa
Madirisha momoja ni sawa na watu 100 😂😂😂
Madilisha wew 😂😂😂😂😂 umepigaje hapoooo😅😅😅
Mkome kuja mageto ya wanawake😂😂😂😂😂
Hapo kwenye pigia ndugu zako sasa😅😅😅
Kaka maadilisha naomba niwe lafk ako😂😂😂😂
Aaah...weee,hpo umepigwa Mzee....
😂😂 dullah kashukur mungu kupata chance yakupga cmu
TEAM MADIRISHAAAAA LIKE 😅😅❤
Hatupitwi nahiyi season 😂❤️♥️🇨🇩 ila tukumbuke basi John 3 :16 wandugu
toa ujinga wako
Sema dula saiv marafiki wahivo hakuna niwa senge tuu😂 walo Baki
Madirisha ni mmoja tu
Mbwa wewe umshukuru madirisha anakuokoa sana akifa madirisha omba kabsaa uzikwe naye😅😅
Madilisha ni mtu m bad😂😂😂 sana
Likes zangu zote Kwa madirisha ,duuuh madirisha noma saan
Asee hii series nikalii
nakupiga bonge la basitora
Baba dula leooo umeyakanyaga
Madirisha ame toka starling
Big up brothers ✊
Madirisha hajawah kushindwa
Oyaaaaa madirisha #AU BASI
Sio mia madirisha mmoja ni sawa na mkoa wa dar😅😅😅
Naomba msinirekodi😂😂😅
Madirisha noma😅😅😅
Madirisha m1 ni sawa na shafiii 1000
😂hiii moja MADIRISHA KAUWA WALAH
Madirisha for life❤❤❤
Ila dulla na madilisha mungu anawaona
Madirishaaaaaaaaaaa ....ukiskia mwana na nusu ndo huyu
Napenda huyu dada
Hahaha Madirisha mi ndo ananiacha hoi 🤣🤣🤣
Madirishaaa ni mzuri sana akianzia bench! 😂
Madirisha Hua hakoseagiii kabisaaaaaaa kucheza 😂😂😂
Semaa me namkubali mwanang madirisha tu yaan uko on time😂😂
mungu akutie nguvu tu utusamehe😅😅😅
😂😂😂 madirisha game changer
sema dem ni mtu uyoo ...na uyo mwanya sio kinyongee
Ukisikiaaa mwanaaa ndo huyo apooo sas
Tax dullah na Madirisha wanajua na wanajua tena🤣🤣🤣
Huyu madirisha kuna siku atachoka😅
Kabisa yaaani kila siku ana msave tu
Madirisha bwana, Mwamba sana
Nywele zinacheza😂
Sema madilisha anakuokoaga sana wewee dullla😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisaaa
😂😂😂dulla eti naomba usilekodii 😂😂noma san
😂😂😂😂 dula et mbona shingo inatutusikaaaaaa
Jamaa wanajua sana. Madirisha oyaa 😂😂😂😂
Hahaha sio poa madilisha anatisha kinomaaaaa
Madirishaa na mm kwa wanangu ni hivi
Madirisha nyoko😂😂😂😂😂
Bro Madirisha 😂 hii episode hainipiti aisee
😂😂🙌🙌
Unamkosaje madirisha kwenye maisha yako lakn😂😂😂
Nikivaa hivi na kimbia kweli buttiiiii la mgambo na 45
Mko vizur
Madirisha mtu mbad😂😂😂
😂😂😂😂😂😂sijawai kudanganya from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 myama
Wewe mwehu unajua 😂😂🙌
Mbona nywele Zina cheza😂😂😂😂😂
Jamani huyu madilisha anaupiga mwingi😅
Madirishia uko vzr kaka
Madilisha mmoja ni sawa na watu mia😂😂😂😂😂😂
Madirisha mmoja ni sawa na mashabiki wote wa yanga
Natamani kuwa na rafikini mwana kama madilisha ajuwa code sana😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 umepigaje hapo🤣🤣🤣🤣
Madirisha Moja sawa na watu 💯 🔥
mke wa mtu sumu, dawa madirisha kumbe😅
Noma sn mchiz madilisha
Madirisha mzee wa kuokoa😂😂
Madirisha babaaaa umepigaje apo😂😂😂😂😂