Simba inakosa magoli kwsbb ya viungo watatu ws ushambuliaji na wala siyo straika wanao ikosesha magoli, simba iliacha kufunga magoli baada ya kuanza kupanga Kibu ambaye si mzuri wa kupokea na kutoa pass
Kamara atulie golini. Acheze kama kipa, asnapocheza kama beki, mabeki wake wanabweteka. Akiendelea kuwa analiacha goli namna HIYO, Azizi K atatufunga magoli mengi mno ya mbali
Yaani hapa tanzania hakuna mchambuzi wa mpila kama RAMADHAN MBWADUKE 🎉🎉🎉❤❤❤
Kipa siyo machine anahitaji kupumzika timu Ina makipa wengi fanyeni rotation ya makipa
Wewe noma Sana ndugu yangu Tunakuombea Sana kwa MUNGU Akubariki Sana
Asante mzee wa data
Nomaaa sanaaa
Simba wamepata haki Yao, na wamshuru refa
Simba inakosa magoli kwsbb ya viungo watatu ws ushambuliaji na wala siyo straika wanao ikosesha magoli, simba iliacha kufunga magoli baada ya kuanza kupanga Kibu ambaye si mzuri wa kupokea na kutoa pass
Coastal wamejua kumnyamazisha simba😂😂😂
Na Bado simba mpka mseme poo msimu huu,octb 19 hiyo ooooh inakuja nyooo!😅😅😅😂
Kamara atulie golini. Acheze kama kipa, asnapocheza kama beki, mabeki wake wanabweteka. Akiendelea kuwa analiacha goli namna HIYO, Azizi K atatufunga magoli mengi mno ya mbali
mtaala wa boll mambo
Mech yakufukuzisha watyu kaz
Simba tuache kupaka mafuta mpira one touch mpira wa kizamani na uoga wa kukimbia uwanjani
Kipa katutia aibu kipa mshenzi sana
Kochaanazinguaongeanawachezaji
Ahuoa mutale hamna kitu pale ujinga tupu