Tuwape hongera lakini naona km nature ya shule hyo sio yakufanya Wanafunzi 34 isiwe pna ujanja ule washule nyingi za Taasisi wanaufanya but big up 💪 although huwa inauma Mtoto wako kumwandikisha shule km hii Afu unaskia mwisho wa Siku alifanya Mtihani shule yao Nyingine bila mzaz kuwa na Taarifa
Wanangu wanasoma hapo, those people are serious bwana! Hakuna ujanja ujanja. Mtoto anabanwa na kulazimishwa kuitumia akili yake kwa kiwango cha juu kabisa. Wana shule 2, Kaizirege na KEMEBOS. Na zote zinafanya vizuri
Shule zote watoto asilimia kubwa wamepata ufaulu mzuri. wameachana vipoint tu. watoto sasa hivi wanauelewa. cyo cc akina kajampe nani tuliyosomea chini ya mwembe halafu tumekaa kwenye mawe. 🤣🤣🤣 Hongereni sn watoto wetu.
Waongo hawa. Wanasomesha wanafunzi shuleni Kaizirege. Halafu wanachagua 30 plus vipanga wanawasajili kufanya mtihani shule ya Kemibos. Hivyo Usalama wa Taifa sekta ya Elimu fuatilieni Kaizirege idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa Kaizirege form One na Form Five na idadi inayomaliza Form 4 na form Six.
Hongereni kemmy boy Kila mwaka siyo six tuu hata form 4 mnapiga juu miaka yote shule ya msingi ni kemmy tuu miaka yote hivi mnafanyaje ? Au mnachukua wenye akili tuu mnachukua cream Sasa mlitakiwa wasiyo na akili darasani ndo muwachukue tupone km watafaulu ndo tutajua km mko vinzuri chukueni walioshindika alafu tujue km mnawenza kuwabadili wawe na akili darasani
Unajua mwalimu mzuri ni yule unaye mpa mtoto aliyefeli kidato cha nne na akaondoka na div 1 au 2 form 6. Si shule ambazo zina mchujo. Yaani mtoto kuingia lazima apate A kila somo. Hapo ni uzuri wa watoto wala si walimu.
Hongereni Walimu na Wanafunzi kwa juhudi zenu Mungu azidi kuwabariki 🙏🙏🙏Go Ijuganyondo 👏👏👏👏👏👏👏
Kagera oyeee! Wahaya oyeee
Kumbe Kila mtoto ana akili ni juhud tu za waalimu na nizam kwa wanafunzi
💕💕 mashallah natamani mwanangu asome sekondary hapo
Mpeleke hutojutia. Ila kuna viboko
@@fathefirst1935 😂😂 tatzo ada parefu
@@prettyh7509 naomba ya simu tafadhari
Hongereni sana walimu mmefanya kazi nzuri sana
Tuwape hongera lakini naona km nature ya shule hyo sio yakufanya Wanafunzi 34 isiwe pna ujanja ule washule nyingi za Taasisi wanaufanya but big up 💪 although huwa inauma Mtoto wako kumwandikisha shule km hii Afu unaskia mwisho wa Siku alifanya Mtihani shule yao Nyingine bila mzaz kuwa na Taarifa
Wanangu wanasoma hapo, those people are serious bwana! Hakuna ujanja ujanja. Mtoto anabanwa na kulazimishwa kuitumia akili yake kwa kiwango cha juu kabisa.
Wana shule 2, Kaizirege na KEMEBOS. Na zote zinafanya vizuri
@@fathefirst1935 Ada yake shilingi Ngapii
@@lucykapinga369 4.2m Arts, 4.6m science
@@fathefirst1935 nipe namba za uongozi Wa shule
@@lucykapinga369 simu naipataje tafadhari
Shule zote watoto asilimia kubwa wamepata ufaulu mzuri. wameachana vipoint tu. watoto sasa hivi wanauelewa. cyo cc akina kajampe nani tuliyosomea chini ya mwembe halafu tumekaa kwenye mawe. 🤣🤣🤣 Hongereni sn watoto wetu.
Mwl Kishaa😁 am proud of you
Ongereni sana Kemiboz
Waongo hawa. Wanasomesha wanafunzi shuleni Kaizirege. Halafu wanachagua 30 plus vipanga wanawasajili kufanya mtihani shule ya Kemibos. Hivyo Usalama wa Taifa sekta ya Elimu fuatilieni Kaizirege idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa Kaizirege form One na Form Five na idadi inayomaliza Form 4 na form Six.
Acha wivu
@@erastuskajuna812 wivu gani? Matokeo ya Kimtindo hayo.
Matokeo yametolewa na watu wanasherekea! Asiyependa bora akanyamaza akasubiri ya mwaka kesho. Kulalamika, kunungunika, wivu, gere havitabadili matokeo
Fafanua vzr iyo shule wanawachukua ni shirika moja
Wafatilie ya nini sasa? Kuna watu wa hovyo Kweli kweli
Hongereni cn wanafunzi wa kidato cha 6
Hongereni kemebos and kaizeregi
Hongereni walimu Kwa juhudi zenu
Wahaya msifa ila mpo vizur
Sema kwanza mungu kisha huo upwekezej
Nilijua swala hili naliona peke yangu yaan hajamtaja Mungu kabisa
Mmetishaa BUKOBA KAIZIREGE.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥BUKOBA YA WASOMI
Noma sana
Hongera sana mungu azd kuwabariki
HONGERA SANA KEMEBOS
Wow Hongereni sana
Hilo jina la mwekezaji labda nilisikilize mara mia ndo ntalitaja vizuri
Excellent
waooooh hongereni sana
Hongereni sana Kemebos
Ila jaman ilitakiwa mitihani itolewe kutokana na mazingira maana shule zingine nichangamoto
Kwenye shule kumi Bora ya private nadhani zipo mbili
Safi.
ongelen seee yn niwasafiiii mpkaaaaa mnaboaaaa daaaaa saf snanaaaa🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Super Dooper
Hongereni kemmy boy Kila mwaka siyo six tuu hata form 4 mnapiga juu miaka yote shule ya msingi ni kemmy tuu miaka yote hivi mnafanyaje ? Au mnachukua wenye akili tuu mnachukua cream Sasa mlitakiwa wasiyo na akili darasani ndo muwachukue tupone km watafaulu ndo tutajua km mko vinzuri chukueni walioshindika alafu tujue km mnawenza kuwabadili wawe na akili darasani
Waooooo waooooo
Hii shule imeniheshimisha sàna! Safiiiiiii
Noma sana 🔥🔥🔥🔥
Unajua mwalimu mzuri ni yule unaye mpa mtoto aliyefeli kidato cha nne na akaondoka na div 1 au 2 form 6. Si shule ambazo zina mchujo. Yaani mtoto kuingia lazima apate A kila somo. Hapo ni uzuri wa watoto wala si walimu.
UONGO TU MZEE WATOTO 30 hata Mimi nikipewa wanaongoza KITAIFA
kama wewe mmoja ulionɡoza taifa bila shaka hao 30 wataonɡoza kama wewe
Nimependa magari kama yanga
Ok
Vipi? Wale wanaopeleka watoto wao wanaopeleka watoto academic na international