FULL MATCH HIGHLIGHTS : TANZANIA 0-0 CONGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)

КОМЕНТАРІ • 81

  • @pascalutshudi9188
    @pascalutshudi9188 8 місяців тому +6

    RDC Grande Nation de football. Bravo les Léopards

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 8 місяців тому +2

    Manula man of this match❤

  • @JacklineGustafa
    @JacklineGustafa 8 місяців тому +3

    Nc performance stars,l hope next time you will do better than that

  • @BON357
    @BON357 8 місяців тому +3

    Jamani mbona hi mechi Tanzania imecheza vizuri kidogo kuliko mechi nyingine

  • @IrkabayoTriomphe
    @IrkabayoTriomphe Місяць тому

    Nice

  • @akwinobenarddy
    @akwinobenarddy 8 місяців тому +4

    Manual fantastic game

  • @lungusii
    @lungusii 8 місяців тому +3

    Sio mbaya sana mechi zote zilikuwa ngumu sana

  • @PatrickKabwita
    @PatrickKabwita 3 дні тому

    Match

  • @calistgwaydamuy8813
    @calistgwaydamuy8813 8 місяців тому +1

    Wamecheza vzr jaman hata Kama tumetoka,,, stars wameimprove san

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 8 місяців тому

    Taifa star miguu mizito uongozi wanaona lakini wanajitoa ufahamu aibu sanaa

  • @MwanjaBoy-ql2ij
    @MwanjaBoy-ql2ij 8 місяців тому

    Taifa stars imejitahidi so sehemu ya kuilaumu kikubwa viongozi wa timu kila panapo tokea mechi wajifunze ni wapi pana dosari ili waweze tufikisha mbali kimuchezo,pia manula umepiga kazi sana sana tu.

  • @jaypromise8161
    @jaypromise8161 8 місяців тому

    Dr congo should work on striking forces

  • @saidabeid8249
    @saidabeid8249 8 місяців тому +1

    Huyu humid mau mkami ni kilaza kila muda ndo anaitwa😢

  • @MashakaZacharia-if9pm
    @MashakaZacharia-if9pm 8 місяців тому

    Tumeweka heshima kdogo tu mungu n mwema

  • @PatrickKisumo-co8qk
    @PatrickKisumo-co8qk 8 місяців тому

    Mpango yuko😊😊

  • @sulemanmati8213
    @sulemanmati8213 8 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @castrocastro9615
    @castrocastro9615 8 місяців тому

    Pongezi sana kwa timu yetu.
    Mmepambana vya kutosha.

  • @brandinamarco2335
    @brandinamarco2335 8 місяців тому +2

    Jina Taifa stars haliendani na matokeo na wanachofanya ...

    • @zainabuzakaria-hw4yu
      @zainabuzakaria-hw4yu 8 місяців тому +1

      Kwani ulitaka wachezeje kwamfano mbona uzalendo hakuna Yani Baada hata muwapongeze kwahatuwa waliyo fikia yinyi ni kuwabeza tu kama kacheze wewe uli ubadishe matokeo 😢

    • @GivenTobago
      @GivenTobago 8 місяців тому

      @@zainabuzakaria-hw4yu achana na huyo maandazi ajui boli

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 8 місяців тому

      Hapo labda wengeshinda Kama wengepangiwa na timu ya kike

  • @JumaOmar-o9z
    @JumaOmar-o9z 8 місяців тому

    Oh the tz they let us down we try to give the company our ganser but the y cant to win why?

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 8 місяців тому +1

    Mngecheza hivi tokea Mwanzo walah tungetoboa kumbe mnajua hivi😢

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz 8 місяців тому

    Stars mgecheza hivi tangu mwanzo tungekuwa mbali

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 8 місяців тому

    Taifa stars mgecheza hivi toka mwanzo tungetoboa kabisa leo mmecheza mpira mzuri tena kwa kujiamini kabisa

  • @SanRemoSupervisor-eb6lt
    @SanRemoSupervisor-eb6lt 8 місяців тому

    WISSA is from Rwanda I can see is face
    WISSA this match was you game but you put Congo Drc down

    • @AshaAkili
      @AshaAkili 6 місяців тому

      Wissa is what?????? Bro 😂😂😂😂lol

  • @sanuramdegela9606
    @sanuramdegela9606 8 місяців тому +1

    Naona kundi limebak kama lilivyokuwa limepangwa😅😅😅

  • @dynamic_6
    @dynamic_6 8 місяців тому

    Shida wabongo tunalawama sana nawengine Wala atukucheza mpila kabisa jamani zamani hilikua kila tukigsa tunakula tano malasaba kwaiy tunaenda vzr

  • @balozimkali1337
    @balozimkali1337 8 місяців тому

    Mie nahisi makocha wazawa ni bora kuliko wale wa nje km elimu wapelekwe wakasome mambo yaende ni ushauri tu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 8 місяців тому +4

    Zambia na Drc ni timu kongwe na ngumu sana. Tz imejitahidi mno.

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 8 місяців тому +1

      Kwani Tanzania imeanzishwa mwaka gani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @aaronkalala3837
      @aaronkalala3837 8 місяців тому

      ​@@chusseboywcb2808mm

    • @mandelamandela3150
      @mandelamandela3150 8 місяців тому +2

      @@chusseboywcb2808 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @someaafrika.3379
      @someaafrika.3379 8 місяців тому

      @@chusseboywcb2808 wewe wapi kabisa 🤣🤣🤣

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 8 місяців тому

      Kuna mtu kauliza , kwani Tanzania imeanzishwa mwaka.gani, ajibiwe tagadhari

  • @BON357
    @BON357 8 місяців тому

    Tanzania itasonga mbele ya kufungwa

  • @Mushalotelevisionkiswahili
    @Mushalotelevisionkiswahili 8 місяців тому +1

    Non. Taifa stars avait un bon jeux sauf qu'il ne pouvait pas échappé à la RDC. Courage chers voisins...💪 Allez y surveiller le lac TANGANYIKA nous on est encore occupé en cote d'ivoire 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @Pmaker19
      @Pmaker19 8 місяців тому

      Uphill tasks for DRC in the next encounter I don’t see them in quarters

    • @someaafrika.3379
      @someaafrika.3379 8 місяців тому

      ​@pmakersimbanguvumoja4198 whatever it is, the last whistle will determine.

    • @Pmaker19
      @Pmaker19 8 місяців тому

      Okay let’s wait and see

  • @IsmaelMunga-mg1kv
    @IsmaelMunga-mg1kv 8 місяців тому

    Taifa stars wakosawa

  • @HARUNSIMON-hj6up
    @HARUNSIMON-hj6up 8 місяців тому

    Timu imecheza vizuri kuna wachezaji wazuri hawkujaribiwa kama Danilo hata Tyrin alarhakiya hawa ni wazuri wanatakiwa wapewe dk chache kuzoea waendelee kuitwa na kuonekana kwao kutawapa one kana na timu kbwa hi itatusaidia bdae

  • @SYLVAINKYAMWISI
    @SYLVAINKYAMWISI 8 місяців тому

    Ngoma ni ngumu sana

  • @WiliamuRobatimmbaji
    @WiliamuRobatimmbaji 8 місяців тому

    Jamn isiwafanye watazamaji kuwa na asiri nakuanz akupigan ,.
    Huyo naye hataaibu Hana anampiga mwanadada siatafute mwanaume wapigane. Ili akunwe sawasawa

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 8 місяців тому

    Mabeki wanachomesha kila mda

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce 8 місяців тому

    Kuna huyo dada anazabwa makofi hapo sijui kakosea nn

  • @JumaMukhtar
    @JumaMukhtar 8 місяців тому +1

    Jamani ACHENI mihemko wacheji wote wamejitahidi Kadri ya uwezo wao na wameonyesha kiwango kizuri iliotuangusha ni confidence tugange yajao

  • @adelaidajackline
    @adelaidajackline 8 місяців тому +1

    Tuache kuibeza timu yetu wamejitaidi tena sana tu,kwani mwenyeji ilikuwaje jmn?

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 8 місяців тому

    Wqmejitaidi

  • @DavidMwakihaba
    @DavidMwakihaba 8 місяців тому

    Tanzania mpira bado sisi kujiakikikishia lilikuwa game la zambia tyu

  • @kaseja
    @kaseja 8 місяців тому +3

    Ni maoni Tu. Kwa timu zilizo shiriki Afcon zilizo tolewa na zilizo bakia . Hakuna taifa limecheza kwa kiwango cha Chini kabisa kama Taifa stars. Poor performance in general.

  • @MahmoudMussa-x8j
    @MahmoudMussa-x8j 8 місяців тому

    Ligi yetu ndio tatizo inauwa vipaji vya wachezaji jaribuni kutafakari hili

    • @EdsonMagreth
      @EdsonMagreth 8 місяців тому

      inauwaje labda tufafanulie tuelewe kaka

    • @kaseja
      @kaseja 8 місяців тому

      Mpira niuwekezaji.

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 8 місяців тому +1

    Timu bovu km uharo wa mapera

    • @renatuslugata
      @renatuslugata 8 місяців тому

      shukran za dhat zimfikie mama samia mpen maua yake kwa kuisupport taifa stars

  • @JumaOmar-o9z
    @JumaOmar-o9z 8 місяців тому

    Oh the tz they let us down we try to give the company our ganser but the y cant to win why?

  • @sisiliamalonga
    @sisiliamalonga 13 днів тому

    RDC eloko ya makasi🇨🇩🙏

  • @JumaOmar-o9z
    @JumaOmar-o9z 8 місяців тому

    Oh the tz they let us down we try to give the company our ganser but the y cant to win why?

  • @gabjoni4306
    @gabjoni4306 8 місяців тому +1

    Next time acheni Mambo ya kupeleka Akina Mwijaku na Baba Leval kwenye Mambo ya mpira pelekeni kina Mzaramo na God yanga
    Uzalendo

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 8 місяців тому

    Katika wanoibeza taifa star niko na imani hakuna mtu aliefika form 4,nasema ivo kwa ajili kama uko na elimu japo kiasi huwezi laumu timu,kuna timu kubwa zenye historia za mpira ila zimekula kwako mbele ya raisi na home ground yao,acheni fitna na hamuchangii chochote kwenye mpira ili usonge ni vizuri lawama mukapeleka majumbani kwenu ambao kuna uzito na kasoro nyingi sana,vijana wanahitaji kupewa moyo sio kuwakatisha tamaa.

  • @tinalucas6284
    @tinalucas6284 8 місяців тому +1

    Mpeni mgunda hii timu imecheza kwa kujiamini mno uenda ikawa atuelewi kimombo vizuri🤣🤣🤣

  • @Kengele
    @Kengele 8 місяців тому +1

    The best tz can achieve is only a drew? mtoke all the way tanganyika kwenda kufunga bao moja

    • @goblessjrtz5464
      @goblessjrtz5464 8 місяців тому

      Mbona nyinyi wakenya hamjafika hata huko kufunga bao moja?

    • @Kengele
      @Kengele 8 місяців тому

      @@goblessjrtz5464

  • @osagieosarefe9685
    @osagieosarefe9685 8 місяців тому +3

    This is one of the best AFCON so far.
    Many surprises. No more big teams domination.

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 8 місяців тому +2

      Kwani team ya Tanzania imeanzishwa mwaka gani😂😂😂

    • @someaafrika.3379
      @someaafrika.3379 8 місяців тому

      ​@@chusseboywcb2808 swali nzuri aisé 😂

  • @mussahally9163
    @mussahally9163 8 місяців тому +1

    Hakika kabisa Tanzania tumeonesha kitu

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 8 місяців тому +1

    Mna baati Leo taiga stars.

  • @athumanimatimbwa1828
    @athumanimatimbwa1828 8 місяців тому

    Ok jamani tuwapongeze wachezaji wetu haina jinsi tena

  • @emmanuelBukindo
    @emmanuelBukindo 8 місяців тому

    ❤❤jaman tujalib 2 kusema kuwa ni kwamba wamefanya vzr

  • @ZawadiKimbitiwakyemba
    @ZawadiKimbitiwakyemba 8 місяців тому

    Yaani Tanzania mnabahqti kweli😢😢

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 8 місяців тому +1

    Haya siombaya san

  • @JumaOmar-o9z
    @JumaOmar-o9z 8 місяців тому

    Ahh jamn Tanzania imetuangusha sana

  • @mustafamohd9066
    @mustafamohd9066 8 місяців тому

    Tumejitahidi saan pia maana ni afadhali sana kwa team yetu

  • @stephenomunyin2232
    @stephenomunyin2232 8 місяців тому

    Welldone Tz Taifa stars.